MAHABA WAZI WAZI MOSE IYOBO ❤️RUBY | WATHIBITISHA RASMI WATAFUNGA NDOA
Ойын-сауық
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Пікірлер: 322
Hampo kumfurahisha mtu wala kumlipizia mtu ila mmenifurahisha mimi tena sana asantee kwa kunifurahisha moz &rub
Acha wapate raha mda huu yakichacha wakaombane msamaha wasafi fm kwa diva kwenye lavidavi😍😍
@magrethrogersmagrethroger2687
2 жыл бұрын
Saaaf saaana me nimependa
Raha ya mwenge kupokezana 😂😂😂😂😂love sana ruby
Mose jamn ruby ni mwanamke na nusu jamn 🥰🥰🥰🥰🥰
@janemapoz6360
2 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/qayatsiuYMK5Zrg.html
@sarafinabulegeya8283
2 жыл бұрын
Nice acha mleee
Mose ni legend
@fatumamuhammed4351
2 жыл бұрын
Anae kuzaliya ni muhimu siokusema niziro nyote waongo
Nawapenda Sana jamani moz na ruby
🤣🤣🤣my number one Dancer..mnapendeza pamoja wallahi😘😘😘
Mose is happy kwa hii mausiano 😍😍 🔥 🔥🔥🔥🔥
@huditinya19
2 жыл бұрын
Nawap endasana
Am muna from tz mose iyobo usimuache ruby utaharib sana nawapendeni ❤😍true love
Marshal watoto wazuri nawapenda sana mose iyob naruby hayo ñi majibu yakijanja mjiamiñi Asante ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️ nawapenda sana kaza amiña l Rabi Rabi Amin
Moses get married,she such a cool lady.
TANZANIANS RIHANNA (RUBY) LIVE FROM +254
Mashallah ruby so cute 😍😍😍😍🔥💯
Ruby anajiamini bana! Hana ubabaifu wa kibongoflavor
Nice kwa Mose na Ruby 👌tuna wapenda nyote
Moze una mbwembwe jaman
Mnabadilishana kama nguo wasanii poleni sana
@josephmanyama9012
2 жыл бұрын
Kawaida maisha hayo mbona yako kitambo tuuu ni maelewano tuuuu
Mashallah, l love couple, love you Ruby 😘😍 Very confidence Iyobo, love you bro 🔥🔥🔥🔥
If you love each other too much then get engaged
mm binafsi nawapenda NA iwe kweli hii itakuwa couple yangu pendwa s
Yaan Ruby navyokupenda mmependezana sana na mose wait and black kitu nyuu Rihanna wa Tz
Rubby Nakupenda sana 😍😍
Ñi Kiki tu hata wanavyongea sioni hata wako serious sioni chemistry yoyote hapo Naona majungu tu aunt na kusah wametulia coz wanajua wahafek there are real sasa hawa kutwa ñi vijembe inanyesha wazi mpo kulipiza kisas Hamna love kabisa
😍ruby apo kafanana sana na Rihanna
Daah 💯💯💯💯👌👌👌
Huyu Mose Huyu hajitambui kabisa sasa madoido yote ya nn inanyesha kabisa upo kulipiza kisasi
@zainabwage4658
2 жыл бұрын
Kwer kabisa
@jescajulius8023
2 жыл бұрын
Kabsa
@rahmaabdallah4514
2 жыл бұрын
Kweli.mapenzi ya kisasi
@ashuramhando5285
2 жыл бұрын
Safi
@wildatmsellem7531
2 жыл бұрын
Nilifkiri nimeona peke yangu
Kiukweli i miss your melody ruby,, yaani urudi tu Ruby yaani, and then mose kusema aina haja ya kumuona mtoto huo ni ushmba mzee itafika mda huyo mtoto utamuitaji na atakuwa na mda na wewe.. sema sometimes mi naona wanawake utumia watoto hiwe kama fimbo kwetu sisi wanaume, ukionesha u dont care jiandae kususiwa.. au ndio ivyo utopata nafasi ya kumuona tena
Hehe. Moses got swag
Ruby lov you mama😍😍
Kam mnafanya HVO kwa kukomoana mtajuta
Nawapenda sana nawaombea maisha malefu na mdumu
Apo tumeamini kweli wako kwenye mahusiano
@davidkeya3584
2 жыл бұрын
Saf sana
Hongera sana Rubby
Ruby kafata fursa ya wasafi, mjini hapa sogea kwenye ua ridi unukie uwaridi
@pendogeorge1813
2 жыл бұрын
Haswaaa
@nellymatalanga5033
2 жыл бұрын
Won't be easy fr wasafi to sign another woman not soon
Sawa bana nimefulahi sana na mungu awape fulaha ktk mapenz yenu 🙏
Wow,love them🥰🥰
Nakubali couple 👌👌😍🇴🇲🇴🇲🇧🇮🇧🇮
vijana wa kizazi hichi ni shida sana...yan ww mose eti sio lazima kumuona mtoto wako??ushauri wangu tafuta namna ya kufuta hii kauli inamadhara makubwa sana baadae. Hv hamjifunzi kwa mvutano kati ya Diamond na Baba yake?? huyu mtoto unae sema leo sio lazima kumuona si ajabu baadae akawa ndio Diamond na wewe ukawa baba diamond ...Mungu akuepushie mbali...naomba utafute namna ya kufuta hii kauli.
@sophiasophia9713
2 жыл бұрын
Hata asipokuja kama Daimond, hakutakiwa kujibu hivyo, sio nzuri Kwa afya ya akili ya mtoto.
@emilytv9526
2 жыл бұрын
Au akawa Dancer wake
@biharusussi8233
2 жыл бұрын
Kweli kakosea sana
@nourathoney3702
2 жыл бұрын
@@emilytv9526 hahahahahaa
@alyasaluum1850
2 жыл бұрын
Huyu ni mwehu na hii yote wanaumiya hawa kwa mapenz ya wale hawana akili kabisa yani muonekano wenu majibu yenu yanaashilia kabisa maumivu mna ropoka ovyo basi hata kwa mtoto wako wewe ni juwa wa majuha
Your beautiful ruby mashallah
Mtu akibebea bwana we beba xwake na baba yke😂😂hii inaitwa
Mmetisha 🙌
Nawapenda sana rubby na moses
So proud
❤️❤️
Wow, Nice
Kussa acha uongo kwani rubi ana talent kubwa sana kuliko wote waimbaji wanawake
Ruby na moze amjitambui ugomv wenu Watt awahusk ipo siku mtajuta na mjue kauli zenu zinahifadhiwa ipo siku Watt wataona
Ila Moze anaumia anajikaza tu Anty mrembo Sana na hako kabetina kanaumia sana hao wawili wanaonekana hawapo sawa wamevurugwa penzi la kudanganya watu kisa kisasi 😂😂😂😂😂😂😂
Respect ✊ mwanang
“I gat tree mirrion forowers “ okayy iyobo 😂
@cynthiam184
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@hawaaabdillahi6286
2 жыл бұрын
😆😆😆😆
@hawaaabdillahi6286
2 жыл бұрын
😆😆😆😆
@anastasiarodgers736
2 жыл бұрын
😂😂
Ila wasanii jamani🙌🙌🙌🙌🙌, salamu zenu,mweeeee
leo mose kajitaidi kukazaa sauti jmn hongera mose
Nawapenda bule♥️♥️
Asante rubby
Congratulations 🎈 congratulations
Mashallah👌
Nakubali broo respect
I think that is just a 'rebound' to be honest. With time you'll come and attest this.
@alifadhili6056
2 жыл бұрын
Aisee umefikiria ka vichwa 1k vya watu kwa comment section
Mosse🔥🔥🔥🔥
Hehehe pass nne bebe
Huyu Dada Presenter namuelewaga sana.
Jamaniii nimecheka kwanguvu
Wow 💕💕💕💕
Nice moze and ruby
Mwaume mmoja azunguke kwa wanawake wote merry go round kichefuchefu hicho
@batulimangare724
2 жыл бұрын
Nawapenda sanaaa
Moses ameongea kiume sn nimefurai na moyo wangu
@calvinloveambroce842
2 жыл бұрын
Saaana
Nyinyi mna lipa kisasitu ujinga huyo hamna KAZI zakufanya mwana mke adungwe na huyu kesho ww kesho kutwa mwengine bongo wasenge Sana
Hi couple nahipenda sana
Nice family mashaAllah 🇸🇦🇸🇦🇸🇦🔥🔥🔥
Bongo bhana dah! Ni mwendo wa kubadilishana tu😊
Bonge la movie tunasubili part two episode ya 1👌🏻
@zainabwage4658
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@faudhiaamerii6692
2 жыл бұрын
Kabc
@fatumanyamawi1686
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣Nmecheka hatariiii....yaan wamebadilishana
@fatmaahamad633
2 жыл бұрын
@@fatumanyamawi1686 Kabisa inaitwa ngoma droo
@silyvya2408
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣nadhani hapo Kuna rekodi imevunjwa namna mahusiano yao yalivyo badilika
Hongera Sana ruby
😘❤️❤️❤️❤️💕
Rubby umeweza
😍😍😍😍
💯💯💯
Nmeipenda hii
Mose your voice is nice😋
Nampenda Sana ruby
Mi nahisi hawa wamepanic mahusiano ya ant Ezekiel Mose hupaswi kusema sio lzma kumuona mwanao utatafuta mwngne mara nyng huna kauli nzuri
@ZawadiBirya
2 жыл бұрын
Agreed.
Hongera mama
We moses ni fala kweli leo unasema sio muhimu kumuona mtoto sababu utapata mwingine, hao watoto Mungu ndo anatoa huo mdomo wako mchafu ipo siku utakugharimu
Nice couple
Nakupenda ruby unajitambua sanaa
Kali sana ♥️
He is kiddish...ati sio lazima aone mtoto. Nonsense....I don't envy Ruby
Safi sn Rubi moze bonge la bwana bg up
Mnanifuraish nyie iyobo na ruby👌
Mungu awabariki Ila mm bunafsi ili nikubali mpaka nione mmefunga ndoa
Hapo kwa sio lazima...ameongea vibaya....mungu akifunga je
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Moses kama majuto
Ruby Kama liana
Napendaga sauti yako iyobo❤😘❤😘😘
Very nice
Nimewapenda sana mwaaaaaaa
Ila RUBY kafanana na Riyama
Ile utoto iko Tanzania....eeeeh mama suluhu lazima utafute suluhu ya wasanii tz maana wanatombuuna Ile hatari Tena bila protection.....yaani mmoja akiwa na virusi anatapakaza tz nzima
Wote wanne wakae nyumba moja siku ingine wabadilishane
💯👏👏👏
Patamu