MAHABA Mazito ya DIAMOND PLATNUMZ kwa ZUCHU nyumbani kwao ZANZIBAR
Ойын-сауық
...........................................................
Contact Us : 0742447854
-------------------------------------------------------------------------------
Instagram rickmediatz...
---------------------------------------------------------------------------------
Facebook / rickmediatz
---------------------------------------------------------------------------------
Website www.rickmediatz.com
-----------------------------------------------------------------------------------
#Diamond #Zuchu
Пікірлер: 127
Zuchu are beautiful, looking lovely.
Aa mie napenda niwaone muda wote mapenzi daima nasie tunawaombea watoto wetu mungu abariki kwa Juhudi za kazi zao pia. Na hasada iwapitie mbali
@productivityprogressprince5156
Жыл бұрын
Mimi jeee! Yaani napenda niwaone marakwamara.
Am actually obsessed in watching this great work. Nifikisheni 1k subs guys💖🙏💥
Diamond anamtafuta zuchu wake anageuka geuka kumuangalia 💪mtu chake jamani ♥️♥️♥️♥️♥️ Simba wangu awamu hii amepata mwanamke wa kuendana nae rika mtoto bado mbichi hajatumika sana chuchu kifuani zimesimama kama mwiba 👌 haki tena kumbe kweli kila mtu amepangiwa mtu wake na mungu ni swala la muda tu 🙏 nawapenda mno nyinyi watu wawili mpaka naumwa 👌 dua zangu zote zipo kwenu vipenzi! vyangu mapenzi! yenu yadumu milele Inshallah! nawaombea kheri 🙏
@sharlharl5890
Жыл бұрын
♥️♥️
@agnesmchimbi1341
Жыл бұрын
😍
@joyhb2441
Жыл бұрын
Amiin
@aminasalmin6058
Жыл бұрын
.AMIIN
@vanessastafford5120
Жыл бұрын
Kwa Kweli ni perfect match, lovely couple
Haki I keep repeating watching this video this couple look good together plus mama diamond looks content with this relationship
@annomina8942
Жыл бұрын
Very true. Zuch & Diamond , good age for each other.
@shamlimah5682
Жыл бұрын
The mum alwas well come those on planet ok her mum has no choice for him .
@joyhylton7901
3 ай бұрын
Power couple ❤❤❤❤❤❤❤❤ 🗽
Chibu akahakikisha anamchukua zuchu wake mwenyewe. Aaah roho ikipenda amani utaiona 😊😊❤️❤️
@yustayusuph9101
Жыл бұрын
Kabisa mungu wa mbinguni awafanyie wepesi kwa kila jambo Inshallah 🙏
Luv u zuuu🥰
Indyo kapo ya ukweli kwanza wote wana pesa na watadumu milele
Waoo ,mpaka zanzabal ,mahaba ndindindi ,mbona siyo mbeya awo mwengine mkowa ,mpaka ukweni jamani mola alayishe mapenzi yawo kabisa
Nawapenda mno 🥰🙏💕
Mungu awajaalie mana mond anasaka saka chake wallah mapenz yamenoga🥰🥰
Nice👍🏽
Pend Sana Zuch Na Diamond
@sultanaswaleh8892
Жыл бұрын
Tena saaaaaaaana!...💞❤💏😘😍😍
@hadijamansoor3722
Жыл бұрын
Fungeni ndoa Jambo la ibada usisubiri
Mm kwa upande wangu nimependa jisi Diamond amefungukia mama yake mzazi mlago kwa heshima bila kutumia wasahidizi ni heshima kubwa sana
@auntdorah9141
Жыл бұрын
Diamond anampenda sana mama yake na sidhani kama kuna binadamu anaweza kumbadilisha, wanaume wengi wakishapata wenza basi mama hutumia kule!! Nawapenda sana hawa watu, na maisha yao.
Yani nikiwaona mkopamoja nasikiyaga raha saaaana Diamond na zuchu
@mpawenayoemmeline8522
Жыл бұрын
❤❤
@mustafamchavu9451
Жыл бұрын
Akimuoa Muje munikate miguu yote
Inawezekana ikawa maisha ni pesa ila kama ikiwa huna furaha basi izo pesa utaziona niikama kitanda tu kilaa mda unikiona na hakina mana na ww hadi usiku tu ila ukiwa na furaha na ukiwa na mtu anae kupa furaha basi amini ya kwamba utajiona ni mtu wa thamani sana katika hiii dunia kuliko yoyote yule duniani na ndo alivo daimond kwa sasa et
Ila asije kusahau kwamba maisha hubadilika inawezekana leo yupo na daimond kesho akaja kuwa na mwengine et kwa sababu ata binadamu anakuwa mdogo kwanza badae anakuwa mkubwa amni ivo nakwambia💔💔❣❣❣❣💕💕💞💝
New Beyonce and Jay-Z. "Zu-Mond". Hadi Raha!
Hongewa wasafi
Ila Diamond kwa kweli nadhani wewe ulibarikiwa na Mungu Toka kuzalwa kwako ulipangiwa kuwa mtu Fulani mshukuru sana Mungu kwa Hilo .
Zuchu mpole aonekana hongereni
Haki nawapenda ad nawapenda tena
Coffi ollomide + cindy Le couere X Diamond + ZuHuRA 🇨🇩💥💥💥💥
Ukipata mpenzi mpya halafu asiwe na makuu wale washenzi wa zamani wote huna hamu nao tena na utagundua kwamba walikutia hasara sana
@yustayusuph9101
Жыл бұрын
Kabisa zuchu hana mambo mengi pia ana heshima kubwa mno kwa diamond ndio maana simba ameamua kumpenda mno huyo mtoto, ukisikia mondi amepata wa kufanana nae ndio zuchu sasa yan wanafanana kwa kila kitu, kazi, dini umri uchapakazi diamond mswahili zuchu mswahili yan wanaendana mno kiukweli 💪
@iddjuma4126
Жыл бұрын
Kbs❤❤
@nishaabdula5015
Жыл бұрын
Kbs yn na kujikuta alichelewa wp
@awatifalghanim1106
Жыл бұрын
Mtoto yoyote akilelewa malezi bora kwao na hishma kuwapa wazee wake na watu wanjee ni kitu kikubwa. Mashaallah ❤Zuchu mpole wa tabia , hishma , adabu hana majivuno siyo mtoto wa kupenda UFAHARI. ZUCHU anapenda watu na watu wanampenda . MUNGU awahifadhi...
@noelmsimbe3293
Жыл бұрын
Haha dah
Maisha aya
Tafta kwanza ela ndoutajua ela ninn pambana mzee
Ndio leo nimeamini Mungu kama kapanga kitu kinawwzekana, yaani diamond kapita na wengi wazuri wanawake leo hii anaishia kwa Zuchu, mpaka wengine walienda uturuki ili diamond ababaike lakini wala hatingishiki
@lydiawaswa7884
Жыл бұрын
So delusional!!!Just be happy for them..Stop bringing others in the union🙄
@maggieandrew995
Жыл бұрын
Ww tulia uone yajayo yanafurahisha
Nyie mapenzi huota popote inamaan Hawa ndio washapendana mond na zuchu🤣🤣
@joyceakinyi8973
Жыл бұрын
Jamani kupendwa Raha♥️
Mbosso anamfungulia mlango mama yake mzazi??? Jielewe kaka unachoongea
@nawarbreezy5943
Жыл бұрын
😂
La heri
Sioni hata mapenzi hapa😏
Wallah nimefurah mahaba ya diamond na zuchuuu
@aishaarusha894
Жыл бұрын
Unafraia uzinzi
Sallam Heskey amekutoroka sasa utabaki na Bodyguard bro nama chawa
@beatricekassim6190
Жыл бұрын
jiulize tangu wameondoka wote kapungukiwa nn
@bonaventuremabula4113
Жыл бұрын
Kwani yy ndio anampa kula?
@chorotiles9566
Жыл бұрын
Acha usenge ww na salam wote mafalatu
Mbona hakuna shangwe Zanzibar mulikuwa mujilaze Barbara kwakuja huyo nasibu
@yasakilube9946
Жыл бұрын
Hii ndio Zanzibar bb watu wako busy na maisha hawana shobo
Kinachonishangaza mama dangote kapapaswa akigeuka kashikwa na daimond akatulia mh nyie watu nyie
Sikuukipata utaniambia kwasaiv tafta kwanza mzee
Zuhura Hana mambo mengi haki
Ila Diamond Kwakweli Anamahabasana
Mtu chake bhana
Hum! Huyu jamaa 👀 Zuchu ndo mjinga wala ni ma sharti mnazipewa huko Freemason ili mupate sifa
@camejowayne5455
Жыл бұрын
Tutafute pesa tuwache kuita watoto wa wenyewe freemasons
@aminasalmin6058
Жыл бұрын
Na wewe tafuta za kwako kama rahisi isiwe shida kwako ama kwa freemasons
@aminasalmin6058
Жыл бұрын
Ama tunguli.
Zuchu mwenyewe anakaa hayuko comfortable anamuogopa mama dangote
@bonzamabalarane2445
Жыл бұрын
Zuchu is a She.
@yustayusuph9101
Жыл бұрын
Zuchu akiwa na mama diamond anakuwa hana amani kabisa wee mama wakwe sio watu wa kuwa nao karibu sana hawazoeleki hao🤣🤣🤣
@hannahwamoro8241
Жыл бұрын
Hapo umeogea ukweri kabisa
@mamalandynangy52
Жыл бұрын
🤣🤣🤣Jamani punguzeni matani
@awatifalghanim1106
Жыл бұрын
🤔🤔🤣🤣🤣 Ahhhh jamani sidhani labda Mama Dangote ❤ anaogopa kumkera mtoto wa watu.
Yani zuchu kajiharibu alikua Nzuri na mwili nzuri
Ukijidanganya kua shule ni bora kuliko pesa utakua hauna akili. Mwisho wa shule nikutafuta pesa. Bill Gate alikatisha masomo baada ya kuvumbua computer, Mark Zuckerberg baada ya kuvumbua Facebook alikatisha masomo.....na kitu ambacho nilikigundua ni kwamba, ukiona fulsa ukiwa uko kwenye masomo, usiendelee na masomo. Rudi kusoma baada ya kutimia kitu hicho. Masomo ni sumu ya mafanikio ukiwa umebahatika kuona fulsa ukiwa unasoma. Kishimba kasema kua kama umegundua kua umepata ulichokua unataka kusomea, kwanini uendelee wakati unapata ulichokua unataka?
@filamupictures9349
Жыл бұрын
Kila mtu na upepo wake ndugu yangu. Yani huohuo mziki anaoufanya Diamond kuna mtu mwengine ukimuona anavyosota kutoboa na hatoboi miaka nenda rudi utamuonea huruma, utamwambia bora angesoma. Elimu haimtupi mtu mkono ndugu yangu, hata ikitokea haujawa milionea bado somehow unaajirika unaweza kujishikiza mahala
@messiahfeatures3994
Жыл бұрын
Cjaelewa vzr
@yustayusuph9101
Жыл бұрын
Huo ndio ukweli ulio uchi 👌
@ferouzkeis6994
Жыл бұрын
Wewe lijamaa Una Akili Sana.
@jumarajab5316
Жыл бұрын
nikukumbushe zuchu degree yake amechukuwa INDIA new deli
Zucchini doesn’t behave like a Muslim girl, is that true? Behaves like a street girl ready for action in Brussels or New York
@185hasna
Жыл бұрын
Roho mbaya haina faida.. tafuta helaaa acaa uchawi
@shishgal2274
Жыл бұрын
Stupid..wewe umekamilika.. idiot.. leave her alone
@pendomgandi1016
Жыл бұрын
She is an artist/musician and thats the career she chose swiry.... How did you expect her to wear or behave? Afterall, we are absolutely no ones to judge..... Kama ww huna dhambi, kua wa kwanza kumhukumu
@blackangel3141
Жыл бұрын
@@pendomgandi1016 thank you ❤
@blessmimi
Жыл бұрын
You are very stupid. Stupidly have gotten hold of you people with no brain to think . She’s an ARTIST