MAFURIKO KATUBUKA: MADUKA, NYUMBA ZAFURIKA MAJI | WAKAZI WAKIMBIA NYUMBA ZAO MKOANI KIGOMA

Пікірлер: 14

  • @Amanizuberi
    @Amanizuberi3 ай бұрын

    UBA,kigoma.Kazi iyendelee....

  • @Riamaproduct
    @Riamaproduct3 ай бұрын

    Kiukweli Kwa uwelewa wangu katumbuka haikuwa hivyo lilikuwa bwawa dogo sana Mika ya nyuma na watu walikuwa wakitumia kuchota maji kama alivyosema mama duuu!!!! Poleni sana watu wa katubuka

  • @Bosskabila97
    @Bosskabila974 ай бұрын

    Na mvua bado zinaendelea jaman 😢

  • @StephanoPius
    @StephanoPius4 ай бұрын

    Pongezi

  • @user-ti8xr5sd7h
    @user-ti8xr5sd7h3 ай бұрын

    Good bosko

  • @Bosskabila97

    @Bosskabila97

    3 ай бұрын

    Thank you

  • @Kanyukatv
    @Kanyukatv4 ай бұрын

    Hizo nivia za Elnino

  • @AbuJunaidi
    @AbuJunaidi4 ай бұрын

    Tunaomba kuona programm za asali. Tunasikia kigoma wana asali nzuri

  • @Bosskabila97

    @Bosskabila97

    4 ай бұрын

    Usijaliii boss endelea kufatilia tutafanya hivo

  • @antonykomba6489

    @antonykomba6489

    3 ай бұрын

    Tumekusikia na tutakufikia

  • @antonykomba6489
    @antonykomba64893 ай бұрын

    Go go go go bro, the future is bright

  • @Bosskabila97

    @Bosskabila97

    3 ай бұрын

    Thank you my tutor

  • @didamanyanya595
    @didamanyanya5953 ай бұрын

    Endelea kutupa mambo yote ya kigoma

  • @Bosskabila97

    @Bosskabila97

    3 ай бұрын

    Usijaliii ndugu karibuu sana

Келесі