MADRASATUL MADINA AMKENI WAKIFURAHIKIA USHINDI WA UST SAID UMAR DHIDI YA BACHU 24/9/2023
furaha hii imepatikana baada ya mjadala wa ustadh said umar na muhammad bachu tarehe 24/9/2023 kujadili kitabu cha Sayyid jaafar barzanji. Bachu adai kua barzanji ni mrongo na ust said umar akimthibitishia kua ni mweli Hatimae akabainika mshindi kua ni said umar baada ya bachu kukimbia mjadala kwa kushindwa kujibu swali aliloulizwa..Ushindi huu ni wa twariqa kwa jumla na kushidwa kwa bachu ni kushindwa kwa mawahabi
Пікірлер: 130
Allah awaongoze katika sunna
Safi sana alhamdulilahi
MashaLLAH MashaLLAH ❤️
Mashallah
Subuhana llah😢 Allah awaongoze ktk haqi
Mashaallah tabarakkallah
Mashall ah ❤❤❤❤
Yaa Salaam
Allah awatoe kwenye ujinga..... Nyinyi pamoja na vizazi vyenu amiin... Ngoma si ibada ndugu zangu
Mashallaah
Mashall ❤❤❤❤❤❤❤❤
Mashallah sisi na mtume mtume na sisi
Nasikia utamu jamani ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Mashaallah
ومن عذلنا وحاربنا..... ❤
Mashaallah natamani namm ningekuwepo
Mnasherekea munkar subhanallah.
Mashallah my madras najutia kutoroka subhanallah 😭😭
Aliyeshinda na aliyeshindwa wote ni waislamu,kwa ujumla wote wameshindwa sbb maadui wa uislamu wanagonga cheers
MashaAllah..
Maa sha Allah
Allah awaongowe Ameen
Subhannallah 🎉mambruk
Masha allah 12:49 12:49
Mashaallah ❤
Damu zamwagika Palestine..Waislamu wapokonywa Ardhi zao kwa nguvu na lazima..watoto wanakufa na wamama..huku watu washerekea..SubhnAllaah Allah atuongoze kwa njia ya Haki
mashaallah ❤❤❤❤
إنا لله و إنا إليه راجعون ... نسأل الله العافية
Mashaallah.
Swali alilouliza Kwa wenye elimu Ya dini Yoyote Ktk dunia hii huwez kuuliza swali kama Lile ati wapi wamesema maulamaa wa Hadithi kama hadithi dhaifu kutumika mtu huwa muongo kuitumia nilicheka sana ilitakiwa ahoji ni upi mtaxamo wa maulamaa juu utumizi wa hadithi dhaifu bas ilitosha
Wakristo wanapga Ngoma na waislamu nao wanapga Ngoma ALLAAH ATUNUSURU
@Kingkongchuma
10 ай бұрын
Elimu muhimu ndugu tafuta hadithi MTUME SAW ametaja watu wapige dufu
Mashaallah ustadh swaleh kunywa soda kwa no 4 nalipa
Innaa lillaahi waina ilyhi raajiuun,huu ni msiba kweli! Yaanai mnathubutu kuaminisha watu UONGO HALI YA KUWA KTK MUNAAQASHA HAMJATOA HATA HOJA MOJA SI MOMBASA HATA TANGA KUITETEA BARZANJ??
Sijaona,ushindi kwa kweli Mungeweka nia ya ya kumswalia rasul saw mukapata ajar kubwa than istihzai
Nitakapokutana na ustadh said siku yyt mwaka wowote nina zawadi zake InshaAllah
@ibnhassan9980
10 ай бұрын
Mpe
Mashia kwa ngoma hamuwezekani
Kama unaumia kuja hapa rusha simu yako 😂😂😂😂 simu pia ni bid'aa😂😂🤌
@fayeezabdallah2217
9 ай бұрын
mimi maya nimekuelw MashaAllah
Jamaa amethibitisha wapi urongo ulipo ktk kitabu cha Barazanji???
Mtume wetu kayaona zamani upotovu huu
@hilalkhalfan1452
10 ай бұрын
Kwanini Bachu kakimbia mjadala? Au alirogwa🤔
tusomeni sio mtu aseme hii uwongo hii biidhaa tusitumie vitu vyote vilivyokuwa hajatumia mtume Muhammad s w
Rariqa♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️
Naameshindwa kujib pale amejitetea uwongo hadith munkar naenga mbele ndokabisa badilikeni vijan namuje katika haki
Ina sikitisha sana kuona vijana wakipotezewa wakati kwa kuchezeshwa ngoma na kujazwa aqida mpotofu badala ya kuilimishwa aqida na sunnah za bwana mtume zilizo swahihi ndo waje wawe viongozi wema ktk jamii w
@khalifamwenye3632
10 ай бұрын
Kumbavu sana ww unaongea nn sasa bidaa ni ww
@salmaabdalla6488
10 ай бұрын
@@khalifamwenye3632 السكوت للسفيه جواب،والأعراض عنه عقاب،ومباعدته ثواب
@KhuluudHamouda2380
10 ай бұрын
Umesahau kama Mahabeshi walicheza, na Mtume Sallallahu 'Alayhi Wasallam akawatizama na kufurahia isitoshe akamwita na mke wake Nana Aysha aje kutizama. Jamani hamutuwezi hata kidogo.
@ravneetakbarkhan9534
10 ай бұрын
@@KhuluudHamouda2380je uko na dalil kwa unayo yasema ??? Ama wasema tu?
honger sheikh said
Wallahi mtaenda ulizwa mababa wazima mwakatika barabarani mwatia aibu uislaam msiuchafue mtume angekuwepo mngetiwa bakora wote
@user-xs7rm6ko4r
10 ай бұрын
😂😂kweli kabisaa
Hhh swali sheikh said hajajib hata mim siwez kusema kumuita muongo barazanj hata skumoja yalikuwemo kwnye kitabu yale ni uwongo ameahindwa kuelewa swali kwa alieon munaqash bachu yupo sahih
Hapo sasa ndio mumeshinda nini mbona hakuongea kitu alikua anatetemeka tu wakati wa mtume yalikuepo maulidi
@khalidkardesh6284
10 ай бұрын
Wakati wartime je kulikua na aqsaam tauhidi??
wenzenu madrasa maarif wana hifadh quraan.
@fikafikan8484
10 ай бұрын
Ndio uwaletee ki hifdhi uwone kama mutaweza kila mashindano twarika ndio wanashinda
Aswaliwe mtume
Ngoma bado vinanda tu
Kumbe ndizo hoja zenu zile naona hapakutolewa dalili hata moja ya kuitetea barzanji sasa ushindi huu umetokea wapi? Maana kama munawaaminisha watu uwongo wenye akili tumeshaelewa teyari
Aina za ushoga ni kuchezacheza
Suala la kujiuliza Mtume katk enzi zake ni kwa namna gani aliifurahia siku yake ya kuzaliwa ?
@jumafaki2891
10 ай бұрын
Hadith ya bibi Aysha isemayo mtume alikua akimuekea membari hasani bin thabiti akawa anasimama kwenye hiyo membar akimsifu mtume
@hamzasuleiman9605
9 ай бұрын
@@jumafaki2891 Sisi hatuzungumzii kumsifu Mtume , usichanganye file , Mtume alikuwa akisherehekea birthday hili ndio swali ?
Kama tari ni ngoma njoo tukusomeshe
Icho kigodoro kama vigodoro vyengine
@AzizaKisari
10 ай бұрын
Leo nimeshiba furaha baada ya bachu kushinda kadhalililka kwakujitakia
Masufi mwazisheherekea
Ushindi gani uo ni ubishoo kwenye dini ya Allah...tupatieni dalili wanyama walitamka wapi...
Mtume hakufanya wala maswahaba huwaje Sisi tukampenda zaidi yamaswahaba
@zafarmohamed9413
10 ай бұрын
Hata mtume anatupenda umma wake wote ww nani wahabi mmoja
@MayaCandy-vy5fe
10 ай бұрын
Ndio mana mtume kasema anaconda sana huu umma mnke tutamkubali bila ya kumuona wafkiria ni mzaha shekh😂😂
@MayaCandy-vy5fe
10 ай бұрын
Anaupenda*
Huu upotovu mkubwa anaobandinzwa mtume wetu.
@nurdinmfamau3493
10 ай бұрын
Alipigiwa Juu Yakichwa Chake Tena Bila Kuwakaþaza Ije Nyie Kila Jaambo Nibidaa.
Tutapiga dufu na mtume tuta msifu milele
Hadithi dhaif na munkar zasherehekewa.
@sheeqassim6274
10 ай бұрын
wacha fujo ungekuja wewe pale kma sheikh wenu mpaka kakojoa hana jibu
@hilalkhalfan1452
10 ай бұрын
Kwanini Bachu kakimbia mjadala? 🤔. Bachu kaikimbia hadithi dhaifu na munkar imemshinda kuijibu. Jee ingekuwa na ya sahihi imeekwa si ndio angekufa
@asmanphuloe6363
10 ай бұрын
Ustadh said alikuwa ataka kumfundisha bachu nahau kama mwanafunzi wake darasani Uzuri bachu kajua atakutwa juha wa nahau ndio akadinda kujibu
@hilalkhalfan1452
10 ай бұрын
@@asmanphuloe6363 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 MWAKA HUU SUFI MNANIUAAA MLIVYOMFANYA MWENZENU KWA KWELI SIO JAMBO ZURI. MUI
UKWELI WA MUNKAR
@khalidbinsunkar5409
10 ай бұрын
Mawahabi muwache feelings nyingi haziwasaidia ... Bachu arudi madrasah akasome.
@m7.mmd_
10 ай бұрын
Mumeona sasa balaa hiyo 😅.. Aliwaacha hanging hamujui munkar inatumika au haitumiki. Au ni uwongo au kweli kwa maana hakuwajibia swali. Na siku zote masheikh zenu watakuwacheni njia panda. RUDINI MUKASOMESHWE
Allah awaongoze mnaimba kwaya wakati wa mtume kulikua hakuna upuuzi huu kahifadhisheni watoto qur an wacheni bid aa zenu
@fikafikan8484
10 ай бұрын
Ww lete mtoto wako ule unae musmini kwa quran ama wakiwahabi uje uwashindanishe ndio utajua twarika kila fani wamesoma
@MayaCandy-vy5fe
10 ай бұрын
Tupa hio simu toka KZread mnke mtume hakua na simu
@abuuaisha6110
10 ай бұрын
@@fikafikan8484kweli fani zote muko nazo za kuwaomba maiti na kila bid'a mumebobea hatuwawezi kwa kucheza kwaya na kuimba
@mgazamhina840
10 ай бұрын
@@MayaCandy-vy5feusionyeshe nywele zako
@ashaabubakar5036
10 ай бұрын
Leta wako nilete wangu washindane quran ndio utajua
Maswahaba, taabiina, tabi-tabiin,. Hizo ndo karne bora kama alivyosema Mtume (saw). Kama ni kheri kufanya hivyo wangetangulia wao kufanya. ''Shetan alifkiria namna ya kukupotezeni ndani ya Madras zenu akakuleteen madufu tahamaki mmeacha kuhifadh quran sasa mnapiga ngoma''
Haaaaaaa sasa twarika mumeshinda nn saidi katetea nini kwenye barazanji
@fikafikan8484
10 ай бұрын
Bachu hakujibu na kakimbia ndio wameshinda ukweli ndio hivo kukumbia ni kushindwa
@MayaCandy-vy5fe
10 ай бұрын
Mfate atakujibu at least tuone knowledge yako pale imefikia Ma Shaa Allah
Hawa ni wasanii hakuna dini yenye haimo kwa quran wala sunna hawa hufata bidaa zao zakufuraisha hawaa zao
SAIDI SIBANDUKI AMETUONYESHA SARAKASI TUPU LEO HABANDUKI NA HABANDULIWI ANAPOBANDIKWA... HANA HUJA WALA DALILI HATA MOJA KUTETEA MAULID TAIRA MZUKA MKUBWA PIMBI WAHED
@fikafikan8484
10 ай бұрын
Mm nikokuita mnafik nitakua nimekosea Said yuko sawa bachu alikua atoe ushahidi wa wanazuoni ama aseme hajui ndio waende swali lengine said alisema twende ki ilimu ukijibu swali twaenda lengine sasa bachu alikua ajibu ama aseme hajui waende swali lengine ama juzi wakipanga kuhusu mnakasha ulisikiza vizuri
@abiabi9353
10 ай бұрын
Aanduke aendewapi wakati bachu kashindwa kujibu swali.mlitaka arukeruke mada.mambo hayendi hivyo
@MuhammadMuhammad-gr2qv
10 ай бұрын
@@abiabi9353 YANI NYINYI MAKHURAFI NI MIZUKA YA CHOONI ... USTADH SIBANDUKI AMESHINDWA KUTETEA STORY ZA PAKA NA PANYA NA MBUZI NA SAMAKI KUONGEA SIKU YA KUZALIWA MTUME NA BADO MWASEMA YUKO SAWA WAKATI HANA AJUWALO DEBE TUPU TU KUZUSHA UONGO NA UNAFIKI KWENYE DINI
@MuhammadMuhammad-gr2qv
10 ай бұрын
@@abiabi9353 USTADHI SIBANDUKI ALIJIBIWA HAKUNA KWENYE VITABU VYA WANAZUONI ... NA KAMA UKO NAZO ZILETE HAPA UZIONYESHE AMESHINDWA PIA SABABU NI DEBE TUPU MZUKA WA CHOONI HANA AJUWACHO ISPOKUWA KUBANDULIWA TY
@abiabi9353
10 ай бұрын
@@MuhammadMuhammad-gr2qv kama bachu wenu alitaka aonyeshwe kwanza angesema sijui. Lkn alijifanya anajua akakwamishwa. Sasa kama mawahabi mnadai jambo hilo hakuns mlitumia kanuni gani ya kumtia uwongoni barzanji? Ndiyo maana nikasema mawahabi ni vichwa mchunga mahodari tu wakutoa hukumu lkn hawajui hiyo hukumu inategemea kanuni gani
Shekh said atytumie. Namba ya simu tumtumie. Mipesa yake.. Kajua. Kumkojolesha. Mtu
@swalehali9760
9 ай бұрын
Wewe ndio kiboko wa mawahabi
Akida mbovu kabisa hiiiiiii haya tutafika
@alwysalim2442
10 ай бұрын
Kwani Mtume aligawanya tawheed mara tatu kama manaswaraaa? Tutaftie sehem Mtume alisema Mungu amegawanyika ni watatu...Neno lenyewe tawheed maana hamjui, mwanzo tengezeni tawheed yenu ndio muje Kwa maulid
@MohammadJumah-qk2xc
10 ай бұрын
@@alwysalim2442 nifahamishe ndugu ubovu wa akida yangu ili nisalimik kesho kama allaah sw atakupa badala na mim nilichukiina ndo maana nikaandika akida mbovu
@alwysalim2442
10 ай бұрын
@@MohammadJumah-qk2xc kama mnavyotuuliza dalili ya Mtume kusoma maulid na ww katafte dalili ya Mtume kusema Mungu ni WA tatu kama mnavyosema nyinyi
@alwysalim2442
10 ай бұрын
@@MohammadJumah-qk2xc Sina mda wa kubishana na watu ambao wamejifunza ubishi na sio elimu
@MohammadJumah-qk2xc
10 ай бұрын
@@alwysalim2442 heee subhaana llaah mim nimesema mungu wa tatu ndugu mche allaah hili umenizushia kama hujui bola unyamaze ndomaana uluponiambia akida yangu mbovu nikakwambia unifundish lkn unasema huna mda wa kufundisha cha kushangaza unasema akida yangu mungu wa tatu sas hii dhulma unanifanyia kwa huyo mim naisubiri siku ya hukmu kwa dhulma uluyonifanyia
Bachu jana pia ameshindwa kujua tafauti ya kalimah ya ص na س 😂😂😂
@jumamahmoud9271
10 ай бұрын
haya ni makosa ya kawaida mara ngap tunaona maimamu wa makka wanakosea ktk usomaji wa qur an wakiswalisha.tambua kua kosa kubwa ni kufanya mambo ya uzushi na kumsirikisha allah na haya yote yamo ktk kitabu cha barzanji kwaio kaa kitako iulize nafsi yako vipi utajitenga na mambo maovu haya.
Pumbavuuuuuuuuuuuu. Wajingaaaaaaaaa washenziiiiiiiiiii. Sasa ndio nini? Huko Mombasa kuna sehemu Dini imekwisha hamuendi kuwalingania mmekalia ujinga tu.
wafuasi wa mpinga kristo,yani kweli kweli Biblia nikitabu pekee cha Mungu,yote yalio tabiriwa na Biblia lazma ya timie,2wathesalonike 2:9-12 andiko ili limekwisha timia kbs!
@abdalladullo1755
10 ай бұрын
mashallah mtume nasisi sisi na mtume
@hilalkhalfan1452
10 ай бұрын
@@abdalladullo1755 🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝
Hadidh zaifuu zasherehekewa na munkar
Mumetoa wapi hizo stail za kucheza maskiin nani kawafundisha nyie wapumbavu kabisa
Upumbavu mtupu
Watu wazima ovyoo kabisa mumekosa akili nendeni mkasome dini vizuri wacheni kupiga ngoma la taarabu kuna ibada nyingi ya kufanya sheitan asiwachezee
@fikafikan8484
10 ай бұрын
Hizi zefe mwehu sio tarabu hujui tarabu ww ama wajifanya chizi
Hawa mashia wa kisufi kama kweli Hawa ni wajinga . Nyinyi ni wababaisha tu na figisu zisizo za kidini mupo kama wakristo
@omarjuma5532
10 ай бұрын
Wataka mjadala 😂😂
@MayaCandy-vy5fe
10 ай бұрын
Kukufurisha watu tyri dhambi, kutukana dhambi huogopi bado au hayo ndo mafunzo katika madrasa za kiwahabi bi maana nyote matusi mumeeka mbele 😂😂 swalu ala nabiii wewe 😂😂
Mashallah
Mashallah