MADRASATUL MADINA AMKENI WAKIFURAHIKIA USHINDI WA UST SAID UMAR DHIDI YA BACHU 24/9/2023

furaha hii imepatikana baada ya mjadala wa ustadh said umar na muhammad bachu tarehe 24/9/2023 kujadili kitabu cha Sayyid jaafar barzanji. Bachu adai kua barzanji ni mrongo na ust said umar akimthibitishia kua ni mweli Hatimae akabainika mshindi kua ni said umar baada ya bachu kukimbia mjadala kwa kushindwa kujibu swali aliloulizwa..Ushindi huu ni wa twariqa kwa jumla na kushidwa kwa bachu ni kushindwa kwa mawahabi

Пікірлер: 130

  • @abuuaisha6110
    @abuuaisha611010 ай бұрын

    Allah awaongoze katika sunna

  • @AllyNgale
    @AllyNgale10 ай бұрын

    Safi sana alhamdulilahi

  • @eshasalim1471
    @eshasalim147110 ай бұрын

    MashaLLAH MashaLLAH ❤️

  • @user-jb6xq6lj4k
    @user-jb6xq6lj4k10 ай бұрын

    Mashallah

  • @nurasalimu2403
    @nurasalimu24039 ай бұрын

    Subuhana llah😢 Allah awaongoze ktk haqi

  • @salmaali7080
    @salmaali708010 ай бұрын

    Mashaallah tabarakkallah

  • @Mariam99-ld4gw
    @Mariam99-ld4gw10 ай бұрын

    Mashall ah ❤❤❤❤

  • @hajiomari8198
    @hajiomari819810 ай бұрын

    Yaa Salaam

  • @linmixtv
    @linmixtv9 ай бұрын

    Allah awatoe kwenye ujinga..... Nyinyi pamoja na vizazi vyenu amiin... Ngoma si ibada ndugu zangu

  • @abasiissa1234
    @abasiissa123410 ай бұрын

    Mashallaah

  • @Mariam99-ld4gw
    @Mariam99-ld4gw10 ай бұрын

    Mashall ❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @hamadmohammed9928
    @hamadmohammed99289 ай бұрын

    Mashallah sisi na mtume mtume na sisi

  • @Mariam99-ld4gw
    @Mariam99-ld4gw10 ай бұрын

    Nasikia utamu jamani ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @sheeqassim6274
    @sheeqassim627410 ай бұрын

    Mashaallah

  • @Muhammad_Al-Aufy
    @Muhammad_Al-Aufy6 ай бұрын

    ومن عذلنا وحاربنا..... ❤

  • @Kimanga_Official
    @Kimanga_Official10 ай бұрын

    Mashaallah natamani namm ningekuwepo

  • @iddimohamed254
    @iddimohamed25410 ай бұрын

    Mnasherekea munkar subhanallah.

  • @aghababa243
    @aghababa2439 ай бұрын

    Mashallah my madras najutia kutoroka subhanallah 😭😭

  • @Worldunite
    @Worldunite10 ай бұрын

    Aliyeshinda na aliyeshindwa wote ni waislamu,kwa ujumla wote wameshindwa sbb maadui wa uislamu wanagonga cheers

  • @ibrahimnoordin3420
    @ibrahimnoordin342010 ай бұрын

    MashaAllah..

  • @nassirmasoud2545
    @nassirmasoud254510 ай бұрын

    Maa sha Allah

  • @khamiskhatib4711
    @khamiskhatib471110 ай бұрын

    Allah awaongowe Ameen

  • @khatijaB
    @khatijaB10 ай бұрын

    Subhannallah 🎉mambruk

  • @mussahasham1527
    @mussahasham152710 ай бұрын

    Masha allah 12:49 12:49

  • @makkahmadina52
    @makkahmadina5210 ай бұрын

    Mashaallah ❤

  • @muhammadsalimali9335
    @muhammadsalimali93359 ай бұрын

    Damu zamwagika Palestine..Waislamu wapokonywa Ardhi zao kwa nguvu na lazima..watoto wanakufa na wamama..huku watu washerekea..SubhnAllaah Allah atuongoze kwa njia ya Haki

  • @AbusoMohamed
    @AbusoMohamed10 ай бұрын

    mashaallah ❤❤❤❤

  • @user-we3uf2ye3c
    @user-we3uf2ye3c10 ай бұрын

    إنا لله و إنا إليه راجعون ... نسأل الله العافية

  • @hassanabdalla9688
    @hassanabdalla968810 ай бұрын

    Mashaallah.

  • @zanzibarspice8686
    @zanzibarspice868610 ай бұрын

    Swali alilouliza Kwa wenye elimu Ya dini Yoyote Ktk dunia hii huwez kuuliza swali kama Lile ati wapi wamesema maulamaa wa Hadithi kama hadithi dhaifu kutumika mtu huwa muongo kuitumia nilicheka sana ilitakiwa ahoji ni upi mtaxamo wa maulamaa juu utumizi wa hadithi dhaifu bas ilitosha

  • @ismailyusuf3755
    @ismailyusuf375510 ай бұрын

    Wakristo wanapga Ngoma na waislamu nao wanapga Ngoma ALLAAH ATUNUSURU

  • @Kingkongchuma

    @Kingkongchuma

    10 ай бұрын

    Elimu muhimu ndugu tafuta hadithi MTUME SAW ametaja watu wapige dufu

  • @ishirininasita2626
    @ishirininasita262610 ай бұрын

    Mashaallah ustadh swaleh kunywa soda kwa no 4 nalipa

  • @twahirburhan3726
    @twahirburhan372610 ай бұрын

    Innaa lillaahi waina ilyhi raajiuun,huu ni msiba kweli! Yaanai mnathubutu kuaminisha watu UONGO HALI YA KUWA KTK MUNAAQASHA HAMJATOA HATA HOJA MOJA SI MOMBASA HATA TANGA KUITETEA BARZANJ??

  • @maryamsaleh2507
    @maryamsaleh250710 ай бұрын

    Sijaona,ushindi kwa kweli Mungeweka nia ya ya kumswalia rasul saw mukapata ajar kubwa than istihzai

  • @ibrahimjumbe8121
    @ibrahimjumbe812110 ай бұрын

    Nitakapokutana na ustadh said siku yyt mwaka wowote nina zawadi zake InshaAllah

  • @ibnhassan9980

    @ibnhassan9980

    10 ай бұрын

    Mpe

  • @jordan.3109
    @jordan.310910 ай бұрын

    Mashia kwa ngoma hamuwezekani

  • @MayaCandy-vy5fe
    @MayaCandy-vy5fe10 ай бұрын

    Kama unaumia kuja hapa rusha simu yako 😂😂😂😂 simu pia ni bid'aa😂😂🤌

  • @fayeezabdallah2217

    @fayeezabdallah2217

    9 ай бұрын

    mimi maya nimekuelw MashaAllah

  • @ibnhassan9980
    @ibnhassan998010 ай бұрын

    Jamaa amethibitisha wapi urongo ulipo ktk kitabu cha Barazanji???

  • @DiudaKozi-qu8sl
    @DiudaKozi-qu8sl10 ай бұрын

    Mtume wetu kayaona zamani upotovu huu

  • @hilalkhalfan1452

    @hilalkhalfan1452

    10 ай бұрын

    Kwanini Bachu kakimbia mjadala? Au alirogwa🤔

  • @allymsellem5353
    @allymsellem535310 ай бұрын

    tusomeni sio mtu aseme hii uwongo hii biidhaa tusitumie vitu vyote vilivyokuwa hajatumia mtume Muhammad s w

  • @ahmedmartin
    @ahmedmartin10 ай бұрын

    Rariqa♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️

  • @SalehKhatib-ey6ct
    @SalehKhatib-ey6ct2 ай бұрын

    Naameshindwa kujib pale amejitetea uwongo hadith munkar naenga mbele ndokabisa badilikeni vijan namuje katika haki

  • @salmaabdalla6488
    @salmaabdalla648810 ай бұрын

    Ina sikitisha sana kuona vijana wakipotezewa wakati kwa kuchezeshwa ngoma na kujazwa aqida mpotofu badala ya kuilimishwa aqida na sunnah za bwana mtume zilizo swahihi ndo waje wawe viongozi wema ktk jamii w

  • @khalifamwenye3632

    @khalifamwenye3632

    10 ай бұрын

    Kumbavu sana ww unaongea nn sasa bidaa ni ww

  • @salmaabdalla6488

    @salmaabdalla6488

    10 ай бұрын

    @@khalifamwenye3632 السكوت للسفيه جواب،والأعراض عنه عقاب،ومباعدته ثواب

  • @KhuluudHamouda2380

    @KhuluudHamouda2380

    10 ай бұрын

    Umesahau kama Mahabeshi walicheza, na Mtume Sallallahu 'Alayhi Wasallam akawatizama na kufurahia isitoshe akamwita na mke wake Nana Aysha aje kutizama. Jamani hamutuwezi hata kidogo.

  • @ravneetakbarkhan9534

    @ravneetakbarkhan9534

    10 ай бұрын

    ​@@KhuluudHamouda2380je uko na dalil kwa unayo yasema ??? Ama wasema tu?

  • @user-fz9bt1lb4u
    @user-fz9bt1lb4u10 ай бұрын

    honger sheikh said

  • @fay9687
    @fay968710 ай бұрын

    Wallahi mtaenda ulizwa mababa wazima mwakatika barabarani mwatia aibu uislaam msiuchafue mtume angekuwepo mngetiwa bakora wote

  • @user-xs7rm6ko4r

    @user-xs7rm6ko4r

    10 ай бұрын

    😂😂kweli kabisaa

  • @SalehKhatib-ey6ct
    @SalehKhatib-ey6ct2 ай бұрын

    Hhh swali sheikh said hajajib hata mim siwez kusema kumuita muongo barazanj hata skumoja yalikuwemo kwnye kitabu yale ni uwongo ameahindwa kuelewa swali kwa alieon munaqash bachu yupo sahih

  • @fay9687
    @fay968710 ай бұрын

    Hapo sasa ndio mumeshinda nini mbona hakuongea kitu alikua anatetemeka tu wakati wa mtume yalikuepo maulidi

  • @khalidkardesh6284

    @khalidkardesh6284

    10 ай бұрын

    Wakati wartime je kulikua na aqsaam tauhidi??

  • @aboudsaidaboud7667
    @aboudsaidaboud766710 ай бұрын

    wenzenu madrasa maarif wana hifadh quraan.

  • @fikafikan8484

    @fikafikan8484

    10 ай бұрын

    Ndio uwaletee ki hifdhi uwone kama mutaweza kila mashindano twarika ndio wanashinda

  • @ayubutwalbu6594
    @ayubutwalbu65949 ай бұрын

    Aswaliwe mtume

  • @ahmedmshaury7525
    @ahmedmshaury752510 ай бұрын

    Ngoma bado vinanda tu

  • @YusraynatAlly-mo7sq
    @YusraynatAlly-mo7sq9 ай бұрын

    Kumbe ndizo hoja zenu zile naona hapakutolewa dalili hata moja ya kuitetea barzanji sasa ushindi huu umetokea wapi? Maana kama munawaaminisha watu uwongo wenye akili tumeshaelewa teyari

  • @osmaniidrisa6290
    @osmaniidrisa629010 ай бұрын

    Aina za ushoga ni kuchezacheza

  • @hamzasuleiman9605
    @hamzasuleiman960510 ай бұрын

    Suala la kujiuliza Mtume katk enzi zake ni kwa namna gani aliifurahia siku yake ya kuzaliwa ?

  • @jumafaki2891

    @jumafaki2891

    10 ай бұрын

    Hadith ya bibi Aysha isemayo mtume alikua akimuekea membari hasani bin thabiti akawa anasimama kwenye hiyo membar akimsifu mtume

  • @hamzasuleiman9605

    @hamzasuleiman9605

    9 ай бұрын

    @@jumafaki2891 Sisi hatuzungumzii kumsifu Mtume , usichanganye file , Mtume alikuwa akisherehekea birthday hili ndio swali ?

  • @user-hr2pp4cn1m
    @user-hr2pp4cn1m10 ай бұрын

    Kama tari ni ngoma njoo tukusomeshe

  • @user-ib6gb2xm2r
    @user-ib6gb2xm2r10 ай бұрын

    Icho kigodoro kama vigodoro vyengine

  • @AzizaKisari

    @AzizaKisari

    10 ай бұрын

    Leo nimeshiba furaha baada ya bachu kushinda kadhalililka kwakujitakia

  • @saidswaleh5601
    @saidswaleh560110 ай бұрын

    Masufi mwazisheherekea

  • @iddimohamed254
    @iddimohamed25410 ай бұрын

    Ushindi gani uo ni ubishoo kwenye dini ya Allah...tupatieni dalili wanyama walitamka wapi...

  • @ashrafbunu2371
    @ashrafbunu237110 ай бұрын

    Mtume hakufanya wala maswahaba huwaje Sisi tukampenda zaidi yamaswahaba

  • @zafarmohamed9413

    @zafarmohamed9413

    10 ай бұрын

    Hata mtume anatupenda umma wake wote ww nani wahabi mmoja

  • @MayaCandy-vy5fe

    @MayaCandy-vy5fe

    10 ай бұрын

    Ndio mana mtume kasema anaconda sana huu umma mnke tutamkubali bila ya kumuona wafkiria ni mzaha shekh😂😂

  • @MayaCandy-vy5fe

    @MayaCandy-vy5fe

    10 ай бұрын

    Anaupenda*

  • @DiudaKozi-qu8sl
    @DiudaKozi-qu8sl10 ай бұрын

    Huu upotovu mkubwa anaobandinzwa mtume wetu.

  • @nurdinmfamau3493

    @nurdinmfamau3493

    10 ай бұрын

    Alipigiwa Juu Yakichwa Chake Tena Bila Kuwakaþaza Ije Nyie Kila Jaambo Nibidaa.

  • @LUQMAN_HADID1314
    @LUQMAN_HADID13149 ай бұрын

    Tutapiga dufu na mtume tuta msifu milele

  • @thefoodshaikh811
    @thefoodshaikh81110 ай бұрын

    Hadithi dhaif na munkar zasherehekewa.

  • @sheeqassim6274

    @sheeqassim6274

    10 ай бұрын

    wacha fujo ungekuja wewe pale kma sheikh wenu mpaka kakojoa hana jibu

  • @hilalkhalfan1452

    @hilalkhalfan1452

    10 ай бұрын

    Kwanini Bachu kakimbia mjadala? 🤔. Bachu kaikimbia hadithi dhaifu na munkar imemshinda kuijibu. Jee ingekuwa na ya sahihi imeekwa si ndio angekufa

  • @asmanphuloe6363

    @asmanphuloe6363

    10 ай бұрын

    Ustadh said alikuwa ataka kumfundisha bachu nahau kama mwanafunzi wake darasani Uzuri bachu kajua atakutwa juha wa nahau ndio akadinda kujibu

  • @hilalkhalfan1452

    @hilalkhalfan1452

    10 ай бұрын

    @@asmanphuloe6363 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 MWAKA HUU SUFI MNANIUAAA MLIVYOMFANYA MWENZENU KWA KWELI SIO JAMBO ZURI. MUI

  • @alf8177
    @alf817710 ай бұрын

    UKWELI WA MUNKAR

  • @khalidbinsunkar5409

    @khalidbinsunkar5409

    10 ай бұрын

    Mawahabi muwache feelings nyingi haziwasaidia ... Bachu arudi madrasah akasome.

  • @m7.mmd_

    @m7.mmd_

    10 ай бұрын

    Mumeona sasa balaa hiyo 😅.. Aliwaacha hanging hamujui munkar inatumika au haitumiki. Au ni uwongo au kweli kwa maana hakuwajibia swali. Na siku zote masheikh zenu watakuwacheni njia panda. RUDINI MUKASOMESHWE

  • @fay9687
    @fay968710 ай бұрын

    Allah awaongoze mnaimba kwaya wakati wa mtume kulikua hakuna upuuzi huu kahifadhisheni watoto qur an wacheni bid aa zenu

  • @fikafikan8484

    @fikafikan8484

    10 ай бұрын

    Ww lete mtoto wako ule unae musmini kwa quran ama wakiwahabi uje uwashindanishe ndio utajua twarika kila fani wamesoma

  • @MayaCandy-vy5fe

    @MayaCandy-vy5fe

    10 ай бұрын

    Tupa hio simu toka KZread mnke mtume hakua na simu

  • @abuuaisha6110

    @abuuaisha6110

    10 ай бұрын

    ​@@fikafikan8484kweli fani zote muko nazo za kuwaomba maiti na kila bid'a mumebobea hatuwawezi kwa kucheza kwaya na kuimba

  • @mgazamhina840

    @mgazamhina840

    10 ай бұрын

    @@MayaCandy-vy5feusionyeshe nywele zako

  • @ashaabubakar5036

    @ashaabubakar5036

    10 ай бұрын

    Leta wako nilete wangu washindane quran ndio utajua

  • @HamadJuma-es8pw
    @HamadJuma-es8pw9 ай бұрын

    Maswahaba, taabiina, tabi-tabiin,. Hizo ndo karne bora kama alivyosema Mtume (saw). Kama ni kheri kufanya hivyo wangetangulia wao kufanya. ''Shetan alifkiria namna ya kukupotezeni ndani ya Madras zenu akakuleteen madufu tahamaki mmeacha kuhifadh quran sasa mnapiga ngoma''

  • @sudisalehe192
    @sudisalehe19210 ай бұрын

    Haaaaaaa sasa twarika mumeshinda nn saidi katetea nini kwenye barazanji

  • @fikafikan8484

    @fikafikan8484

    10 ай бұрын

    Bachu hakujibu na kakimbia ndio wameshinda ukweli ndio hivo kukumbia ni kushindwa

  • @MayaCandy-vy5fe

    @MayaCandy-vy5fe

    10 ай бұрын

    Mfate atakujibu at least tuone knowledge yako pale imefikia Ma Shaa Allah

  • @makhanguwakhutu2408
    @makhanguwakhutu240810 ай бұрын

    Hawa ni wasanii hakuna dini yenye haimo kwa quran wala sunna hawa hufata bidaa zao zakufuraisha hawaa zao

  • @MuhammadMuhammad-gr2qv
    @MuhammadMuhammad-gr2qv10 ай бұрын

    SAIDI SIBANDUKI AMETUONYESHA SARAKASI TUPU LEO HABANDUKI NA HABANDULIWI ANAPOBANDIKWA... HANA HUJA WALA DALILI HATA MOJA KUTETEA MAULID TAIRA MZUKA MKUBWA PIMBI WAHED

  • @fikafikan8484

    @fikafikan8484

    10 ай бұрын

    Mm nikokuita mnafik nitakua nimekosea Said yuko sawa bachu alikua atoe ushahidi wa wanazuoni ama aseme hajui ndio waende swali lengine said alisema twende ki ilimu ukijibu swali twaenda lengine sasa bachu alikua ajibu ama aseme hajui waende swali lengine ama juzi wakipanga kuhusu mnakasha ulisikiza vizuri

  • @abiabi9353

    @abiabi9353

    10 ай бұрын

    Aanduke aendewapi wakati bachu kashindwa kujibu swali.mlitaka arukeruke mada.mambo hayendi hivyo

  • @MuhammadMuhammad-gr2qv

    @MuhammadMuhammad-gr2qv

    10 ай бұрын

    @@abiabi9353 YANI NYINYI MAKHURAFI NI MIZUKA YA CHOONI ... USTADH SIBANDUKI AMESHINDWA KUTETEA STORY ZA PAKA NA PANYA NA MBUZI NA SAMAKI KUONGEA SIKU YA KUZALIWA MTUME NA BADO MWASEMA YUKO SAWA WAKATI HANA AJUWALO DEBE TUPU TU KUZUSHA UONGO NA UNAFIKI KWENYE DINI

  • @MuhammadMuhammad-gr2qv

    @MuhammadMuhammad-gr2qv

    10 ай бұрын

    @@abiabi9353 USTADHI SIBANDUKI ALIJIBIWA HAKUNA KWENYE VITABU VYA WANAZUONI ... NA KAMA UKO NAZO ZILETE HAPA UZIONYESHE AMESHINDWA PIA SABABU NI DEBE TUPU MZUKA WA CHOONI HANA AJUWACHO ISPOKUWA KUBANDULIWA TY

  • @abiabi9353

    @abiabi9353

    10 ай бұрын

    @@MuhammadMuhammad-gr2qv kama bachu wenu alitaka aonyeshwe kwanza angesema sijui. Lkn alijifanya anajua akakwamishwa. Sasa kama mawahabi mnadai jambo hilo hakuns mlitumia kanuni gani ya kumtia uwongoni barzanji? Ndiyo maana nikasema mawahabi ni vichwa mchunga mahodari tu wakutoa hukumu lkn hawajui hiyo hukumu inategemea kanuni gani

  • @Mariam99-ld4gw
    @Mariam99-ld4gw10 ай бұрын

    Shekh said atytumie. Namba ya simu tumtumie. Mipesa yake.. Kajua. Kumkojolesha. Mtu

  • @swalehali9760

    @swalehali9760

    9 ай бұрын

    Wewe ndio kiboko wa mawahabi

  • @MohammadJumah-qk2xc
    @MohammadJumah-qk2xc10 ай бұрын

    Akida mbovu kabisa hiiiiiii haya tutafika

  • @alwysalim2442

    @alwysalim2442

    10 ай бұрын

    Kwani Mtume aligawanya tawheed mara tatu kama manaswaraaa? Tutaftie sehem Mtume alisema Mungu amegawanyika ni watatu...Neno lenyewe tawheed maana hamjui, mwanzo tengezeni tawheed yenu ndio muje Kwa maulid

  • @MohammadJumah-qk2xc

    @MohammadJumah-qk2xc

    10 ай бұрын

    @@alwysalim2442 nifahamishe ndugu ubovu wa akida yangu ili nisalimik kesho kama allaah sw atakupa badala na mim nilichukiina ndo maana nikaandika akida mbovu

  • @alwysalim2442

    @alwysalim2442

    10 ай бұрын

    @@MohammadJumah-qk2xc kama mnavyotuuliza dalili ya Mtume kusoma maulid na ww katafte dalili ya Mtume kusema Mungu ni WA tatu kama mnavyosema nyinyi

  • @alwysalim2442

    @alwysalim2442

    10 ай бұрын

    @@MohammadJumah-qk2xc Sina mda wa kubishana na watu ambao wamejifunza ubishi na sio elimu

  • @MohammadJumah-qk2xc

    @MohammadJumah-qk2xc

    10 ай бұрын

    @@alwysalim2442 heee subhaana llaah mim nimesema mungu wa tatu ndugu mche allaah hili umenizushia kama hujui bola unyamaze ndomaana uluponiambia akida yangu mbovu nikakwambia unifundish lkn unasema huna mda wa kufundisha cha kushangaza unasema akida yangu mungu wa tatu sas hii dhulma unanifanyia kwa huyo mim naisubiri siku ya hukmu kwa dhulma uluyonifanyia

  • @khalidbinsunkar5409
    @khalidbinsunkar540910 ай бұрын

    Bachu jana pia ameshindwa kujua tafauti ya kalimah ya ص na س 😂😂😂

  • @jumamahmoud9271

    @jumamahmoud9271

    10 ай бұрын

    haya ni makosa ya kawaida mara ngap tunaona maimamu wa makka wanakosea ktk usomaji wa qur an wakiswalisha.tambua kua kosa kubwa ni kufanya mambo ya uzushi na kumsirikisha allah na haya yote yamo ktk kitabu cha barzanji kwaio kaa kitako iulize nafsi yako vipi utajitenga na mambo maovu haya.

  • @ramadhanswalehedahpolesana7102
    @ramadhanswalehedahpolesana710210 ай бұрын

    Pumbavuuuuuuuuuuuu. Wajingaaaaaaaaa washenziiiiiiiiiii. Sasa ndio nini? Huko Mombasa kuna sehemu Dini imekwisha hamuendi kuwalingania mmekalia ujinga tu.

  • @JeanMuzaliwa-bs6qh
    @JeanMuzaliwa-bs6qh10 ай бұрын

    wafuasi wa mpinga kristo,yani kweli kweli Biblia nikitabu pekee cha Mungu,yote yalio tabiriwa na Biblia lazma ya timie,2wathesalonike 2:9-12 andiko ili limekwisha timia kbs!

  • @abdalladullo1755

    @abdalladullo1755

    10 ай бұрын

    mashallah mtume nasisi sisi na mtume

  • @hilalkhalfan1452

    @hilalkhalfan1452

    10 ай бұрын

    @@abdalladullo1755 🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝

  • @ashrafbunu2371
    @ashrafbunu237110 ай бұрын

    Hadidh zaifuu zasherehekewa na munkar

  • @fay9687
    @fay968710 ай бұрын

    Mumetoa wapi hizo stail za kucheza maskiin nani kawafundisha nyie wapumbavu kabisa

  • @izmamuizmamu6521
    @izmamuizmamu652110 ай бұрын

    Upumbavu mtupu

  • @fay9687
    @fay968710 ай бұрын

    Watu wazima ovyoo kabisa mumekosa akili nendeni mkasome dini vizuri wacheni kupiga ngoma la taarabu kuna ibada nyingi ya kufanya sheitan asiwachezee

  • @fikafikan8484

    @fikafikan8484

    10 ай бұрын

    Hizi zefe mwehu sio tarabu hujui tarabu ww ama wajifanya chizi

  • @DiudaKozi-qu8sl
    @DiudaKozi-qu8sl10 ай бұрын

    Hawa mashia wa kisufi kama kweli Hawa ni wajinga . Nyinyi ni wababaisha tu na figisu zisizo za kidini mupo kama wakristo

  • @omarjuma5532

    @omarjuma5532

    10 ай бұрын

    Wataka mjadala 😂😂

  • @MayaCandy-vy5fe

    @MayaCandy-vy5fe

    10 ай бұрын

    Kukufurisha watu tyri dhambi, kutukana dhambi huogopi bado au hayo ndo mafunzo katika madrasa za kiwahabi bi maana nyote matusi mumeeka mbele 😂😂 swalu ala nabiii wewe 😂😂

  • @jaizaniimamu3880
    @jaizaniimamu388010 ай бұрын

    Mashallah

  • @abiabi9353
    @abiabi935310 ай бұрын

    Mashallah

Келесі