MADHABAHU ZINAVYO WEZA KUFANYA KAZI (WAHAYA) MIN SUNBELLA KYANDO

#Realityministry #SunbellaKyando #Reality Ministry 2029
Ibada mubashara kutoka Huduma ya Reality of Christ iliyopo Sinza Mori Dar es salaam inayoongozwa na Mtumishi Sunbella Kyando - +255 657 173322
#Sunbella_Kyando #ROCTV

Пікірлер: 9

  • @chrispinkundaeli1752
    @chrispinkundaeli17523 жыл бұрын

    Ubarikiwe sana Mtumishi wa Bwana ila wakati ukihubiri kuna kiumbe huwa anasumbua sana na kinanda wakati unahubiri analeta usumbufu sana,je yy anapataga muda saa ngapi kusikiliza neno?

  • @magesomi6142
    @magesomi61425 жыл бұрын

    Ni kweli mtumishi,wapo mpaka watumishi wa Mungu hawajuhi haya.Mungu atusaidie sana.

  • @jescaedwardkurumela4333
    @jescaedwardkurumela43332 жыл бұрын

    Thanks

  • @ambelamwaitebele7540
    @ambelamwaitebele75405 жыл бұрын

    Asante kwa mafundisho mazuri Barikiwa Maana kwetu sisi mtumishi ni zawadi kutoka kwa mungu

  • @eliarichard9218
    @eliarichard92185 жыл бұрын

    barikiwa dady.

  • @devothabishagazi2390
    @devothabishagazi23902 жыл бұрын

    Yaani ni mengi kweli yanayofanyika sasa huko kwenye "nyaruju"👐👐👐Mungu tusaidie,mi nimekulia familia inayopractise na tulikuwa tunaingia huko,jamanii jamanii ni mateso 😭😭😭

  • @devothabishagazi2390
    @devothabishagazi23902 жыл бұрын

    Ndio unachenji hela ndogo ndogo unaweka kule ndani na huwezi kuondoka bila kuweka hela tukiwa watoto tulikuwa tunaiba hizo hela kwenye hizo madhabahu na zinanenewa

  • @sesiliabahath4806

    @sesiliabahath4806

    7 ай бұрын

    Nimechekaa et tulikuwaa tunaibaa hizooo

  • @ambelamwaitebele7540
    @ambelamwaitebele75405 жыл бұрын

    Ila wekupa mfupi mwafupi san wamekupa dakika chache