MADHABAHU ZINAVYO WEZA KUFANYA KAZI (WAHAYA) MIN SUNBELLA KYANDO
#Realityministry #SunbellaKyando #Reality Ministry 2029
Ibada mubashara kutoka Huduma ya Reality of Christ iliyopo Sinza Mori Dar es salaam inayoongozwa na Mtumishi Sunbella Kyando - +255 657 173322
#Sunbella_Kyando #ROCTV
Пікірлер: 9
Ubarikiwe sana Mtumishi wa Bwana ila wakati ukihubiri kuna kiumbe huwa anasumbua sana na kinanda wakati unahubiri analeta usumbufu sana,je yy anapataga muda saa ngapi kusikiliza neno?
Ni kweli mtumishi,wapo mpaka watumishi wa Mungu hawajuhi haya.Mungu atusaidie sana.
Thanks
Asante kwa mafundisho mazuri Barikiwa Maana kwetu sisi mtumishi ni zawadi kutoka kwa mungu
barikiwa dady.
Yaani ni mengi kweli yanayofanyika sasa huko kwenye "nyaruju"👐👐👐Mungu tusaidie,mi nimekulia familia inayopractise na tulikuwa tunaingia huko,jamanii jamanii ni mateso 😭😭😭
Ndio unachenji hela ndogo ndogo unaweka kule ndani na huwezi kuondoka bila kuweka hela tukiwa watoto tulikuwa tunaiba hizo hela kwenye hizo madhabahu na zinanenewa
@sesiliabahath4806
7 ай бұрын
Nimechekaa et tulikuwaa tunaibaa hizooo
Ila wekupa mfupi mwafupi san wamekupa dakika chache