Madaktari wanafunzi wapiga kambi jumba la afya

Madaktari wanafunzi wameendelea kupiga kambi nje ya jumba la afya kwa siku ya pili wakitaka watumwe sehemu zao za kazi. Madaktari hawa sasa wakimshutumu waziri Susan Nakhumicha kwa kutokuwa na nia njema ya kuafikia mkataba uliositisha mgomo

Пікірлер