MABANTU x Dj ALLY B - Tunakuchora (Official Visualizer)
Музыка
Official audio for Tunakuchora by Mabantu x Dj ALLY B
SUBSCRIBE for more official content from Mabantu: / mabantuofficial
Follow Mabantu
Instagram: / mabantugram
TikTok: / muuhmabantu
Listen to Mabantu
Boomplay: www.boomplay.com/artists/9525612
Audiomack: audiomack.com/mabantuofficial
Apple Music : / mabantu
Spotify : open.spotify.com/artist/41d5w...
KZread: / mabantuofficial
The official KZread channel of Mabantu. Subscribe for the latest music videos, performances, and more.
For Bookings & More
Email: managerdozee@icloud.com
Call: +255 657 688 841
#Mabantu
Пікірлер: 177
Asanteni sana mashabiki zetu Tunawapenda sana ❤️❤️endelea kusambaza upendo #Tunakuchora👀
@dickisonngakala1437
9 ай бұрын
hilo piano lingewaka sana kama angekuwemo mariooo awekeeee vokooooooooo za shiììiiiiiiì bad!
@dickisonngakala1437
9 ай бұрын
ngoma kali sana wazeeee fireeeeee
@mohammedkidody5618
9 ай бұрын
Nakubali🔥
@AntujaIhano-oy3sm
9 ай бұрын
💝
@xhackofficial25
7 ай бұрын
❤❤❤
Wow vijana hatari sana? MABANTU nawapenda sana tu? Kiukweli ❤❤❤❤
Love from burundi 🇧🇮❤️❤️❤️
Oa hili goma mabantu mmetisha Sana aisee
Boy in blue is a vibe🎉🎉❤❤❤
Mabantu on 🔥🔥🔥🔥, pita apa acha like.
Mabantu mmezingua mmeimbanini xaxa
@indiaboytz5731
9 ай бұрын
Kiukweli nyita yao imeanza kufifia
Duuuh Ngoma Kali Lakini Ina Maneno Makali Mda Wote 😢... Hapa Mshauri Wenu Kazingua
@Mr_Ishi_Kisasa
9 ай бұрын
ndo kama kitengo chao.......tutawasikiliza hvyo hvyo tukichorana
@calvincypriano2956
9 ай бұрын
Sure thing like wanapush agenda za upinde tu
Nyimbo kama hizi ndy basata wanatakiwa kudeal nazo wanakuja kumzingua Mr nay
@user-no7po1ss9u
9 ай бұрын
Sasa basata wenyewe wanapenda kama hizi kwasababu wanasikiliza wakiwa kazini
Oyaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaah🙏🙏🙏📻📻 #Siwanapenda kubeng wakuu hatari hipo hapaaaaa ❤❤❤from 254 love❤❤❤❤❤❤
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🚀🚀🚀🚀🚀
🙌🙌🙌
Respect Mabantu +Gachi products
Kuna namna flani wamepita na chugga dance ila Sasa vibe lankutosha ila wangeopiga vizuri ingekua bombaaaa sanaa anyway tulewe tuwachore tu😂
Daah safi ngoma ina vibe ila wazee hamuwezi kuimba bila kutumia lugha hiyo? Ngoma zenu nyingi kali ila mnaharibu kwenye lugha tu mnazotumia nyingine ni kama mnapush ajenda za upinde sio cool sana kuna funns mtawapoteza kwa namna mnavyo onyesha upinde ni kitu cha kawaida tu. Zingatieni maudhui
I remember this gang last 2years with their song no Love no stress Aya masela hii tunatembea nayo mazee
@mrsinia3064
9 ай бұрын
Uhakika
Oya hii sio poa. Utaliponza kalio... 😎
001 ! Dopeness here 💥💥💥
Imeeenda🔥🔥🔥🔥🔥🚪🚪🚪🚪
Tunamchoraaa tuuu😌
Athumaniiii🥰🥰🥰
oya mazeeeeee huyu apaaaaaaaaa miruziiii ..naomba likes zangu wa kwanza lro
@officialherro
9 ай бұрын
Wew likes zinakusaidia nini 😂😂😂
@KENNY-DONE
9 ай бұрын
Cool
@double7788
9 ай бұрын
@@officialherro 🤣🤣🤣🤣
@swahi841
9 ай бұрын
uyu miruzi hazimtoshi😂😂😂 anajua sana
#BASATA KWANI HAWA NI WASANII WENU,,,, NGOMA ZAO HAZIBANIWI,,,
Club banger hit verified...🔥🔥🔥
Mabantu mumetisha kinoma 🙏🙏
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Wakwanza apa wapi like zangu WOW
Mabantu on another level🔥🔥🔥
Seen by Pitchen Directør 🤟
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Nyimbo wanazozipenda BASATA. Haya sasa Rais ameachia mamlaka
Hamn nyimbo apa mmezingua wajomba
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
dope kali sana 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Like zangu Leo nipo big 4 ❤❤❤
Hii imeenda 😂🔥🔥🔥
HiI Imeenda ✊✊✊🇹🇿🇹🇿
Athumaniiiiiiiiii
Kumaanisha niiiniii 💯💥💥💥
Mr Boom was here 🚀
Kuma ni sha nini💥🥶
❤❤❤❤❤
Ni nomaaaa
Ni ushaulii tu kabla wasanii awajaachia nyimbo zao wazptishe basata kwanza zihakikiwe kwanza ni mtazamo
@starlexmerlex
3 ай бұрын
Hawa ni wasanii wa BASATA😂😂
Mauaji yaendeleee
❤❤❤bien
Kutoka cape Verde, wakenya tunawachora2
Moto
Asumaniiiiiiiiiiiiiiiii
blessings mia mia
Upuuuuuupuuu
unyama ni mwingi💯🔥🔥💯💯
mmechoka nyie ndo nymbo gn hii
Mabantu0fficial🔥
Yaah nzuri hiyo
Utakalia chapati wewe mamaeee❤❤
Kusini kile noooma kaka
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Wehh nishidaa kumenog hk🎉
Huyo mwenye blue 😅😅😅 asante sana
Nawakubali wanagu ❤❤
New vibe
Oyaaaaa eeeh #tunakuchora 😂😂
Ally bi mwehu sana😅😅😅😂
Mko saw wsee
Utapakiwa mafuta uku
🎉🎉🎉 nomaa
💯💯💯💯💯💥💥💥💥
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Phii phi phiipphi phii phi phi phiibhiii phiiiiiiiiiiiiiiiii😅 @Dj allyB😅
Tunakuchora na sisi
Hiii imeeendaaaaa👯👯
Kali sana
Hat@r
Sudanese once from here 🇸🇩
Nakubar
asee uyu afande ni noum😂
🦅
shda ya hawa vijana mats mengi kuwen na nymbo zenye maadl kdogo basata nao washakfa zaman nmbo kama hi ni ya ku crash t dadekiii
Tunakuchora 2nakuchora tu...utaliponza....
Hii doba ni genje
Nawependa sana naitwa rayz boy mwanza mwanza clasc music
Kama nawaona ndani marioo na diamond wakitia verse
Kenyans confirmed that this is a hit song🇰🇪🇰🇪🇰🇪🤗😎
Sana team mabantu
Fantastic🥰🥰🥰🥰🥰
@MaryamHajji-ol8hs
7 ай бұрын
Nzur san
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Nawapenda nyie wakaka
This is most wanted song ❤❤
Amazing❤
🔥
Unyama mwingi 🔥💯
Kidude noma san
Nyimbo zingine bhana
Wanangu
🔥🔥🔥🔥🔥
🔥🔥
❤
kama maneno yangekua sio makali hii ingea namba moja. acheni kutumia maneno ya matusi ili msiki upendwe na lika zote
Kudadeki mabantu huwa hamubahatishi