MAARIFA ADAI KUWA, YOUNG LUNYA BADO ANAHITAJI KUKUA | SIO RAPA MKALI

Ойын-сауық

𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 39

  • @Stevekapugi
    @Stevekapugi10 күн бұрын

    🎉🎉🎉🎉🎉namkubali sana maarifa🎉🎉🎉🎉

  • @fauboy7503
    @fauboy750310 күн бұрын

    Icho kidemu ni ki hater cha maarifa..😂

  • @salimabrahman3525

    @salimabrahman3525

    10 күн бұрын

    Kumbe na wewe umeona

  • @user-cg3cm4qv4q

    @user-cg3cm4qv4q

    6 күн бұрын

    Truth

  • @macochal4423
    @macochal44239 күн бұрын

    hahahahaha ila maarifa eti ndo utaftaji mambo yatakuwa sawa ..........respect sana mamen the big thinker umeongea bonge facts yan and all ov dem are de truth..

  • @snaidertv1857
    @snaidertv185710 күн бұрын

    Wote ulio wataja walikuwa najua kufreestye walikuwa wanajua had kuandika mistari

  • @NurdiniMasudi-sp8mz
    @NurdiniMasudi-sp8mz10 күн бұрын

    tufikie hatua tuseme ukweli Aisee maarifa umetisha ..good Explanation

  • @Vichuda_Tz
    @Vichuda_Tz14 сағат бұрын

    Huyo anapga trap then hyo Beat Ni Ya HipHop So Msilaumu sana

  • @jay-bblueband7140
    @jay-bblueband714010 күн бұрын

    Wakitoka malehem wot waliokufa wakal anafwat lunya

  • @Lins_I
    @Lins_IКүн бұрын

    Ndio maana hajautuna @YoungLunya bado anakua acha kumuekea class anaenda kwa kasi yake

  • @josephexaud4994
    @josephexaud499410 күн бұрын

    also ukiwa kwa media dada yangu ni better ukaficha upendo wako kwa lunya huwez mwambia artist it's better to be silent umenkwaza sana ety dis haina fact basi kama ni rahisi fanya wewe

  • @emmanuelnkwabi8610
    @emmanuelnkwabi86108 күн бұрын

    Mtu mwelewe amejibu vitu vyenye mashiko

  • @FrankFidelis-bh3qs
    @FrankFidelis-bh3qs8 күн бұрын

    Nilimweleza sana mbuzi na angetumia kuchan katika ile biti wange mwibia kweli mistari mbuzi kashawasoma vijana 😂😂😂😂 ila mbuzi ana uwa kinoma 😅😅

  • @SalminRahis-kd9sv

    @SalminRahis-kd9sv

    4 күн бұрын

    Huna topic

  • @richlord22634
    @richlord226347 күн бұрын

    Kwahyo Maarifa ndio anamulekeza Lunya nn afanye, ananichekesha sana😂😂😂, maarifa n mwana hip hop sio rapa, rapa lazima awe na flow za rap kama Lunya, alafu pia hip hop ya kizazi cha sasa haihitaji tu mwana hip hop inahitaji rapa, mtu yeyote anaeweza kutunga verse za kihip-hop anaweza kuwa mwana hip hop lakini kuwa rapa inahitaji uwe na flow za rap... Sasa Maarifa anaweza kutunga lakini hawezi kurap, kwenye nyimbo zake anaongea tu kama Mrisho Mpoto flow za rap hana, zero kabisa yani... Chengine Mbona Lunya alishaweka wazi ileile siku ambayo alikataa kufreestyle kuwa ameandika nyimbo nyingi tayari, zengine hajazi-release anahofia aka freestyle mistari ya moja ya nyimbo zake ambazo atakuja kuzirelease maana kaandika nyimbo nyingi hadi zengine hakumbuki utunzi wake aliandikaje.

  • @geeasap825
    @geeasap8257 күн бұрын

    Uyo demu anapagawa na style ya young Lunya kwa sababu fan base kubwa ya Lunya ni madem, anasema mistari haina mashiko kwa sababu she's too soft kusikiliza punch lines hana uwezo wa kuprocess lines anazotema maarifa ila kuprocess soft ass lines za lunya anaweza maana ni taarabu style ya lunya

  • @barakayusuph4617

    @barakayusuph4617

    7 күн бұрын

    anapenda nyimbo za young lunya kwa sababu yeye ni dem pia😂

  • @ramanine4768
    @ramanine476810 күн бұрын

    Mkn❤🎉

  • @user-cg3cm4qv4q
    @user-cg3cm4qv4q6 күн бұрын

    Maarifa keeps staight on the point,

  • @AziziAlly-xc6nm
    @AziziAlly-xc6nm7 күн бұрын

    Nakumbuka freestyle ile walioifanya ndani ya treni akiwa lunya yeye maarifa na kontawa aliwakalisha wote wawili lakn leo anajifanya anamuweza😂😂😂

  • @yubyplanetsua1971
    @yubyplanetsua19714 күн бұрын

    Namkubal sana maarifa

  • @martynbarrack210
    @martynbarrack2104 күн бұрын

    Alijiona mbuzi kwakushirikishwa kwa hennessy kumbe

  • @taojuma3277
    @taojuma327710 күн бұрын

    Huyu demu mtangazaj bwabwa tuu

  • @Mcsceo
    @Mcsceo5 күн бұрын

    Acheni kuwa proko uchafu huu mariifa maariifs hivi unamzungumzia 🐐 upate mirage😂

  • @maukilah8680
    @maukilah868010 күн бұрын

    Naomba like Zangu

  • @criminalminds7723

    @criminalminds7723

    10 күн бұрын

    Go get a job

  • @muddytv1513
    @muddytv151310 күн бұрын

    Maarifa is real meaning UMETISHA.....he must grown up lunya

  • @Shokolokobango9385
    @Shokolokobango938510 күн бұрын

    Naona unju hatakiw kupewa airtime wakat ndo freestyler mkali

  • @GivenMwatebela
    @GivenMwatebela10 күн бұрын

    Alichofanya Maarifa ni kuonesha uwezo wa Ku rap kwenye beat iliyomshinda Mbuzi

  • @manenoramadhan1432
    @manenoramadhan14322 күн бұрын

    Hip hop ni mmoja tu aliebak ni chidbenz sasa hizo elim mnazotaka huyo maarifa bado mdg sana

  • @maliganyakanuda
    @maliganyakanuda7 күн бұрын

    Uhakika kabisa

  • @MackameHassani
    @MackameHassani4 күн бұрын

    Huyu nae pimbi tuu simuelewagi mm

  • @donlinechanell4760
    @donlinechanell476010 күн бұрын

    Et mistari ya next project😂😂 umeambiwa free style sio project mashavu yale

  • @taaborafm
    @taaborafm7 күн бұрын

    Maarifa ni muuaji wa kimya kimya he is a genious huyo lunya mwambieni aridi shule tena maybe somo la rap hakulielewa funs needs contents not swaggs only and being proud your self all over the moment mwambieni ukweli mkimpamba basi hatokuwa na muda mrefu kwenye game

  • @hamilmody1940
    @hamilmody19409 күн бұрын

    Uyo mtangazaji dem kum* kwel mtu kashindwa afu unasema so km kashindwa kafanyaje sasa anamtetea au basha ake

  • @Mrlucas-ic6ks
    @Mrlucas-ic6ksКүн бұрын

    watangazie

  • @mohamedmtenjera1990
    @mohamedmtenjera19907 күн бұрын

    Lunya pesa mbele san

  • @emmanuelnkwabi8610
    @emmanuelnkwabi86108 күн бұрын

    Maarifa akili nyingi mpumbavu hana jambo kashindwa kupita na mdundo

  • @careenRenatus
    @careenRenatus10 күн бұрын

    Alitia aibu mbuzi,

Келесі