MAAJABU; ONA MAPACHA WALIO MCHANGANYA MWANAMKE MMOJA, MAPACHA WA KUFANANA
Жүктеу.....
Пікірлер: 49
@FatmaMohammed-ry8yo2 күн бұрын
Mashaallah mtangazaji huo uvaaji wastara kwa mda wote nakupa asilmia zako Mashaallah uwe unavaa hivyo hivyo nakupenda kwaajili ya Allah
@HusseinAlly-rk1ol
Күн бұрын
Dada umependeza Kwa shungi uliova jitaid kuva Ivo Ivo hongera Sana dada
@RemmylinaLauziКүн бұрын
Mapacha tuko wapi tuwape maua mapacha wenzetu,kuzaliwa pacha jamani raha ❤❤❤
@user-um8lt3vx3uКүн бұрын
Mashallah dada unajitambua haujieki uchi kama wanavyo fanya wengine alaf wajiite wao n waislamu hongera kwakweli nahao mapacha allah awahifadh wazid pia kupendana nifuraha kwakweli
@mwajohari43852 күн бұрын
Mashallah,nampenda huyu mtangazaji akiwa hivi anapendeza sana na mapacha Masha Allah
@hawamohammed9740Күн бұрын
Nawapenda Hawa vijana natamani wawe watoto wangu Mimi naomba namba zao wallah nimewapenda
@KuluthumuMsuwakollo3 күн бұрын
😂😂ila wako tofaut kdg feythal ana uso mwembamba kdg faudh uso wake mpana kdg 😂nawapenda mungu awalinde
@user-wm7gu8os2i4 күн бұрын
Alhadllah nimewapenda hawakaka palewalipo sema wana hofu ya muugu Nawaombea kwa Allah azidi kuwa hifadhi mm pia nina pacha wangu ilatuja fan ana kihivo niseme shukran ❤
@evancemoevt859722 сағат бұрын
Hawa Jamaa Ustaa Umegoma!!!
@user-wd2bc7bf5x21 сағат бұрын
saiv wamenenepa sana Masha'Allah
@habibamura5255Күн бұрын
Mashallah ❤❤
@RaimamomedSaidi-wz1yu2 күн бұрын
Mengine wameongopa,inategemea na mapacha wengine wanapendana nawengine hawapendan,na wengine kila mmoja na akil yake,wengine shule wanafaham namwenzake faham yake ni ndogo,ila suala la kuumwa na uchoyo wakiroho wote wanakuwa hivo.ila hao wanatabia moja ya vituko ila wengine wanakuwa sirias sana na wenzao.
@mwamvuamagongo81632 күн бұрын
Wana utofauti kidogo
@fatmaalnabhani360921 сағат бұрын
Mashaallah, mungu mkubwa. 🤗🤗
@FocusNyari15 сағат бұрын
Mapacha wanafanaana vityu vingi ila Kuna asilimia nyingi awa jamaaaa wanatupiga sana kwa uwongo
@michongomedia2 күн бұрын
Ukipiga unaua BRAND😂😂😂😂😂
@Maua-mj7pm2 күн бұрын
Nimecheka 😂😂😂 ety anatuonabkama makatuni
@user-pw2sw1sk1b2 күн бұрын
Mmoja sura duara na mnene mmoja mwembmb na sura nyembmba
@mcnyoka64204 күн бұрын
Mmenimalizia mb zangu, mnajadili upuuzi
@mamanabdoul43974 күн бұрын
Maa shaa Allah.banafanana saana
@OmanOman-dd5qkКүн бұрын
Duu poleni wanangu ninao hao uwaone hivyohivyo mmoja anakua machachali sana kulia kwako ndio matatali
@user-ds5tf9xx1d17 сағат бұрын
Nawapenda pacha
@hawamohammed9740Күн бұрын
Lkn mbona unajua kuwabagua Hawa vijana mmoja kidogo kibonge
@MonaJuma-cp3jg18 сағат бұрын
INNALILAH WAINNAILAH RAJIUN pacha wangu 😭😭😭😭😭😭
@abcdoman87394 күн бұрын
Mmoja mwembamba mmoja mnene
@narutonaruto43032 күн бұрын
mashallh
@ZainaHalifa4 күн бұрын
Maashallah ❤❤❤
@CharamKabul2 күн бұрын
Hapo kwakuwaza waongo kweli
@AnnaJoseph-oq9ul2 күн бұрын
😭😭😭😭😭😭😭why kaka
@aminamohamed995515 сағат бұрын
Tupo jamani mapacha sisi wanawake watupu na tumefanana hatr mmoja akikopa anadaiwa mwingine Hahaha 🎉
@RahimaMct-ik8mr
11 сағат бұрын
😂😂😂
@zuberhamza78522 күн бұрын
Hapo kwenye kuwaza😂😂😂😂😂😂
@abcdoman87394 күн бұрын
Wanafanana ila utamjua yupo mkubwa unawajua vizuri tu
@mwajohari43852 күн бұрын
Asa hivi huyu mmoja kanenepa
@narutonaruto43032 күн бұрын
dad nakupenda sana
@Shafikimanga7Күн бұрын
We mtangazaji, huboi
@FocusNyari15 сағат бұрын
ila dakika 5 zinahesabiwa kaama sekunde
@MTUMZIMADAWA2 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤
@teddysananga4 күн бұрын
Wamenenepa kidogo
@FatmaAbdulhalim2 сағат бұрын
Daah
@Najuma-yk7vn14 сағат бұрын
Mambo
@user-zo8lz3wm7n3 күн бұрын
Wakooo poaa san
@user-db1uy6hv9q2 күн бұрын
😂😂😂😂
@user-tj6pl1lz5b4 күн бұрын
😅
@aziza90934 күн бұрын
❤❤❤😂
@mariamuhamisimwamrezi48324 күн бұрын
😂😂😂
@maryamedi9141Сағат бұрын
Mashallah wamekuwa wakubwa nakumbka kipindi tunasoma chuo walikuwa wapolee jmn😂😂😂😂
Пікірлер: 49
Mashaallah mtangazaji huo uvaaji wastara kwa mda wote nakupa asilmia zako Mashaallah uwe unavaa hivyo hivyo nakupenda kwaajili ya Allah
@HusseinAlly-rk1ol
Күн бұрын
Dada umependeza Kwa shungi uliova jitaid kuva Ivo Ivo hongera Sana dada
Mapacha tuko wapi tuwape maua mapacha wenzetu,kuzaliwa pacha jamani raha ❤❤❤
Mashallah dada unajitambua haujieki uchi kama wanavyo fanya wengine alaf wajiite wao n waislamu hongera kwakweli nahao mapacha allah awahifadh wazid pia kupendana nifuraha kwakweli
Mashallah,nampenda huyu mtangazaji akiwa hivi anapendeza sana na mapacha Masha Allah
Nawapenda Hawa vijana natamani wawe watoto wangu Mimi naomba namba zao wallah nimewapenda
😂😂ila wako tofaut kdg feythal ana uso mwembamba kdg faudh uso wake mpana kdg 😂nawapenda mungu awalinde
Alhadllah nimewapenda hawakaka palewalipo sema wana hofu ya muugu Nawaombea kwa Allah azidi kuwa hifadhi mm pia nina pacha wangu ilatuja fan ana kihivo niseme shukran ❤
Hawa Jamaa Ustaa Umegoma!!!
saiv wamenenepa sana Masha'Allah
Mashallah ❤❤
Mengine wameongopa,inategemea na mapacha wengine wanapendana nawengine hawapendan,na wengine kila mmoja na akil yake,wengine shule wanafaham namwenzake faham yake ni ndogo,ila suala la kuumwa na uchoyo wakiroho wote wanakuwa hivo.ila hao wanatabia moja ya vituko ila wengine wanakuwa sirias sana na wenzao.
Wana utofauti kidogo
Mashaallah, mungu mkubwa. 🤗🤗
Mapacha wanafanaana vityu vingi ila Kuna asilimia nyingi awa jamaaaa wanatupiga sana kwa uwongo
Ukipiga unaua BRAND😂😂😂😂😂
Nimecheka 😂😂😂 ety anatuonabkama makatuni
Mmoja sura duara na mnene mmoja mwembmb na sura nyembmba
Mmenimalizia mb zangu, mnajadili upuuzi
Maa shaa Allah.banafanana saana
Duu poleni wanangu ninao hao uwaone hivyohivyo mmoja anakua machachali sana kulia kwako ndio matatali
Nawapenda pacha
Lkn mbona unajua kuwabagua Hawa vijana mmoja kidogo kibonge
INNALILAH WAINNAILAH RAJIUN pacha wangu 😭😭😭😭😭😭
Mmoja mwembamba mmoja mnene
mashallh
Maashallah ❤❤❤
Hapo kwakuwaza waongo kweli
😭😭😭😭😭😭😭why kaka
Tupo jamani mapacha sisi wanawake watupu na tumefanana hatr mmoja akikopa anadaiwa mwingine Hahaha 🎉
@RahimaMct-ik8mr
11 сағат бұрын
😂😂😂
Hapo kwenye kuwaza😂😂😂😂😂😂
Wanafanana ila utamjua yupo mkubwa unawajua vizuri tu
Asa hivi huyu mmoja kanenepa
dad nakupenda sana
We mtangazaji, huboi
ila dakika 5 zinahesabiwa kaama sekunde
❤❤❤❤❤❤
Wamenenepa kidogo
Daah
Mambo
Wakooo poaa san
😂😂😂😂
😅
❤❤❤😂
😂😂😂
Mashallah wamekuwa wakubwa nakumbka kipindi tunasoma chuo walikuwa wapolee jmn😂😂😂😂
😂😂😂😂
😂😂