Lwamgasa Adventist Choir_kuna tumaini
song: Kuna tumaini
Artists: Lwamgasa Adventist Choir
songwriter;. Steven Mwanzilwa
Audio: #Producer #Japheth #Jr
Video:. Yomy-Studio
song: Kuna tumaini
Artists: Lwamgasa Adventist Choir
songwriter;. Steven Mwanzilwa
Audio: #Producer #Japheth #Jr
Video:. Yomy-Studio
Пікірлер: 45
Ahsanten kwa kaz nzuri Mungu awe pamoja nanyi
Mbona maneno yanapishana na midomo
Mmenibaliki saana, naomba Mungu tupate nanyi wawinguni ndio tuimbe pamoja wimbo mpya
Heri kuwa na tumaini in Christ alone amen for the good song yakutupea tazwira nzuri ya hiyo time
Mungu awabariki Such a beatful song
Beautiful choir
Bibi mpaka kieleweke
Hongereni sana nimeburudishwa nawimbohuu hongereni bibi mlio upamba wimbohuu mungu awape maishamarefi
@lwamgasaadventistchoir379
2 жыл бұрын
Amina Ubarikiwe Nawewe
Kazi nzuri sana Mungu awabariki
Kama mtunzi wa nyimbo za choir.Utunzi huu mzuri sana barikiwa choir, Mungu aendelee kuwatumia
@lwamgasaadventistchoir379
Жыл бұрын
AMINA NAWE BALIKIWA PIA
Nawakubari sana lwamgasa Muende mbali
@lwamgasaadventistchoir379
Жыл бұрын
Ubarikiwe sana
Hongereni sana,Audio iko poa pongezi kwa producer lakini wa video amezingua picha
@suzanamayaya4012
2 жыл бұрын
Mbn wanaume wachache hivy
@edmondniyonsavye2485
2 жыл бұрын
Amen hallelujah hallelujah, nawapongeza sana watumishi wa mungu Kwa wimbo huu unapo tukumbusha Siku ambapo tutakapo mlaki mungu wetu tukivuka mambo ya mwili huu . Hakika nimebalikiwa sana ,may the Lord bless you for this great work you did . Amen and amen hallelujah
Salaam
Jmn hongereni San mungu awabariki wote🥰🥰jmn had raha🙏
@lwamgasaadventistchoir379
2 жыл бұрын
Barikiwa sana na Bwana Angel said
@lwamgasaadventistchoir379
2 жыл бұрын
Amina balikiwa pia
Asanteni sana Na Mungu awabariki
Lwamgasa Adventist chior
@lwamgasaadventistchoir379
2 жыл бұрын
Numbu kwema?
MUNGU awabariki sana
@lwamgasaadventistchoir379
Жыл бұрын
AMINA
Audio iko poa sana ila video bado haijaitendea haki audio hii,, ametumia camera mbili zenye uwezo tofaut kabisa picha zingine hafifu
@lwamgasaadventistchoir379
2 жыл бұрын
Sawa mtumishi tutajitahidi next time
@isaiahthomas3059
2 жыл бұрын
Stive umeua kaka hiii audio swafiii
Wimbo mzuri Sanna
@lwamgasaadventistchoir379
2 жыл бұрын
barikiwa Sana
@lwamgasaadventistchoir379
2 жыл бұрын
Amina BWANA ATUKUZWE
Amina Mungu awatumie zaidi kwa jumbe za matumaini kupitia muziki.
@gregorygabriel1573
2 жыл бұрын
Balikiwa pia
@gregorygabriel1573
2 жыл бұрын
Balikiwa pia
@lwamgasaadventistchoir379
2 жыл бұрын
Barikiwa Sana Muyengi
jamani watu wanataka mawasiliano ya mpiga solo tunaomba plz
Pongeza kwa mpiga solo ananibariki nahitaj masiliano nae tunamhitaj
@lwamgasaadventistchoir379
2 жыл бұрын
Ukimwitiji mpigasolo utampata bila shaka na ubarikiwe sana
@saluluzuga3978
2 жыл бұрын
wewe wapi?
@lwamgasaadventistchoir379
2 жыл бұрын
@@saluluzuga3978 Nipo Lwamgasa geita
@lwamgasaadventistchoir379
2 жыл бұрын
Kumbe upo gasa tuko pamoja