LULU DIVA ALIVYOVAMIWA NYUMBANI KWAKE
Ойын-сауық
#LULUDIVA #BUCHA_YA_LULUDIVA
.
.
.
#luludiva #luludivatz #luludiva_tz1 #luludivalopez #luludivautamu #luludivaatakuwepo #luludivacat #luludivaeterna #luludivafez2 #luludivafans #luludivagemukcute #luludivahandraise #luludivaindodoma #luludivajax #luludivakamariri
Пікірлер: 165
Bora ata wewe nyumba yako mashaallah naiko smart 💕💕💕💕👌👌nawala mishauzi huna sio DIVA kwake pachafu ala mishauz mingi nyumba yenyewe haina vitu vizur alafu mchafu alafu mishauz mingi 😏😏
Kama naww umekuja kuangalia uku baadae ya kuona intavew ya divathebos like yako ila LULU mwezi wa razani ndo mtu inatakiwa usinywe pombe au miezi yote kwa mtt wa kislam arafu mwezi mtukufu unafunga na hayo manywele ya bandia uswali
@ashoasho6542
3 жыл бұрын
Mzungu manywele🤣🤣
@safiaothman1098
2 жыл бұрын
Jisitiri hujajufunika kichwa.
@aminasalumu5311
2 жыл бұрын
Mm ht cjaimalizia iyo hbr
@fridasky1019
2 жыл бұрын
Hao uwaga awafanyi ata ibada wanavyoonekana maskini dooh
Hongera lulu
Mashahallaha hongera kipenzi umejitahidi 💯💯💯💓👌
Kwake pazuri mungu akuzidishie
Nakubaliii san janja wang naona uko na div
Hi ramani ya nyumba ya lulu naipenda
And you are very proud of having that bar in your house. Allah akuongoze
Eti mm.mtoto wa kisillaam mhh mwisilam hata kutaka pombe kwakwake ni raam ssa wisalam wako as mwez mtukufi hutoiyona pepo
Nimependa nyumba ya lulu diva afu kunaileya yule mkewanganga diva nimecheka😂
Mashaa Allah
Hongera ila pombe acha na jisitiri my dear Allah akupe hidaya
Mmmh hongera
Nakupenda sana
Mungu akuongoze. Ulevi umekatazwa kabisa. Allah (SWT) hakusema watu wasilewe mwezi wa Ramadhan. Kasema ulevi haram siku zote
Ulimbukeni huo uisilamu haujasema iucha mungu ramadhani tu mumezidi uislamu wenu wakujipangia astaghfirullah muogopeni Allah mutakwenda ulizwa
Chumban ujawapeleka na vp umepnga au yko hii nyumb.
ramadhn jiwig mtt wakiislamu kichwa wazi
Lulu mcharukooo
Mashallah hongera sana yanyumba mzuri sana
Wewe achaa ujinga kila siku mwezi yote ni mtukufu yaani hila kwako ni ramadhani tu ndio mwezi bora, pumbafu mkumbwa
@ashtonlangston4490
3 жыл бұрын
i realize it is kinda off topic but does anybody know a good place to stream new tv shows online ?
@karsonmaximus3047
3 жыл бұрын
@Ashton Langston i watch on flixzone. You can find it on google :)
@oscardallas9236
3 жыл бұрын
@Karson Maximus yup, I've been watching on flixzone for since march myself :D
@everettsantana6058
3 жыл бұрын
@Karson Maximus yup, I have been using flixzone for since april myself =)
@madduxprinceton1046
3 жыл бұрын
@Karson Maximus thanks, signed up and it seems to work :D I appreciate it !!
yaan uyo mtangazaji kwakwel doh ,anabid apikwe kwel kwel yaan ,kapoa kinoma
Imani ya mwezi mmja sio imani
Msiba was mama luludiva
Ukipaka mekapu unapendeza hatausipo paka pia
Yani Mungu akuongoze.. Mtt wa kislamu pombe ramadhan hunywi lkn ikiisha tabu iko pale pale. Mnachezea sana dini
Showing people fridge awa juwi 😂🤪
Kwa nini haoneshi chumbani kwake juu musione kitanda chake storry ya diamond ya pisha ya kitanda . 😂😂😂
ramadhan hali iyo je ikiwa miez ya kula na mchana..
HUYO MTANGAZAJI MWENYEWE NI MSHAMBA .
@amosjuma4536
2 жыл бұрын
Hata Hana maswali ya kuliza
Ila jihifadhi mpenzi
Nyumba mashallah
huko vzur dada achana na wanaokusema
Nyama zakoo😉😆😆😆
Kumbe we mzuri ivooo
Nyumbani au umepanga semeni ukweli
Unatoa kipindi cha mwez mtukufu kikiisha unarudisha da mageni haya kwangu.
Wangine na mapurukushano ya vyiwanja wewe mapurukushano yako ni mavazi.jinga we
Sasa we mtoto wa kiislam alafu unaringa umeweka bar ndani kwako. Ndio dini inavyo kufundisha?pambavu sana
Msarimie Bite
Mtangazaji mwenyw kishoia
Heeeeeee siku ya ramadhani ndo hutii makucha daaah kweli hatri
Hapa simskii muongeaji ni mikelele tu ndio inaskika
nakubali mrembo
Dah nilidhan mwenye manguo mengi ni mm peke yangu maana Nina nguo hadi kero kila chumba ni nguo nguo tuuuuu
Allah akuongoze hata huna wacwac kusema una sehemu ya bar
Dar Dunia una advice nyumba
Uyo mtangazaji akuna kitu
Mzuri
Jaman kan kuna kit hatukijua hapo anatufundisha kupanga vitu ndani nan hajui Brenda jaman haraf kamsaprice Au walipanga MH wasanii ni shidaaaa
Kwahy mtangazaj nilulu diva au
Na mm natka nyumbaa jmn
Natural wapi
Bloooooody!!!😍😍
Hongera diva ka self kametulia
😍😍😍😍😍
Miezi yote ni mitukufu,mtukuze Mungu siku zote usiwe na siku au mwezi kuwa mtakatifu.
@jimmylezojnr2779
4 жыл бұрын
Diva !!! Nilegeze
@umulkheirshivanhassan5464
4 жыл бұрын
Hata yesu I tenga mwezi mmoja akafunga that's what Muslims are doing wakirsto wanatumia new testament jifunze dini yenu vizuri achani kufata wazungu
@najmaibrahim1536
3 жыл бұрын
True
@abdillahiali4170
2 жыл бұрын
eti nimezitowa pombe zote coz ya mwenzi mtukufu wa ramadhani
Etii hana kucha sababu mwezi mtukufu wa ramadhan kichwa kipo wazi hahahahaha wasanii bana
Alooo ushamba gani uwooo?
HAWA NI WALE WANAWAKE WALIOKUFA MOYO NA DINI NA WAKAIPENDA DUNIAA ..
@halimasulaiman3229
2 жыл бұрын
Tumuombe dua abadilike
@mariamwaabdul773
2 жыл бұрын
Ameen duaa zetu sisi ata hukum
Vicent
Anasema yuko naturel na hizo nywele ni zake ? avuwe ndo utakuwa naturel 😂😂😂😂😂
@nasramohamed3353
2 жыл бұрын
Hapana hizo ni nywele zake za kuzaliwa🤣🤣😜
mlumbukeni mmmmh
Zari kawafundisha vyumba vya nguo na viatu
Unajidanga itoe pole mwezi 1 miezi 11 unaweka pombe apo mezeni, ukiamuankutenda meme tenda mema miezi yote, zambi za miezi 11 aziwezi kufutwa na swawabu za mwezi 1 wa Ramadhani
@indirimbotv59
2 жыл бұрын
imagine
og
Nani ameona hyo blueband
Lulu diva mrembo alafu ata hata
Nifnyajee
Mtoto wakiislam na wigi ilo udhu unaingia?
Saphy
@wittymodo723
3 жыл бұрын
Nyumba nzuri aisee
Kwa hivo una heshimu Mungu mwezi mtukufu tu?? Heshimu MUNGU kila dadika kila saa na kila siku
@ilovuguyssandimu6508
4 жыл бұрын
Aache ujinga eti one month ndio tukufu
Awavamii wanakuwa wanajiandaa
Kumbe ulevi umekatazwa mwezi mtukufu wa ramadhani tu.? Jitambue
Haya
Hidaya ikuzidie zaidi usiwe wa heshimu Ramadhan pekeyake utowe kabisa pombe na manywele
Umeulizw
Hakuna msanii Ata post ATI nyumba yangu niamini waongo WA kwanza wema alipost nyumba ATI ya kwake mbna anaishia kupanga
😏😏😏😏
Maisha mengine bana mngekua na mjengo wa Ginimbi ingekuaje?
Sawa tushaona
Watanzania wajiita tu waislamu,tangu lini dini ya kislamu yaruhusu pombe!? Wala qurani haijasema.tahadharini jameni
@aishaasumany561
3 жыл бұрын
Haikuusu kira mtu nakaburi lake
Mwezimtukufu wa ramadhan na hayo manyoya huko kichwan yanafanya nn
Mmmh show of nyingi sijawah muona v money afanye upuuzi huo
Pazur
We nasri masood. Wanacho laumu kuhusu pombe nasio kumchukia. Kwani we kwenu mmeweka bar ndani. Usitetee ujinga wewe
Mmmh
Lulu machepere yazidi
Lulu😀😀😀
@neemamsuya9606
4 жыл бұрын
Lulu asokujuw atapat tabu xan
Halo sio kushtukiza mbona kama aliku anajua vileee
Pombe hapo ndio kwao
Miezi yote ya Kiislamu ni Mtukufu a hana na Biashara haraam ya POMBE.
vyote huna mtanga mwezangu ila wivingu unalo so na nimwezimtukufu ety
Hapo ni jikoni huna dining ww usizue cc sio washamba wa nyumba mpuuzi ww
@addelinamuhoza5734
4 жыл бұрын
Hadija abdallah hahahah
Uwoniushamba
Mwez mtukufu n lo weave useng tu unajua dini ww ...+254...kafumaniwa wpi
Hana hela ya kupaka rangi nyumba
Sasa kwani lazma ujioneshe?
Mbn saut hakuna
Nyumba nzuri mashallah