LIVE:VIPI UTAJUWA KAMA UMEROGWA
fair use is a use permitted by copyright statute that might otherwise be infirnging non - profit education, or personal use tips the balance in favor of fair use all credit for copyright material used in video goes to the respected owner, #Zinjibartv #Barzayazinjibar #FahariyaZanzibar
Пікірлер: 84
Mashaallah sheikh Allah awalipe kheir nyote fidunia wal-akhera shukran
Pole sana sheikh sharif yussuf kwa kuugua kifua. Allah akupe shifaa.
Masha Allah sheikh you explain in deep details regarding this topic May Allah grant you goodness and long life indeed Watamaman well come back in studio👍 Allah Barik Fik including all your crews members
Alahamdulilah shehe kipidi hiki walai inapelekana kabisa na mabo ya kwangu naoba mnitemee dua na Allah atawalipa
ManshaAllah Allah awabariki nyote jijimbari ma munatusaidia kwamengi.
shukran jazeela kwa mada adhiim
Assalam alaykum masheikh wetu, Masha Allah nimependa jinsi mnavyo tufunza elimu nzuri sana. Jazakallahu kheri, Abdulrahman nko +254
@jacobponga1540
2 жыл бұрын
Assalam alaykum, Salim Mardhiya, Watamaman pamoja Shariff Yusuf, naomba dua yenu nimefanyiwa sihir na husda, tafadhali naomba usaidizi wenu ndugu zangu waislamu na Allah atawalipa kwa kila amali njema..Insha Allah
Subhhanah Allah yaani wachawi na watu wanaowatendea wenzao mabaya yarrab Allah atuepushe nae.
Jazakallah kheir masheikh mungu awalinde
Mashaallah Mimi piya nahitaji musaanda naka Uganda
@lailahyusuf9055
3 жыл бұрын
No Facebook my name lailah Yusuf my what's up nambar 256 770874158
Mashaallah
Asalam aleikum.warahmatullah wabarakatu..sheikh mimi pia nina matatizo hayohayo kama ya huyo dada aloelezea...na usingizi pia shida..wasawasi umenijaa..hata watoto wangu hatuelewani. naomba msaada wako sheikh
@nooor1120
3 жыл бұрын
Allah akufanyie wepesi
Mbona unatutisha uchawi wa uwarabuni nimbaya sana mie
Asalam alykum. Sheikh asante kwa elimu . Pia Sheikh ningependa kuwa mkeo kama uko tayari kuowa in shaalah.
Asante sheikh kwa mafunzo nzuri
Subhana'Allah
Allah atulinde hakika ya ulinzi wake ni madhubuti
My name Zena Mashallah muko vizuri Sana hapo studioni nawaomba mzidi kutupa mafundisho
Kweli jmn Allah hakosei . Matatizo wanaume tunajitakia kwa kuikaribia zinaa .ukikaribia zinaa ndio unapatikana kurogwa kwasababu unakuwa karibu na yule kimada baadae unaharibu family yako bure kwa mwanamke wa kando asiekua na imani na family yako
بارك الله لكم
Subhana Aĺlah
Pole sheikh sharif kwa kikohozi Allah akupe afuen
Shukran 👏
Masha Allah
next time upunguze speed ya AC .inamuumiza sheikh wetu
سبحان الله بسم الله
Assalam alaykum mie nilipo nipo oman miaka 8 hata kauri kuogea na bosi zangu kuogea kwangu mtihani yaani mwili wangu apo vizuri usiku usingizi kupata shida
Asalam alykum ndung zang
Walakumusalam mung anasaidia naona njo mwisho wakupona inshaa Allah
Na mm jaman nahisi nachezewa nipo dubai kila nkipokea mshahara unapotea pasipo kujua zaenda wapi nahitaji namba zenu
@dotosalim5090
3 жыл бұрын
Pole
Waalaikum salam shekh nitakutafuta wasap mie ni mmoja wao wa matatizo hayo
Subhanallaah
Salam alaykum hali yako watamaman mie nilikuwa kwa mara nyingi namuuota marehem mzee wagu tukiwa pamoja tumekaa naongea nae nini maana yake hii ndoto
Mimi ndiyo wakwanza kutendewa hivyo vitu,tatizo nimeshajaribu kujitibisha ila sijapata Bahati ya kuwa mtu Muaminifu,nilisha liwa pesa huko Tanzania nyingi sana.
@dotosalim5090
3 жыл бұрын
Upo wap
@dotosalim5090
3 жыл бұрын
Mm mwenyewe nipo kwenye vita
she dalilininazo
Mashaallah she Mimi nimeota mara3napigana namfanyakaziwangu wanyumani kwangu halafu wakaja ndungu zangu kuniamuwa nikawapiga she manayake nini nahisi wasiwasit sana nakini Mimi nilimpiga mfanyakazi
Yaani naomba namba hayo mriyosema mie yote ninayo
Ila Sheikh nisaidie pls Mambo unazungumza kabisa ndiyo yananikabili .
Mie hata mimi mda sura yangu naiona imekonda pia mara imekuwa mbaya
Mimi ndiyo wakwanza
Hiyo ya shule mwanangu anayo ikifika siku ya kufanya mitihani, mgonjwa sana hawezi hata kutembea, madrasa ivoivo
Pia nikimuota mtu ariyokufa wanakuja kunichoma mishare rakini nasoma sura Fatiha unajikuta mishare hakukufiki hii nae maana yake nini
Inapendeza OK
😢😢🙆🏾♀️
As wr wb
Mm kila siku nakuta chale mwilin
Shehe mm n,namatatizo
Mimi sheikh nimekua mgochwa kwa mda,nimekua mgochwa nimeenda hosy nikiwa mgochwa nanilipo pimwa ugochwa hakuna na nkikohosi tu nimekunywa madawa lakini wapi?
Mambo yakuogopesha kabsa wachawi hamuogop maut naMola wenu
Shukran kwa kutuzindua.
Sheh naoba namba yako naishi burundi bujumbura nina matatizo nimesha jitibisha ila matatizo niyaleyale kila nikitaka kucubiwa namwanaume ananica bila sababu yoyote nisaindiye sheh
Yarrab tunusuru na km tumerogwa bs leo turogowe yarrab tuwe huru na aliyeturoga mtejeshee mara 2000
@zayyatiyussuf9566
4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂Subuhanalla mbavu zangu ivo ulivyo andika
@ramilialiy3725
4 жыл бұрын
@@zayyatiyussuf9566 ndio sisi wengine hatufanyi ushirikinina lkn usikute tumerogwa bila sababu kimbilio letu ni Allah subkhallakh wataallakh
@zayyatiyussuf9566
4 жыл бұрын
@@ramilialiy3725 😂😂😂😂😂kwahiyo tunaweza jiona tupo hai tunatembea kumbe misukule eeeeeeeee?😂😂😂😂😂😂
@ramilialiy3725
4 жыл бұрын
@@zayyatiyussuf9566 kabisa tupo gining na mengine tunafanya sio akili zetu
@zayyatiyussuf9566
4 жыл бұрын
@@ramilialiy3725 😂😂😂😂😂😂zombi
Sheikh hio number yiko WhatsApp?
Jackie nikiwa saudia naambiwa na boss nisiwe naomba Tia.
@dotosalim5090
3 жыл бұрын
Sijakuelewa
Manshaallah sheh Sharif
@harunaiddi6070
3 жыл бұрын
Muda mzuri wa kukupigia ni upi?
Asalam aleykum waa rahma tulahi waa barakatu ndugu zanguni ndugu sheikh yusuf na ndugu tamaam napenda kueleza yangu machache mimi niko AMERIKA miaka 24 na niko na watoto 12 na moja amefariki sasa basi nimefunguwa biashara ya super market ndogo kiasi nimeinunuwa kwa $30000.00 na ikaniletea faida ya elfu $20 nikaendelea nayo lakini kuna siku iliniijia kitu kama wazimu hio duka ilinigharimu elfu $60 na niliyuuza kwa $3000.00 kwa mda wa siku moja nikashukuru mola na bado sijakata tama nilikusanya senti kama elfu $20 nikanunua magari mawili 2 na nikafanya kazi nazo na iliniijia Kitu kama wazimu nikayauza magari hayo mawili kwa bei $5000.00 sasa basi naomba dua yako sheikh yusuf naishi San Diego califonia USA jee naweza kukupigia saa ngapi simu na siku ipi inafa nikupigiye???
Nauliza ilo duka liko malindi kenya ama tanzania
@sleymohamed3825
4 жыл бұрын
malindi zanzibar
@mwanaidishibe9275
4 жыл бұрын
@@sleymohamed3825 sawa..mimi niko kenya,nakuuliza hiyo frigi ya milango 2 mpesa ngapi za kenya,na tv ya 70 inches mpesa ngapi
@shimafuad6868
3 жыл бұрын
@@sleymohamed3825 chukua namba zao ziko hapo utauliza yote na utafahamishwa inshallah
Naomba nitumie namba yako au nibipu kwenye namba hii shehe 0782738878
Shekh mh! mh! mh! nyingi
@salamasaid4720
2 жыл бұрын
Mashallh mungu akupe umri mrefu uweze kutsaidia lakini tunashidwa kwenda pesa mpunguze
Mashaallah
Masha Allah
Mashaallah
Mashaallah
Mashaallah