LIVE:VIPI UTAJUWA KAMA UMEROGWA

fair use is a use permitted by copyright statute that might otherwise be infirnging non - profit education, or personal use tips the balance in favor of fair use all credit for copyright material used in video goes to the respected owner, #Zinjibartv #Barzayazinjibar #FahariyaZanzibar

Пікірлер: 84

  • @suheilahsuheilah4968
    @suheilahsuheilah49682 жыл бұрын

    Mashaallah sheikh Allah awalipe kheir nyote fidunia wal-akhera shukran

  • @samahabrahman4839
    @samahabrahman48394 жыл бұрын

    Pole sana sheikh sharif yussuf kwa kuugua kifua. Allah akupe shifaa.

  • @saeedsaeed7381
    @saeedsaeed73814 жыл бұрын

    Masha Allah sheikh you explain in deep details regarding this topic May Allah grant you goodness and long life indeed Watamaman well come back in studio👍 Allah Barik Fik including all your crews members

  • @jameswambugu517
    @jameswambugu5172 жыл бұрын

    Alahamdulilah shehe kipidi hiki walai inapelekana kabisa na mabo ya kwangu naoba mnitemee dua na Allah atawalipa

  • @noraevers8868
    @noraevers88684 жыл бұрын

    ManshaAllah Allah awabariki nyote jijimbari ma munatusaidia kwamengi.

  • @abubakerabeid1620
    @abubakerabeid16204 жыл бұрын

    shukran jazeela kwa mada adhiim

  • @jacobponga1540
    @jacobponga15402 жыл бұрын

    Assalam alaykum masheikh wetu, Masha Allah nimependa jinsi mnavyo tufunza elimu nzuri sana. Jazakallahu kheri, Abdulrahman nko +254

  • @jacobponga1540

    @jacobponga1540

    2 жыл бұрын

    Assalam alaykum, Salim Mardhiya, Watamaman pamoja Shariff Yusuf, naomba dua yenu nimefanyiwa sihir na husda, tafadhali naomba usaidizi wenu ndugu zangu waislamu na Allah atawalipa kwa kila amali njema..Insha Allah

  • @ashuashu3843
    @ashuashu38434 жыл бұрын

    Subhhanah Allah yaani wachawi na watu wanaowatendea wenzao mabaya yarrab Allah atuepushe nae.

  • @AhmedSaid-xz3kj
    @AhmedSaid-xz3kj3 жыл бұрын

    Jazakallah kheir masheikh mungu awalinde

  • @lailahyusuf9055
    @lailahyusuf90553 жыл бұрын

    Mashaallah Mimi piya nahitaji musaanda naka Uganda

  • @lailahyusuf9055

    @lailahyusuf9055

    3 жыл бұрын

    No Facebook my name lailah Yusuf my what's up nambar 256 770874158

  • @sarawilson9336
    @sarawilson93362 жыл бұрын

    Mashaallah

  • @ashuahmed8625
    @ashuahmed86254 жыл бұрын

    Asalam aleikum.warahmatullah wabarakatu..sheikh mimi pia nina matatizo hayohayo kama ya huyo dada aloelezea...na usingizi pia shida..wasawasi umenijaa..hata watoto wangu hatuelewani. naomba msaada wako sheikh

  • @nooor1120

    @nooor1120

    3 жыл бұрын

    Allah akufanyie wepesi

  • @StAr-yu3vz
    @StAr-yu3vz2 жыл бұрын

    Mbona unatutisha uchawi wa uwarabuni nimbaya sana mie

  • @btylove1870
    @btylove18703 жыл бұрын

    Asalam alykum. Sheikh asante kwa elimu . Pia Sheikh ningependa kuwa mkeo kama uko tayari kuowa in shaalah.

  • @qatardoha9378
    @qatardoha93783 жыл бұрын

    Asante sheikh kwa mafunzo nzuri

  • @mariammohamed2543
    @mariammohamed25434 жыл бұрын

    Subhana'Allah

  • @masoudidadi7369
    @masoudidadi73694 жыл бұрын

    Allah atulinde hakika ya ulinzi wake ni madhubuti

  • @jumakonde4330
    @jumakonde43304 жыл бұрын

    My name Zena Mashallah muko vizuri Sana hapo studioni nawaomba mzidi kutupa mafundisho

  • @nooor1120
    @nooor11203 жыл бұрын

    Kweli jmn Allah hakosei . Matatizo wanaume tunajitakia kwa kuikaribia zinaa .ukikaribia zinaa ndio unapatikana kurogwa kwasababu unakuwa karibu na yule kimada baadae unaharibu family yako bure kwa mwanamke wa kando asiekua na imani na family yako

  • @mwalimothman1680
    @mwalimothman16804 жыл бұрын

    بارك الله لكم

  • @peacesmart534
    @peacesmart5344 жыл бұрын

    Subhana Aĺlah

  • @ubahhemed6184
    @ubahhemed61843 жыл бұрын

    Pole sheikh sharif kwa kikohozi Allah akupe afuen

  • @aishafahdi8355
    @aishafahdi83552 жыл бұрын

    Shukran 👏

  • @suleimanhamad839
    @suleimanhamad8394 жыл бұрын

    Masha Allah

  • @raniahabdurrahman4556
    @raniahabdurrahman45563 жыл бұрын

    next time upunguze speed ya AC .inamuumiza sheikh wetu

  • @fayzaabdullah3576
    @fayzaabdullah35764 жыл бұрын

    سبحان الله بسم الله

  • @StAr-yu3vz
    @StAr-yu3vz2 жыл бұрын

    Assalam alaykum mie nilipo nipo oman miaka 8 hata kauri kuogea na bosi zangu kuogea kwangu mtihani yaani mwili wangu apo vizuri usiku usingizi kupata shida

  • @zulfasaidi4485
    @zulfasaidi44852 жыл бұрын

    Asalam alykum ndung zang

  • @nduwimanasaimond3440
    @nduwimanasaimond34403 жыл бұрын

    Walakumusalam mung anasaidia naona njo mwisho wakupona inshaa Allah

  • @hamidbhos8297
    @hamidbhos82973 жыл бұрын

    Na mm jaman nahisi nachezewa nipo dubai kila nkipokea mshahara unapotea pasipo kujua zaenda wapi nahitaji namba zenu

  • @dotosalim5090

    @dotosalim5090

    3 жыл бұрын

    Pole

  • @aminahhamed747
    @aminahhamed7474 жыл бұрын

    Waalaikum salam shekh nitakutafuta wasap mie ni mmoja wao wa matatizo hayo

  • @yazimohammed9727
    @yazimohammed97273 жыл бұрын

    Subhanallaah

  • @hoodalabri3378
    @hoodalabri33784 жыл бұрын

    Salam alaykum hali yako watamaman mie nilikuwa kwa mara nyingi namuuota marehem mzee wagu tukiwa pamoja tumekaa naongea nae nini maana yake hii ndoto

  • @alimatambwe3402
    @alimatambwe34024 жыл бұрын

    Mimi ndiyo wakwanza kutendewa hivyo vitu,tatizo nimeshajaribu kujitibisha ila sijapata Bahati ya kuwa mtu Muaminifu,nilisha liwa pesa huko Tanzania nyingi sana.

  • @dotosalim5090

    @dotosalim5090

    3 жыл бұрын

    Upo wap

  • @dotosalim5090

    @dotosalim5090

    3 жыл бұрын

    Mm mwenyewe nipo kwenye vita

  • @modestercyprian3245
    @modestercyprian32453 жыл бұрын

    she dalilininazo

  • @alharths7264
    @alharths72644 жыл бұрын

    Mashaallah she Mimi nimeota mara3napigana namfanyakaziwangu wanyumani kwangu halafu wakaja ndungu zangu kuniamuwa nikawapiga she manayake nini nahisi wasiwasit sana nakini Mimi nilimpiga mfanyakazi

  • @StAr-yu3vz
    @StAr-yu3vz2 жыл бұрын

    Yaani naomba namba hayo mriyosema mie yote ninayo

  • @alimatambwe3402
    @alimatambwe34024 жыл бұрын

    Ila Sheikh nisaidie pls Mambo unazungumza kabisa ndiyo yananikabili .

  • @StAr-yu3vz
    @StAr-yu3vz2 жыл бұрын

    Mie hata mimi mda sura yangu naiona imekonda pia mara imekuwa mbaya

  • @alimatambwe3402
    @alimatambwe34024 жыл бұрын

    Mimi ndiyo wakwanza

  • @ubahhemed6184
    @ubahhemed61843 жыл бұрын

    Hiyo ya shule mwanangu anayo ikifika siku ya kufanya mitihani, mgonjwa sana hawezi hata kutembea, madrasa ivoivo

  • @StAr-yu3vz
    @StAr-yu3vz2 жыл бұрын

    Pia nikimuota mtu ariyokufa wanakuja kunichoma mishare rakini nasoma sura Fatiha unajikuta mishare hakukufiki hii nae maana yake nini

  • @modestercyprian3245
    @modestercyprian32453 жыл бұрын

    Inapendeza OK

  • @fardoshnassor7847
    @fardoshnassor78473 жыл бұрын

    😢😢🙆🏾‍♀️

  • @sabontumohamed9192
    @sabontumohamed91924 жыл бұрын

    As wr wb

  • @dotosalim5090
    @dotosalim50903 жыл бұрын

    Mm kila siku nakuta chale mwilin

  • @sualihinaally7631
    @sualihinaally76314 жыл бұрын

    Shehe mm n,namatatizo

  • @qatardoha9378
    @qatardoha93783 жыл бұрын

    Mimi sheikh nimekua mgochwa kwa mda,nimekua mgochwa nimeenda hosy nikiwa mgochwa nanilipo pimwa ugochwa hakuna na nkikohosi tu nimekunywa madawa lakini wapi?

  • @barikaali1861
    @barikaali18613 жыл бұрын

    Mambo yakuogopesha kabsa wachawi hamuogop maut naMola wenu

  • @samahabrahman4839
    @samahabrahman48394 жыл бұрын

    Shukran kwa kutuzindua.

  • @mariamaaa4949
    @mariamaaa49493 жыл бұрын

    Sheh naoba namba yako naishi burundi bujumbura nina matatizo nimesha jitibisha ila matatizo niyaleyale kila nikitaka kucubiwa namwanaume ananica bila sababu yoyote nisaindiye sheh

  • @ramilialiy3725
    @ramilialiy37254 жыл бұрын

    Yarrab tunusuru na km tumerogwa bs leo turogowe yarrab tuwe huru na aliyeturoga mtejeshee mara 2000

  • @zayyatiyussuf9566

    @zayyatiyussuf9566

    4 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂Subuhanalla mbavu zangu ivo ulivyo andika

  • @ramilialiy3725

    @ramilialiy3725

    4 жыл бұрын

    @@zayyatiyussuf9566 ndio sisi wengine hatufanyi ushirikinina lkn usikute tumerogwa bila sababu kimbilio letu ni Allah subkhallakh wataallakh

  • @zayyatiyussuf9566

    @zayyatiyussuf9566

    4 жыл бұрын

    @@ramilialiy3725 😂😂😂😂😂kwahiyo tunaweza jiona tupo hai tunatembea kumbe misukule eeeeeeeee?😂😂😂😂😂😂

  • @ramilialiy3725

    @ramilialiy3725

    4 жыл бұрын

    @@zayyatiyussuf9566 kabisa tupo gining na mengine tunafanya sio akili zetu

  • @zayyatiyussuf9566

    @zayyatiyussuf9566

    4 жыл бұрын

    @@ramilialiy3725 😂😂😂😂😂😂zombi

  • @zapharanikankuyo3178
    @zapharanikankuyo31782 жыл бұрын

    Sheikh hio number yiko WhatsApp?

  • @qatardoha9378
    @qatardoha93783 жыл бұрын

    Jackie nikiwa saudia naambiwa na boss nisiwe naomba Tia.

  • @dotosalim5090

    @dotosalim5090

    3 жыл бұрын

    Sijakuelewa

  • @mariamaaa4949
    @mariamaaa49493 жыл бұрын

    Manshaallah sheh Sharif

  • @harunaiddi6070

    @harunaiddi6070

    3 жыл бұрын

    Muda mzuri wa kukupigia ni upi?

  • @HassanMoha-rc8oq
    @HassanMoha-rc8oq4 жыл бұрын

    Asalam aleykum waa rahma tulahi waa barakatu ndugu zanguni ndugu sheikh yusuf na ndugu tamaam napenda kueleza yangu machache mimi niko AMERIKA miaka 24 na niko na watoto 12 na moja amefariki sasa basi nimefunguwa biashara ya super market ndogo kiasi nimeinunuwa kwa $30000.00 na ikaniletea faida ya elfu $20 nikaendelea nayo lakini kuna siku iliniijia kitu kama wazimu hio duka ilinigharimu elfu $60 na niliyuuza kwa $3000.00 kwa mda wa siku moja nikashukuru mola na bado sijakata tama nilikusanya senti kama elfu $20 nikanunua magari mawili 2 na nikafanya kazi nazo na iliniijia Kitu kama wazimu nikayauza magari hayo mawili kwa bei $5000.00 sasa basi naomba dua yako sheikh yusuf naishi San Diego califonia USA jee naweza kukupigia saa ngapi simu na siku ipi inafa nikupigiye???

  • @mwanaidishibe9275
    @mwanaidishibe92754 жыл бұрын

    Nauliza ilo duka liko malindi kenya ama tanzania

  • @sleymohamed3825

    @sleymohamed3825

    4 жыл бұрын

    malindi zanzibar

  • @mwanaidishibe9275

    @mwanaidishibe9275

    4 жыл бұрын

    @@sleymohamed3825 sawa..mimi niko kenya,nakuuliza hiyo frigi ya milango 2 mpesa ngapi za kenya,na tv ya 70 inches mpesa ngapi

  • @shimafuad6868

    @shimafuad6868

    3 жыл бұрын

    @@sleymohamed3825 chukua namba zao ziko hapo utauliza yote na utafahamishwa inshallah

  • @pascalinagegetu6250
    @pascalinagegetu62503 жыл бұрын

    Naomba nitumie namba yako au nibipu kwenye namba hii shehe 0782738878

  • @sarajohn4703
    @sarajohn47032 жыл бұрын

    Shekh mh! mh! mh! nyingi

  • @salamasaid4720

    @salamasaid4720

    2 жыл бұрын

    Mashallh mungu akupe umri mrefu uweze kutsaidia lakini tunashidwa kwenda pesa mpunguze

  • @samahabrahman4839
    @samahabrahman48394 жыл бұрын

    Mashaallah

  • @sabontumohamed9192
    @sabontumohamed91924 жыл бұрын

    Masha Allah

  • @sabriyasuluh3002
    @sabriyasuluh30023 жыл бұрын

    Mashaallah

  • @sabriyasuluh3002
    @sabriyasuluh30023 жыл бұрын

    Mashaallah

  • @yazimohammed9727
    @yazimohammed97273 жыл бұрын

    Mashaallah

Келесі