🔴

Ойын-сауық

🔴#LIVE - MDAHALO WA KIELIMU / DR. SULE NA PASTOR NDACHA / MBEZI MKONDE
Mashaa Allah DR. SULE akielezea kwa uzuri na ubora wa hali ya juu Ya🔴#LIVE - MDAHALO WA KIELIMU / DR. SULE NA PASTOR NDACHA / MBEZI MKONDE
usisahau kutu support kwa subscribe channel yetu na kutu follow kwenye social media zetu inshaallah support yako ni muhimu sana
Support us DARSA TV
M-PESA +255 765100906
Airtel Money +255782466586
Paypal 👇👇👇👇
paypal.me/DarsaTv?locale.x=en_US
Get MORE of DARSA TV:
► WATCH MORE: • Swala za Mtume Zinazop... ​
► FOLLOW DARSA TV on Instagram: / ​
► LIKE DARSA TV on Facebook: / ​
Subscribe
Comment
Like
And
Thanks
Tu follow katika social media zetu
Facebook @Darsa tv
Instagram @Darsatv
KZread @Darsa tv
TikTok @Darsa tv
Tu follow katika social media zetu
Facebook @Darsa tv
Instagram @Darsatv
KZread @Darsa tv
TikTok @Darsa tv

Пікірлер: 125

  • @DAVIDMAGHANGA
    @DAVIDMAGHANGAАй бұрын

    Sule amebakia kidogo Tu ,abatizwe ameunga mkono kbsa YESU ni ana MUNGU tena alikufa na akafufuka ,hongera sule.

  • @mupechai8072
    @mupechai8072Ай бұрын

    There is no one enjoying this match more than that old man behind the christian reader.

  • @julius795841
    @julius79584118 күн бұрын

    Dr sule ni mtoto sana mbele ya ndacha....angelimwita othman mazinge amsaidie....ndacha ni kiboko i say...barikiwa sana ndacha

  • @JamesMoses-jd1yq
    @JamesMoses-jd1yqАй бұрын

    Ndacha wew ni genius be blessed too.if you want our support plz bring here Ur m pesa number we really love you and we are ready to support you unapomtangaza yesu

  • @ackimackim1880
    @ackimackim1880Ай бұрын

    YESU ANA SIFA TATU BINADAMU, MWANA WA MUNGU, NI MUNGU KICHWA KIBOVU HUWEZI KUELEWA

  • @berry4726

    @berry4726

    Ай бұрын

    Hakuna kitu Kama hicho uzushi mtupu.

  • @julius795841

    @julius795841

    18 күн бұрын

    Kweli kabisa....jesus has humanity and divinity nature...he is the son of God

  • @berry4726

    @berry4726

    18 күн бұрын

    @@julius795841 nah Jesus peace be upon him is a prophet of God. God doesn’t have sons or daughters.

  • @mussakalaja3052
    @mussakalaja3052Ай бұрын

    Mungu azidi kukubariki saaaanaaa NDACHAA. Kama unavyosemaa wanakataa ukweliii ila SULE Hana hojaaa. NDACHA unazjua saana kujenga hoja zako nakufuatilia kila wakatiii. Utazidi kubarikiwa sanaaa NDACHAAA. Unatufundishaa mengi saaanaa.

  • @alexkaranja5819
    @alexkaranja5819Ай бұрын

    May God continue strengthening you ,give u knowledge to educate the world that Jesus is the way truth and life,pst Ndacha.

  • @zahraabdul9652

    @zahraabdul9652

    Ай бұрын

    🤔🤔

  • @zanzinanyange7794
    @zanzinanyange7794Ай бұрын

    Yesu mwana wa mungu ni mungu, mimi mwenyewe kwenye Bible ni mwana wa mungu kwaio na mm ni mungu

  • @mchezakwao

    @mchezakwao

    Ай бұрын

    "Mwanawe pekee"

  • @hasinaalrahbi6681

    @hasinaalrahbi6681

    Ай бұрын

    Sasa kila mtu ni mungu.duhhhh

  • @mchezakwao

    @mchezakwao

    Ай бұрын

    @@hasinaalrahbi6681 yesu ni mwanawe wa pekee. Wewe ulikuwapo tangu enzi? Wewe uliumba kila kitu ? Please think ata japo kidogo 🤔 it is not yet illegal to think.

  • @zahraabdul9652

    @zahraabdul9652

    Ай бұрын

    ​@@hasinaalrahbi6681😂😂😂😂😂😂😂

  • @zanzinanyange7794

    @zanzinanyange7794

    Ай бұрын

    @@mchezakwao unatama kunambia yesu kaumba kilakitu?

  • @gabrielkyando2632
    @gabrielkyando2632Ай бұрын

    Ndachaaaa he so smart utamuuwaa sulee wewe,, 😊😊

  • @IMRANITV1

    @IMRANITV1

    Ай бұрын

    Akili ni nywele tunasikia YESU ameabudu jee alimuabudu nani

  • @Catherine-mh8sw

    @Catherine-mh8sw

    Ай бұрын

    ​@@IMRANITV1takbir

  • @berry4726

    @berry4726

    Ай бұрын

    Kweli ukilala kwenye kristo umepotea.

  • @hashim.22kamal27

    @hashim.22kamal27

    Ай бұрын

    Ndacha.ana.nn.kwa.dr.sule.ww.ubisi.ndo.ndacha.anajua.lkn.kwa.mandiko.bro.mta.umia.sana.kwa.dr.sule

  • @ackimackim1880
    @ackimackim1880Ай бұрын

    MWANZILISHI WA IMANI YA WAKRISTO NI YESU YUKO HAI MPAKA LEOOOOO ELEWA APO WAISLAMU

  • @user-ot5cr4hy1c

    @user-ot5cr4hy1c

    Ай бұрын

    Inafa unajiwuliza je alikuwa akifanya Ibada gani

  • @hashim.22kamal27

    @hashim.22kamal27

    Ай бұрын

    Yesu na.ukhristo.ni.kama.mbingu.na.arthi.wapi.andiko.yesu.ni.mkhristo.acha.maneno.ya.vichwa

  • @AminaLibisa
    @AminaLibisaАй бұрын

    Amiina yarab 🙏🙏

  • @user-hy5zd5rn6r
    @user-hy5zd5rn6rАй бұрын

    Ndacha ni 🔥.Sule relax and take notes

  • @bibieahmedseif5022
    @bibieahmedseif5022Ай бұрын

    Thus why me nikiuona clips yyt ya mashehe wetu km yupo Dr sule nakuwa wa mwanzo kuifungua ya Dr sule mana hata yule second wa tiroo anamuelewaa Alhamdulillah na jambo hili kwa sasa ndo linalowapa husda mashekhe wenzake. Allah akulinde usivurugwe kichwa na wavuruga vichwa vya watu

  • @zahraabdul9652

    @zahraabdul9652

    Ай бұрын

    Amen yarabilAlmin

  • @OmariShuli
    @OmariShuliАй бұрын

    Mwana wa Ng'ombe ni ng'ombe na mwana wa Mungu ni Mungu. Kwa hiyo Wakrsto mna Miungu wawili. basi hakuna ubishani hapo.

  • @arnoldkalemela5078
    @arnoldkalemela5078Ай бұрын

    Ndacha anajua jamani yooo 😅

  • @mussakalaja3052

    @mussakalaja3052

    Ай бұрын

    Anajua mpaka anakeraaaa

  • @hasinaalrahbi6681
    @hasinaalrahbi6681Ай бұрын

    ASANTE SANA DR SULE KAMA HAWAELEWA HAWA WATU BASI TENA.USIJETENA UMIZA KICHWA

  • @sirpleasureb
    @sirpleasurebАй бұрын

    paulo hassan uko poa sana kwa usomaji Mungu akubariki sana..

  • @NassirSaidmassoud
    @NassirSaidmassoudАй бұрын

    Sulle hongera unafannya kazi hiyo ndio kazi

  • @richardchimba3800

    @richardchimba3800

    Ай бұрын

    Ameshindwa sana

  • @user-ot5cr4hy1c
    @user-ot5cr4hy1cАй бұрын

    Taqbir Allah aqbar

  • @Catherine-mh8sw

    @Catherine-mh8sw

    Ай бұрын

    Allahu Akbar

  • @NassirSaidmassoud
    @NassirSaidmassoudАй бұрын

    Mnamchukia dr sulle kwasababu ya Mali zake,amawashirina Kama ibn taymia Abdul,wahabu ibrisi wanajidi

  • @HellenLemilya
    @HellenLemilyaАй бұрын

    Ndacha Mungu akubariki

  • @berry4726

    @berry4726

    Ай бұрын

    Ndacha amepotea vibaya. Ukimsikiliza atakupoteza dini hajui.

  • @ramadhanyusuf2401
    @ramadhanyusuf2401Ай бұрын

    Huyu sule alipodhihirisha ushirikina wake mbele za umma hakuna siku atamshinda adui wa Allah hawezi kwa sababu hafanyi kumridhisha Allah anafnya watu waseme ni dr

  • @shamtekhamispoeta175
    @shamtekhamispoeta175Ай бұрын

    Kama hawaamini apa.hawaamini tena hawa wakristo.

  • @KHADIJANDABABISA
    @KHADIJANDABABISAАй бұрын

    Doctor sulley kaka yetu mungu akuhifadhi inshaallah

  • @issackmakanga5603
    @issackmakanga5603Ай бұрын

    Sule ashakubali YESU ndie njia ya uzima wa milele, hilo tumekubaliana kabisa

  • @bayavugeamissi
    @bayavugeamissiАй бұрын

    sasa ndacha kama yesu aliitwa mungu hajawa mungu wewe ndacha unamfata uyo alimuita yesu mungu maana ingekuwa ndacha unamfata yesu kweli onesha wa kristo wapi yesu anasema mimi yesu ni mungu

  • @Benjaminkabui-lq9yq
    @Benjaminkabui-lq9yqАй бұрын

    daah waislamu kweli wamegaragazwa kinoma 😂😂... ndacha kiboko cha majini.....

  • @Zanha582
    @Zanha582Ай бұрын

    Aameeyn yarab 🤲🤲🤲

  • @yakubsuleiman6819
    @yakubsuleiman6819Ай бұрын

    Hakuna kitu kibaya kama unajua ukweli then unaficha ukweli...Ndacha anajua ukweli bt anafanya ujanja tu na maandiko kuficha ukweli... subhanaallah

  • @richardchimba3800

    @richardchimba3800

    Ай бұрын

    Mmeshindwa

  • @richardchimba3800

    @richardchimba3800

    Ай бұрын

    Quran inasema Yesu alikufa

  • @ezrommkambati1554

    @ezrommkambati1554

    Ай бұрын

    Vice versa is true bro.

  • @JamesMoses-jd1yq

    @JamesMoses-jd1yq

    Ай бұрын

    Utakuwa mtumwa hadi lini wa Muhammad Kisa waarabu.yaani mavazi ni ya waarabu,lugha ni ya waarabu, quran ya waarabu.duuh kazi mnayo😂😂😂

  • @AllyAbdulkareem
    @AllyAbdulkareemАй бұрын

    Masha Allah

  • @badrukheir4

    @badrukheir4

    Ай бұрын

    Lllp

  • @YarowAbd
    @YarowAbdАй бұрын

    Mwambia na mkiristo Suleiman mungu wa tatu pia yeye niko kabla yesu😅😢😢

  • @MohamedbarakaBarakaIbrahim
    @MohamedbarakaBarakaIbrahimАй бұрын

    Ndacha unafikiri Quran ni bíblia wapi katika Quran Yesu aliumba?

  • @bobramaso825
    @bobramaso825Ай бұрын

    43:32 - Kwani wao ndio wanao gawa rehema za Mola wako Mlezi? Sisi tumewagawanyia baina yao maisha yao katika uhai wa duniani, na tukawanyanyua baadhi yao juu ya wengine kwa daraja nyingi; kwa hivyo baadhi yao wanawafanya wenginewe wawatumikie. Na rehema za Mwenyezi Mungu ni bora kuliko hayo wanayo yakusanya.

  • @user-gh6qm5ze3b
    @user-gh6qm5ze3bАй бұрын

    Ndacha wape somo

  • @berry4726

    @berry4726

    Ай бұрын

    Hamna kitu dini hajui.

  • @bobramaso825

    @bobramaso825

    Ай бұрын

    ENZI ZA NABII ADAM MUNGU ALIKUWA WAPI KAMA YESU NI MUNGU?VIPI ENZI NA NABII IBRAHIM MUNGU ALIKUA WAPI?

  • @shijamachiya3832

    @shijamachiya3832

    Ай бұрын

    kabla Adam Yuko, Mimi Yesu, NIKO​@@bobramaso825

  • @user-jl5un4wf3u
    @user-jl5un4wf3uАй бұрын

    Upandewapili nivigumusana kumufafanua Mungu inahitaji wanafalisafa wabobezi hao.mpakawakatiwakihama kwakuwahatautatuwaMungu hawajuikufafanua au ufafanuzi wao wanatakaMungu wamuonekwaumbilelipi?? wakatiMunguhuyohuyo ndiye alijifanyabinadamu hukohukokatikaulimwenguwabibiria . Natufanyemtukwamfanowetu maanayake hayo manenotafisiriyake inahitaji maalifa ?

  • @ezrommkambati1554
    @ezrommkambati1554Ай бұрын

    Waislam mna shida gani?

  • @ezrommkambati1554
    @ezrommkambati1554Ай бұрын

    Yohana 8:23 mbona unasuta Sule? Acha ujinga ukweli unaujua ila unapindisha. Ninyi ni wa chini Mimi ni wa juu endelea bwabwa wewe

  • @user-pu8vf3xt8o
    @user-pu8vf3xt8oАй бұрын

    Hata ukiwa neutral waislam wanazidiwa hoja sana

  • @herimornchriston6083
    @herimornchriston6083Ай бұрын

    sule kakubali kuwa yesu ndio njia ya kweli na uzima hy inatosha sana kwa sasa mdogo mdogo unakuja

  • @ASIMOnlineTv
    @ASIMOnlineTvАй бұрын

    Hivi bado mnampa Airtime huyo Sele? Pamoja na kuusdhalilisha Usikamu??

  • @allyraiya7484
    @allyraiya7484Ай бұрын

    Sheikh we hubiri tu ila Tanzania inanyanyasa wageni hatakama wana vitambulisho

  • @NoorynMody
    @NoorynModyАй бұрын

    Yaan baada ya kuleta dua inyo endana na jambo usika we unakuja kuombe yasio usika na mdaaro ndomana mike imekugomea😂

  • @EVELINENGIBILICHO
    @EVELINENGIBILICHO5 күн бұрын

    😢😢😢😢😢😢😢😮😢😢😢😢😢waislam 😂

  • @hamidmussa838
    @hamidmussa838Ай бұрын

    Hoja ilibaki ni moja tu! Majin majini

  • @MohamedbarakaBarakaIbrahim
    @MohamedbarakaBarakaIbrahimАй бұрын

    Wewe pastor umeulizwa wapi Yesu alisema yeye ni mungu? Jibu swali Wacha ujanja bana

  • @samuellubunga1728

    @samuellubunga1728

    Ай бұрын

    Soma ufunuo 21 yote

  • @hasinaalrahbi6681

    @hasinaalrahbi6681

    Ай бұрын

    Hilo jibu halitoki

  • @samuellubunga1728

    @samuellubunga1728

    Ай бұрын

    @@hasinaalrahbi6681 ufunuo 21:3-7 soma

  • @MusaRamadhani-wj2dw
    @MusaRamadhani-wj2dwАй бұрын

    Huyu sele haki Hana hata aibu unaona hata watu ambao ni waislam wamegoma kwenda kwakua watu wangejitokeza kwa wingi hasa waislam angesema pete zimeleta watu siku sote mtu ukiongra kitu bila ya elimu basi kukosea kutakua kukubwa sana

  • @NoorynMody
    @NoorynModyАй бұрын

    Sinagogi ni nn?

  • @MohamedbarakaBarakaIbrahim
    @MohamedbarakaBarakaIbrahimАй бұрын

    Pastor kalele tu , mwalimu wa kislamu alimuuliza swali ya kiprofishnali lakin huyu kafiri anatamba Tamba tu, hapa sio kujionyesha vile unaongea hapa ni elimu ya kisomo kama yule mwalimu wa kislamu

  • @user-kt1fr7mz2h
    @user-kt1fr7mz2hАй бұрын

    Katika siku ndacha sijamuelewa bas Leo ninamba Moja jaman iyo mada Bora angeikaata maan mhhh imekua nzito kwa ndacha Bora unafik

  • @richardchimba3800

    @richardchimba3800

    Ай бұрын

    Ndacha ameshinda Sule ameshindwa

  • @nomar3708
    @nomar3708Ай бұрын

    Ndacha hakuweza kumjibu Sule, wapi yesu kasema mimi mungu muniabudu? Ndacha kababaisha tu na kalikimbia swali😂

  • @bobramaso825
    @bobramaso825Ай бұрын

    Walioichezea Biblia Na Kuzichakachua Taurati,Injili,Zabur Wamewachanganya Sana Wa Kristo

  • @mchezakwao

    @mchezakwao

    Ай бұрын

    Wewe unayo quran ya enzi ya moha? Do we have a 7th century quran? Even a fragment ? None. Just uthman ambayo ni ya 8th century

  • @zahraabdul9652

    @zahraabdul9652

    Ай бұрын

    Kweli kabisa ila bible nayo ilivurugwa sana

  • @ezrommkambati1554
    @ezrommkambati1554Ай бұрын

    Sule akili huna na una hila za kishetani ndani yako

  • @ezrommkambati1554
    @ezrommkambati1554Ай бұрын

    Sule hamuoni kama ni mwakilishi wa shetani. Mnapaswa kujiuliza shida yenu nini?

  • @MohamedbarakaBarakaIbrahim
    @MohamedbarakaBarakaIbrahimАй бұрын

    Huyu ndacha aliuziwa swali , je wapi Yesu alisema yeye ni mungu, na hakujibu swali ameanza kutamba, kwani kabla ya Abraham hakuna watu? Hiyo kwanza ni error katika bíblia sababu kabla ya Abraham Kuna umma wengi ulipita mbele yake na wale umma nani aliwaumba?

  • @bobramaso825

    @bobramaso825

    Ай бұрын

    NA ENZI ZA NABII ADAM KULIKUWA NA UMA PIA WAO NAO SIJUI WALIKUA NA MUNGU GANI.

  • @ismailsoud3634
    @ismailsoud3634Ай бұрын

    Hao wanaosapoti Dr. Selle nie miongoni mwa jamaa zake so ndugu ndani ya uislamu. Maana ameupazia sana mtope uislamu. Sasa uislamu gani ambao anautetea?

  • @AbdulRahman-ds5iq

    @AbdulRahman-ds5iq

    Ай бұрын

    Usiangalie mabaya yake angalia mambo anayo yafanya kama ni mema ishi nayo kama ni mabaya yaache

  • @ismailsoud3634

    @ismailsoud3634

    Ай бұрын

    @@AbdulRahman-ds5iq ukiwa mshikina hata ufanye zuri la aina yoyote Mungu hatii TIKI, litakufaa hapa duniani lakini akhera huna kitu kwa mujibu wa Qur'an

  • @chikuiddy9946

    @chikuiddy9946

    Ай бұрын

    ​@@ismailsoud3634usihukum mtu saingine katubia wacheni izo mambo waislam

  • @NassirSaidmassoud
    @NassirSaidmassoudАй бұрын

    Wasilamu acha ujinga Ona kazi hiyo nyie mnapombazwa na. Mayaudi Kama muhaammedi bachu maana awa chanzo Chao n MAyaudi

  • @Sharrif456
    @Sharrif456Ай бұрын

    Dacha una mdomo sana wee ndo utatoa waislamu kwa makaburi 😏😏 shenzi type

  • @harrishussein6992
    @harrishussein6992Ай бұрын

    Doctor sule wallah mtu ambae hajakuelewa hata darasani alikua haelewi umeshusha nondo kali sana

  • @SaidSaigor
    @SaidSaigorАй бұрын

    Islam will dominate

  • @JumaOnyancha-rs9pz

    @JumaOnyancha-rs9pz

    Ай бұрын

    Will perish

  • @bayavugeamissi
    @bayavugeamissiАй бұрын

    wewe ndacha acha kudanganya wa kristo kwa kutafuta maslayi yako unapo uliza swali jibu acha ku kwepa kwepa wambiye wa kristo je yesu alimba ao hakuomba???

  • @ezrommkambati1554
    @ezrommkambati1554Ай бұрын

    Sule andiko umelisoma kinafiki na kwa hila rudia hilo andiko utaelewa bwabwa wewe

  • @bosta5018
    @bosta5018Ай бұрын

    Huyu ndacha ni 'summun bukmun umyun', na elimu ya Wakristo wanao msikiliza ni ya kusikitisha, elimu yake ya Chekechea

  • @aishaarusha894

    @aishaarusha894

    Ай бұрын

    Kwakweli yani uyu ndacha ni abujahal kabisa yani kalaaniwa

  • @nevisao3182

    @nevisao3182

    Ай бұрын

    Unapataje uhakika wa kusema mwenzio kalaaniwa ilihali ww ni binaadam? Unaongeaga na mungu? Ww unajihakikishia kama umsafi?

  • @aishaarusha894

    @aishaarusha894

    Ай бұрын

    @@nevisao3182 basi na wewe umelaaniwa maana unaona ndacha ana faidi na laana😁

  • @samuellubunga1728

    @samuellubunga1728

    Ай бұрын

    Ufunuo 21 :3 Yesu mwenyewe anadhibitisha

  • @richardchimba3800

    @richardchimba3800

    Ай бұрын

    Yaani Sule kashindwa wewe utaweza

  • @chandelierlumona3447
    @chandelierlumona3447Ай бұрын

    Sulle wewe huja soma hakima kwasababu you don’t make sense man ..! Muhammad alikufa, Yesu yupo Mbinguni sasa bado huajaelewa..?

  • @JumaOnyancha-se8lu
    @JumaOnyancha-se8luАй бұрын

    Kwa kweli sule ni doctor wa majini na waisilamu wanamkubali kuwadanganya

  • @berry4726
    @berry4726Ай бұрын

    Ndacha hamna kitu dini hajui.

  • @MohamedbarakaBarakaIbrahim
    @MohamedbarakaBarakaIbrahimАй бұрын

    Wakristo huyu anawapeleka motoni chungana na yeye huyu ni iblis

  • @herimornchriston6083

    @herimornchriston6083

    Ай бұрын

    inaweza ukawa uko sahihi ila mm kamwe siwez kumfuata alieoa binti wa miaka 08. huyo simtambui na sitamtambua kamwe kama mtume

  • @abubakarjuma5826

    @abubakarjuma5826

    Ай бұрын

    Kama unahis ni sawa unavo ongea poa ila jahamnam inawasubir wakirsto nyote.

  • @herimornchriston6083

    @herimornchriston6083

    Ай бұрын

    ​@@abubakarjuma5826 ungeli jua jehanum n kwaajili ya nani usingali onge hilo kwasabb jehanum n kwa wale wote wanaopinga juu ya imani ya yesu kristu na amri za Mungu. kwahy kama ww unaiba,unazini,unasema uongo, unawatukana watu,unaenda kwa mganga,muasherati unakataa kwamba yesu ndio massiah huyu ndio utakaeingia jehanum !!! na kama Quran imesema jehanumu n kwadini fulani au kwa dhehebu fulani nakili kwadhati kama imesema hvy imewadanganya.

  • @MohamedbarakaBarakaIbrahim
    @MohamedbarakaBarakaIbrahimАй бұрын

    Pastor hajajibu swali , kalele tu

  • @MohamedbarakaBarakaIbrahim
    @MohamedbarakaBarakaIbrahimАй бұрын

    Pastor anaongea kama Ako kwa kanisa, Hana chochote

  • @user-ws9tw3tn5n
    @user-ws9tw3tn5nАй бұрын

    Ndacha wacha kutafsir aya nusu nusu unapotosha ao wajinga wenzak wakristo

  • @halidimgonza5945
    @halidimgonza5945Ай бұрын

    Dr. Sulley unafnya kaz kubwa, ndacha anafahamu bali ni ukafir unaomsumbua tuu

  • @user-ws9tw3tn5n
    @user-ws9tw3tn5nАй бұрын

    We ndacha koma kwanza kutafsir aya za kur -an unavotak ww usitafsir kinyume nyume

  • @hashim.22kamal27
    @hashim.22kamal27Ай бұрын

    Jmn.sikilizeni.hoja.za.dr.sule.yani.kitalamu.ndacha.ame.filisika.ndacha.acha.ubisi.eti.wakorosai.wakorosai.ni.bada.ya.yesu

  • @bayavugeamissi
    @bayavugeamissiАй бұрын

    sasa ndacha kama yesu aliitwa mungu hajawa mungu wewe ndacha unamfata uyo alimuita yesu mungu maana ingekuwa ndacha unamfata yesu kweli unesha wa kristo wapi yesu anasema mimi yesu ni mungu

  • @bayavugeamissi
    @bayavugeamissiАй бұрын

    sasa ndacha kama yesu aliitwa mungu hajawa mungu wewe ndacha unamfata uyo alimuita yesu mungu maana ingekuwa ndacha unamfata yesu kweli unesha wa kristo wapi yesu anasema mimi yesu ni mungu

Келесі