🔴
Ойын-сауық
🔴#LIVE - MDAHALO WA KIELIMU / DR. SULE NA PASTOR NDACHA / MBEZI MKONDE
Mashaa Allah DR. SULE akielezea kwa uzuri na ubora wa hali ya juu Ya🔴#LIVE - MDAHALO WA KIELIMU / DR. SULE NA PASTOR NDACHA / MBEZI MKONDE
usisahau kutu support kwa subscribe channel yetu na kutu follow kwenye social media zetu inshaallah support yako ni muhimu sana
Support us DARSA TV
M-PESA +255 765100906
Airtel Money +255782466586
Paypal 👇👇👇👇
paypal.me/DarsaTv?locale.x=en_US
Get MORE of DARSA TV:
► WATCH MORE: • Swala za Mtume Zinazop...
► FOLLOW DARSA TV on Instagram: /
► LIKE DARSA TV on Facebook: /
Subscribe
Comment
Like
And
Thanks
Tu follow katika social media zetu
Facebook @Darsa tv
Instagram @Darsatv
KZread @Darsa tv
TikTok @Darsa tv
Tu follow katika social media zetu
Facebook @Darsa tv
Instagram @Darsatv
KZread @Darsa tv
TikTok @Darsa tv
Пікірлер: 125
Sule amebakia kidogo Tu ,abatizwe ameunga mkono kbsa YESU ni ana MUNGU tena alikufa na akafufuka ,hongera sule.
There is no one enjoying this match more than that old man behind the christian reader.
Dr sule ni mtoto sana mbele ya ndacha....angelimwita othman mazinge amsaidie....ndacha ni kiboko i say...barikiwa sana ndacha
Ndacha wew ni genius be blessed too.if you want our support plz bring here Ur m pesa number we really love you and we are ready to support you unapomtangaza yesu
YESU ANA SIFA TATU BINADAMU, MWANA WA MUNGU, NI MUNGU KICHWA KIBOVU HUWEZI KUELEWA
@berry4726
Ай бұрын
Hakuna kitu Kama hicho uzushi mtupu.
@julius795841
18 күн бұрын
Kweli kabisa....jesus has humanity and divinity nature...he is the son of God
@berry4726
18 күн бұрын
@@julius795841 nah Jesus peace be upon him is a prophet of God. God doesn’t have sons or daughters.
Mungu azidi kukubariki saaaanaaa NDACHAA. Kama unavyosemaa wanakataa ukweliii ila SULE Hana hojaaa. NDACHA unazjua saana kujenga hoja zako nakufuatilia kila wakatiii. Utazidi kubarikiwa sanaaa NDACHAAA. Unatufundishaa mengi saaanaa.
May God continue strengthening you ,give u knowledge to educate the world that Jesus is the way truth and life,pst Ndacha.
@zahraabdul9652
Ай бұрын
🤔🤔
Yesu mwana wa mungu ni mungu, mimi mwenyewe kwenye Bible ni mwana wa mungu kwaio na mm ni mungu
@mchezakwao
Ай бұрын
"Mwanawe pekee"
@hasinaalrahbi6681
Ай бұрын
Sasa kila mtu ni mungu.duhhhh
@mchezakwao
Ай бұрын
@@hasinaalrahbi6681 yesu ni mwanawe wa pekee. Wewe ulikuwapo tangu enzi? Wewe uliumba kila kitu ? Please think ata japo kidogo 🤔 it is not yet illegal to think.
@zahraabdul9652
Ай бұрын
@@hasinaalrahbi6681😂😂😂😂😂😂😂
@zanzinanyange7794
Ай бұрын
@@mchezakwao unatama kunambia yesu kaumba kilakitu?
Ndachaaaa he so smart utamuuwaa sulee wewe,, 😊😊
@IMRANITV1
Ай бұрын
Akili ni nywele tunasikia YESU ameabudu jee alimuabudu nani
@Catherine-mh8sw
Ай бұрын
@@IMRANITV1takbir
@berry4726
Ай бұрын
Kweli ukilala kwenye kristo umepotea.
@hashim.22kamal27
Ай бұрын
Ndacha.ana.nn.kwa.dr.sule.ww.ubisi.ndo.ndacha.anajua.lkn.kwa.mandiko.bro.mta.umia.sana.kwa.dr.sule
MWANZILISHI WA IMANI YA WAKRISTO NI YESU YUKO HAI MPAKA LEOOOOO ELEWA APO WAISLAMU
@user-ot5cr4hy1c
Ай бұрын
Inafa unajiwuliza je alikuwa akifanya Ibada gani
@hashim.22kamal27
Ай бұрын
Yesu na.ukhristo.ni.kama.mbingu.na.arthi.wapi.andiko.yesu.ni.mkhristo.acha.maneno.ya.vichwa
Amiina yarab 🙏🙏
Ndacha ni 🔥.Sule relax and take notes
Thus why me nikiuona clips yyt ya mashehe wetu km yupo Dr sule nakuwa wa mwanzo kuifungua ya Dr sule mana hata yule second wa tiroo anamuelewaa Alhamdulillah na jambo hili kwa sasa ndo linalowapa husda mashekhe wenzake. Allah akulinde usivurugwe kichwa na wavuruga vichwa vya watu
@zahraabdul9652
Ай бұрын
Amen yarabilAlmin
Mwana wa Ng'ombe ni ng'ombe na mwana wa Mungu ni Mungu. Kwa hiyo Wakrsto mna Miungu wawili. basi hakuna ubishani hapo.
Ndacha anajua jamani yooo 😅
@mussakalaja3052
Ай бұрын
Anajua mpaka anakeraaaa
ASANTE SANA DR SULE KAMA HAWAELEWA HAWA WATU BASI TENA.USIJETENA UMIZA KICHWA
paulo hassan uko poa sana kwa usomaji Mungu akubariki sana..
Sulle hongera unafannya kazi hiyo ndio kazi
@richardchimba3800
Ай бұрын
Ameshindwa sana
Taqbir Allah aqbar
@Catherine-mh8sw
Ай бұрын
Allahu Akbar
Mnamchukia dr sulle kwasababu ya Mali zake,amawashirina Kama ibn taymia Abdul,wahabu ibrisi wanajidi
Ndacha Mungu akubariki
@berry4726
Ай бұрын
Ndacha amepotea vibaya. Ukimsikiliza atakupoteza dini hajui.
Huyu sule alipodhihirisha ushirikina wake mbele za umma hakuna siku atamshinda adui wa Allah hawezi kwa sababu hafanyi kumridhisha Allah anafnya watu waseme ni dr
Kama hawaamini apa.hawaamini tena hawa wakristo.
Doctor sulley kaka yetu mungu akuhifadhi inshaallah
Sule ashakubali YESU ndie njia ya uzima wa milele, hilo tumekubaliana kabisa
sasa ndacha kama yesu aliitwa mungu hajawa mungu wewe ndacha unamfata uyo alimuita yesu mungu maana ingekuwa ndacha unamfata yesu kweli onesha wa kristo wapi yesu anasema mimi yesu ni mungu
daah waislamu kweli wamegaragazwa kinoma 😂😂... ndacha kiboko cha majini.....
Aameeyn yarab 🤲🤲🤲
Hakuna kitu kibaya kama unajua ukweli then unaficha ukweli...Ndacha anajua ukweli bt anafanya ujanja tu na maandiko kuficha ukweli... subhanaallah
@richardchimba3800
Ай бұрын
Mmeshindwa
@richardchimba3800
Ай бұрын
Quran inasema Yesu alikufa
@ezrommkambati1554
Ай бұрын
Vice versa is true bro.
@JamesMoses-jd1yq
Ай бұрын
Utakuwa mtumwa hadi lini wa Muhammad Kisa waarabu.yaani mavazi ni ya waarabu,lugha ni ya waarabu, quran ya waarabu.duuh kazi mnayo😂😂😂
Masha Allah
@badrukheir4
Ай бұрын
Lllp
Mwambia na mkiristo Suleiman mungu wa tatu pia yeye niko kabla yesu😅😢😢
Ndacha unafikiri Quran ni bíblia wapi katika Quran Yesu aliumba?
43:32 - Kwani wao ndio wanao gawa rehema za Mola wako Mlezi? Sisi tumewagawanyia baina yao maisha yao katika uhai wa duniani, na tukawanyanyua baadhi yao juu ya wengine kwa daraja nyingi; kwa hivyo baadhi yao wanawafanya wenginewe wawatumikie. Na rehema za Mwenyezi Mungu ni bora kuliko hayo wanayo yakusanya.
Ndacha wape somo
@berry4726
Ай бұрын
Hamna kitu dini hajui.
@bobramaso825
Ай бұрын
ENZI ZA NABII ADAM MUNGU ALIKUWA WAPI KAMA YESU NI MUNGU?VIPI ENZI NA NABII IBRAHIM MUNGU ALIKUA WAPI?
@shijamachiya3832
Ай бұрын
kabla Adam Yuko, Mimi Yesu, NIKO@@bobramaso825
Upandewapili nivigumusana kumufafanua Mungu inahitaji wanafalisafa wabobezi hao.mpakawakatiwakihama kwakuwahatautatuwaMungu hawajuikufafanua au ufafanuzi wao wanatakaMungu wamuonekwaumbilelipi?? wakatiMunguhuyohuyo ndiye alijifanyabinadamu hukohukokatikaulimwenguwabibiria . Natufanyemtukwamfanowetu maanayake hayo manenotafisiriyake inahitaji maalifa ?
Waislam mna shida gani?
Yohana 8:23 mbona unasuta Sule? Acha ujinga ukweli unaujua ila unapindisha. Ninyi ni wa chini Mimi ni wa juu endelea bwabwa wewe
Hata ukiwa neutral waislam wanazidiwa hoja sana
sule kakubali kuwa yesu ndio njia ya kweli na uzima hy inatosha sana kwa sasa mdogo mdogo unakuja
Hivi bado mnampa Airtime huyo Sele? Pamoja na kuusdhalilisha Usikamu??
Sheikh we hubiri tu ila Tanzania inanyanyasa wageni hatakama wana vitambulisho
Yaan baada ya kuleta dua inyo endana na jambo usika we unakuja kuombe yasio usika na mdaaro ndomana mike imekugomea😂
😢😢😢😢😢😢😢😮😢😢😢😢😢waislam 😂
Hoja ilibaki ni moja tu! Majin majini
Wewe pastor umeulizwa wapi Yesu alisema yeye ni mungu? Jibu swali Wacha ujanja bana
@samuellubunga1728
Ай бұрын
Soma ufunuo 21 yote
@hasinaalrahbi6681
Ай бұрын
Hilo jibu halitoki
@samuellubunga1728
Ай бұрын
@@hasinaalrahbi6681 ufunuo 21:3-7 soma
Huyu sele haki Hana hata aibu unaona hata watu ambao ni waislam wamegoma kwenda kwakua watu wangejitokeza kwa wingi hasa waislam angesema pete zimeleta watu siku sote mtu ukiongra kitu bila ya elimu basi kukosea kutakua kukubwa sana
Sinagogi ni nn?
Pastor kalele tu , mwalimu wa kislamu alimuuliza swali ya kiprofishnali lakin huyu kafiri anatamba Tamba tu, hapa sio kujionyesha vile unaongea hapa ni elimu ya kisomo kama yule mwalimu wa kislamu
Katika siku ndacha sijamuelewa bas Leo ninamba Moja jaman iyo mada Bora angeikaata maan mhhh imekua nzito kwa ndacha Bora unafik
@richardchimba3800
Ай бұрын
Ndacha ameshinda Sule ameshindwa
Ndacha hakuweza kumjibu Sule, wapi yesu kasema mimi mungu muniabudu? Ndacha kababaisha tu na kalikimbia swali😂
Walioichezea Biblia Na Kuzichakachua Taurati,Injili,Zabur Wamewachanganya Sana Wa Kristo
@mchezakwao
Ай бұрын
Wewe unayo quran ya enzi ya moha? Do we have a 7th century quran? Even a fragment ? None. Just uthman ambayo ni ya 8th century
@zahraabdul9652
Ай бұрын
Kweli kabisa ila bible nayo ilivurugwa sana
Sule akili huna na una hila za kishetani ndani yako
Sule hamuoni kama ni mwakilishi wa shetani. Mnapaswa kujiuliza shida yenu nini?
Huyu ndacha aliuziwa swali , je wapi Yesu alisema yeye ni mungu, na hakujibu swali ameanza kutamba, kwani kabla ya Abraham hakuna watu? Hiyo kwanza ni error katika bíblia sababu kabla ya Abraham Kuna umma wengi ulipita mbele yake na wale umma nani aliwaumba?
@bobramaso825
Ай бұрын
NA ENZI ZA NABII ADAM KULIKUWA NA UMA PIA WAO NAO SIJUI WALIKUA NA MUNGU GANI.
Hao wanaosapoti Dr. Selle nie miongoni mwa jamaa zake so ndugu ndani ya uislamu. Maana ameupazia sana mtope uislamu. Sasa uislamu gani ambao anautetea?
@AbdulRahman-ds5iq
Ай бұрын
Usiangalie mabaya yake angalia mambo anayo yafanya kama ni mema ishi nayo kama ni mabaya yaache
@ismailsoud3634
Ай бұрын
@@AbdulRahman-ds5iq ukiwa mshikina hata ufanye zuri la aina yoyote Mungu hatii TIKI, litakufaa hapa duniani lakini akhera huna kitu kwa mujibu wa Qur'an
@chikuiddy9946
Ай бұрын
@@ismailsoud3634usihukum mtu saingine katubia wacheni izo mambo waislam
Wasilamu acha ujinga Ona kazi hiyo nyie mnapombazwa na. Mayaudi Kama muhaammedi bachu maana awa chanzo Chao n MAyaudi
Dacha una mdomo sana wee ndo utatoa waislamu kwa makaburi 😏😏 shenzi type
Doctor sule wallah mtu ambae hajakuelewa hata darasani alikua haelewi umeshusha nondo kali sana
Islam will dominate
@JumaOnyancha-rs9pz
Ай бұрын
Will perish
wewe ndacha acha kudanganya wa kristo kwa kutafuta maslayi yako unapo uliza swali jibu acha ku kwepa kwepa wambiye wa kristo je yesu alimba ao hakuomba???
Sule andiko umelisoma kinafiki na kwa hila rudia hilo andiko utaelewa bwabwa wewe
Huyu ndacha ni 'summun bukmun umyun', na elimu ya Wakristo wanao msikiliza ni ya kusikitisha, elimu yake ya Chekechea
@aishaarusha894
Ай бұрын
Kwakweli yani uyu ndacha ni abujahal kabisa yani kalaaniwa
@nevisao3182
Ай бұрын
Unapataje uhakika wa kusema mwenzio kalaaniwa ilihali ww ni binaadam? Unaongeaga na mungu? Ww unajihakikishia kama umsafi?
@aishaarusha894
Ай бұрын
@@nevisao3182 basi na wewe umelaaniwa maana unaona ndacha ana faidi na laana😁
@samuellubunga1728
Ай бұрын
Ufunuo 21 :3 Yesu mwenyewe anadhibitisha
@richardchimba3800
Ай бұрын
Yaani Sule kashindwa wewe utaweza
Sulle wewe huja soma hakima kwasababu you don’t make sense man ..! Muhammad alikufa, Yesu yupo Mbinguni sasa bado huajaelewa..?
Kwa kweli sule ni doctor wa majini na waisilamu wanamkubali kuwadanganya
Ndacha hamna kitu dini hajui.
Wakristo huyu anawapeleka motoni chungana na yeye huyu ni iblis
@herimornchriston6083
Ай бұрын
inaweza ukawa uko sahihi ila mm kamwe siwez kumfuata alieoa binti wa miaka 08. huyo simtambui na sitamtambua kamwe kama mtume
@abubakarjuma5826
Ай бұрын
Kama unahis ni sawa unavo ongea poa ila jahamnam inawasubir wakirsto nyote.
@herimornchriston6083
Ай бұрын
@@abubakarjuma5826 ungeli jua jehanum n kwaajili ya nani usingali onge hilo kwasabb jehanum n kwa wale wote wanaopinga juu ya imani ya yesu kristu na amri za Mungu. kwahy kama ww unaiba,unazini,unasema uongo, unawatukana watu,unaenda kwa mganga,muasherati unakataa kwamba yesu ndio massiah huyu ndio utakaeingia jehanum !!! na kama Quran imesema jehanumu n kwadini fulani au kwa dhehebu fulani nakili kwadhati kama imesema hvy imewadanganya.
Pastor hajajibu swali , kalele tu
Pastor anaongea kama Ako kwa kanisa, Hana chochote
Ndacha wacha kutafsir aya nusu nusu unapotosha ao wajinga wenzak wakristo
Dr. Sulley unafnya kaz kubwa, ndacha anafahamu bali ni ukafir unaomsumbua tuu
We ndacha koma kwanza kutafsir aya za kur -an unavotak ww usitafsir kinyume nyume
Jmn.sikilizeni.hoja.za.dr.sule.yani.kitalamu.ndacha.ame.filisika.ndacha.acha.ubisi.eti.wakorosai.wakorosai.ni.bada.ya.yesu
sasa ndacha kama yesu aliitwa mungu hajawa mungu wewe ndacha unamfata uyo alimuita yesu mungu maana ingekuwa ndacha unamfata yesu kweli unesha wa kristo wapi yesu anasema mimi yesu ni mungu
sasa ndacha kama yesu aliitwa mungu hajawa mungu wewe ndacha unamfata uyo alimuita yesu mungu maana ingekuwa ndacha unamfata yesu kweli unesha wa kristo wapi yesu anasema mimi yesu ni mungu