🔴 LIVE: 10/01/2024 | PATA MUDA NA MUNGU | PR. DAVID MMBAGA
Жүктеу.....
Пікірлер: 105
@marygoretysenga11195 ай бұрын
Mimi ningependa kutoa ushuhuda wangu.kuna somo ulitoa 2023 mwezi wa nne,kichwa kilikuwa ni IMANI HALISI.nimeisikiliza juzi na wakati wa maombi ulipofika ukaitana hivi....mtu yeyote Ana jambo lililoko mbele yako ambalo linakutisha.mimi kwa kweli nilikuwa ninaumwa kwa siku Tatu hivi kwa upande wa ini.niliamini kwamba maombi yalikuwa yangu kabisa...baada ya naombi mtumishi nishuhudie kwamba maumivu yalipotea na mpaka Leo siumw kabisa,nimepona.sifa na utufu ni kwa mungu....mkenya nairobi
@esthersimuli9952
5 ай бұрын
Amen 🙏
@dianaelvas43
Ай бұрын
Amen
@MjakaziGladys6 ай бұрын
Makufuatilia sana mchungaj japo mimi sio msabato... ubarikiwe na Mungu.
@rogerkambale99986 ай бұрын
Pasta asante,niombee iliniwe n'a hekima,nimpende mungu tena zaidi, naomba Salama katika unyumba wangu,watoto wangu wakomae wakimpenda mungu
@amoskaghoma24106 ай бұрын
Asante kwa baraka hiii kubwa,mimi ni amosi toka kongo
@zeliageorge33116 ай бұрын
Ni mbaraka mwingine tena wa siku 10 za maombi, tunaamini tutaendelea kutua mizigo, tutainuliwa kwa namna ya pekee na tutawekwa huru in the name of Jesus amen.
@bestsagara99385 ай бұрын
Nabarikiwa sana kwa haya mahubiri, Bwana aendelee kukutumia vyema. Hakika tutamshuduia Mungu kwa makuu anayotenda maishani mwetu.
@HappinessAhia-ey1lq11 күн бұрын
Amen amen amen pastor. Mungu anazidinkukutumia na hakika unanibariki. Wakati mwingine nakosa kabisa muda lakini kidogo ninaopata nakufwatilia sana na mahuniri yako yamenitoa mbali sana.
@zaitunimkanyagasi65016 ай бұрын
Ubarikiwe Sana pasted,naomba uniombee niwe wakumpendeza Mungu na wanadamu,na nipate mume wangu wakunipendeza
@gloriamasaka76356 ай бұрын
Asante sana kwa siku 10 za maombi, hata karibu na kwetu hakuna maombi ya siku kumi, nimeshukuru kupata mpango huu, barikiwa
@josekaselele44925 ай бұрын
Barikiwa Pastor Mungu azidi kukuinua na kukutunza nabarikiwa sana na mafundisho yoteeee yako utunzwe na Bwana
@olpajeremia32106 ай бұрын
Nabarikiwa mnooo na mahubiri haya pr Mbaga.Niombee Binti yako olpa Jeremiah fanuel wa Kivule msongola.Nasumbuliwa mnooo na kuvimba miguu😭🙏🙏
@user-ii2li2mp8p6 ай бұрын
Tumshukuru Mungu kwa kutupatia mtumishi wake pastor mmbaga atupatia ujumbe kutoka kwa Mungu mwenyewe Mungu mbariki mtimishi wako nabarikiwa sana na pastor mmbaga
@JohnThadayo5 ай бұрын
Nabarikiwa sana na mahubiri mazuri na mungu akubariki 🙏🙏🙏🙏
@VictoriaJuma-dw7im6 ай бұрын
Amen Mungu atubariki sote
@Annie-mg7sz5 ай бұрын
Aksante sana pastor, nimebarikiwa sana. Mungu akupe maisha marefu yenye afya njema kwani naamini baba yetu wa Mbinguni amekuandaa ili uongoe roho za watu wengi zaidi ya walioisha ongoka. Hakika masomo na mafundisho yako ni unique na yanagusa maisha yangu katika namna ya pekee . Masomo yako nikiyasikiliza kila siku kabla sijalala na kuwa nalala na imani thabiti ready to face the next day kwa imani kwamba usiku wote sihitaji hofu. Ninapoyasikiliza Asubuhi yananifanya nione nishafanikiwa katika plan zangu za siku na kuondokana na mawazo mabaya yanayonionyesha kwamba mimi sio mshindi. Aksante my pastor kwa kunifundisha kwamba kitendo cha kwamba nilizaliwa mimi tayari ni mshindi .....statement hiyo inanipa nguvu na ujasiri wa kiutendaji. Aksante pastor kwa mafunuo mazuri.
@philmonnem72946 ай бұрын
Mungu azidi kukutunza pastor
@fatemajohn31956 ай бұрын
Ubarikiwe sana pastor Mmbaga kwa mafudisho mazuri MUNGU azidi kukutunza pamoja na familia yako na barikiwa sana na mafudisho yako Baba yangu
@ROGERBerbatov-yg7ws6 ай бұрын
Ubarikiwe sana mutumishi wa Mungu
@user-pc3hv8zc5m6 ай бұрын
Nabarikiwa na neno la mungu
@joyceademba65736 ай бұрын
Ameen,nami naomba boss wangu anisikilize siku za ibada aweze kuniruhusu
@user-fi9ef2rd8k6 ай бұрын
Naamini Mungu hujibu maombi tukiamini
@user-ep9by3ui1v6 ай бұрын
❤utusaidie mungu baba tukupende zaidi ya yote🤦♀️
@maishamahukualimas71165 ай бұрын
mungu wetu aku bariki papa pasta
@shukranjulius95266 ай бұрын
Pastor hakika nimebarikiwa sana na hili somo
@hamzajamaica6 ай бұрын
Tuombeye mungu atupe nguvu ya roho mtakatifu
@jannykomu53456 ай бұрын
Pr,niombee niponye magonjwa na ndoto zinazonisubua mimi na familia yangu.
@user-gn5bw4dr1e6 ай бұрын
Nîme shiriki ibada toka nyumbani mwangu apa GOMA, Kivu ya KASKAZINI, D.R.C Nina omba msaada kwa pasta MMBAGA ya maombi kuhusu kazi yangu ya upasuhaji wa mabati na mkaa amboyo ina kwama MUNGU anisaidie nipate 'amna ya kuya tosha msituni na kuya fikisha sokoni Mimi ni LUSANGI WABEKA WILLY Asante
@tunzodaniel77006 ай бұрын
Pr Mungu akubariki kuna changamoto kwenye hili somo kuna sehem sauti haisikiki maana nimelidowlord naamini litafanyiwa kazi
@JusterKendi-si9wo6 ай бұрын
Mwalimu mzuri sana. Nashukuru sana pasta
@user-oo4ms3qk6t6 ай бұрын
Nakuelewa sana pastor naitwa risper juma Niko hapa kigambon
@thabitawanka9636 ай бұрын
Mungu akutumiye watu maelfu waokolewe sifa nikwa Mungu
@josephinashogela9036 ай бұрын
Amen ni Imani yangu kuwa ndani ya siku kumi za maombiBwana ataleta badiliko kubwa kwa walio lake. Be blessed all.
@JusterKendi-si9wo
6 ай бұрын
Umenilea Sana kuroho
@josephinashogela903
6 ай бұрын
Barikiwa sana
@user-pc3hv8zc5m6 ай бұрын
Mungu akubariki
@user-tc4hh8xs5t6 ай бұрын
Amen
@mulokozididace30516 ай бұрын
Barikiwa sana
@CristelleZIHALIRWA-oi7ok6 ай бұрын
Asante muchungaji naombi moja kwa Siku 10ya maombi napenda mungu anilinde Pia napate kujuwa namna ya kufundisha Neno lake takatifu , niwe kama wewe muchungaji
@sarah.robert4286 ай бұрын
ameen pr
@JusterKendi-si9wo6 ай бұрын
God is Great. Thanks pst David
@kaviravagheniАй бұрын
Pasta nami najekeka sana namafundicho yako.mimi natoka kwenye inchi ya congo.uniombeye nami nipate mtoto kwenye ndoa yangu
@user-sh8nk8er7n6 ай бұрын
Kweli Pastor niombee kusimama na neno la Mungu na Roho Mtakatifu
@esthersawiga99796 ай бұрын
Mungu azidi kukulinda Pastor Mmbaga 🙏
@Kerubo2626 ай бұрын
Amen Amen. May God bless you all.
@esthermsenye68946 ай бұрын
Amen🙏🏽
@sarajoana63836 ай бұрын
Amen ubarikiwe sana
@anchillakagombola936 ай бұрын
Barikiwa Mchungungaji.Tumepata mengi.
@marymshana98686 ай бұрын
Glory to God
@tinnatinna15486 ай бұрын
Hakika Mungu atufungue kupitia siku 10 za maombi.
@user-nu9pd7yo8m6 ай бұрын
Pasta niombee nizidishe ukaribu na mungu
@rosemuia6 ай бұрын
Amen Amen growly to JESUS mjungaji jm blessed niko nakijana anakunwya pombe vibaya anitwa Daniel naiitaji maombi yako namini mungu atatenda yalio mema jm in saudi
@MahubiriPrMmbaga
6 ай бұрын
Mungu atende muujiza kwa Daniel. Ninamuombea
@rosemuia
6 ай бұрын
@@MahubiriPrMmbaga Amen Amen growly to JESUS mjungaji naamini
@Kivukutv6 ай бұрын
barikiwa muchungaji mimi ombi langu kubwa ni kwamba mwisho wa siku kumi niwe nime pata karama ya uponyaji
@AngelinaSimion46 ай бұрын
Mungu n mwem n barikiwa n mahubir Aya kupitia chanel muhubir tv asanten
@naomijoseph77496 ай бұрын
Nime Barikiwa Sana sana Barikiwa mtumishi
@user-nu6td3bj5g6 ай бұрын
Kanzi ya bwana tuko tnabalikiwa sana mm na familia yetu yote mungu akulinde na ww
@MokiliJack-pd5gu6 ай бұрын
Aminaa Mungu aendelee kukutumia nabarikiwa sana
@bobog97326 ай бұрын
Amina amina
@mariamwalongo6 ай бұрын
Mungu atukuzwe Mtumish Mungu akubariki kwahuduma
@BettyGodfrey-uf6ji6 ай бұрын
Somo nzuri sana , nimebarikiwa
@user-wy9bk6zv8h6 ай бұрын
Ubarikiweeee saana mchungaji
@Mapenzi26356 ай бұрын
God is good, Pr.
@JudthSamson
6 ай бұрын
Mchungaj naomba nsaidie kuombea familia yangu tuepushiwe na magonjwa
@DIANAMAGEMBE-dy9um
5 ай бұрын
Hakika Mungu anatenda amini
@anchillakagombola936 ай бұрын
Barikiwa mchungaji,tumepata mengi.
@Hellen4666 ай бұрын
Nimebarikiwa sana na somo hili
@user-hw4zn2zy3y6 ай бұрын
Yesu anaendelea kujikaza na ninabarikiwa na kipindi hiki maana nazidi Kujua siri ya maombi sasa
@MashakaSaid-gh5ot6 ай бұрын
Jaman naomba muniombee katika jozi zangu nataka kuwa mtumishi shambani mwa Bwana
@magrethsayi
6 ай бұрын
Amina mungu akutendee sawa sawa na mapenzi yake be blessed
@evalineodira86806 ай бұрын
Prayformorher
@user-dt7jl7bi7e6 ай бұрын
Katika maombi haya mungu afungue watu wake
@user-ce4wr6oy3i6 ай бұрын
ameen mungu sikia maombi yetu
@user-fx2qd8tz4c6 ай бұрын
Wapi hapa
@calebmakori6 ай бұрын
GOD amuses me every day and i thank Him for the sermon because you preached what i was praying for i have no doubt that God is talking to me and He has answered my prayer
@user-mm5ec9ei8t6 ай бұрын
Nimependa mahuburi haya. Mwenye no yake jamani naomba
@nm16176 ай бұрын
Naomba ile namba ya kutuma maombi
@user-gp2kj2wj5l6 ай бұрын
Naomba msaada wa number ya pastor mmbaga
@MashakaSaid-gh5ot6 ай бұрын
Tuombe pia tumshinde shetani kabisa asipate nafasi hata kidongo
@user-ii1zb2vz1l6 ай бұрын
Niombeee Mungu aendelee kusimama na Mimi Kwenye changamoto za maisha
@sarafinamtweve94626 ай бұрын
Nahita kumpenda MUNGU kuliko kitu chochote
@nangasuamani87736 ай бұрын
Samahani naomba kujua mnarusha kutokea wapi
@user-gp2kj2wj5l6 ай бұрын
Naomba msaada mwenye number ya Pastor Mmbaga
@magrethsayi
6 ай бұрын
Me pia nahitaji no ake
@suzanamachango30006 ай бұрын
Mungu wangu naomba unisaidie nipate muda wa kuongea nawe. Asante sana kwakuwa unatenda. Barikiwa pr.
@zaitunimkanyagasi65016 ай бұрын
Ubarikiwe Sana pasted,naomba uniombee niwe wakumpendeza Mungu na wanadamu,na nipate mume wangu wakunipendeza
@zeliageorge33116 ай бұрын
Ni mbaraka mwingine tena wa siku 10 za maombi, tunaamini tutaendelea kutua mizigo, tutainuliwa kwa namna ya pekee na tutawekwa huru in the name of Jesus amen.
@user-pc3hv8zc5m6 ай бұрын
Mungu akubariki
@josphatmogaka86685 ай бұрын
Amen
@philmonnem72946 ай бұрын
Mungu azidi kukutunza pastor
@user-gp2kj2wj5l6 ай бұрын
Naomba msaada wa number ya pastor mmbaga
@mayacherie32716 ай бұрын
Amen
@philmonnem72946 ай бұрын
Mungu azidi kukutunza pastor
@JusterKendi-si9wo6 ай бұрын
Amen
@user-yc3wt9zg3v6 ай бұрын
Amen
@elizabethmanongi156 ай бұрын
Amen
@philmonnem72946 ай бұрын
Mungu azidi kukutunza pastor
@judithnjalambaya24506 ай бұрын
Amen
@user-rm1mm4ns7z6 ай бұрын
Amen
@mirajivalentine6183
6 ай бұрын
Nabarikiwa na Maombi na mahubiri yako, Mchungaji naomba uniombee Mungu anijaze roho mtakatifu, watu ninaowadai wanilipe pesa zangu niliowakopa, nipate ujauzito ndani ya mwaka huu
Пікірлер: 105
Mimi ningependa kutoa ushuhuda wangu.kuna somo ulitoa 2023 mwezi wa nne,kichwa kilikuwa ni IMANI HALISI.nimeisikiliza juzi na wakati wa maombi ulipofika ukaitana hivi....mtu yeyote Ana jambo lililoko mbele yako ambalo linakutisha.mimi kwa kweli nilikuwa ninaumwa kwa siku Tatu hivi kwa upande wa ini.niliamini kwamba maombi yalikuwa yangu kabisa...baada ya naombi mtumishi nishuhudie kwamba maumivu yalipotea na mpaka Leo siumw kabisa,nimepona.sifa na utufu ni kwa mungu....mkenya nairobi
@esthersimuli9952
5 ай бұрын
Amen 🙏
@dianaelvas43
Ай бұрын
Amen
Makufuatilia sana mchungaj japo mimi sio msabato... ubarikiwe na Mungu.
Pasta asante,niombee iliniwe n'a hekima,nimpende mungu tena zaidi, naomba Salama katika unyumba wangu,watoto wangu wakomae wakimpenda mungu
Asante kwa baraka hiii kubwa,mimi ni amosi toka kongo
Ni mbaraka mwingine tena wa siku 10 za maombi, tunaamini tutaendelea kutua mizigo, tutainuliwa kwa namna ya pekee na tutawekwa huru in the name of Jesus amen.
Nabarikiwa sana kwa haya mahubiri, Bwana aendelee kukutumia vyema. Hakika tutamshuduia Mungu kwa makuu anayotenda maishani mwetu.
Amen amen amen pastor. Mungu anazidinkukutumia na hakika unanibariki. Wakati mwingine nakosa kabisa muda lakini kidogo ninaopata nakufwatilia sana na mahuniri yako yamenitoa mbali sana.
Ubarikiwe Sana pasted,naomba uniombee niwe wakumpendeza Mungu na wanadamu,na nipate mume wangu wakunipendeza
Asante sana kwa siku 10 za maombi, hata karibu na kwetu hakuna maombi ya siku kumi, nimeshukuru kupata mpango huu, barikiwa
Barikiwa Pastor Mungu azidi kukuinua na kukutunza nabarikiwa sana na mafundisho yoteeee yako utunzwe na Bwana
Nabarikiwa mnooo na mahubiri haya pr Mbaga.Niombee Binti yako olpa Jeremiah fanuel wa Kivule msongola.Nasumbuliwa mnooo na kuvimba miguu😭🙏🙏
Tumshukuru Mungu kwa kutupatia mtumishi wake pastor mmbaga atupatia ujumbe kutoka kwa Mungu mwenyewe Mungu mbariki mtimishi wako nabarikiwa sana na pastor mmbaga
Nabarikiwa sana na mahubiri mazuri na mungu akubariki 🙏🙏🙏🙏
Amen Mungu atubariki sote
Aksante sana pastor, nimebarikiwa sana. Mungu akupe maisha marefu yenye afya njema kwani naamini baba yetu wa Mbinguni amekuandaa ili uongoe roho za watu wengi zaidi ya walioisha ongoka. Hakika masomo na mafundisho yako ni unique na yanagusa maisha yangu katika namna ya pekee . Masomo yako nikiyasikiliza kila siku kabla sijalala na kuwa nalala na imani thabiti ready to face the next day kwa imani kwamba usiku wote sihitaji hofu. Ninapoyasikiliza Asubuhi yananifanya nione nishafanikiwa katika plan zangu za siku na kuondokana na mawazo mabaya yanayonionyesha kwamba mimi sio mshindi. Aksante my pastor kwa kunifundisha kwamba kitendo cha kwamba nilizaliwa mimi tayari ni mshindi .....statement hiyo inanipa nguvu na ujasiri wa kiutendaji. Aksante pastor kwa mafunuo mazuri.
Mungu azidi kukutunza pastor
Ubarikiwe sana pastor Mmbaga kwa mafudisho mazuri MUNGU azidi kukutunza pamoja na familia yako na barikiwa sana na mafudisho yako Baba yangu
Ubarikiwe sana mutumishi wa Mungu
Nabarikiwa na neno la mungu
Ameen,nami naomba boss wangu anisikilize siku za ibada aweze kuniruhusu
Naamini Mungu hujibu maombi tukiamini
❤utusaidie mungu baba tukupende zaidi ya yote🤦♀️
mungu wetu aku bariki papa pasta
Pastor hakika nimebarikiwa sana na hili somo
Tuombeye mungu atupe nguvu ya roho mtakatifu
Pr,niombee niponye magonjwa na ndoto zinazonisubua mimi na familia yangu.
Nîme shiriki ibada toka nyumbani mwangu apa GOMA, Kivu ya KASKAZINI, D.R.C Nina omba msaada kwa pasta MMBAGA ya maombi kuhusu kazi yangu ya upasuhaji wa mabati na mkaa amboyo ina kwama MUNGU anisaidie nipate 'amna ya kuya tosha msituni na kuya fikisha sokoni Mimi ni LUSANGI WABEKA WILLY Asante
Pr Mungu akubariki kuna changamoto kwenye hili somo kuna sehem sauti haisikiki maana nimelidowlord naamini litafanyiwa kazi
Mwalimu mzuri sana. Nashukuru sana pasta
Nakuelewa sana pastor naitwa risper juma Niko hapa kigambon
Mungu akutumiye watu maelfu waokolewe sifa nikwa Mungu
Amen ni Imani yangu kuwa ndani ya siku kumi za maombiBwana ataleta badiliko kubwa kwa walio lake. Be blessed all.
@JusterKendi-si9wo
6 ай бұрын
Umenilea Sana kuroho
@josephinashogela903
6 ай бұрын
Barikiwa sana
Mungu akubariki
Amen
Barikiwa sana
Asante muchungaji naombi moja kwa Siku 10ya maombi napenda mungu anilinde Pia napate kujuwa namna ya kufundisha Neno lake takatifu , niwe kama wewe muchungaji
ameen pr
God is Great. Thanks pst David
Pasta nami najekeka sana namafundicho yako.mimi natoka kwenye inchi ya congo.uniombeye nami nipate mtoto kwenye ndoa yangu
Kweli Pastor niombee kusimama na neno la Mungu na Roho Mtakatifu
Mungu azidi kukulinda Pastor Mmbaga 🙏
Amen Amen. May God bless you all.
Amen🙏🏽
Amen ubarikiwe sana
Barikiwa Mchungungaji.Tumepata mengi.
Glory to God
Hakika Mungu atufungue kupitia siku 10 za maombi.
Pasta niombee nizidishe ukaribu na mungu
Amen Amen growly to JESUS mjungaji jm blessed niko nakijana anakunwya pombe vibaya anitwa Daniel naiitaji maombi yako namini mungu atatenda yalio mema jm in saudi
@MahubiriPrMmbaga
6 ай бұрын
Mungu atende muujiza kwa Daniel. Ninamuombea
@rosemuia
6 ай бұрын
@@MahubiriPrMmbaga Amen Amen growly to JESUS mjungaji naamini
barikiwa muchungaji mimi ombi langu kubwa ni kwamba mwisho wa siku kumi niwe nime pata karama ya uponyaji
Mungu n mwem n barikiwa n mahubir Aya kupitia chanel muhubir tv asanten
Nime Barikiwa Sana sana Barikiwa mtumishi
Kanzi ya bwana tuko tnabalikiwa sana mm na familia yetu yote mungu akulinde na ww
Aminaa Mungu aendelee kukutumia nabarikiwa sana
Amina amina
Mungu atukuzwe Mtumish Mungu akubariki kwahuduma
Somo nzuri sana , nimebarikiwa
Ubarikiweeee saana mchungaji
God is good, Pr.
@JudthSamson
6 ай бұрын
Mchungaj naomba nsaidie kuombea familia yangu tuepushiwe na magonjwa
@DIANAMAGEMBE-dy9um
5 ай бұрын
Hakika Mungu anatenda amini
Barikiwa mchungaji,tumepata mengi.
Nimebarikiwa sana na somo hili
Yesu anaendelea kujikaza na ninabarikiwa na kipindi hiki maana nazidi Kujua siri ya maombi sasa
Jaman naomba muniombee katika jozi zangu nataka kuwa mtumishi shambani mwa Bwana
@magrethsayi
6 ай бұрын
Amina mungu akutendee sawa sawa na mapenzi yake be blessed
Prayformorher
Katika maombi haya mungu afungue watu wake
ameen mungu sikia maombi yetu
Wapi hapa
GOD amuses me every day and i thank Him for the sermon because you preached what i was praying for i have no doubt that God is talking to me and He has answered my prayer
Nimependa mahuburi haya. Mwenye no yake jamani naomba
Naomba ile namba ya kutuma maombi
Naomba msaada wa number ya pastor mmbaga
Tuombe pia tumshinde shetani kabisa asipate nafasi hata kidongo
Niombeee Mungu aendelee kusimama na Mimi Kwenye changamoto za maisha
Nahita kumpenda MUNGU kuliko kitu chochote
Samahani naomba kujua mnarusha kutokea wapi
Naomba msaada mwenye number ya Pastor Mmbaga
@magrethsayi
6 ай бұрын
Me pia nahitaji no ake
Mungu wangu naomba unisaidie nipate muda wa kuongea nawe. Asante sana kwakuwa unatenda. Barikiwa pr.
Ubarikiwe Sana pasted,naomba uniombee niwe wakumpendeza Mungu na wanadamu,na nipate mume wangu wakunipendeza
Ni mbaraka mwingine tena wa siku 10 za maombi, tunaamini tutaendelea kutua mizigo, tutainuliwa kwa namna ya pekee na tutawekwa huru in the name of Jesus amen.
Mungu akubariki
Amen
Mungu azidi kukutunza pastor
Naomba msaada wa number ya pastor mmbaga
Amen
Mungu azidi kukutunza pastor
Amen
Amen
Amen
Mungu azidi kukutunza pastor
Amen
Amen
@mirajivalentine6183
6 ай бұрын
Nabarikiwa na Maombi na mahubiri yako, Mchungaji naomba uniombee Mungu anijaze roho mtakatifu, watu ninaowadai wanilipe pesa zangu niliowakopa, nipate ujauzito ndani ya mwaka huu
Naomba msaada wa number ya pastor mmbaga
Amen