Lava Lava Katika Mashindano Ya Kusoma Quran part 1
Ойын-сауық
Asalaam Walaikum Warahmatullahi Wabarakatuh
Lava Lava alipata mualiko kama mgeni rasmi Wamashindano Ya Kuhifadhi Quran Tukufu Iliyofanyika Mwananyamala Ccm
Tuma 7766630 kwenda 15577 (Vodacom Tanzania) kuwa muito wa simu
Ya Ramadan Available:
iTunes:itunes.apple.com/album/id13885...
Wasafidotcom:www.wasafi.com/audio-detail?a...
Amazon:a.co/7WefWMQ
Tidal:tidal.com/track/89214306
Spotify:open.spotify.com/album/3eJW1t...
Пікірлер: 485
Kama unamkubali lavalava acha ubishi acha kusita usione aibu mpe like zake jamaa anajua mpaka amepitiliza yaan kanishinda tabia like nyingi kwake tafadhari
@winfridamubinge5237
6 жыл бұрын
duu nmekuelewa lavalava Kumbe umo
@omarymmanga6477
6 жыл бұрын
wilonja hatua kweli ache kuimba
@mpemba8730
6 жыл бұрын
Pesa hufanya lahalali kuwa haramu na laharamu kuwa LA halali kiukwel kuimba ni zambi na
@shabanimkwizu423
5 жыл бұрын
Daaah kumbe upo kila upande
@niaally5365
5 жыл бұрын
mashaallah tulia kwa allah kaka
Hongera kijana, nina Imani huko katika muziki ni katika kutafuta rizki tu, Naamini uwepo wa Qur'an kichwani mwako upo palepale, Na Inshaala Mungu atakuongoza.
@Manshyne
6 жыл бұрын
Binura Rassi umesema kweli kabisa
@nadhlfasalmazena7444
6 жыл бұрын
Binura Rassi Aaaamin
@bosslady8152
6 жыл бұрын
👏👏👏
@aftonisudi2778
6 жыл бұрын
Innalillah
@nadhlfasalmazena7444
6 жыл бұрын
Aftoni Sudi wainnailayhi rajiun
Allah akufanyie wepesi akupe ufahamu ludi kwenye haki kaka umepewa uwezo wakuwa na elimi utaulizwa juu ya elimu Yako dunia tunapita tuu vyote tunaviacha
Lavalava mashaallah,, allah kakujalia unasauti nzur ya kusomea kuran bas itumie vema katika kufanya ibada zake kuliko kuitumia katika namna ya kuikufuru neema hiyo alokupatia Allah
Achakuimba kakangu 😢😢ina skitisha sana😢😢
Herikuoba nashida kuliko bongo kaka. Usiache kabisa sahau nyombozote za bongo adika waswida ukosawa ❤❤❤
Mashallah upo vizur kijana Allah akuongoze kwenye njia ilio nyooka
Mashallaah, lava lava kumbe uko pia kwenye kisomo cha mola wako, mungu awe naww Daima 🙏🙏🙏🙏,syo muziki tu bila kujianda na jahanamu hongera san
Allah kakupa sauti nzuri itumie katka kusoma quruan utafaulu leo na kesho akhera acha tamaa za kidunia
@leonardjoseph5643
6 жыл бұрын
mi naona aludi kwenye kuimba kaswida to
@sakinamubaraka1246
6 жыл бұрын
+Leonard Joseph ww unataka kumchochea mwenzako kwenye moto kuimba haifai aache tu mziki amrudie mungu wake
@selejecha2320
6 жыл бұрын
Acha kuimba wewe kiwanja mzuri huyo uliko si kuzuri
@alimohammed6868
6 жыл бұрын
Eliasa Yasini naam kweli kabisa
@sophicatesalim9757
5 жыл бұрын
Kbsa faida kubwa ya kesho ya dunia hata tusaidia kitu kesho
Allah ampe mwisho mwema
Nivizur kufanya jambo ambalo unalipenda lakini kumbuka mungu amekataza mziki na nikharamu kusikiliza na kuimba pia ndiyo nimaisha ila usiya wangu kwako kama nduguyako muislam mwenzako dunia ni mapito na wote tutaondoka Tubu kwa mola wako
Mashaallah lava lava mungu akufanyie wepec kwakila ufanyalo katika maisha yko imani iko moyoni
Namuomba mungu akujalie kila lakhel
MashaAllah Lava lava Mwenyezi Mungu akuzidishie heri. Ama nikuite ustadh Abdul.
@hadjahossen929
5 жыл бұрын
Mashaalla Mungu akujalie kaka angu
lava lava mrudie ALLAH ndugu yangu uko vizuri kusoma Qran
Mungu atuhidi katika njia ilo njooka Inn Shaa Allah ,Atutoe duniani Hali ya kuwa yuko radhi n sisi.
Lava lava siubak tu huku jmn ndio kuzur haswaa kuliko hata bongo fleva hemu rud kwa Allah mana huna usokijua kaka angu
@ffahima2010
6 жыл бұрын
MASHA CLASSIC kweli kbsa
@zuenasalim7136
6 жыл бұрын
Amin ya rabbbi Allah amuongozee
@allysalim9736
6 жыл бұрын
MASHA CLASSIC dunia ni khatari sana
@fongowest8895
4 жыл бұрын
Day natamani hats ungekuwa best yangu unaweza sana
@jumasaid8927
3 жыл бұрын
Kbsa
Mashaallah kakayangu Allah akuongezi akupemwisho uliomwema
MashaAllah lava lava you have a lot of Iman. ...
Wallahi Dini imekuwa ni sehemu ya kujipatia umaarufu. Vitu viwili havikai katika moyo mmoja haki na baatili na bahati mbaya huwa haki inakimbia. Usipokuwa tayari ndugu kubadilika basi unaweza ukaingia katika unafiki bila ya kujijua. Achana na upotofu njoo katika njia ya haki km kweli huwezi kuishi bila ya kuimba basi imba annasheed. Hsyo ni maoni yangu. Hakika Mtume s.a.w ameambiwa hana uwezo wa kumuongoa yoyote yule. Mwenye uwezo huo ni Allah subhanahuu peke yake basi na mm ni kukufikishia ujumbe tu. Rejea katika surat luqman Allah amewaandalia adhabu yenye kufedhehesha nyny waimbaji. Jazi kwenu
@aboukhalphan1309
5 жыл бұрын
Khattab Khamis Shukran you are talking point Allah akujalie elmu na akuruzuku kufaham
@user-pw5tj1gz8c
2 жыл бұрын
Muziki anafanya kutafuta riski punguza roho chafu naumaskini
Mashallah lava lava usivae vipuli basi dini waijua
Jamani tusimuhukumu mtu....Allahummah jaalnna khusnul khaatim Ameen
@hissumseif2714
5 жыл бұрын
Queen Maa walal aaakhiratu khayrul llaka minal uuulah "na mwisho n bora kuliko mwanzo"
@mikailomar
4 жыл бұрын
Uislamu hauna kuhukumiana bali Una sheria alizoweka Allah naye mtume akatufunza..muziki na qaswida ni haramu na mtu akifa bila kutubia ni miongoni mwa waliozidhulumu nafsi zao..tusiwe Kama makafiri hujitetea kwa misemo ya tusihukumiane...
@abdoulrahimmigomba3885
4 жыл бұрын
Aamin
@shabanially2405
4 жыл бұрын
0757588181
@khamiskhamis2585
3 жыл бұрын
Assalaamu alaykum warahmatullaahi wabarakaatuh
Allah akuongoze katika swiraatwalmustakiima na akupe husnulkhaatima
Masha Allah, Masha Allah, Masha Allah, Lava lava mungu akuongoze kakangu
Maa sha Allah umependeza Allah akuongoe
MaashaAllah MaashaAllah MaashaAllah lava lava Abdul una saut nzur ya ng'ani na uimbaj wako mzur MaashaAllah 😍😍😍
Yaa Allah tuongoze katika njia ilonyooka
uko vzur lava lava
😭😭😭😭 lavava umepotea njia mdogo wangu natamani kipajichako cha kusoma Qur'an Allah angenipa mm Ibilisi akuachie lavalava wangu
@aminaissa5015
4 жыл бұрын
Masha Allah abduli
Umejaaliwa Kijana Ya Allah Muongoze ktk njia Iliyonyooka...
@bnbnbnbbnvbn9006
4 жыл бұрын
Allahum Amiiin Amiiin Amiiin Amiiin Amiiin Amiiin
Mashaallah Allah awaongoze wote
You are someone who is so proud to his religion well done man
Yuko vizuri Allah akujalie
Allah akusimamie
Vizur sana kaka na jitahid kubaki katika misingi ya imani ya dini yako
Inna lillah wa Inna ilaih Raji Qur'an na kaswida wapi na wapi itakullah ndugu zangu tusidanganywi na dunia😭😭
@mohammedrajabumwamba1322
3 жыл бұрын
Qaswida hiyo nikama mawaaidha kwahiyo so vibaya tukaisikiliza tu ndo mana lava lava anatuambia tujiunge waumini muadhini akiadhi tuende misikitini aaaya natuziswali swala tano. kwani hayo maneno ukiyatafsiri Ni mawaaidha
@maimunakassim2840
3 жыл бұрын
Kwa hiyo kaswida ni matusi acha uhayawani mtume mwenyewe alipokelewa na qaswida
@nahirkassim5574
3 жыл бұрын
Mashaallah hadi nasisimkwa Na mwili
Allah akuongoze umrudie mola wako.
ndugu zangu ktk imani hawa watu wanaitaji dua zetu ili wote wamtumikie mungu inshalah
mashallah ya allah mbadilishe mja wako muongoze njia iliyo nyooka
@aishanatamaniningekuepoktk5062
4 жыл бұрын
Amna lkn lahafudhi niyanyimbo
Najikuta namkubali sana huyu jamaa!!!!ubaki tu katika kuitangaza dini yetu inshaallah.
@selejecha2320
6 жыл бұрын
ukitaka Allah atakusaidia inshallah
Masha allah kijana unastahili kuwa shekhe mzur tafuta biashara ufanye ya halali japo m/mungu ndo ajua mapungufu ya mja wake lakin ni vema ukajikita na dini hakika m/mungu ni mwingi wa rehma
Mashaallah kwakwl allah akuongoze kk
Allah akuongoze pamoja nasi kaka, naamini kwa dua zetu kila kitu kitaweza utarudi tu amin
( قُل لِّعِبَادِيَ الَّذِينَ آمَنُوا يُقِيمُوا الصَّلَاةَ وَيُنفِقُوا مِمَّا رَزَقْنَاهُمْ سِرًّا وَعَلَانِيَةً مِّن قَبْلِ أَن يَأْتِيَ يَوْمٌ لَّا بَيْعٌ فِيهِ وَلَا خِلَالٌ ) إبراهيم (31) Ibrahim Waambie waja wangu walio amini, washike Sala, na watoe katika tulivyo waruzuku, kwa siri na dhaahiri, kabla haijafika Siku isiyo kuwa na biashara wala urafiki.
@mohammedrajabumwamba1322
3 жыл бұрын
MaashaaAllah Jazakallahu khaira 🙏
Mashaallah had rah wallah honger san kijan
Massshaaallaahh,,,Allah Akujaalie Uimbe Nyimbo za Kubadilisha Jamiii Kutenda Mema na Kuacha Maasia,,,,INSHAALLAH usichole Matatoo ,Naamini we ni Mtu wa Peponi yadunia utayamaliza Tu
Mashaallah naamin kuwepo huko kw mziki sio mwsho WA kuihifadhi Quran namuomba Allah akuzidishie kuikumbuk Quran na inshallah at atazid kukuinua katka Kaz zko inshallah
Yaaa rabbiy wasamehe wasanii wetu daaah mnapotea Lakin Mola wetu tusamehe ni utaftaji wa rizq but mnazalilisha uislam
mashaallah sheikh Abdul mungu akuongoze kwenye njia iliyonyooka amin..! mana mpaka nasisimuka mwili wangu!
Walaikum salam warahmatullah wabarakatuh
@hptanzania3427
6 жыл бұрын
Mwanaidi Nusra hhhhhhhhhhh atali hii dunia ya sasa
@chimamyriim8001
6 жыл бұрын
Mwanaidi Nusra chr uriho😂😅👌
@mwanaidinusra4248
6 жыл бұрын
chimamy Riim nipo kwa lava lava nimeoza my brth😍
Mashalla Mashalla lavalava kaka hongera sana alla akuongoze uedele kusoma wuran Ishalla alla uwemfano mwema kwa wengine yarabby.nimefusi sana acha Mziki wa bongo umrudie alla Ishalla alla 🤲🤲❤❤
lava lava nitakupa binti yangu umuoe inshaallah
@sheillahchisika8414
6 жыл бұрын
Salma Othman 😂😂😂😂😂
@salmaothman153
6 жыл бұрын
sheillah chisika 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@shadiajumaa182
6 жыл бұрын
Salma Othman 😀😀😀😀
@chimamyriim8001
6 жыл бұрын
Salma Othman mashallah 😍kwajili ya allah
@yusuffali6097
6 жыл бұрын
Salma Othman maashallah
Mashaallah nakupenda mpaka bas
Ma shaa Allah na hao mashekhe wamenikuna
Umepotoka,japo utafakari kwa hiyo ilmu mdogo ya dini uliyo nayo,mrejee mungu wako achana na laana ya kuimba miziki
Kila mtu ana dhambi zake kwawakat wake usimhukumu mtu iusie nafsi yako pia inshallah
kijana acha music njoo kwenye uongofu
@husseinbololo6492
6 жыл бұрын
Upo vizur bro
@alhajmwiru1567
4 жыл бұрын
Yussuf Alawi Yaa kbs yan
@chunaamina8719
4 жыл бұрын
Kbisaa,pia mm nasapoti hilo Mungu amempa kipaji cha kaswida
@chunaamina8719
4 жыл бұрын
Lavalava m nakupongeza sana endapo utarudia dini kabisa kamilkamil sio mguu nnje
Haifai kumkandia MTU anapofanya jambo jema ni kumsaport na kumuombea mungu amuondoe pabaya alipo
Allah bless u mdogo wangu badilika
Mungu akutakabalie kila lilo jema mdgo wngu nakupenda simma ktk haki
Mashallah lavalava tuwe miongoni mwa swala kaka yake kipez kwa kweli unapendaza sana
Lavalava Rudi nyumbani
Your the best lava lava upo vzr mashaallah allah barik you nakupenda
Subhanallah,hapa palipofikia ni pabaya sana, musabaqa wa Qur'an ukachanganywa na uwakilishi wa nyimbo ambazo ni haramu ambazo Qur'an hiyo inayodaiwa kuwa ndiyo lengo wa munasaba. hii ni kumfanyia Allah istihzai kwa kufanya istihzai na maneno ya Allah.. kwa wale wanaotaka kusadikisha uharamu wa nyimbo katika kitabu cha tafsiri ya ibn kathir na tafsir twabarii chini ya aya ya sita: (وَمِنَ النَّاسِ مَنْ يَشْتَرِي لَهْوَ الْحَدِيثِ لِيُضِلَّ عَنْ سَبِيلِ اللَّهِ بِغَيْرِ عِلْمٍ وَيَتَّخِذَهَا هُزُوًا ۚ أُولَٰئِكَ لَهُمْ عَذَابٌ مُهِينٌ) [Surat Luqman 6] abdullahi ibn mas3udi wasema maana na makusudio ya lahwal hadithi ni 'ghinaa' yani nyimbo..na akarudi mara tatu kuonesha msisitizo kuwa aya hii inazungumzia kuhusu watu kuimba nyimbo na kupiga mizumari ili kuwapoteza wa watu kutoka kwa njia ya Allah na wakaichkulia ni mchezo na upuzi. jitahadharini na ma ustadh kama hawa. alaf hatari ya kumfanyia Allah istihzai ni hii (وَلَئِنْ سَأَلْتَهُمْ لَيَقُولُنَّ إِنَّمَا كُنَّا نَخُوضُ وَنَلْعَبُ ۚ قُلْ أَبِاللَّهِ وَآيَاتِهِ وَرَسُولِهِ كُنْتُمْ تَسْتَهْزِئُونَ * لَا تَعْتَذِرُوا قَدْ كَفَرْتُمْ بَعْدَ إِيمَانِكُمْ ۚ إِنْ نَعْفُ عَنْ طَائِفَةٍ مِنْكُمْ نُعَذِّبْ طَائِفَةً بِأَنَّهُمْ كَانُوا مُجْرِمِينَ * الْمُنَافِقُونَ وَالْمُنَافِقَاتُ بَعْضُهُمْ مِنْ بَعْضٍ ۚ يَأْمُرُونَ بِالْمُنْكَرِ وَيَنْهَوْنَ عَنِ الْمَعْرُوفِ وَيَقْبِضُونَ أَيْدِيَهُمْ ۚ نَسُوا اللَّهَ فَنَسِيَهُمْ ۗ إِنَّ الْمُنَافِقِينَ هُمُ الْفَاسِقُونَ) [Surat At-Tawbah 65 - 67] katika hzi aya tatu za suratul tawbah Allah anasimulia munafiqun wakimfanyia Allah istihzai na Allah anawaambia mmekufuru baada ya kuwa mulishaamini vipi maneno ya Allah uchanganye na maneno ya iblis??? Ewe muislamu ambae ulikuwa unashaka juu uharamu wa nyimbo zingatia maneno haya alafu yapime katika mizani ya haqqi na batil kama utaona ni haqqi yachkuwe mazima na kama ni batil yawache lakini ujuwe risala umefikishiwa. kama kuimba na kufanya mziki ni halali kwa kuwa unataftia rizqi...basi kwa nini na mwengine asiuze pombe kwa ajili ya kutafta riZqi..na kwanini umalaya usiwe halali kwa kigezo cha kutafta rizqi na kwanini kuuza cocaine na heroine isiwe halali kwa kigezo kuwa muuzaji anatafta rizqi na kwanini kuuza nguruwe isiwe ni halali kwa kigezo cha kutafta rizqi? na kwanini ujambazi na uwizi usiwe ni halali kwa kigezo cha kutafta rizqi???? basi kama waona haya yote ni haramu hata kama ni kutaftia rizqi na mziki pia ni haramu vile vile hata kama wafanya kutafta rizqi... ndo yale Aloyasema Allah...(وَقَدِمْنَا إِلَىٰ مَا عَمِلُوا مِنْ عَمَلٍ فَجَعَلْنَاهُ هَبَاءً مَنْثُورًا) [Surat Al-Furqan 23] mkatanguliza katika matendo mliyoyatenda tukayafanya kama vumbi lilopigwa na upepo
Mashaallah my kaka abduly
am loving you more than I used to...lava lava...kipenzi cha wengi....uwe kipenzi cha Allah pia...nakuoenda...after watching this if lava lava asked to marry me,it would be definitely a yes for me....hahs
Masha Allah abduli au lava lava
Wallah mungu awaongoze muache mziki mufate miongozo ya Allah
Lavalava my brother nn huko kwenye mziki achaa dini inakupendezea sana wallah
@hassanaliabdllah2109
5 жыл бұрын
Faidha Othman
@hassanaliabdllah2109
5 жыл бұрын
Faidha Othman
Jazakallahu khaira 🙏 kaka lavalava
Manshallah 😍🤗🤩🤩🤩
@saidomar6806
4 жыл бұрын
Naam mashaallaah
Mashaallaah mwenyezimungu akuzindishie baraka katika kazi zako baki tu huku kunakufaa sana
mashaallah mwenyezi mungu akuongoze inshaallah
Mashaallah Mashaallah #wcb 4life Mungu awazidishie.
@mudysabuni7619
4 жыл бұрын
Mashallaah Bratha
Mashallah Allah akuongoze Inshallah
sauti mashallah🥰🥰🥰🥰
Munatupotezea dira ya uislamu Tanzania Allah atuongoze sote in Shaa Allah
Takbiri allahu akbar
Mashaa Allah Mashaa Allah May God bless you aki
Masha Allah, hakika nimependa sana hii k2.
Mashallah Allah akujaze Rahma
Ma sha Allah
Mashaallah Mungu akubariki sana
Maashaallaah maashaallaah maashaallaah kaka bora acha mziki ww rudi kwa mungu fanya toba uki vzr kaka
Subhanallah sijui kwnn unaimba inshallah mungu akurejeshe ulipotokea
Inalillah wa inailaih rajiun""" sawa na kuchanganya biriani na kinyesi halafu ukala tusidanganyane Allah hazihakiwi tutayakuta tuliyoyatanguliza kubwa tuombeane Mwisho mwema.
Lavalava mash allah
Mashaallah ustadh abdull
Wow nice of u.mashallah
Mashaallah nakupenda sana ndugu yangu allah akuongoze
@zaitunimuhammad8546
3 жыл бұрын
A alykm
I wish tungempata Maher Zain/Sami Yusuf wetu from you 😝
@blessedgirl7383
6 жыл бұрын
Sada Dallos umeonaee..
@Amishjuma
6 жыл бұрын
Sada Dallos InshaAllah atapendeza zana akiwa maher tutamsupport sana kwakununua kanda zake nasheed.
Mungu akuongoze lava lava
Wweee lavalava rudi ktk uisalam achana na nyimbo bro
Mashaaal nakupenda kwa ajili ya allla
#Astaghfirullah #Astaghfirullah #Astaghfirullah waatubu ilayka
Mashallah may Allah give u jannatul fridaus
Itumie wcb kuandaa nasheed zako utapata pesa nzuri tu lava 🎂 MUNGU atakutangulia zaidi
Kwaswaida nzuri sana mashaallah
Mnamajina mazuri lakin sasa mnamsahau alla
Mashaallah kaka kumbe upo vizuri