Lava Lava Katika Mashindano Ya Kusoma Quran part 1

Ойын-сауық

Asalaam Walaikum Warahmatullahi Wabarakatuh
Lava Lava alipata mualiko kama mgeni rasmi Wamashindano Ya Kuhifadhi Quran Tukufu Iliyofanyika Mwananyamala Ccm
Tuma 7766630 kwenda 15577 (Vodacom Tanzania) kuwa muito wa simu
Ya Ramadan Available:
iTunes:itunes.apple.com/album/id13885...
Wasafidotcom:www.wasafi.com/audio-detail?a...
Amazon:a.co/7WefWMQ
Tidal:tidal.com/track/89214306
Spotify:open.spotify.com/album/3eJW1t...

Пікірлер: 485

  • @wilonjahatua2067
    @wilonjahatua20676 жыл бұрын

    Kama unamkubali lavalava acha ubishi acha kusita usione aibu mpe like zake jamaa anajua mpaka amepitiliza yaan kanishinda tabia like nyingi kwake tafadhari

  • @winfridamubinge5237

    @winfridamubinge5237

    6 жыл бұрын

    duu nmekuelewa lavalava Kumbe umo

  • @omarymmanga6477

    @omarymmanga6477

    6 жыл бұрын

    wilonja hatua kweli ache kuimba

  • @mpemba8730

    @mpemba8730

    6 жыл бұрын

    Pesa hufanya lahalali kuwa haramu na laharamu kuwa LA halali kiukwel kuimba ni zambi na

  • @shabanimkwizu423

    @shabanimkwizu423

    5 жыл бұрын

    Daaah kumbe upo kila upande

  • @niaally5365

    @niaally5365

    5 жыл бұрын

    mashaallah tulia kwa allah kaka

  • @binurarassi8156
    @binurarassi81566 жыл бұрын

    Hongera kijana, nina Imani huko katika muziki ni katika kutafuta rizki tu, Naamini uwepo wa Qur'an kichwani mwako upo palepale, Na Inshaala Mungu atakuongoza.

  • @Manshyne

    @Manshyne

    6 жыл бұрын

    Binura Rassi umesema kweli kabisa

  • @nadhlfasalmazena7444

    @nadhlfasalmazena7444

    6 жыл бұрын

    Binura Rassi Aaaamin

  • @bosslady8152

    @bosslady8152

    6 жыл бұрын

    👏👏👏

  • @aftonisudi2778

    @aftonisudi2778

    6 жыл бұрын

    Innalillah

  • @nadhlfasalmazena7444

    @nadhlfasalmazena7444

    6 жыл бұрын

    Aftoni Sudi wainnailayhi rajiun

  • @user-jy2ny7nn6m
    @user-jy2ny7nn6m Жыл бұрын

    Allah akufanyie wepesi akupe ufahamu ludi kwenye haki kaka umepewa uwezo wakuwa na elimi utaulizwa juu ya elimu Yako dunia tunapita tuu vyote tunaviacha

  • @magwegwemakongo3593
    @magwegwemakongo35933 жыл бұрын

    Lavalava mashaallah,, allah kakujalia unasauti nzur ya kusomea kuran bas itumie vema katika kufanya ibada zake kuliko kuitumia katika namna ya kuikufuru neema hiyo alokupatia Allah

  • @nakshigwal
    @nakshigwal4 ай бұрын

    Achakuimba kakangu 😢😢ina skitisha sana😢😢

  • @rahmasaid8764
    @rahmasaid87643 жыл бұрын

    Herikuoba nashida kuliko bongo kaka. Usiache kabisa sahau nyombozote za bongo adika waswida ukosawa ❤❤❤

  • @user-rt5vq5vc3k
    @user-rt5vq5vc3k3 ай бұрын

    Mashallah upo vizur kijana Allah akuongoze kwenye njia ilio nyooka

  • @zennakailo8106
    @zennakailo81066 жыл бұрын

    Mashallaah, lava lava kumbe uko pia kwenye kisomo cha mola wako, mungu awe naww Daima 🙏🙏🙏🙏,syo muziki tu bila kujianda na jahanamu hongera san

  • @eliasayasini1466
    @eliasayasini14666 жыл бұрын

    Allah kakupa sauti nzuri itumie katka kusoma quruan utafaulu leo na kesho akhera acha tamaa za kidunia

  • @leonardjoseph5643

    @leonardjoseph5643

    6 жыл бұрын

    mi naona aludi kwenye kuimba kaswida to

  • @sakinamubaraka1246

    @sakinamubaraka1246

    6 жыл бұрын

    +Leonard Joseph ww unataka kumchochea mwenzako kwenye moto kuimba haifai aache tu mziki amrudie mungu wake

  • @selejecha2320

    @selejecha2320

    6 жыл бұрын

    Acha kuimba wewe kiwanja mzuri huyo uliko si kuzuri

  • @alimohammed6868

    @alimohammed6868

    6 жыл бұрын

    Eliasa Yasini naam kweli kabisa

  • @sophicatesalim9757

    @sophicatesalim9757

    5 жыл бұрын

    Kbsa faida kubwa ya kesho ya dunia hata tusaidia kitu kesho

  • @mohamedrhigho1640
    @mohamedrhigho16403 жыл бұрын

    Allah ampe mwisho mwema

  • @lujnasir2169
    @lujnasir21696 жыл бұрын

    Nivizur kufanya jambo ambalo unalipenda lakini kumbuka mungu amekataza mziki na nikharamu kusikiliza na kuimba pia ndiyo nimaisha ila usiya wangu kwako kama nduguyako muislam mwenzako dunia ni mapito na wote tutaondoka Tubu kwa mola wako

  • @mwanaishambili241
    @mwanaishambili2416 жыл бұрын

    Mashaallah lava lava mungu akufanyie wepec kwakila ufanyalo katika maisha yko imani iko moyoni

  • @zahramohamed3832
    @zahramohamed38323 жыл бұрын

    Namuomba mungu akujalie kila lakhel

  • @mariammwiso
    @mariammwiso6 жыл бұрын

    MashaAllah Lava lava Mwenyezi Mungu akuzidishie heri. Ama nikuite ustadh Abdul.

  • @hadjahossen929

    @hadjahossen929

    5 жыл бұрын

    Mashaalla Mungu akujalie kaka angu

  • @tabuselemani6869
    @tabuselemani68695 жыл бұрын

    lava lava mrudie ALLAH ndugu yangu uko vizuri kusoma Qran

  • @sikukuuchuo3093
    @sikukuuchuo30933 жыл бұрын

    Mungu atuhidi katika njia ilo njooka Inn Shaa Allah ,Atutoe duniani Hali ya kuwa yuko radhi n sisi.

  • @mashaclassic2345
    @mashaclassic23456 жыл бұрын

    Lava lava siubak tu huku jmn ndio kuzur haswaa kuliko hata bongo fleva hemu rud kwa Allah mana huna usokijua kaka angu

  • @ffahima2010

    @ffahima2010

    6 жыл бұрын

    MASHA CLASSIC kweli kbsa

  • @zuenasalim7136

    @zuenasalim7136

    6 жыл бұрын

    Amin ya rabbbi Allah amuongozee

  • @allysalim9736

    @allysalim9736

    6 жыл бұрын

    MASHA CLASSIC dunia ni khatari sana

  • @fongowest8895

    @fongowest8895

    4 жыл бұрын

    Day natamani hats ungekuwa best yangu unaweza sana

  • @jumasaid8927

    @jumasaid8927

    3 жыл бұрын

    Kbsa

  • @mariamhamad4171
    @mariamhamad41712 жыл бұрын

    Mashaallah kakayangu Allah akuongezi akupemwisho uliomwema

  • @cookiepie2396
    @cookiepie23966 жыл бұрын

    MashaAllah lava lava you have a lot of Iman. ...

  • @user412
    @user4126 жыл бұрын

    Wallahi Dini imekuwa ni sehemu ya kujipatia umaarufu. Vitu viwili havikai katika moyo mmoja haki na baatili na bahati mbaya huwa haki inakimbia. Usipokuwa tayari ndugu kubadilika basi unaweza ukaingia katika unafiki bila ya kujijua. Achana na upotofu njoo katika njia ya haki km kweli huwezi kuishi bila ya kuimba basi imba annasheed. Hsyo ni maoni yangu. Hakika Mtume s.a.w ameambiwa hana uwezo wa kumuongoa yoyote yule. Mwenye uwezo huo ni Allah subhanahuu peke yake basi na mm ni kukufikishia ujumbe tu. Rejea katika surat luqman Allah amewaandalia adhabu yenye kufedhehesha nyny waimbaji. Jazi kwenu

  • @aboukhalphan1309

    @aboukhalphan1309

    5 жыл бұрын

    Khattab Khamis Shukran you are talking point Allah akujalie elmu na akuruzuku kufaham

  • @user-pw5tj1gz8c

    @user-pw5tj1gz8c

    2 жыл бұрын

    Muziki anafanya kutafuta riski punguza roho chafu naumaskini

  • @tullyabdul6355
    @tullyabdul63556 жыл бұрын

    Mashallah lava lava usivae vipuli basi dini waijua

  • @queenmaa7892
    @queenmaa78926 жыл бұрын

    Jamani tusimuhukumu mtu....Allahummah jaalnna khusnul khaatim Ameen

  • @hissumseif2714

    @hissumseif2714

    5 жыл бұрын

    Queen Maa walal aaakhiratu khayrul llaka minal uuulah "na mwisho n bora kuliko mwanzo"

  • @mikailomar

    @mikailomar

    4 жыл бұрын

    Uislamu hauna kuhukumiana bali Una sheria alizoweka Allah naye mtume akatufunza..muziki na qaswida ni haramu na mtu akifa bila kutubia ni miongoni mwa waliozidhulumu nafsi zao..tusiwe Kama makafiri hujitetea kwa misemo ya tusihukumiane...

  • @abdoulrahimmigomba3885

    @abdoulrahimmigomba3885

    4 жыл бұрын

    Aamin

  • @shabanially2405

    @shabanially2405

    4 жыл бұрын

    0757588181

  • @khamiskhamis2585

    @khamiskhamis2585

    3 жыл бұрын

    Assalaamu alaykum warahmatullaahi wabarakaatuh

  • @dashuusaalim8882
    @dashuusaalim88826 жыл бұрын

    Allah akuongoze katika swiraatwalmustakiima na akupe husnulkhaatima

  • @ladymashaallahilikeuaadvis997
    @ladymashaallahilikeuaadvis9975 жыл бұрын

    Masha Allah, Masha Allah, Masha Allah, Lava lava mungu akuongoze kakangu

  • @ashurarajabu5143
    @ashurarajabu51434 жыл бұрын

    Maa sha Allah umependeza Allah akuongoe

  • @wemajumanne5709
    @wemajumanne57096 жыл бұрын

    MaashaAllah MaashaAllah MaashaAllah lava lava Abdul una saut nzur ya ng'ani na uimbaj wako mzur MaashaAllah 😍😍😍

  • @thechallangeboystheawadh5195
    @thechallangeboystheawadh51955 жыл бұрын

    Yaa Allah tuongoze katika njia ilonyooka

  • @fatmambarouk1316
    @fatmambarouk13162 жыл бұрын

    uko vzur lava lava

  • @fgjjgbnko4383
    @fgjjgbnko43836 жыл бұрын

    😭😭😭😭 lavava umepotea njia mdogo wangu natamani kipajichako cha kusoma Qur'an Allah angenipa mm Ibilisi akuachie lavalava wangu

  • @aminaissa5015

    @aminaissa5015

    4 жыл бұрын

    Masha Allah abduli

  • @mwajayshekallaghe568
    @mwajayshekallaghe5686 жыл бұрын

    Umejaaliwa Kijana Ya Allah Muongoze ktk njia Iliyonyooka...

  • @bnbnbnbbnvbn9006

    @bnbnbnbbnvbn9006

    4 жыл бұрын

    Allahum Amiiin Amiiin Amiiin Amiiin Amiiin Amiiin

  • @auntymother1507
    @auntymother15076 жыл бұрын

    Mashaallah Allah awaongoze wote

  • @Myworld-dn1nt
    @Myworld-dn1nt6 жыл бұрын

    You are someone who is so proud to his religion well done man

  • @nuruomary7126
    @nuruomary71265 жыл бұрын

    Yuko vizuri Allah akujalie

  • @zainabubashiry3182
    @zainabubashiry31823 жыл бұрын

    Allah akusimamie

  • @diomedesmtayoba3955
    @diomedesmtayoba39556 жыл бұрын

    Vizur sana kaka na jitahid kubaki katika misingi ya imani ya dini yako

  • @joharimuhimpundu3332
    @joharimuhimpundu33325 жыл бұрын

    Inna lillah wa Inna ilaih Raji Qur'an na kaswida wapi na wapi itakullah ndugu zangu tusidanganywi na dunia😭😭

  • @mohammedrajabumwamba1322

    @mohammedrajabumwamba1322

    3 жыл бұрын

    Qaswida hiyo nikama mawaaidha kwahiyo so vibaya tukaisikiliza tu ndo mana lava lava anatuambia tujiunge waumini muadhini akiadhi tuende misikitini aaaya natuziswali swala tano. kwani hayo maneno ukiyatafsiri Ni mawaaidha

  • @maimunakassim2840

    @maimunakassim2840

    3 жыл бұрын

    Kwa hiyo kaswida ni matusi acha uhayawani mtume mwenyewe alipokelewa na qaswida

  • @nahirkassim5574

    @nahirkassim5574

    3 жыл бұрын

    Mashaallah hadi nasisimkwa Na mwili

  • @zainabmsuya7022
    @zainabmsuya70225 жыл бұрын

    Allah akuongoze umrudie mola wako.

  • @ashuraathuman5817
    @ashuraathuman58175 жыл бұрын

    ndugu zangu ktk imani hawa watu wanaitaji dua zetu ili wote wamtumikie mungu inshalah

  • @sakinamubaraka1246
    @sakinamubaraka12466 жыл бұрын

    mashallah ya allah mbadilishe mja wako muongoze njia iliyo nyooka

  • @aishanatamaniningekuepoktk5062

    @aishanatamaniningekuepoktk5062

    4 жыл бұрын

    Amna lkn lahafudhi niyanyimbo

  • @mohamediyusuph4290
    @mohamediyusuph42906 жыл бұрын

    Najikuta namkubali sana huyu jamaa!!!!ubaki tu katika kuitangaza dini yetu inshaallah.

  • @selejecha2320

    @selejecha2320

    6 жыл бұрын

    ukitaka Allah atakusaidia inshallah

  • @haithamabdallah1051
    @haithamabdallah10516 жыл бұрын

    Masha allah kijana unastahili kuwa shekhe mzur tafuta biashara ufanye ya halali japo m/mungu ndo ajua mapungufu ya mja wake lakin ni vema ukajikita na dini hakika m/mungu ni mwingi wa rehma

  • @saumusaidysaumusaidykumba3696
    @saumusaidysaumusaidykumba36963 жыл бұрын

    Mashaallah kwakwl allah akuongoze kk

  • @dasaky2731
    @dasaky27316 жыл бұрын

    Allah akuongoze pamoja nasi kaka, naamini kwa dua zetu kila kitu kitaweza utarudi tu amin

  • @mwandegeplaza6504
    @mwandegeplaza65046 жыл бұрын

    ( قُل لِّعِبَادِيَ الَّذِينَ آمَنُوا يُقِيمُوا الصَّلَاةَ وَيُنفِقُوا مِمَّا رَزَقْنَاهُمْ سِرًّا وَعَلَانِيَةً مِّن قَبْلِ أَن يَأْتِيَ يَوْمٌ لَّا بَيْعٌ فِيهِ وَلَا خِلَالٌ ) إبراهيم (31) Ibrahim Waambie waja wangu walio amini, washike Sala, na watoe katika tulivyo waruzuku, kwa siri na dhaahiri, kabla haijafika Siku isiyo kuwa na biashara wala urafiki.

  • @mohammedrajabumwamba1322

    @mohammedrajabumwamba1322

    3 жыл бұрын

    MaashaaAllah Jazakallahu khaira 🙏

  • @saumuhamadi6886
    @saumuhamadi68866 жыл бұрын

    Mashaallah had rah wallah honger san kijan

  • @salumchuma7762
    @salumchuma77626 жыл бұрын

    Massshaaallaahh,,,Allah Akujaalie Uimbe Nyimbo za Kubadilisha Jamiii Kutenda Mema na Kuacha Maasia,,,,INSHAALLAH usichole Matatoo ,Naamini we ni Mtu wa Peponi yadunia utayamaliza Tu

  • @abokrarshamsan7963
    @abokrarshamsan79634 жыл бұрын

    Mashaallah naamin kuwepo huko kw mziki sio mwsho WA kuihifadhi Quran namuomba Allah akuzidishie kuikumbuk Quran na inshallah at atazid kukuinua katka Kaz zko inshallah

  • @zamzam9815
    @zamzam98154 жыл бұрын

    Yaaa rabbiy wasamehe wasanii wetu daaah mnapotea Lakin Mola wetu tusamehe ni utaftaji wa rizq but mnazalilisha uislam

  • @sabrinahhassan1659
    @sabrinahhassan16596 жыл бұрын

    mashaallah sheikh Abdul mungu akuongoze kwenye njia iliyonyooka amin..! mana mpaka nasisimuka mwili wangu!

  • @mwanaidinusra4248
    @mwanaidinusra42486 жыл бұрын

    Walaikum salam warahmatullah wabarakatuh

  • @hptanzania3427

    @hptanzania3427

    6 жыл бұрын

    Mwanaidi Nusra hhhhhhhhhhh atali hii dunia ya sasa

  • @chimamyriim8001

    @chimamyriim8001

    6 жыл бұрын

    Mwanaidi Nusra chr uriho😂😅👌

  • @mwanaidinusra4248

    @mwanaidinusra4248

    6 жыл бұрын

    chimamy Riim nipo kwa lava lava nimeoza my brth😍

  • @rahmasaid8764
    @rahmasaid87643 жыл бұрын

    Mashalla Mashalla lavalava kaka hongera sana alla akuongoze uedele kusoma wuran Ishalla alla uwemfano mwema kwa wengine yarabby.nimefusi sana acha Mziki wa bongo umrudie alla Ishalla alla 🤲🤲❤❤

  • @salmaothman153
    @salmaothman1536 жыл бұрын

    lava lava nitakupa binti yangu umuoe inshaallah

  • @sheillahchisika8414

    @sheillahchisika8414

    6 жыл бұрын

    Salma Othman 😂😂😂😂😂

  • @salmaothman153

    @salmaothman153

    6 жыл бұрын

    sheillah chisika 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @shadiajumaa182

    @shadiajumaa182

    6 жыл бұрын

    Salma Othman 😀😀😀😀

  • @chimamyriim8001

    @chimamyriim8001

    6 жыл бұрын

    Salma Othman mashallah 😍kwajili ya allah

  • @yusuffali6097

    @yusuffali6097

    6 жыл бұрын

    Salma Othman maashallah

  • @chichiabdallah8911
    @chichiabdallah89116 жыл бұрын

    Mashaallah nakupenda mpaka bas

  • @asiajuma5784
    @asiajuma57846 жыл бұрын

    Ma shaa Allah na hao mashekhe wamenikuna

  • @Worldunite
    @Worldunite5 жыл бұрын

    Umepotoka,japo utafakari kwa hiyo ilmu mdogo ya dini uliyo nayo,mrejee mungu wako achana na laana ya kuimba miziki

  • @ratifahassan8693
    @ratifahassan86935 жыл бұрын

    Kila mtu ana dhambi zake kwawakat wake usimhukumu mtu iusie nafsi yako pia inshallah

  • @yussufalawi9028
    @yussufalawi90286 жыл бұрын

    kijana acha music njoo kwenye uongofu

  • @husseinbololo6492

    @husseinbololo6492

    6 жыл бұрын

    Upo vizur bro

  • @alhajmwiru1567

    @alhajmwiru1567

    4 жыл бұрын

    Yussuf Alawi Yaa kbs yan

  • @chunaamina8719

    @chunaamina8719

    4 жыл бұрын

    Kbisaa,pia mm nasapoti hilo Mungu amempa kipaji cha kaswida

  • @chunaamina8719

    @chunaamina8719

    4 жыл бұрын

    Lavalava m nakupongeza sana endapo utarudia dini kabisa kamilkamil sio mguu nnje

  • @dotogiving9293
    @dotogiving9293 Жыл бұрын

    Haifai kumkandia MTU anapofanya jambo jema ni kumsaport na kumuombea mungu amuondoe pabaya alipo

  • @ashminaabdullah5626
    @ashminaabdullah56266 жыл бұрын

    Allah bless u mdogo wangu badilika

  • @kulwsdoto3164
    @kulwsdoto31643 жыл бұрын

    Mungu akutakabalie kila lilo jema mdgo wngu nakupenda simma ktk haki

  • @ashurahomary9239
    @ashurahomary92393 жыл бұрын

    Mashallah lavalava tuwe miongoni mwa swala kaka yake kipez kwa kweli unapendaza sana

  • @kulthumsaleh5579
    @kulthumsaleh55792 жыл бұрын

    Lavalava Rudi nyumbani

  • @zuwenaabeid1975
    @zuwenaabeid19753 жыл бұрын

    Your the best lava lava upo vzr mashaallah allah barik you nakupenda

  • @sheriffshatterz
    @sheriffshatterz6 жыл бұрын

    Subhanallah,hapa palipofikia ni pabaya sana, musabaqa wa Qur'an ukachanganywa na uwakilishi wa nyimbo ambazo ni haramu ambazo Qur'an hiyo inayodaiwa kuwa ndiyo lengo wa munasaba. hii ni kumfanyia Allah istihzai kwa kufanya istihzai na maneno ya Allah.. kwa wale wanaotaka kusadikisha uharamu wa nyimbo katika kitabu cha tafsiri ya ibn kathir na tafsir twabarii chini ya aya ya sita: (وَمِنَ النَّاسِ مَنْ يَشْتَرِي لَهْوَ الْحَدِيثِ لِيُضِلَّ عَنْ سَبِيلِ اللَّهِ بِغَيْرِ عِلْمٍ وَيَتَّخِذَهَا هُزُوًا ۚ أُولَٰئِكَ لَهُمْ عَذَابٌ مُهِينٌ) [Surat Luqman 6] abdullahi ibn mas3udi wasema maana na makusudio ya lahwal hadithi ni 'ghinaa' yani nyimbo..na akarudi mara tatu kuonesha msisitizo kuwa aya hii inazungumzia kuhusu watu kuimba nyimbo na kupiga mizumari ili kuwapoteza wa watu kutoka kwa njia ya Allah na wakaichkulia ni mchezo na upuzi. jitahadharini na ma ustadh kama hawa. alaf hatari ya kumfanyia Allah istihzai ni hii (وَلَئِنْ سَأَلْتَهُمْ لَيَقُولُنَّ إِنَّمَا كُنَّا نَخُوضُ وَنَلْعَبُ ۚ قُلْ أَبِاللَّهِ وَآيَاتِهِ وَرَسُولِهِ كُنْتُمْ تَسْتَهْزِئُونَ * لَا تَعْتَذِرُوا قَدْ كَفَرْتُمْ بَعْدَ إِيمَانِكُمْ ۚ إِنْ نَعْفُ عَنْ طَائِفَةٍ مِنْكُمْ نُعَذِّبْ طَائِفَةً بِأَنَّهُمْ كَانُوا مُجْرِمِينَ * الْمُنَافِقُونَ وَالْمُنَافِقَاتُ بَعْضُهُمْ مِنْ بَعْضٍ ۚ يَأْمُرُونَ بِالْمُنْكَرِ وَيَنْهَوْنَ عَنِ الْمَعْرُوفِ وَيَقْبِضُونَ أَيْدِيَهُمْ ۚ نَسُوا اللَّهَ فَنَسِيَهُمْ ۗ إِنَّ الْمُنَافِقِينَ هُمُ الْفَاسِقُونَ) [Surat At-Tawbah 65 - 67] katika hzi aya tatu za suratul tawbah Allah anasimulia munafiqun wakimfanyia Allah istihzai na Allah anawaambia mmekufuru baada ya kuwa mulishaamini vipi maneno ya Allah uchanganye na maneno ya iblis??? Ewe muislamu ambae ulikuwa unashaka juu uharamu wa nyimbo zingatia maneno haya alafu yapime katika mizani ya haqqi na batil kama utaona ni haqqi yachkuwe mazima na kama ni batil yawache lakini ujuwe risala umefikishiwa. kama kuimba na kufanya mziki ni halali kwa kuwa unataftia rizqi...basi kwa nini na mwengine asiuze pombe kwa ajili ya kutafta riZqi..na kwanini umalaya usiwe halali kwa kigezo cha kutafta rizqi na kwanini kuuza cocaine na heroine isiwe halali kwa kigezo kuwa muuzaji anatafta rizqi na kwanini kuuza nguruwe isiwe ni halali kwa kigezo cha kutafta rizqi? na kwanini ujambazi na uwizi usiwe ni halali kwa kigezo cha kutafta rizqi???? basi kama waona haya yote ni haramu hata kama ni kutaftia rizqi na mziki pia ni haramu vile vile hata kama wafanya kutafta rizqi... ndo yale Aloyasema Allah...(وَقَدِمْنَا إِلَىٰ مَا عَمِلُوا مِنْ عَمَلٍ فَجَعَلْنَاهُ هَبَاءً مَنْثُورًا) [Surat Al-Furqan 23] mkatanguliza katika matendo mliyoyatenda tukayafanya kama vumbi lilopigwa na upepo

  • @rahmaninoh7434
    @rahmaninoh74346 жыл бұрын

    Mashaallah my kaka abduly

  • @aishamwende684
    @aishamwende6846 жыл бұрын

    am loving you more than I used to...lava lava...kipenzi cha wengi....uwe kipenzi cha Allah pia...nakuoenda...after watching this if lava lava asked to marry me,it would be definitely a yes for me....hahs

  • @hawahasani908
    @hawahasani9085 жыл бұрын

    Masha Allah abduli au lava lava

  • @umishahhassan1635
    @umishahhassan16353 жыл бұрын

    Wallah mungu awaongoze muache mziki mufate miongozo ya Allah

  • @faidhaothman1914
    @faidhaothman19146 жыл бұрын

    Lavalava my brother nn huko kwenye mziki achaa dini inakupendezea sana wallah

  • @hassanaliabdllah2109

    @hassanaliabdllah2109

    5 жыл бұрын

    Faidha Othman

  • @hassanaliabdllah2109

    @hassanaliabdllah2109

    5 жыл бұрын

    Faidha Othman

  • @mohammedrajabumwamba1322
    @mohammedrajabumwamba13223 жыл бұрын

    Jazakallahu khaira 🙏 kaka lavalava

  • @mwanaidinusra4248
    @mwanaidinusra42486 жыл бұрын

    Manshallah 😍🤗🤩🤩🤩

  • @saidomar6806

    @saidomar6806

    4 жыл бұрын

    Naam mashaallaah

  • @ashayusuph9607
    @ashayusuph96076 жыл бұрын

    Mashaallaah mwenyezimungu akuzindishie baraka katika kazi zako baki tu huku kunakufaa sana

  • @nurathassan6771
    @nurathassan67716 жыл бұрын

    mashaallah mwenyezi mungu akuongoze inshaallah

  • @fababindawood5842
    @fababindawood58426 жыл бұрын

    Mashaallah Mashaallah #wcb 4life Mungu awazidishie.

  • @mudysabuni7619

    @mudysabuni7619

    4 жыл бұрын

    Mashallaah Bratha

  • @theylove_yt610
    @theylove_yt6104 жыл бұрын

    Mashallah Allah akuongoze Inshallah

  • @ashamcreed3698
    @ashamcreed36982 жыл бұрын

    sauti mashallah🥰🥰🥰🥰

  • @abdullay3166
    @abdullay31666 жыл бұрын

    Munatupotezea dira ya uislamu Tanzania Allah atuongoze sote in Shaa Allah

  • @nuwayirally4727
    @nuwayirally47274 жыл бұрын

    Takbiri allahu akbar

  • @bidallahamadi4036
    @bidallahamadi40366 жыл бұрын

    Mashaa Allah Mashaa Allah May God bless you aki

  • @riffatsaid2256
    @riffatsaid22563 жыл бұрын

    Masha Allah, hakika nimependa sana hii k2.

  • @mwinyiamri7958
    @mwinyiamri79586 жыл бұрын

    Mashallah Allah akujaze Rahma

  • @faridahramadhan7180
    @faridahramadhan71802 жыл бұрын

    Ma sha Allah

  • @chiefkaitaba.m.9466
    @chiefkaitaba.m.94666 жыл бұрын

    Mashaallah Mungu akubariki sana

  • @pilikhamis2924
    @pilikhamis29243 жыл бұрын

    Maashaallaah maashaallaah maashaallaah kaka bora acha mziki ww rudi kwa mungu fanya toba uki vzr kaka

  • @saadamohammed6587
    @saadamohammed65875 жыл бұрын

    Subhanallah sijui kwnn unaimba inshallah mungu akurejeshe ulipotokea

  • @hajiharun3587
    @hajiharun35876 жыл бұрын

    Inalillah wa inailaih rajiun""" sawa na kuchanganya biriani na kinyesi halafu ukala tusidanganyane Allah hazihakiwi tutayakuta tuliyoyatanguliza kubwa tuombeane Mwisho mwema.

  • @hanifanabulime7462
    @hanifanabulime74622 жыл бұрын

    Lavalava mash allah

  • @khadijanjama9016
    @khadijanjama90165 жыл бұрын

    Mashaallah ustadh abdull

  • @camillaeddy3185
    @camillaeddy31856 жыл бұрын

    Wow nice of u.mashallah

  • @dazuuhmd819
    @dazuuhmd8196 жыл бұрын

    Mashaallah nakupenda sana ndugu yangu allah akuongoze

  • @zaitunimuhammad8546

    @zaitunimuhammad8546

    3 жыл бұрын

    A alykm

  • @sadadallos135
    @sadadallos1356 жыл бұрын

    I wish tungempata Maher Zain/Sami Yusuf wetu from you 😝

  • @blessedgirl7383

    @blessedgirl7383

    6 жыл бұрын

    Sada Dallos umeonaee..

  • @Amishjuma

    @Amishjuma

    6 жыл бұрын

    Sada Dallos InshaAllah atapendeza zana akiwa maher tutamsupport sana kwakununua kanda zake nasheed.

  • @magieebeauty1482
    @magieebeauty14826 жыл бұрын

    Mungu akuongoze lava lava

  • @sultanabdillah1799
    @sultanabdillah17993 жыл бұрын

    Wweee lavalava rudi ktk uisalam achana na nyimbo bro

  • @hawaheri5833
    @hawaheri58333 жыл бұрын

    Mashaaal nakupenda kwa ajili ya allla

  • @tinivanny7562
    @tinivanny75626 жыл бұрын

    #Astaghfirullah #Astaghfirullah #Astaghfirullah waatubu ilayka

  • @zahrasaid6667
    @zahrasaid66672 жыл бұрын

    Mashallah may Allah give u jannatul fridaus

  • @mohammedsalim6398
    @mohammedsalim63986 жыл бұрын

    Itumie wcb kuandaa nasheed zako utapata pesa nzuri tu lava 🎂 MUNGU atakutangulia zaidi

  • @hawasham570
    @hawasham5705 жыл бұрын

    Kwaswaida nzuri sana mashaallah

  • @aishaaisha7097
    @aishaaisha70973 жыл бұрын

    Mnamajina mazuri lakin sasa mnamsahau alla

  • @aiysharamdhan899
    @aiysharamdhan8993 жыл бұрын

    Mashaallah kaka kumbe upo vizuri

Келесі