No video

KWAYA YA MT KIZITO YAFANYA MIUJIZA TENA KWENYE TAMASHA LA STEPHANO DAY, HAIJAWAI TOKEA

KWAYA YA MT KIZITO YAFANYA MIUJIZA TENA KWENYE TAMASHA LA STEPHANO DAY, HAIJAWAI TOKEA

Пікірлер: 58

  • @lomuriatandrewlokaale8662
    @lomuriatandrewlokaale8662 Жыл бұрын

    This is wonderful choir and am interested one day to attend and kizito makuburi choir if their choir master can attend the choir in Turkana County in Kenya in Good shephered in kakuma parish.

  • @modjazyb3792
    @modjazyb37924 жыл бұрын

    Hongereni cku moja mje na kwetu fanyeni ziara ya uinjilishaji kwa njia ya uimbaji mje malinyi.parokia ya yesu mchungaji mwema Itete karibuni tunawapenda sana mbarikiwe katika kazi hii ngumu

  • @user-xl2tp6md1q
    @user-xl2tp6md1q2 ай бұрын

    My favorite choir

  • @leonornhantumbo2381
    @leonornhantumbo2381 Жыл бұрын

    que lindo corro. parabens radio Maria

  • @simonthomas7969
    @simonthomas79694 жыл бұрын

    Kwaya bora ya muda wote

  • @deogratiusdominick8882
    @deogratiusdominick88822 жыл бұрын

    Cku moja nataman niwe mwanakaya mzur zaid

  • @sarafinafranci8481
    @sarafinafranci84814 жыл бұрын

    Hongereni sana kwa kuinjilisha na kumsifu Mungu, Mungu awape nguvu na afya njema, mzidi kumsifu Mungu daima.

  • @sulehassanshall6140

    @sulehassanshall6140

    4 жыл бұрын

    Mungu hasifiwi kwa nyimbo zakijinga kma hzo ..wala mungu htaki kuimbiwa Achen ujinga njooni kwa uislam mumuabudu mungu Anavo paswa kuabudiwa. Achen kumshirikisha mungu katika makanisa nyumba za mashetan..kanisa cinyumba yamngu Bali ninyumba zakishetan...freemason wako mknisan kiti chashetan chaenzi nz kiko knisan.sasa munafanya nn katika nyumba zamshetan.

  • @restustanjau322
    @restustanjau3224 жыл бұрын

    Hongereni Mungu awabariki muendelee kuinjilisha kwa njia hii ya nyimbo

  • @augustinomkongwa5444
    @augustinomkongwa54444 жыл бұрын

    wonderful performance jamani what a perfomance hongereni sana, mmetishaa, conductor anaongoza mpaka mpigo wa ngoma mko njema sana St. Kizito

  • @mariasalomelukosi6846
    @mariasalomelukosi6846 Жыл бұрын

    Hallelujah

  • @deogratiusdominick8882
    @deogratiusdominick88822 жыл бұрын

    MUNGU nisaidie nifikie hapa

  • @stephenkishinhi2109
    @stephenkishinhi21094 жыл бұрын

    You guys are using your talents big up

  • @patrickshirima6917
    @patrickshirima69174 жыл бұрын

    Mnajitahid sana wezeshen na kwaya ndogo mbinu ili zifikie kiwango chenu

  • @patrickvenance4548
    @patrickvenance45484 жыл бұрын

    Kizito nawakubali sana

  • @petroniamagera6866
    @petroniamagera68664 жыл бұрын

    Hakika daima juu siku zote Mt. Kizito😘😘😘

  • @francissilayo.3457
    @francissilayo.34574 жыл бұрын

    Conductor huwa ani nibless sana

  • @samorahbanderas8767
    @samorahbanderas87674 жыл бұрын

    Dah! Mpaka Naskia kulia Mnavyo Mtukuza MUNGU KWA NYIMBO ZILIZO TAMU NAJIVUNIA KUWA MCATHOLIC SIJUTI

  • @richardboteto3613
    @richardboteto36134 жыл бұрын

    Hongera kwao

  • @latefalatefa5594
    @latefalatefa55944 жыл бұрын

    Mungu awaongoze daima katika utume mwema

  • @erneuslugusi1785
    @erneuslugusi17854 жыл бұрын

    Jamani yaaani daaa naikumbuka makuburi Mimi jamani karibuni sasa parokia ya kijenge Jimbo la arusha

  • @zawadieladionic4823
    @zawadieladionic48234 жыл бұрын

    Nawapenda

  • @user-xl2tp6md1q
    @user-xl2tp6md1q5 ай бұрын

    If this was 4 yrs back what about today

  • @neemaneema6825
    @neemaneema68253 жыл бұрын

    Amina

  • @georgettejolie2163
    @georgettejolie21634 жыл бұрын

    Well organized love it.

  • @winifridanzige994
    @winifridanzige9944 жыл бұрын

    Akili Akili

  • @zainabumwambughi219
    @zainabumwambughi2194 жыл бұрын

    Hongeren

  • @evathadeo9612
    @evathadeo96124 жыл бұрын

    Hakika huwa sichoki kuwasikiliza mnafufahisha mbarikiwe

  • @danrugayana5072
    @danrugayana50724 жыл бұрын

    Hadi rahaa

  • @gabrielwambele8648
    @gabrielwambele86483 жыл бұрын

    Hawa jamaa wanajua kipi wanakifanya

  • @stanilupelele2793
    @stanilupelele27934 жыл бұрын

    Kweli huwa mnanibariki sana natamani siku nabariki ndoa mje

  • @adrianswai8493

    @adrianswai8493

    4 жыл бұрын

    Stani Lupelele Kibunda chako tu mbona watakujaa

  • @jeniferkabigumila2398
    @jeniferkabigumila23984 жыл бұрын

    Mbalikiwe

  • @revocatusrubaba4416
    @revocatusrubaba44164 жыл бұрын

    Kichwa cha habari hakifanani na kiwango wameanza vzr ila sio sana

  • @octavinamgulunde5183

    @octavinamgulunde5183

    4 жыл бұрын

    Vizuri bwana

  • @michaelbaha9598

    @michaelbaha9598

    4 жыл бұрын

    Ni wivu tu in Gwajima voice

  • @revocatusrubaba4416

    @revocatusrubaba4416

    4 жыл бұрын

    Michael baha wivu wa nini cha ajabu hapo nn nimewaona live kwaya ya chag'ombe kwaya ya katubuka wanaimba muziki pure wa kikatoliki Achana na hayo masebene na ndio maana hata conductor wao hafuati taratibu za ku conduct Aje huku kigoma uone kama hazuiliwi Waimbe vzr kwa kufuata miongozo ya ma Baba kama huijui uliza

  • @michaelbaha9598

    @michaelbaha9598

    4 жыл бұрын

    @@revocatusrubaba4416 Usilazimishe choice. Huyo Paroko anayetajwa hapo siyo Baba? Umewahi kusikia kitu kinaitwa Sinodi ya Afrika? Unafahamu kitu chochote kuhusu utamudinisho? Vumilia tu hata wewe nyumbani kwako hauli migebuka kila siku. Hao hawakujipeleka hapo wana mualiko wa Paroko na Paroko alikuwepo kwa maelezo ya MC na hawajaanza leo. Labda ujiulize kwanini Kanisa linavumilia hawafungiwi kama ilinvyotokea kwa wafuasi wa Nkwera.

  • @octavinamgulunde5183

    @octavinamgulunde5183

    4 жыл бұрын

    Una kazi jaribu kutofautisha tamasha na ibada . Ukitaka kujua mengi kuhusu hao ungana nao wanapoadhimisha misa takatifu. Usiwe ivyo na kwaya sio siasa hakuna ushindani

  • @sulehassanshall6140
    @sulehassanshall61404 жыл бұрын

    Eenyi watu hamupati uzima wamilele mpka mue waislam ndio kupta uzima wamlle

  • @felisterligwa

    @felisterligwa

    4 жыл бұрын

    sule hassan shall hahahaa pole sana kapimwe hiyo maralia imeshakupanda kichwani

  • @m.mmarckus6298

    @m.mmarckus6298

    4 жыл бұрын

    Utateseka sana

  • @mariasalomelukosi6846

    @mariasalomelukosi6846

    Жыл бұрын

    Kwanini

  • @revocatusrubaba4416
    @revocatusrubaba44164 жыл бұрын

    Conductor anatakiwa viboko kwa Kuwa amegeuka kuwa mtoto wa vipapa

  • @zachariagerald

    @zachariagerald

    4 жыл бұрын

    Revocatus Rubaba 🤣🤣

  • @nuruelimapunda4792

    @nuruelimapunda4792

    4 жыл бұрын

    Yuko vizuri kachangamka

  • @octavinamgulunde5183

    @octavinamgulunde5183

    4 жыл бұрын

    Sio bure wewe kuna sababu unazo

  • @barakathobias8788

    @barakathobias8788

    4 жыл бұрын

    @@zachariagerald mkuu naomba tutafutane ninashida na wewe sana plz ni check kwa namba yangu hii 0625810227

  • @m.mmarckus6298

    @m.mmarckus6298

    4 жыл бұрын

    Mbona huyo hachezi jamn,nakumbuka kuna kwaya ilialikwa kuja kuimba hapo makuburi jina nimesahau kwasb ni muda mrefu,ungemuona nadhani ungeshangaa zaidi badala yakufata ibada

  • @rashidmohamed928
    @rashidmohamed9284 жыл бұрын

    Uwa naumia ninapoona kwaya kubwa kamahii miakayote kwenye matamasha wanachoimba akijulikani

  • @alexandermakanta9468

    @alexandermakanta9468

    4 жыл бұрын

    Labda wewe ulitaka waimbe nini? Walisifu Jina la Baba Yako Mzazi?

  • @clementinakabaka7447

    @clementinakabaka7447

    4 жыл бұрын

    Kwa kweli conductor hajui anachokifanya!ameenda hapo kucheza siyo kuconduct maana kuna taratibu zake yy anapuyanga tu hakuna bits anazofuata hapo

  • @user-xl2tp6md1q
    @user-xl2tp6md1q5 ай бұрын

    If this was 4 yrs back what about today

Келесі