KWAYA YA MT KIZITO YAFANYA MIUJIZA TENA KWENYE TAMASHA LA STEPHANO DAY, HAIJAWAI TOKEA
KWAYA YA MT KIZITO YAFANYA MIUJIZA TENA KWENYE TAMASHA LA STEPHANO DAY, HAIJAWAI TOKEA
Жүктеу.....
Пікірлер: 58
@lomuriatandrewlokaale8662 Жыл бұрын
This is wonderful choir and am interested one day to attend and kizito makuburi choir if their choir master can attend the choir in Turkana County in Kenya in Good shephered in kakuma parish.
@modjazyb37924 жыл бұрын
Hongereni cku moja mje na kwetu fanyeni ziara ya uinjilishaji kwa njia ya uimbaji mje malinyi.parokia ya yesu mchungaji mwema Itete karibuni tunawapenda sana mbarikiwe katika kazi hii ngumu
@user-xl2tp6md1q2 ай бұрын
My favorite choir
@leonornhantumbo2381 Жыл бұрын
que lindo corro. parabens radio Maria
@simonthomas79694 жыл бұрын
Kwaya bora ya muda wote
@deogratiusdominick88822 жыл бұрын
Cku moja nataman niwe mwanakaya mzur zaid
@sarafinafranci84814 жыл бұрын
Hongereni sana kwa kuinjilisha na kumsifu Mungu, Mungu awape nguvu na afya njema, mzidi kumsifu Mungu daima.
@sulehassanshall6140
4 жыл бұрын
Mungu hasifiwi kwa nyimbo zakijinga kma hzo ..wala mungu htaki kuimbiwa Achen ujinga njooni kwa uislam mumuabudu mungu Anavo paswa kuabudiwa. Achen kumshirikisha mungu katika makanisa nyumba za mashetan..kanisa cinyumba yamngu Bali ninyumba zakishetan...freemason wako mknisan kiti chashetan chaenzi nz kiko knisan.sasa munafanya nn katika nyumba zamshetan.
@restustanjau3224 жыл бұрын
Hongereni Mungu awabariki muendelee kuinjilisha kwa njia hii ya nyimbo
@augustinomkongwa54444 жыл бұрын
wonderful performance jamani what a perfomance hongereni sana, mmetishaa, conductor anaongoza mpaka mpigo wa ngoma mko njema sana St. Kizito
@mariasalomelukosi6846 Жыл бұрын
Hallelujah
@deogratiusdominick88822 жыл бұрын
MUNGU nisaidie nifikie hapa
@stephenkishinhi21094 жыл бұрын
You guys are using your talents big up
@patrickshirima69174 жыл бұрын
Mnajitahid sana wezeshen na kwaya ndogo mbinu ili zifikie kiwango chenu
@patrickvenance45484 жыл бұрын
Kizito nawakubali sana
@petroniamagera68664 жыл бұрын
Hakika daima juu siku zote Mt. Kizito😘😘😘
@francissilayo.34574 жыл бұрын
Conductor huwa ani nibless sana
@samorahbanderas87674 жыл бұрын
Dah! Mpaka Naskia kulia Mnavyo Mtukuza MUNGU KWA NYIMBO ZILIZO TAMU NAJIVUNIA KUWA MCATHOLIC SIJUTI
@richardboteto36134 жыл бұрын
Hongera kwao
@latefalatefa55944 жыл бұрын
Mungu awaongoze daima katika utume mwema
@erneuslugusi17854 жыл бұрын
Jamani yaaani daaa naikumbuka makuburi Mimi jamani karibuni sasa parokia ya kijenge Jimbo la arusha
@zawadieladionic48234 жыл бұрын
Nawapenda
@user-xl2tp6md1q5 ай бұрын
If this was 4 yrs back what about today
@neemaneema68253 жыл бұрын
Amina
@georgettejolie21634 жыл бұрын
Well organized love it.
@winifridanzige9944 жыл бұрын
Akili Akili
@zainabumwambughi2194 жыл бұрын
Hongeren
@evathadeo96124 жыл бұрын
Hakika huwa sichoki kuwasikiliza mnafufahisha mbarikiwe
@danrugayana50724 жыл бұрын
Hadi rahaa
@gabrielwambele86483 жыл бұрын
Hawa jamaa wanajua kipi wanakifanya
@stanilupelele27934 жыл бұрын
Kweli huwa mnanibariki sana natamani siku nabariki ndoa mje
@adrianswai8493
4 жыл бұрын
Stani Lupelele Kibunda chako tu mbona watakujaa
@jeniferkabigumila23984 жыл бұрын
Mbalikiwe
@revocatusrubaba44164 жыл бұрын
Kichwa cha habari hakifanani na kiwango wameanza vzr ila sio sana
@octavinamgulunde5183
4 жыл бұрын
Vizuri bwana
@michaelbaha9598
4 жыл бұрын
Ni wivu tu in Gwajima voice
@revocatusrubaba4416
4 жыл бұрын
Michael baha wivu wa nini cha ajabu hapo nn nimewaona live kwaya ya chag'ombe kwaya ya katubuka wanaimba muziki pure wa kikatoliki Achana na hayo masebene na ndio maana hata conductor wao hafuati taratibu za ku conduct Aje huku kigoma uone kama hazuiliwi Waimbe vzr kwa kufuata miongozo ya ma Baba kama huijui uliza
@michaelbaha9598
4 жыл бұрын
@@revocatusrubaba4416 Usilazimishe choice. Huyo Paroko anayetajwa hapo siyo Baba? Umewahi kusikia kitu kinaitwa Sinodi ya Afrika? Unafahamu kitu chochote kuhusu utamudinisho? Vumilia tu hata wewe nyumbani kwako hauli migebuka kila siku. Hao hawakujipeleka hapo wana mualiko wa Paroko na Paroko alikuwepo kwa maelezo ya MC na hawajaanza leo. Labda ujiulize kwanini Kanisa linavumilia hawafungiwi kama ilinvyotokea kwa wafuasi wa Nkwera.
@octavinamgulunde5183
4 жыл бұрын
Una kazi jaribu kutofautisha tamasha na ibada . Ukitaka kujua mengi kuhusu hao ungana nao wanapoadhimisha misa takatifu. Usiwe ivyo na kwaya sio siasa hakuna ushindani
@sulehassanshall61404 жыл бұрын
Eenyi watu hamupati uzima wamilele mpka mue waislam ndio kupta uzima wamlle
@felisterligwa
4 жыл бұрын
sule hassan shall hahahaa pole sana kapimwe hiyo maralia imeshakupanda kichwani
@m.mmarckus6298
4 жыл бұрын
Utateseka sana
@mariasalomelukosi6846
Жыл бұрын
Kwanini
@revocatusrubaba44164 жыл бұрын
Conductor anatakiwa viboko kwa Kuwa amegeuka kuwa mtoto wa vipapa
@zachariagerald
4 жыл бұрын
Revocatus Rubaba 🤣🤣
@nuruelimapunda4792
4 жыл бұрын
Yuko vizuri kachangamka
@octavinamgulunde5183
4 жыл бұрын
Sio bure wewe kuna sababu unazo
@barakathobias8788
4 жыл бұрын
@@zachariagerald mkuu naomba tutafutane ninashida na wewe sana plz ni check kwa namba yangu hii 0625810227
@m.mmarckus6298
4 жыл бұрын
Mbona huyo hachezi jamn,nakumbuka kuna kwaya ilialikwa kuja kuimba hapo makuburi jina nimesahau kwasb ni muda mrefu,ungemuona nadhani ungeshangaa zaidi badala yakufata ibada
@rashidmohamed9284 жыл бұрын
Uwa naumia ninapoona kwaya kubwa kamahii miakayote kwenye matamasha wanachoimba akijulikani
@alexandermakanta9468
4 жыл бұрын
Labda wewe ulitaka waimbe nini? Walisifu Jina la Baba Yako Mzazi?
@clementinakabaka7447
4 жыл бұрын
Kwa kweli conductor hajui anachokifanya!ameenda hapo kucheza siyo kuconduct maana kuna taratibu zake yy anapuyanga tu hakuna bits anazofuata hapo
Пікірлер: 58
This is wonderful choir and am interested one day to attend and kizito makuburi choir if their choir master can attend the choir in Turkana County in Kenya in Good shephered in kakuma parish.
Hongereni cku moja mje na kwetu fanyeni ziara ya uinjilishaji kwa njia ya uimbaji mje malinyi.parokia ya yesu mchungaji mwema Itete karibuni tunawapenda sana mbarikiwe katika kazi hii ngumu
My favorite choir
que lindo corro. parabens radio Maria
Kwaya bora ya muda wote
Cku moja nataman niwe mwanakaya mzur zaid
Hongereni sana kwa kuinjilisha na kumsifu Mungu, Mungu awape nguvu na afya njema, mzidi kumsifu Mungu daima.
@sulehassanshall6140
4 жыл бұрын
Mungu hasifiwi kwa nyimbo zakijinga kma hzo ..wala mungu htaki kuimbiwa Achen ujinga njooni kwa uislam mumuabudu mungu Anavo paswa kuabudiwa. Achen kumshirikisha mungu katika makanisa nyumba za mashetan..kanisa cinyumba yamngu Bali ninyumba zakishetan...freemason wako mknisan kiti chashetan chaenzi nz kiko knisan.sasa munafanya nn katika nyumba zamshetan.
Hongereni Mungu awabariki muendelee kuinjilisha kwa njia hii ya nyimbo
wonderful performance jamani what a perfomance hongereni sana, mmetishaa, conductor anaongoza mpaka mpigo wa ngoma mko njema sana St. Kizito
Hallelujah
MUNGU nisaidie nifikie hapa
You guys are using your talents big up
Mnajitahid sana wezeshen na kwaya ndogo mbinu ili zifikie kiwango chenu
Kizito nawakubali sana
Hakika daima juu siku zote Mt. Kizito😘😘😘
Conductor huwa ani nibless sana
Dah! Mpaka Naskia kulia Mnavyo Mtukuza MUNGU KWA NYIMBO ZILIZO TAMU NAJIVUNIA KUWA MCATHOLIC SIJUTI
Hongera kwao
Mungu awaongoze daima katika utume mwema
Jamani yaaani daaa naikumbuka makuburi Mimi jamani karibuni sasa parokia ya kijenge Jimbo la arusha
Nawapenda
If this was 4 yrs back what about today
Amina
Well organized love it.
Akili Akili
Hongeren
Hakika huwa sichoki kuwasikiliza mnafufahisha mbarikiwe
Hadi rahaa
Hawa jamaa wanajua kipi wanakifanya
Kweli huwa mnanibariki sana natamani siku nabariki ndoa mje
@adrianswai8493
4 жыл бұрын
Stani Lupelele Kibunda chako tu mbona watakujaa
Mbalikiwe
Kichwa cha habari hakifanani na kiwango wameanza vzr ila sio sana
@octavinamgulunde5183
4 жыл бұрын
Vizuri bwana
@michaelbaha9598
4 жыл бұрын
Ni wivu tu in Gwajima voice
@revocatusrubaba4416
4 жыл бұрын
Michael baha wivu wa nini cha ajabu hapo nn nimewaona live kwaya ya chag'ombe kwaya ya katubuka wanaimba muziki pure wa kikatoliki Achana na hayo masebene na ndio maana hata conductor wao hafuati taratibu za ku conduct Aje huku kigoma uone kama hazuiliwi Waimbe vzr kwa kufuata miongozo ya ma Baba kama huijui uliza
@michaelbaha9598
4 жыл бұрын
@@revocatusrubaba4416 Usilazimishe choice. Huyo Paroko anayetajwa hapo siyo Baba? Umewahi kusikia kitu kinaitwa Sinodi ya Afrika? Unafahamu kitu chochote kuhusu utamudinisho? Vumilia tu hata wewe nyumbani kwako hauli migebuka kila siku. Hao hawakujipeleka hapo wana mualiko wa Paroko na Paroko alikuwepo kwa maelezo ya MC na hawajaanza leo. Labda ujiulize kwanini Kanisa linavumilia hawafungiwi kama ilinvyotokea kwa wafuasi wa Nkwera.
@octavinamgulunde5183
4 жыл бұрын
Una kazi jaribu kutofautisha tamasha na ibada . Ukitaka kujua mengi kuhusu hao ungana nao wanapoadhimisha misa takatifu. Usiwe ivyo na kwaya sio siasa hakuna ushindani
Eenyi watu hamupati uzima wamilele mpka mue waislam ndio kupta uzima wamlle
@felisterligwa
4 жыл бұрын
sule hassan shall hahahaa pole sana kapimwe hiyo maralia imeshakupanda kichwani
@m.mmarckus6298
4 жыл бұрын
Utateseka sana
@mariasalomelukosi6846
Жыл бұрын
Kwanini
Conductor anatakiwa viboko kwa Kuwa amegeuka kuwa mtoto wa vipapa
@zachariagerald
4 жыл бұрын
Revocatus Rubaba 🤣🤣
@nuruelimapunda4792
4 жыл бұрын
Yuko vizuri kachangamka
@octavinamgulunde5183
4 жыл бұрын
Sio bure wewe kuna sababu unazo
@barakathobias8788
4 жыл бұрын
@@zachariagerald mkuu naomba tutafutane ninashida na wewe sana plz ni check kwa namba yangu hii 0625810227
@m.mmarckus6298
4 жыл бұрын
Mbona huyo hachezi jamn,nakumbuka kuna kwaya ilialikwa kuja kuimba hapo makuburi jina nimesahau kwasb ni muda mrefu,ungemuona nadhani ungeshangaa zaidi badala yakufata ibada
Uwa naumia ninapoona kwaya kubwa kamahii miakayote kwenye matamasha wanachoimba akijulikani
@alexandermakanta9468
4 жыл бұрын
Labda wewe ulitaka waimbe nini? Walisifu Jina la Baba Yako Mzazi?
@clementinakabaka7447
4 жыл бұрын
Kwa kweli conductor hajui anachokifanya!ameenda hapo kucheza siyo kuconduct maana kuna taratibu zake yy anapuyanga tu hakuna bits anazofuata hapo
If this was 4 yrs back what about today