Kwaya Katoliki - Nitume Mimi Bwana (Na Frt. Godfrey Masokola)

Музыка

Kwaya Katoliki - Nitume Mimi Bwana (Na Frt. Godfrey Masokola)
Lyrics:
Verse 1:
Eee Mungu naitika wito wako, Umenijua mimi hata kabla sijaumbwa _Kabla sijazaliwa mimi wewe uliinitakasa
Bwana, toka tumboni mwa Mamangu Ukanifanya kuwa nabii na mtumishi Wako Niko tayari Ee Mungu.
Chorus:
Nitumie mimi Bwana X 4
Naitika wito wako naja bwana unitume X2
Nitumie mimi Bwana X 4
Naitika wito wako naja bwana unitume X2
Verse 2:
Unitie nguvu na ushupavu nisimamie ukweli Na kutetea Imani tena niimarishe Mimi nihubiri neno lako.
Mimi,ni mtumishi wa Bwana na Nitendewe ulivyonena na naja kufanya Mapenzi yako niko tayari Ee Mungu.
Chorus:
Nitumie mimi Bwana X 4
Naitika wito wako naja bwana unitume X2
Nitumie mimi Bwana X 4
Naitika wito wako naja bwana unitume X2
Verse 3:
Nijaalie Roho Mtakatifu aniongoze katika utume Wangu ili nidumu daima milele katika kukutumikia.
Bwana, nitume mimi kutangaza mwaka Wa Bwana kuwahubiri masikini Habari Njema niko tayari Ee Mungu
Chorus:
Nitumie mimi Bwana X 4
Naitika wito wako naja bwana unitume X2
Nitumie mimi Bwana X 4
Naitika wito wako naja bwana unitume X2
___________END___________
nitume bwana
Nitume mimi Bwana
Nyimbo za upadrisho

Пікірлер: 117

  • @Thedy-tp5ei
    @Thedy-tp5ei28 күн бұрын

    Ukatolik raha sana

  • @MarcelineJohn-ec4pb
    @MarcelineJohn-ec4pbАй бұрын

    Naombea uzao wa tumbo langu nipate mtoto wa kumtumikia Mungu

  • @user-ku6to5nv9n
    @user-ku6to5nv9n6 ай бұрын

    Nyimbo nzury sana sinta choka kusicliz nyimbo za kwaya katoliki

  • @judithnjako2131
    @judithnjako21312 жыл бұрын

    Ee Mungu usiwaache watumishi wako kwa kupitia wimbo huu wafanyanyie wepesi katika kila hatua ya utume wao nawaombea mapadri wote na masisita ulimwenguni kote

  • @rayanzachariah1185
    @rayanzachariah11852 жыл бұрын

    Nyimboo hii takatifuuu nimeitafuta mnooo munguu ambarikii mtunzii wa nyimbooo hiii nyimboo kama hizii zinatuvuta vijana sisi katika witoo wa upadriii munguuu akubarikii sana.

  • @PriscaLuwanda
    @PriscaLuwanda13 күн бұрын

    Good song mungu aendelee kuwapigania katika utumishi siku zte katika kulitangaza jina lake ❤❤❤❤

  • @geraldmollel30
    @geraldmollel30 Жыл бұрын

    Moja ya wimbo nisiochoka kuusikiliza maana huu ujumbe uliopo ndani yake unavuta hisia zangu ziweze kuishi katika ukuu wa Mungu...

  • @anethpaul626
    @anethpaul6265 ай бұрын

    Huu wimbo naupenda sana

  • @PriscaLuwanda
    @PriscaLuwanda4 сағат бұрын

    Mungu awazidishie aman yak ktk utume ❤❤❤

  • @user-oo4yq2im3u
    @user-oo4yq2im3uАй бұрын

    Hii imekuwa ni faraja kubwa kwangu ,ninajawa na Furaha Mara zote ninapo usikia wimbo huu

  • @marthauisso5803
    @marthauisso5803 Жыл бұрын

    NAJIVUNIA UKATOLIKI WANGU EE MUNGU BABA NIONGEZEE IMANI NIDUMU KWENYE UKATOLIKI WANGU

  • @gloriamaganga9012
    @gloriamaganga90122 ай бұрын

    Mungu akubariki sana ulietunga huu wimbo huwa natafakari sana kuhusu uumbaji wa Mungu na namna alivyopanga tumtumikie ❤❤❤❤

  • @modestusinnocent458
    @modestusinnocent458 Жыл бұрын

    God bless you When listening this song i always remember my life at seminary 🏆🙏

  • @AnastaziaDaffi
    @AnastaziaDaffi29 күн бұрын

    Hongeren sana Kwa utume wenu mungu awabarik

  • @hortpeter5630
    @hortpeter56306 ай бұрын

    Mungu fundi. Acha kabisa

  • @michaelchriss8382
    @michaelchriss83822 жыл бұрын

    Huu wimbo nilikuwa nautafutag sna leo nimeupata daah nimefurahi sna

  • @renatusmsofe1458
    @renatusmsofe14589 ай бұрын

    Thanks Lord for selecting me among many to be a Catholic your thrue church! Nitume Mimi Bwana

  • @imeldamatoju2735

    @imeldamatoju2735

    6 ай бұрын

  • @lulukway1656
    @lulukway1656 Жыл бұрын

    Najivunia kua mkatoliki wimbo huu unanibarik sana my god bless you

  • @lucytesha4191
    @lucytesha4191 Жыл бұрын

    Mimi ni mtumishi wa bwana nitendewe ulivonena...kwa kweli ujasiri wa kuishi maisha mungu alonipa kwa shida na raha uko kwenye maneno haya..am a proudly catholic woman

  • @melisastephen2376
    @melisastephen23762 жыл бұрын

    Eee mungu umenijua hata kabla sijaumbwa ,kabla sijazaliwa ulinitakaza amen🙏.

  • @josephsuluo
    @josephsuluo2 жыл бұрын

    May God bless you for uploading the full song. Nimeutafuta huu wimbo kwa zaidi ya mwaka baada ya kuondolewa youtube

  • @ZilipendwaTanzania

    @ZilipendwaTanzania

    2 жыл бұрын

    Amen 🙏

  • @paulinaluambano9150

    @paulinaluambano9150

    2 жыл бұрын

    Kwa Hakika, nami nimeutafuta Zaidi ya mwaka, Ubarikiwe sana

  • @glidewachiya1742

    @glidewachiya1742

    2 жыл бұрын

    Same to me,I was just getting the photocopy

  • @demetriakabera177

    @demetriakabera177

    2 жыл бұрын

    Nimebarikiwa mnooo. Mungu wa Mbinguni awatunze

  • @paulinaluambano9150
    @paulinaluambano91502 жыл бұрын

    What a song,unanibariki Sana huu wimbo Hongera kwa Mtunzi na wote wlioshiriki kuupamba

  • @user-gn6ce9yt2d
    @user-gn6ce9yt2d7 ай бұрын

    Awesome it makes my vocation 🔥 up

  • @maureenajuang5314
    @maureenajuang5314 Жыл бұрын

    Mpangilio wa hizo sauti zavutia sana,kazi nzuri sana.

  • @veronicamtitu8512
    @veronicamtitu85126 ай бұрын

    Naupenda sana

  • @annmacharia9069
    @annmacharia9069 Жыл бұрын

    Love it so much, watching from Rwanda.

  • @user-ky5vw8md1p
    @user-ky5vw8md1p3 ай бұрын

    Amina 🙏sana

  • @user-cq6ne4pg5m
    @user-cq6ne4pg5m10 ай бұрын

    Asante bwana nilinde katika maisha yangu nakuachya yote nitume mimi bwana

  • @celestine2755
    @celestine2755 Жыл бұрын

    Hogera fr. Kwa uijilishaji mwema. Spiritually enriching. Be blessed and bless with many others.

  • @pauloptatmosha8115
    @pauloptatmosha8115 Жыл бұрын

    What a beautiful song! Love being a Catholic!

  • @enatanonga3048
    @enatanonga304817 күн бұрын

    Wimbo mzuri sana🙏

  • @user-jo3dn4je3w
    @user-jo3dn4je3w9 ай бұрын

    Huu wimbo ni mzuri sana, unatukumbusha utume wetu katika nyanja mbalimbali ktk kanisa la Kristo.Hongereni sana waimbaji na mtunzi👍

  • @morinemuonja3382
    @morinemuonja3382Ай бұрын

    ❤❤❤ this song is something else

  • @lilianwillium8381
    @lilianwillium83818 ай бұрын

    Napenda sana hii nyimbo jamani Mungu awabariki sana wahusika wote wakiongozwa na mtunzi big up

  • @agripinaapolinary1362
    @agripinaapolinary13629 ай бұрын

    Mungu aendelee kuwatunza mapadre wote

  • @jkass757
    @jkass7572 жыл бұрын

    Wimbo mtamu sana huu. Najivunia Ukatoliki wangu

  • @SaluAlaika
    @SaluAlaika11 күн бұрын

    Mungu akubarik😢

  • @simonmlelwa440
    @simonmlelwa4409 ай бұрын

    You just made my Sunday proud to be a Catholic no doubt it was referred to as a Sacred Music

  • @immaculathangalison5595
    @immaculathangalison55953 ай бұрын

    Asante limbo naupenda naomba Mungu wa mbingu na dunia uwajarie wanangu wakutumikie wewe Mungu mkuu

  • @godybully2708
    @godybully27082 ай бұрын

    Nyimbo inaongoza

  • @malk8152
    @malk81522 жыл бұрын

    Tumsifu Mungu wetu aliyeumba mbingu na nchi.

  • @justusngonyani165
    @justusngonyani1658 ай бұрын

    Wimbo mzuri sana.Basi tutumike kweli kweli.Tuchunge bila kuchinja.

  • @yusterkapinga7102
    @yusterkapinga71029 ай бұрын

    Proud to be Roman catholic 🙏🤲 RC forever and forever

  • @imeldamatoju2735

    @imeldamatoju2735

    6 ай бұрын

    ❤ me too

  • @batholomeodonatus3274
    @batholomeodonatus32747 ай бұрын

    Feeling healed,blessed and uplifted every time I listening to this masterpiece 🙏🙏 Nitume mimi Bwana🙏🙏

  • @kenabeachhotel5471
    @kenabeachhotel54712 жыл бұрын

    this is my first choice in all songs, thanks frt. and all participants

  • @babuk.4066
    @babuk.40662 жыл бұрын

    Huu wimbo ukiusikiliza na kuutafakari una upako mkubwa sana. pia hauchoshi kusikiliza. Mungu azidi kumbariki Frt G.Masokola

  • @stevenkembo9808

    @stevenkembo9808

    2 жыл бұрын

    Hakika wimbo n mzuri sana kwn kila niusikiapo unaipa faraja hata nikiwa na mawazo huwà napenda kuusikiliza huu wimbo nafarijika sana kazi nzur kwa mtunzi na waimbaji mungu awabaliki kwa mungu ni mwema kila wakati

  • @lucassaidy7503

    @lucassaidy7503

    Жыл бұрын

    Hii wimbo unanifundisha nisichoke kuifanaya kazi yake mungu bila yeye Mimi sikitu

  • @marthauisso5803

    @marthauisso5803

    Жыл бұрын

    Kabisaaa

  • @anjelanalianya3659
    @anjelanalianya36596 ай бұрын

    Walai huu wimbo hunitia moyo sana,asanteni sana waimbaji,mungu azidi kuwabariki sana

  • @massiasinkala3478
    @massiasinkala34782 жыл бұрын

    Huu wimbo niliutafutaa sanaaaa,ahsanteniiii sanaaaa,MUNGU atubariki sanaa

  • @ZilipendwaTanzania

    @ZilipendwaTanzania

    2 жыл бұрын

    Amina 🙏🙏

  • @florabenard5504

    @florabenard5504

    Жыл бұрын

    Hongereni sana

  • @ivynececilia9440
    @ivynececilia94402 жыл бұрын

    Mungu awabariki Sana kwa wimbo huu ,,,umenitia moyo sana

  • @malakimisana8956
    @malakimisana89562 жыл бұрын

    Wimbo mzuri sana Utume wetu ukaguse maisha ya wanaomngoja kristu

  • @ZilipendwaTanzania

    @ZilipendwaTanzania

    2 жыл бұрын

    AMINA 🙏

  • @prosistabasili1442

    @prosistabasili1442

    2 жыл бұрын

    @@ZilipendwaTanzanianajivunia ukatoliki wangu

  • @prosistabasili1442

    @prosistabasili1442

    2 жыл бұрын

    @@ZilipendwaTanzania nitume nitumex4unitumeeee

  • @simonmaige9903
    @simonmaige99032 жыл бұрын

    😭😭😭😭😭nimeitafuta sana hii nyimbo jmn asanteni xn kutuwekea huku! Hakika niusikiapo hupatwa na goosebumps!

  • @ZilipendwaTanzania

    @ZilipendwaTanzania

    2 жыл бұрын

    Karibu sana ☺️

  • @gidonicholasshayo9260
    @gidonicholasshayo926010 ай бұрын

    Hongera sana Frt. Godfrey kwa utunzi huu mzuri

  • @user-fm4lt6ur4e
    @user-fm4lt6ur4e10 ай бұрын

    Wimbo ulio Bora Kwa muda wote kwangu hasa nikikumbuka upadrisho wa kaka yangu Fr. Sylvester

  • @graceatilio1386
    @graceatilio13865 ай бұрын

    ❤❤❤

  • @placidandunguru-pq6of
    @placidandunguru-pq6of9 ай бұрын

    Sijawahi uchoka huu wimbo Kazi nzuri San San Be blessed❤

  • @anyoliuscetrick2963
    @anyoliuscetrick29632 жыл бұрын

    Message well delivered 🙏🙏

  • @swaummshana2265
    @swaummshana22652 жыл бұрын

    May God Bless you Catholics

  • @jumadennismusumba5362
    @jumadennismusumba5362 Жыл бұрын

    Mungu awajalie neema ili muendelee na kazi hiyo njema.

  • @deusdeditsimba4452
    @deusdeditsimba44522 жыл бұрын

    Nitume Mimi Bwana ,Nitume Mimi Bwana

  • @mapachawetuamazingflaterna2657
    @mapachawetuamazingflaterna26578 ай бұрын

    Wimbo niupendao daima

  • @mwadupanicko1329
    @mwadupanicko13292 жыл бұрын

    Niusikiapo wimbo huu hakika nafarijika sana hongera kwa mtunzi na waimbaji

  • @gamayapaul9084
    @gamayapaul9084 Жыл бұрын

    Napenda sanahii wimbo hongereni waimbaji

  • @batholomeodonatus3274
    @batholomeodonatus32742 жыл бұрын

    Music is a natural healer

  • @joynduta6512
    @joynduta6512 Жыл бұрын

    Siwezi maliza kuusikiliza huu wimbo hakikaaaaa

  • @thomassospeter2801
    @thomassospeter28012 жыл бұрын

    Kazi nzuli ya utume akika tunabalikiwa xana

  • @silladarema897
    @silladarema8972 жыл бұрын

    Mungu awabariki xana

  • @hanjimg8137
    @hanjimg81372 жыл бұрын

    May God bless you so much, love it

  • @albertblasiusmligo8715
    @albertblasiusmligo87152 жыл бұрын

    Asanteni Sana maana nimeutafuta huu wimbo

  • @sarajoseph1350
    @sarajoseph1350 Жыл бұрын

    Mapendo naupenda Sana huu mwimbo mungu amiongoze

  • @glidewachiya1742
    @glidewachiya17422 жыл бұрын

    I love it

  • @mungumwema3345
    @mungumwema334511 ай бұрын

    Wimbo naupenda sana

  • @TinahAlubat-uy3se
    @TinahAlubat-uy3se11 ай бұрын

    Naipenda San wimbo huu

  • @victorpaul4242
    @victorpaul42422 жыл бұрын

    Kwakweli wimbo huu ni mzuri kwani unatia ❤️ moyo wa utume

  • @kananipius2649
    @kananipius26492 жыл бұрын

    Very much good

  • @user-qv3xp3lm3j
    @user-qv3xp3lm3j11 ай бұрын

    Wimbo mzuri sana

  • @florahmushi9220
    @florahmushi92202 жыл бұрын

    Hakika ni kweli nitume mimi bwana nyimbo nzuri hongera frateri

  • @didasldotaruook3404

    @didasldotaruook3404

    Жыл бұрын

    Moja ya kati ya nyimbo bora kabisa kuwahi kutungwa na kuimbwa..

  • @PharmacistGoodluckMdugi
    @PharmacistGoodluckMdugi2 жыл бұрын

    Hakika nitume niende

  • @myllesstyllermyllesstyller9071
    @myllesstyllermyllesstyller90712 жыл бұрын

    Amina

  • @manguredjipaminessprl6862

    @manguredjipaminessprl6862

    2 жыл бұрын

    Nice

  • @cantiuskabyazirutachulikwa3312

    @cantiuskabyazirutachulikwa3312

    2 жыл бұрын

    Wimbo mzuri

  • @dominarespikius2516
    @dominarespikius2516 Жыл бұрын

    Ongera sana

  • @St.TheresaOftheChildJesusChoir
    @St.TheresaOftheChildJesusChoir9 ай бұрын

    Nitume mimi Bwana❤

  • @gracedaudi2299
    @gracedaudi22995 ай бұрын

    Amina❤️🙏

  • @scholarondere3315
    @scholarondere331511 ай бұрын

    Unitume Bwana

  • @gedariamandele5334
    @gedariamandele5334 Жыл бұрын

    i was after dis aong fir sure i love this song morw coz natafakari kwa undani

  • @user-hi8ox9tu4w
    @user-hi8ox9tu4w9 ай бұрын

    I cant listen this for hours

  • @killianjustus307
    @killianjustus3077 ай бұрын

    Sauti silizonyooka bana

  • @mihatamnyaturu9069
    @mihatamnyaturu9069 Жыл бұрын

    bwana umenijua hata kabla sijazaliwa,nitume mimi bwana,niko tayari.

  • @mamakephoebemkatoliki6972
    @mamakephoebemkatoliki6972 Жыл бұрын

    My daily morning anthem

  • @lucysivili5305
    @lucysivili53052 жыл бұрын

    I like it more

  • @olivaellahenordm1742
    @olivaellahenordm1742 Жыл бұрын

    Nimebarikiwa sana kupata hii version nimetafuta sana jamani,God bless you for uploading🙏🏿😍

  • @ZilipendwaTanzania

    @ZilipendwaTanzania

    Жыл бұрын

    Amen

  • @salviusrwechungura3081
    @salviusrwechungura30812 жыл бұрын

    Hakika safari ya umisionari ni safari adhimu

  • @neeytemu
    @neeytemu Жыл бұрын

    ♥️♥️

  • @user-tj3qo3dx3b
    @user-tj3qo3dx3b8 ай бұрын

  • @SweegHMs2dio
    @SweegHMs2dio9 ай бұрын

    Naomba mipagilio ya sauti za chorus please, nimeupenda sana

  • @eliusmarekani8149
    @eliusmarekani8149 Жыл бұрын

    Naweza pata nakala ya wimbo huu? Msaada tafadhari

  • @imortal5354
    @imortal535410 ай бұрын

    Wekeni ata Link ya huu wimbo

  • @user-qv3xp3lm3j
    @user-qv3xp3lm3j11 ай бұрын

    Hizo sauti Ni 2 au tatu? Ya tatu ya nne na ya Kwanza kwa mbali

  • @simonmlelwa440

    @simonmlelwa440

    9 ай бұрын

    Ni sauti zote isipokuwa ni sauti za Kiume maana wimbo umeimbwa na Kwaya ya Mafrateri ya Mt. Karolilwanga

Келесі