Kwaya Katoliki - Nitume Mimi Bwana (Na Frt. Godfrey Masokola)
Музыка
Kwaya Katoliki - Nitume Mimi Bwana (Na Frt. Godfrey Masokola)
Lyrics:
Verse 1:
Eee Mungu naitika wito wako, Umenijua mimi hata kabla sijaumbwa _Kabla sijazaliwa mimi wewe uliinitakasa
Bwana, toka tumboni mwa Mamangu Ukanifanya kuwa nabii na mtumishi Wako Niko tayari Ee Mungu.
Chorus:
Nitumie mimi Bwana X 4
Naitika wito wako naja bwana unitume X2
Nitumie mimi Bwana X 4
Naitika wito wako naja bwana unitume X2
Verse 2:
Unitie nguvu na ushupavu nisimamie ukweli Na kutetea Imani tena niimarishe Mimi nihubiri neno lako.
Mimi,ni mtumishi wa Bwana na Nitendewe ulivyonena na naja kufanya Mapenzi yako niko tayari Ee Mungu.
Chorus:
Nitumie mimi Bwana X 4
Naitika wito wako naja bwana unitume X2
Nitumie mimi Bwana X 4
Naitika wito wako naja bwana unitume X2
Verse 3:
Nijaalie Roho Mtakatifu aniongoze katika utume Wangu ili nidumu daima milele katika kukutumikia.
Bwana, nitume mimi kutangaza mwaka Wa Bwana kuwahubiri masikini Habari Njema niko tayari Ee Mungu
Chorus:
Nitumie mimi Bwana X 4
Naitika wito wako naja bwana unitume X2
Nitumie mimi Bwana X 4
Naitika wito wako naja bwana unitume X2
___________END___________
nitume bwana
Nitume mimi Bwana
Nyimbo za upadrisho
Пікірлер: 117
Ukatolik raha sana
Naombea uzao wa tumbo langu nipate mtoto wa kumtumikia Mungu
Nyimbo nzury sana sinta choka kusicliz nyimbo za kwaya katoliki
Ee Mungu usiwaache watumishi wako kwa kupitia wimbo huu wafanyanyie wepesi katika kila hatua ya utume wao nawaombea mapadri wote na masisita ulimwenguni kote
Nyimboo hii takatifuuu nimeitafuta mnooo munguu ambarikii mtunzii wa nyimbooo hiii nyimboo kama hizii zinatuvuta vijana sisi katika witoo wa upadriii munguuu akubarikii sana.
Good song mungu aendelee kuwapigania katika utumishi siku zte katika kulitangaza jina lake ❤❤❤❤
Moja ya wimbo nisiochoka kuusikiliza maana huu ujumbe uliopo ndani yake unavuta hisia zangu ziweze kuishi katika ukuu wa Mungu...
Huu wimbo naupenda sana
Mungu awazidishie aman yak ktk utume ❤❤❤
Hii imekuwa ni faraja kubwa kwangu ,ninajawa na Furaha Mara zote ninapo usikia wimbo huu
NAJIVUNIA UKATOLIKI WANGU EE MUNGU BABA NIONGEZEE IMANI NIDUMU KWENYE UKATOLIKI WANGU
Mungu akubariki sana ulietunga huu wimbo huwa natafakari sana kuhusu uumbaji wa Mungu na namna alivyopanga tumtumikie ❤❤❤❤
God bless you When listening this song i always remember my life at seminary 🏆🙏
Hongeren sana Kwa utume wenu mungu awabarik
Mungu fundi. Acha kabisa
Huu wimbo nilikuwa nautafutag sna leo nimeupata daah nimefurahi sna
Thanks Lord for selecting me among many to be a Catholic your thrue church! Nitume Mimi Bwana
@imeldamatoju2735
6 ай бұрын
❤
Najivunia kua mkatoliki wimbo huu unanibarik sana my god bless you
Mimi ni mtumishi wa bwana nitendewe ulivonena...kwa kweli ujasiri wa kuishi maisha mungu alonipa kwa shida na raha uko kwenye maneno haya..am a proudly catholic woman
Eee mungu umenijua hata kabla sijaumbwa ,kabla sijazaliwa ulinitakaza amen🙏.
May God bless you for uploading the full song. Nimeutafuta huu wimbo kwa zaidi ya mwaka baada ya kuondolewa youtube
@ZilipendwaTanzania
2 жыл бұрын
Amen 🙏
@paulinaluambano9150
2 жыл бұрын
Kwa Hakika, nami nimeutafuta Zaidi ya mwaka, Ubarikiwe sana
@glidewachiya1742
2 жыл бұрын
Same to me,I was just getting the photocopy
@demetriakabera177
2 жыл бұрын
Nimebarikiwa mnooo. Mungu wa Mbinguni awatunze
What a song,unanibariki Sana huu wimbo Hongera kwa Mtunzi na wote wlioshiriki kuupamba
Awesome it makes my vocation 🔥 up
Mpangilio wa hizo sauti zavutia sana,kazi nzuri sana.
Naupenda sana
Love it so much, watching from Rwanda.
Amina 🙏sana
Asante bwana nilinde katika maisha yangu nakuachya yote nitume mimi bwana
Hogera fr. Kwa uijilishaji mwema. Spiritually enriching. Be blessed and bless with many others.
What a beautiful song! Love being a Catholic!
Wimbo mzuri sana🙏
Huu wimbo ni mzuri sana, unatukumbusha utume wetu katika nyanja mbalimbali ktk kanisa la Kristo.Hongereni sana waimbaji na mtunzi👍
❤❤❤ this song is something else
Napenda sana hii nyimbo jamani Mungu awabariki sana wahusika wote wakiongozwa na mtunzi big up
Mungu aendelee kuwatunza mapadre wote
Wimbo mtamu sana huu. Najivunia Ukatoliki wangu
Mungu akubarik😢
You just made my Sunday proud to be a Catholic no doubt it was referred to as a Sacred Music
Asante limbo naupenda naomba Mungu wa mbingu na dunia uwajarie wanangu wakutumikie wewe Mungu mkuu
Nyimbo inaongoza
Tumsifu Mungu wetu aliyeumba mbingu na nchi.
Wimbo mzuri sana.Basi tutumike kweli kweli.Tuchunge bila kuchinja.
Proud to be Roman catholic 🙏🤲 RC forever and forever
@imeldamatoju2735
6 ай бұрын
❤ me too
Feeling healed,blessed and uplifted every time I listening to this masterpiece 🙏🙏 Nitume mimi Bwana🙏🙏
this is my first choice in all songs, thanks frt. and all participants
Huu wimbo ukiusikiliza na kuutafakari una upako mkubwa sana. pia hauchoshi kusikiliza. Mungu azidi kumbariki Frt G.Masokola
@stevenkembo9808
2 жыл бұрын
Hakika wimbo n mzuri sana kwn kila niusikiapo unaipa faraja hata nikiwa na mawazo huwà napenda kuusikiliza huu wimbo nafarijika sana kazi nzur kwa mtunzi na waimbaji mungu awabaliki kwa mungu ni mwema kila wakati
@lucassaidy7503
Жыл бұрын
Hii wimbo unanifundisha nisichoke kuifanaya kazi yake mungu bila yeye Mimi sikitu
@marthauisso5803
Жыл бұрын
Kabisaaa
Walai huu wimbo hunitia moyo sana,asanteni sana waimbaji,mungu azidi kuwabariki sana
Huu wimbo niliutafutaa sanaaaa,ahsanteniiii sanaaaa,MUNGU atubariki sanaa
@ZilipendwaTanzania
2 жыл бұрын
Amina 🙏🙏
@florabenard5504
Жыл бұрын
Hongereni sana
Mungu awabariki Sana kwa wimbo huu ,,,umenitia moyo sana
Wimbo mzuri sana Utume wetu ukaguse maisha ya wanaomngoja kristu
@ZilipendwaTanzania
2 жыл бұрын
AMINA 🙏
@prosistabasili1442
2 жыл бұрын
@@ZilipendwaTanzanianajivunia ukatoliki wangu
@prosistabasili1442
2 жыл бұрын
@@ZilipendwaTanzania nitume nitumex4unitumeeee
😭😭😭😭😭nimeitafuta sana hii nyimbo jmn asanteni xn kutuwekea huku! Hakika niusikiapo hupatwa na goosebumps!
@ZilipendwaTanzania
2 жыл бұрын
Karibu sana ☺️
Hongera sana Frt. Godfrey kwa utunzi huu mzuri
Wimbo ulio Bora Kwa muda wote kwangu hasa nikikumbuka upadrisho wa kaka yangu Fr. Sylvester
❤❤❤
Sijawahi uchoka huu wimbo Kazi nzuri San San Be blessed❤
Message well delivered 🙏🙏
May God Bless you Catholics
Mungu awajalie neema ili muendelee na kazi hiyo njema.
Nitume Mimi Bwana ,Nitume Mimi Bwana
Wimbo niupendao daima
Niusikiapo wimbo huu hakika nafarijika sana hongera kwa mtunzi na waimbaji
Napenda sanahii wimbo hongereni waimbaji
Music is a natural healer
Siwezi maliza kuusikiliza huu wimbo hakikaaaaa
Kazi nzuli ya utume akika tunabalikiwa xana
Mungu awabariki xana
May God bless you so much, love it
Asanteni Sana maana nimeutafuta huu wimbo
Mapendo naupenda Sana huu mwimbo mungu amiongoze
I love it
Wimbo naupenda sana
Naipenda San wimbo huu
Kwakweli wimbo huu ni mzuri kwani unatia ❤️ moyo wa utume
Very much good
Wimbo mzuri sana
Hakika ni kweli nitume mimi bwana nyimbo nzuri hongera frateri
@didasldotaruook3404
Жыл бұрын
Moja ya kati ya nyimbo bora kabisa kuwahi kutungwa na kuimbwa..
Hakika nitume niende
Amina
@manguredjipaminessprl6862
2 жыл бұрын
Nice
@cantiuskabyazirutachulikwa3312
2 жыл бұрын
Wimbo mzuri
Ongera sana
Nitume mimi Bwana❤
Amina❤️🙏
Unitume Bwana
i was after dis aong fir sure i love this song morw coz natafakari kwa undani
I cant listen this for hours
Sauti silizonyooka bana
bwana umenijua hata kabla sijazaliwa,nitume mimi bwana,niko tayari.
My daily morning anthem
I like it more
Nimebarikiwa sana kupata hii version nimetafuta sana jamani,God bless you for uploading🙏🏿😍
@ZilipendwaTanzania
Жыл бұрын
Amen
Hakika safari ya umisionari ni safari adhimu
♥️♥️
❤
Naomba mipagilio ya sauti za chorus please, nimeupenda sana
Naweza pata nakala ya wimbo huu? Msaada tafadhari
Wekeni ata Link ya huu wimbo
Hizo sauti Ni 2 au tatu? Ya tatu ya nne na ya Kwanza kwa mbali
@simonmlelwa440
9 ай бұрын
Ni sauti zote isipokuwa ni sauti za Kiume maana wimbo umeimbwa na Kwaya ya Mafrateri ya Mt. Karolilwanga