#KWANINI

Maadhimisho ya Miaka 85 ya Kanisa la Tanzania Assemblies of God (TAG) yanaendelea kufanyika katika Idara za Kanisa hilo ngazi ya Taifa, baadaye maadhimisho hayo yatafanywa na Makanisa ya mahali pamoja, Seksheni, Majimbo na kufuatiwa na Kongamano kubwa la vijana, kongamano ambalo litafuatiwa na maadhimisho ya kitaifa mwezi Julai, mwaka huu jijini Dar es Salaam.

Пікірлер: 1

  • @user-mo2ge4eg5h
    @user-mo2ge4eg5h4 ай бұрын

    Haleluya utukufu zimwende Mungu mkuu

Келесі