#KWANINI
Maadhimisho ya Miaka 85 ya Kanisa la Tanzania Assemblies of God (TAG) yanaendelea kufanyika katika Idara za Kanisa hilo ngazi ya Taifa, baadaye maadhimisho hayo yatafanywa na Makanisa ya mahali pamoja, Seksheni, Majimbo na kufuatiwa na Kongamano kubwa la vijana, kongamano ambalo litafuatiwa na maadhimisho ya kitaifa mwezi Julai, mwaka huu jijini Dar es Salaam.
Пікірлер: 1
Haleluya utukufu zimwende Mungu mkuu