Hili ni itaji la mtumishi wa Mungu, Meshak. Mtamkumbuka katika maombi yenu.
Жүктеу.....
Пікірлер: 254
@deborahcharles65072 жыл бұрын
Bwana YESU akutetee Mtumishi wa Mungu!kila siraha Inayopangwa juu yako haitafanikiwa kwa jina la YESU
@NAMNDEMBAABEDI2 ай бұрын
Pole sana mtumishi wa mungu.ulipitia yale ili uwe sa nduku la ushuhuda kwa kanisa la bwana.nitaendelea kukuombea baba .bwana yesu aendelee kukushika mkono.utashinda tu .
@truphenayossi9852 жыл бұрын
Utashida kwa jina la yesu christo atakusaidia Mark 10:27 To men's impossible but to God everything is possible God will fight for you.
@UkweliMinistries
2 жыл бұрын
Amina. Nothing is impossible with our God.
@truphenayossi985
2 жыл бұрын
Lazima ajinyakulie utukufu. 🙏🙏
@devidamasian54772 жыл бұрын
God bless you, wewe ni mtume wa kweli mungu amekutuma kufanya kazi yake,nitakuombea kwa nguvu zangu zote na mungu anaenda kukupeleka kwenye viwango vikubwa Sana vya huduma, mungu akubariki sana
@trophywilson7211
Жыл бұрын
Deni lazima alipe hakuna Mungu wa kuchezea
@stanleylukuzi2271 Жыл бұрын
Japo utapita kwenye maji mengi, Bwana Yesu kristo atakuokoa mtumishi jipe moyo umeshinda. Ni mchungaji Stanley Lukuzi kutoka kitale Kenya.
@HabilyTech2 жыл бұрын
Bwana Yesu akukumbuke, katika kila unapopita mapenzi ya Mungu yatimizwe.
@dayemukalai34278 ай бұрын
Pole sana. Mungu akutanguliye Mungu atateda Kwa maana ajawahi kushidwa na chochote
@yusufuassani20322 жыл бұрын
Bwana yesu apewe sifa ,Mwana wa aliye juu vita hiyo tayari ulishaishinda kwa mapenzi ya Mungu,nilihonaga hiyo vita nanikahona ushindi kwahiyo hata wafanye nini lakini ushindi tayari maana Mungu asemaki bongo,amena
@lilianluhasi50532 жыл бұрын
Nakuombea Mungu ushinde kwa jina la Yesu Kristo, maana imeandikwa shimo walilokuchimbia watumbukie wenyewe, natamka kwa jina la Yesu Kristo itakuwa huru kwa mamlaka tuliyopewa na Yesu Kristo
@nezerinejuma5510 Жыл бұрын
Usikate Tamaa maana tuliachiwa mamlaka na Yesu misii mwana wa Mungu. Yote yatakwisha kwa jina Yesu kristo 🙏🏾
@estangande8164 Жыл бұрын
Pole sana mtumishi Bwana wa majeshi atakutetea
@emmashariff66222 жыл бұрын
Amina mtu wa Mungu..Bwana Yesu kristo akupiganie na kukueka huru kwa uweza wake tutakukumbuka
@neemangowo14532 жыл бұрын
Utashinda hata hvyo katika jina la Yesu,
@winnyk.2 жыл бұрын
Mungu aliyewapigania Paulo na sila pale gerezani, nawe atakupigania mtumishi wa Mungu 👏👏👏
@emmahvictoria9954 Жыл бұрын
May God protect you and guide you Man of God 🙏
@kizajacqueline85832 жыл бұрын
Eyesu tunamuweka mtumishi meshaki mikononi mwako humshindiye katika majanga ya wanadamu tunapinga tuna teketeza mamlaka ya mwovu shetani kwajina la yesu kristo amena .
@pstjoelopagalamilton7589 Жыл бұрын
The Lord Jesus will always be on the side of his people. Naomba yesu alietuumba asimame.na awe mtetezi wako jamani.
@noellabibe65202 жыл бұрын
Mungu aku piganiye mtumishi
@rosemwanyika53062 жыл бұрын
Mungu tunaye Muabudu ni mkuu kuliko wao. Mungu akusaidie Mtumishi wake. Hakuna siraha itakayo inuka juu yako itafanikiwa.
@bernardmuli44952 жыл бұрын
Don't fear I will with you always Isaiah 41:10 jipe moyo mtumishi Bwana ameaidi kuwa nasi kwa Hali zote
@kizajacqueline85832 жыл бұрын
Mtumishi meshak mungu aku simamiye kama alivyo simamiya shandrake meshak abedineko.tuta zidi kuku hombeya nawa shindwe kwa Jina la yesu.
@charleskamau645 Жыл бұрын
Mungu na akusaidie. Hata Paulo na Sila walifungwa na kuachiliwa. Join church of God na uendelee na huduma ya kuhubiri Neno.
@salomekemunto13732 жыл бұрын
Mungu na akutangulie mbele kwa Jina la Yesu autafungwa.
@veronicateonest8224 Жыл бұрын
Mtetezi wetu yuhai MUNGU atakupigania katika jinala yesu kristo
@catherinemakokha14002 жыл бұрын
May God remember what you have done good and protect and fight for His Servant in Jesus Christ name.
@salathielnsemwa3802 жыл бұрын
May the most High God be with you as he was with Paul and Silas,stay cool and the Lord will fight for you.!!!
@rizikileandre60312 жыл бұрын
God is with you mtume wa mungu.mungu ni mkubwe zaidi ya vute.
@masokatamasha51972 жыл бұрын
Poleni Saaaana Mungu upo
@mwangazakanganga81102 жыл бұрын
Usiogope wala usifadhaike, Mungu Bwana wa mbingu na nchi atakushindia. Kuwa jasiri na mwenye moyo mkuu. You are not alone
@ezekielchomo15262 жыл бұрын
Mungu ni mkuu sana kuliko mamlaka za ulimwengu huu atakushindia, tuko pamoja kutoka Sumbawanga Tanzania
@LewisMuchiri2 жыл бұрын
May God almighty fight for you in the name of Jesus Christ
@mwajumaamuri974
2 жыл бұрын
Bwana wetu Yesu akushiye mtumishi maana tuna ya shinda yote katika Yesu christo
@LewisMuchiri
2 жыл бұрын
@@mwajumaamuri974 amen
@anfalaljohani7480 Жыл бұрын
Praise God mtumishi wa mungu hayo ni yale mawe stefano alipigwa nayo hawatakurushia mawe ila kukupaka matope bt the king of glory will fight against you kwa kua wewe huwalisha kondoo zake mungu akutetee mtumishi wa mungu
@anfalaljohani7480
Жыл бұрын
Kila mipango watakayo panga kinyume nawe haitafaulu for the Lord himself is with you 🙏
@rusimackems98202 жыл бұрын
Hakuna kinacho shindikana kwa MUNGU atakutetea, katika jina la YESU KRISTO. Amen
@shanistar.05442 жыл бұрын
My our might God fight for you i believe and trust in God all will be well in Jesus name
@pizzaboy3640
Жыл бұрын
MUNGU NI MWEMA ATAKUTENDEA MEMA UWE MWAMINIFU HATA MWISHO WA JAMBO HILI DAMU YA YESU IKUFUNIKE
@nyamafubaraka4352 Жыл бұрын
Pole MUNGU atakuashindia
@favoredbyJesus Жыл бұрын
Mungu akuepushe na mabaya yote akupe neema zake
@edwardnamakonde156 Жыл бұрын
Bwana YESU atakutendea muujiza na itafanyika kuwa ushuhuda kwa wengi
@aishaesta92142 жыл бұрын
Mungu ata kusaidia kaka wala usi jali sana, mungu wetu siyo kipofu wala asione waliyo wake 🙏🙏🙏🙏
@GloryGondwe-jk6gp4 ай бұрын
Mungu atafanya njia Mtumishi wa Bwana
@marymwapiya12742 жыл бұрын
Mungu akulinde na kila hila za mwovu ibilisi mtumishi wa Mungu kwa uweza wake utashinda
@mazulagetrude24702 жыл бұрын
Mungu akutangulie Mtumishi, tupo pamoja tunakuombea, Mungu akuzie nguvu. Kwa jina la Yesu utapita salama
@UkweliMinistries
2 жыл бұрын
Hallelujah. Napokea nguvu. Kwa jina la Yesu Kristo wa Nazareti.
@happynesskimt62492 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu hatatuacha kamwe, wamtumainio Bwana ni kama mlima sayuni watatikisika milele;
@shantal60302 жыл бұрын
Mtume usiogope munguikopamoja na wewe kamagisi ulisema naiweivyo unasema unapenda wakuache bure naitakuwaivyo mungu atakuacha uende jela jelasiyofasiyako tutakuombeya wamalaikawatanguliyembele🕊🙏🙏
@sharifasalum8965 Жыл бұрын
Mungu akutendee huyo ni adui kwa jina la yesu kristo utoke jela usiogope mtume meshaki wewe ni mboni ya jicho la mungu
@mwalongojulius17552 жыл бұрын
Yesu ajawahi kushindwa usihofu mtumishi malaika wameshatangulia kuvunja mageti zote.Your free man in jesus name.
@rabeccakwekwemungumi64413 ай бұрын
Mungu aliye mtetea Paulo n Sila mungu huyuhuyo atakuokoa kw hich kifungo
@jackliuneakinyi9397 Жыл бұрын
Bwana yesu awe msaada wako kwa yote unayoyapitia hiyo ni mpango TU kukukatisha tamaa Ili uache kutufunza Sina ktk Imani Yako hayo yasikutishe Mungu akusaidie na akulinde Amen 🙏
@ceciliaamakove95042 жыл бұрын
You are true follower of jesus
@mercitumusifu86392 жыл бұрын
Mungu akushindaniye katika Jina la Yesu Kristo Amina
@manenojohn9463 Жыл бұрын
Umshindi katika YESU KRISTO,
@Nabatabita68732 жыл бұрын
Mungu awasamehe wanao kuchafuwa nakuongeya wasilolijuwa ilatunahamini kupitiya mapenzi yamungu naupendo wake utakombolewatu katikagerezani mungu yupo
@manasemoses69222 жыл бұрын
Mungu ni mwaminifu pamoja na jaribu lako hataacha kufanya mlango wa kutokea adui akija kwa njia moja atatoweka kwa njia saba amina
@EvangelistMathayo26049 ай бұрын
Amen sifa na utukufu apewe Mungu
@tinaachi4773 Жыл бұрын
May Jesus keep you safe.
@amaniupendo1078 Жыл бұрын
Mungu akusaidiye
@nsengagisonga12722 жыл бұрын
Bwana yesu atakusadia mungu yupo upandewako meshaki
@gracejoshua96502 жыл бұрын
Wewe Umetumwa na mungu kweli. Ndiomaan vita vinakufuata
@anjelanimunga23622 жыл бұрын
Mungu alishindia Shandaki meshaki na abdineko kwenye kifungo na wewe pia atakushindia bwana yesu uwashindia waliyo wake usiogope bwana yesu uko upended wako mtumishi meshaki mungu atakuwa jibu lako atakuonekania huko kifungoni yesu ni mtetezi wetu amen.
@janettarimo3852 Жыл бұрын
Apostle Meshack Bwana unayemtumikia atakupigania na kukushindia kwa kishindo kikuu
@nisetameena92762 жыл бұрын
Nakuomba ee MUNGU baba wa mbinguni juu uhusike moja kwa moja na hili suala la mtumishi wako mwenyewe kwa jina la YESU,naomba neema yako baba utusamehe na pale tulipokukosea baba.
@doricemrema21772 жыл бұрын
MUNGU YUPO pamoja Nawe, kama aliweza kuwa tetea akina Petro,Paulo na asila, wakiwa gerezanii ,hata wewe atakushindia 💪. Zabr 35:1. Tutakuombea daima 🙏
@rusiafrancoise23962 жыл бұрын
Mungu akupo ushidi kwayote
@jolemerci21552 жыл бұрын
Nasema wewe kaa vizuri n'a yesu tu mwanzo mwisho atakutetea hayo nimadogo kwake amina
@catherineawinja74172 жыл бұрын
Amen
@sharonwalubengo76282 жыл бұрын
Hilo ni jambo ndogo ushashinda wewe ushapita vitu kama hizi you are at another level
@marymwanziamary66232 жыл бұрын
YESU ni yote juu ya yote na alisema tusiogope mtume wa MUNGU simama imara kwa imani BWANA YESU ni mwaminifu na anaweza.
@fruitfulmpanduji24942 жыл бұрын
Mungu akurehemu mtumishi. Ukapate kuwa huru.... Tutazidi kukuombea.
@estherchaga6684 Жыл бұрын
Mwenyezi mungu akupoganie na kukutetea kwa kila jambo hakuna lisilo wezekana kwa mungu
@jasonmureke24602 жыл бұрын
Mtumishi wa Mungu, you will not be jail,shetani ashindwe kabisa
@judithimelida3330 Жыл бұрын
Mwezi mungu akupiganie kwa ukweli. Wake
@tatumluv60542 жыл бұрын
MUNGU akusimamie yote na naimani YESU KRISTO atakushindia Amen
@josephinezawadi57732 жыл бұрын
Pole sana mtumishi Mwenyezi Mungu atakutetea.alafu naomba unisaidie mimi hua nasoma Bible lakini sielewi
@dokasa9176 Жыл бұрын
Majaribu ya mwenye haki ni mengi,lakini Mungu humuepusha nayo yote,usiwe na shaka moyoni,mtetezi wetu anaishi.
@giftimassawe9891 Жыл бұрын
YESU mtetee mtumishi wako
@jansonjason78652 жыл бұрын
God be with you
@jolemerci21552 жыл бұрын
Jipe moyo jipe nguvu yesu un aye tafuta amepitia hayo ila ameshinda towa huzuni furahi ni katika bwana yesu atakutetea wewe ka vizuri n'a yesu🙏🙏
@casiphaabdi3896 Жыл бұрын
Latina kazi ya Mungu indelee lacha YA mabaya wayoyataka wanadamu washindwe katika Jina tukufu la yesu Kristo Neema YA bwana ikufunike nabii
@teddymhenga30062 жыл бұрын
Lord Jesus Christ stand for his right. You are the Lord of mercy.
@annnjeri41212 жыл бұрын
Oooh May our almighty God remember you
@margaretnekesa2019 Жыл бұрын
Bwana. Yasu. antkisaiteya. nambe. Mungu
@baya70672 жыл бұрын
Yesu atakutetea hatakuacha mtumishi wake
@lightness1832 жыл бұрын
Amen. Pole sana mtumishi wa Mungu. Mungu yu upande wako na utashinda tu. True saiv video iko na clear view. Mungu akutir nguvu na azidi kukuinua katika jina la Yesu. Amen. Aposrle alafu hujajibu maswali yng kwny comments za video nyngn?
@mariarin6428 Жыл бұрын
Mungu n mwaminifu siku zote . . Mungu akupiganie mtume
@meshackmyumpu21392 жыл бұрын
Usife moyo eee Mtumishi wa Mungu aliye hai. Mungu mwenye nguvu atakupigania na atakufanyia njia pasipo na njia ili kwamba yeye mwenyewe abaki kutukuzwa kama anavostahili kutukuzwa. Nakuombea Kwa Imani kubwa ya kujibiwa positively Kwa kuwa Mungu mwenyewe qmetuagiza tuombe lolote Sawa Sawa na mapenzi yake.
@roseandala62812 жыл бұрын
Mungu wa mbinguni hatakuacha kamwe, hayo ni mapito tu, njia iliyo nyembamba ina miiba, Yesu aliyapitia makali hayo, kwa kila jambo tumshukuru Mungu, liwe lizuri au libaya, Yesu a nakupenda sana
@janetsnay8942
Жыл бұрын
You are servant of God the freedom belong to you rember the Engle of God Paul till out side
Be strong in the name of Jesus, victory and triumph will be ahead of you.all satanic conspiracies will fail
@graceangela83502 жыл бұрын
Bwana Yesu atakushindia! In Jesus name Amen
@liesharehema51932 жыл бұрын
Mungu akupiganie mtumishi wa mungu tunakuombea sana🙏🙏🙏
@janetnzai98662 жыл бұрын
May Almighty God sorround you with the blood of Jesus Christ
@casiphaabdi3896 Жыл бұрын
Amen Mungu akusimamishe
@jescamdanga13092 жыл бұрын
Mungu akutetee mtumish wa Mungu, endelea kuukaza moyo wa Iman kama Paul na Petro
@sarahmichael75382 жыл бұрын
Mungu na akutetee Mtumishi wa Mungu akafanye njia
@rehemamkumbo20822 жыл бұрын
Mungu na akutete aingilie kati katika jina LA yesu kristo.Amen
@abighaili15142 жыл бұрын
Tutakuombea mtumishi wa Mungu Mungu hakutanguliye Amen
@kadetwashabaniu98892 жыл бұрын
Maisha ya mkristo siyo Furaha kila siku, kuna wakati wa ku Tupi wa mawe, lakini wewe usione hayo mawe na matusi, wewe angaliya mbele tuu, yule aliye kuita kwa kazi yake ndiye atakuteteya maana yu hai , wewe songa mbele, umtumikiye Mungu kwa wakati unaofaa na wakati usiyo faa.Mungu akushindiye.
@helenanduwimana97152 жыл бұрын
mapenzi ya Bwana ya timizwe labda kuna mtu Mungu ana mutaka kule kupitia wewe Yesu akupiganiye amin
@casiphaabdi3896 Жыл бұрын
Mungu achilia uhuru Kwa nabii huyu tumepotea atuelekeze njiani
@frankshitindi90272 жыл бұрын
Mungu akupiganie na awakemee adui zako katika jina la Yesu Kristo
Пікірлер: 254
Bwana YESU akutetee Mtumishi wa Mungu!kila siraha Inayopangwa juu yako haitafanikiwa kwa jina la YESU
Pole sana mtumishi wa mungu.ulipitia yale ili uwe sa nduku la ushuhuda kwa kanisa la bwana.nitaendelea kukuombea baba .bwana yesu aendelee kukushika mkono.utashinda tu .
Utashida kwa jina la yesu christo atakusaidia Mark 10:27 To men's impossible but to God everything is possible God will fight for you.
@UkweliMinistries
2 жыл бұрын
Amina. Nothing is impossible with our God.
@truphenayossi985
2 жыл бұрын
Lazima ajinyakulie utukufu. 🙏🙏
God bless you, wewe ni mtume wa kweli mungu amekutuma kufanya kazi yake,nitakuombea kwa nguvu zangu zote na mungu anaenda kukupeleka kwenye viwango vikubwa Sana vya huduma, mungu akubariki sana
@trophywilson7211
Жыл бұрын
Deni lazima alipe hakuna Mungu wa kuchezea
Japo utapita kwenye maji mengi, Bwana Yesu kristo atakuokoa mtumishi jipe moyo umeshinda. Ni mchungaji Stanley Lukuzi kutoka kitale Kenya.
Bwana Yesu akukumbuke, katika kila unapopita mapenzi ya Mungu yatimizwe.
Pole sana. Mungu akutanguliye Mungu atateda Kwa maana ajawahi kushidwa na chochote
Bwana yesu apewe sifa ,Mwana wa aliye juu vita hiyo tayari ulishaishinda kwa mapenzi ya Mungu,nilihonaga hiyo vita nanikahona ushindi kwahiyo hata wafanye nini lakini ushindi tayari maana Mungu asemaki bongo,amena
Nakuombea Mungu ushinde kwa jina la Yesu Kristo, maana imeandikwa shimo walilokuchimbia watumbukie wenyewe, natamka kwa jina la Yesu Kristo itakuwa huru kwa mamlaka tuliyopewa na Yesu Kristo
Usikate Tamaa maana tuliachiwa mamlaka na Yesu misii mwana wa Mungu. Yote yatakwisha kwa jina Yesu kristo 🙏🏾
Pole sana mtumishi Bwana wa majeshi atakutetea
Amina mtu wa Mungu..Bwana Yesu kristo akupiganie na kukueka huru kwa uweza wake tutakukumbuka
Utashinda hata hvyo katika jina la Yesu,
Mungu aliyewapigania Paulo na sila pale gerezani, nawe atakupigania mtumishi wa Mungu 👏👏👏
May God protect you and guide you Man of God 🙏
Eyesu tunamuweka mtumishi meshaki mikononi mwako humshindiye katika majanga ya wanadamu tunapinga tuna teketeza mamlaka ya mwovu shetani kwajina la yesu kristo amena .
The Lord Jesus will always be on the side of his people. Naomba yesu alietuumba asimame.na awe mtetezi wako jamani.
Mungu aku piganiye mtumishi
Mungu tunaye Muabudu ni mkuu kuliko wao. Mungu akusaidie Mtumishi wake. Hakuna siraha itakayo inuka juu yako itafanikiwa.
Don't fear I will with you always Isaiah 41:10 jipe moyo mtumishi Bwana ameaidi kuwa nasi kwa Hali zote
Mtumishi meshak mungu aku simamiye kama alivyo simamiya shandrake meshak abedineko.tuta zidi kuku hombeya nawa shindwe kwa Jina la yesu.
Mungu na akusaidie. Hata Paulo na Sila walifungwa na kuachiliwa. Join church of God na uendelee na huduma ya kuhubiri Neno.
Mungu na akutangulie mbele kwa Jina la Yesu autafungwa.
Mtetezi wetu yuhai MUNGU atakupigania katika jinala yesu kristo
May God remember what you have done good and protect and fight for His Servant in Jesus Christ name.
May the most High God be with you as he was with Paul and Silas,stay cool and the Lord will fight for you.!!!
God is with you mtume wa mungu.mungu ni mkubwe zaidi ya vute.
Poleni Saaaana Mungu upo
Usiogope wala usifadhaike, Mungu Bwana wa mbingu na nchi atakushindia. Kuwa jasiri na mwenye moyo mkuu. You are not alone
Mungu ni mkuu sana kuliko mamlaka za ulimwengu huu atakushindia, tuko pamoja kutoka Sumbawanga Tanzania
May God almighty fight for you in the name of Jesus Christ
@mwajumaamuri974
2 жыл бұрын
Bwana wetu Yesu akushiye mtumishi maana tuna ya shinda yote katika Yesu christo
@LewisMuchiri
2 жыл бұрын
@@mwajumaamuri974 amen
Praise God mtumishi wa mungu hayo ni yale mawe stefano alipigwa nayo hawatakurushia mawe ila kukupaka matope bt the king of glory will fight against you kwa kua wewe huwalisha kondoo zake mungu akutetee mtumishi wa mungu
@anfalaljohani7480
Жыл бұрын
Kila mipango watakayo panga kinyume nawe haitafaulu for the Lord himself is with you 🙏
Hakuna kinacho shindikana kwa MUNGU atakutetea, katika jina la YESU KRISTO. Amen
My our might God fight for you i believe and trust in God all will be well in Jesus name
@pizzaboy3640
Жыл бұрын
MUNGU NI MWEMA ATAKUTENDEA MEMA UWE MWAMINIFU HATA MWISHO WA JAMBO HILI DAMU YA YESU IKUFUNIKE
Pole MUNGU atakuashindia
Mungu akuepushe na mabaya yote akupe neema zake
Bwana YESU atakutendea muujiza na itafanyika kuwa ushuhuda kwa wengi
Mungu ata kusaidia kaka wala usi jali sana, mungu wetu siyo kipofu wala asione waliyo wake 🙏🙏🙏🙏
Mungu atafanya njia Mtumishi wa Bwana
Mungu akulinde na kila hila za mwovu ibilisi mtumishi wa Mungu kwa uweza wake utashinda
Mungu akutangulie Mtumishi, tupo pamoja tunakuombea, Mungu akuzie nguvu. Kwa jina la Yesu utapita salama
@UkweliMinistries
2 жыл бұрын
Hallelujah. Napokea nguvu. Kwa jina la Yesu Kristo wa Nazareti.
Mwenyezi Mungu hatatuacha kamwe, wamtumainio Bwana ni kama mlima sayuni watatikisika milele;
Mtume usiogope munguikopamoja na wewe kamagisi ulisema naiweivyo unasema unapenda wakuache bure naitakuwaivyo mungu atakuacha uende jela jelasiyofasiyako tutakuombeya wamalaikawatanguliyembele🕊🙏🙏
Mungu akutendee huyo ni adui kwa jina la yesu kristo utoke jela usiogope mtume meshaki wewe ni mboni ya jicho la mungu
Yesu ajawahi kushindwa usihofu mtumishi malaika wameshatangulia kuvunja mageti zote.Your free man in jesus name.
Mungu aliye mtetea Paulo n Sila mungu huyuhuyo atakuokoa kw hich kifungo
Bwana yesu awe msaada wako kwa yote unayoyapitia hiyo ni mpango TU kukukatisha tamaa Ili uache kutufunza Sina ktk Imani Yako hayo yasikutishe Mungu akusaidie na akulinde Amen 🙏
You are true follower of jesus
Mungu akushindaniye katika Jina la Yesu Kristo Amina
Umshindi katika YESU KRISTO,
Mungu awasamehe wanao kuchafuwa nakuongeya wasilolijuwa ilatunahamini kupitiya mapenzi yamungu naupendo wake utakombolewatu katikagerezani mungu yupo
Mungu ni mwaminifu pamoja na jaribu lako hataacha kufanya mlango wa kutokea adui akija kwa njia moja atatoweka kwa njia saba amina
Amen sifa na utukufu apewe Mungu
May Jesus keep you safe.
Mungu akusaidiye
Bwana yesu atakusadia mungu yupo upandewako meshaki
Wewe Umetumwa na mungu kweli. Ndiomaan vita vinakufuata
Mungu alishindia Shandaki meshaki na abdineko kwenye kifungo na wewe pia atakushindia bwana yesu uwashindia waliyo wake usiogope bwana yesu uko upended wako mtumishi meshaki mungu atakuwa jibu lako atakuonekania huko kifungoni yesu ni mtetezi wetu amen.
Apostle Meshack Bwana unayemtumikia atakupigania na kukushindia kwa kishindo kikuu
Nakuomba ee MUNGU baba wa mbinguni juu uhusike moja kwa moja na hili suala la mtumishi wako mwenyewe kwa jina la YESU,naomba neema yako baba utusamehe na pale tulipokukosea baba.
MUNGU YUPO pamoja Nawe, kama aliweza kuwa tetea akina Petro,Paulo na asila, wakiwa gerezanii ,hata wewe atakushindia 💪. Zabr 35:1. Tutakuombea daima 🙏
Mungu akupo ushidi kwayote
Nasema wewe kaa vizuri n'a yesu tu mwanzo mwisho atakutetea hayo nimadogo kwake amina
Amen
Hilo ni jambo ndogo ushashinda wewe ushapita vitu kama hizi you are at another level
YESU ni yote juu ya yote na alisema tusiogope mtume wa MUNGU simama imara kwa imani BWANA YESU ni mwaminifu na anaweza.
Mungu akurehemu mtumishi. Ukapate kuwa huru.... Tutazidi kukuombea.
Mwenyezi mungu akupoganie na kukutetea kwa kila jambo hakuna lisilo wezekana kwa mungu
Mtumishi wa Mungu, you will not be jail,shetani ashindwe kabisa
Mwezi mungu akupiganie kwa ukweli. Wake
MUNGU akusimamie yote na naimani YESU KRISTO atakushindia Amen
Pole sana mtumishi Mwenyezi Mungu atakutetea.alafu naomba unisaidie mimi hua nasoma Bible lakini sielewi
Majaribu ya mwenye haki ni mengi,lakini Mungu humuepusha nayo yote,usiwe na shaka moyoni,mtetezi wetu anaishi.
YESU mtetee mtumishi wako
God be with you
Jipe moyo jipe nguvu yesu un aye tafuta amepitia hayo ila ameshinda towa huzuni furahi ni katika bwana yesu atakutetea wewe ka vizuri n'a yesu🙏🙏
Latina kazi ya Mungu indelee lacha YA mabaya wayoyataka wanadamu washindwe katika Jina tukufu la yesu Kristo Neema YA bwana ikufunike nabii
Lord Jesus Christ stand for his right. You are the Lord of mercy.
Oooh May our almighty God remember you
Bwana. Yasu. antkisaiteya. nambe. Mungu
Yesu atakutetea hatakuacha mtumishi wake
Amen. Pole sana mtumishi wa Mungu. Mungu yu upande wako na utashinda tu. True saiv video iko na clear view. Mungu akutir nguvu na azidi kukuinua katika jina la Yesu. Amen. Aposrle alafu hujajibu maswali yng kwny comments za video nyngn?
Mungu n mwaminifu siku zote . . Mungu akupiganie mtume
Usife moyo eee Mtumishi wa Mungu aliye hai. Mungu mwenye nguvu atakupigania na atakufanyia njia pasipo na njia ili kwamba yeye mwenyewe abaki kutukuzwa kama anavostahili kutukuzwa. Nakuombea Kwa Imani kubwa ya kujibiwa positively Kwa kuwa Mungu mwenyewe qmetuagiza tuombe lolote Sawa Sawa na mapenzi yake.
Mungu wa mbinguni hatakuacha kamwe, hayo ni mapito tu, njia iliyo nyembamba ina miiba, Yesu aliyapitia makali hayo, kwa kila jambo tumshukuru Mungu, liwe lizuri au libaya, Yesu a nakupenda sana
@janetsnay8942
Жыл бұрын
You are servant of God the freedom belong to you rember the Engle of God Paul till out side
Usiogope Unaenda viwango vingine kihuduma, Bwana mtunze mtumishi wako mtumishi Mtume Meshaki🙏🙏
Amina komandoo wa yesu mungu akupiganie ee
Be strong in the name of Jesus, victory and triumph will be ahead of you.all satanic conspiracies will fail
Bwana Yesu atakushindia! In Jesus name Amen
Mungu akupiganie mtumishi wa mungu tunakuombea sana🙏🙏🙏
May Almighty God sorround you with the blood of Jesus Christ
Amen Mungu akusimamishe
Mungu akutetee mtumish wa Mungu, endelea kuukaza moyo wa Iman kama Paul na Petro
Mungu na akutetee Mtumishi wa Mungu akafanye njia
Mungu na akutete aingilie kati katika jina LA yesu kristo.Amen
Tutakuombea mtumishi wa Mungu Mungu hakutanguliye Amen
Maisha ya mkristo siyo Furaha kila siku, kuna wakati wa ku Tupi wa mawe, lakini wewe usione hayo mawe na matusi, wewe angaliya mbele tuu, yule aliye kuita kwa kazi yake ndiye atakuteteya maana yu hai , wewe songa mbele, umtumikiye Mungu kwa wakati unaofaa na wakati usiyo faa.Mungu akushindiye.
mapenzi ya Bwana ya timizwe labda kuna mtu Mungu ana mutaka kule kupitia wewe Yesu akupiganiye amin
Mungu achilia uhuru Kwa nabii huyu tumepotea atuelekeze njiani
Mungu akupiganie na awakemee adui zako katika jina la Yesu Kristo