No video

KWAHERI BENJAMIN MKAPA Wimbo Maalum TOT BAND

Пікірлер: 19

  • @AmosiAdolf-vk9ux
    @AmosiAdolf-vk9ux4 ай бұрын

    Ninakukumbuka kama mwazirishi was mashirika mengi ya umma kwa vitendo kama vile TASAFU TAKUKURU MKURABITA na kudumiaha diplomasia Africa na ushiruhishi wa inchi za maziwa makuu asante mkapa kwa kutambua uwepo wa magulif kumuamini katik serikal yak km naibu wazir wa ujenzi mwaka 1995 hongera mkp pumzika

  • @nyandajr
    @nyandajr22 күн бұрын

    Baba niliumia huyu mbaya zaidi walikua sambamba na jpm 😢😢 walikua wanapambania sana sisi watu wa chini sema 😢😢😢

  • @ericmbago3216
    @ericmbago321615 күн бұрын

    Walipenda watu tujitume

  • @asmahiha6815
    @asmahiha68154 жыл бұрын

    Innalillah wainna illahi rajiun umedumisha amani na upendo africa ni nani atavaa viatu aliokuwa navyo mkapa nenda upumzike mahali unapo sitahili shujaa

  • @sologojr6877
    @sologojr687725 күн бұрын

    *#4YearsDown**💔☹️* Big BEN🇹🇿 24.07.2020🕊️

  • @SurprisedShades-ph1lg
    @SurprisedShades-ph1lg8 ай бұрын

    Nenda shujaa nenda mwamba nenda nguli wa siasa na mwanadiplomasia mahiri

  • @riziksj4336
    @riziksj43363 жыл бұрын

    Lala salamaa baba mkapa

  • @obillaezra6205
    @obillaezra62052 жыл бұрын

    Very sad song” Many will remember you as a hero”

  • @atlastz2263
    @atlastz2263 Жыл бұрын

    Dah hakuna jambo zito kama kifo

  • @herrylupaso9548
    @herrylupaso95484 жыл бұрын

    R.I.P Benny

  • @gomwamohammedy1944
    @gomwamohammedy19443 жыл бұрын

    Mkapa

  • @mcmedea9336
    @mcmedea93364 жыл бұрын

    Nenda baba mkapa.....

  • @mwajabumnyamisi9057
    @mwajabumnyamisi90573 жыл бұрын

    Tutawakumbuka magufuli na mkapa mungu awalaze mahala pema peponi

  • @kumekuchaafricatourandsafa8612
    @kumekuchaafricatourandsafa86124 жыл бұрын

    Hatuta kuona tena umemaliza mwendo tutayakumbuka yote ww ni shujaa

  • @mdzainb3722
    @mdzainb37224 жыл бұрын

    😭😭 kama utani umetutoka baba

  • @shadracksilayo9699
    @shadracksilayo96993 жыл бұрын

    na sasa katutoka na magufuli daah 😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @jonathankadovela515
    @jonathankadovela5153 жыл бұрын

    Nendaa baba mkapa

  • @cuthbertmkemwa4903
    @cuthbertmkemwa49033 жыл бұрын

    Hatari sana

  • @cosmasmpwage2576
    @cosmasmpwage25763 жыл бұрын

    Sasa tunalia na Magufuli ametutoka 😭😭😭