Kusoma kwa mifano - Uganga - Imani Sheikh walid Al had
Ойын-сауық
Kusoma kwa mifano - Uganga - Imani Sheikh walid Al had
Sheikh Walid akifundisha Darsa la Tafsiri ya Quraan Ramadhani Mwaka 2020 Linalo fanyika Msikiti wa Kichangani
Usisahau ku subscribe na kutu follow katika page zetu za insta na Facebook shukraan
Video by muba Production Magomeni
Subscribe
Comment
Like
And share
Thanks
Пікірлер: 47
Sheikh walid alhad siku ntakuona Inshallah ntaubusu mkono wako . Habib nakukubali sana .
One day yes Jazakallah Mashallah
Nawafatilia kutoka QATAR salamu kwa sheikh walid na waislamu kichangani. Barakallah feekum
Alhamdulillah Rabbal Alamein Yaa Rabbal Alamein twakuomba utujaalie Sheikh wetu Uzima nguvu na afya njema pamoja Na waislaam wote
Allahuma yaraab mnyanyue sheikh wetu
Rabbana nfanaa bimaaa allamtana
ماشاء الله ياشيخنا وليد الهادي بارك الله لك نحن نستفيد ونتمتع ونقرأ
A alk.. shekhe matirio yako ni kheri kwetu...Allah akujaalie mwisho mwema..marwan
Maa shaa Allah
Mashallah shekh walid Allah akuweke kwa Elimu 🅰 dhim
Asalam ghalykum. Lau si hawa wanachuoni! Wallah tungaliishi kama wanyama. Eee! Mola wetu zifungue nyoyo zetu ziutambue uislam.
Mwenyenzi muungu akulipe mema shehe
subhana llah Yani umezama ktk balagha pamoja na nahau natasbhi mursil mashallsh tuko pamoja
Mashaa Allah, ALLAH akubaarik yaa Sheikh Waliid tunapata faida kubwa sana
Maa shaa llah nakupenda sheikh wetu kwa ajili ya Allah unavyotoa darsa zako zenye kutuelimisha Allah akupe afya njema na umri taweel akupe kila la kheri
Nafatilia darsa online miezi 6 sasa toka kenya nairobi. Siku moja nta panga nije kichangani nione live . ALLAH ANFIKISHE SJAWAI KUJA HUKO . mpeni walid salam zngu . ALLAH amhifadhi
@DarsaTV.
4 жыл бұрын
mashaallah salaam zimefika bila ya wasi alhabib
@millenniumoiltanzanialimit1265
3 жыл бұрын
Karibu sana tunae sheikh letu
@legend9805
Жыл бұрын
Hataa mimi nafatilia kutoka QATAR. Jazakallah kheir sheikh walid na waislamu kichangani
Masha Allah kheir sheikh wangu upo vizuri sana nimefurahi mno. Allah akuhifadhi na kila lenye shari na wew
Alhamdulilah. Mola wetu those kwakila njema utufishe usiysilamu na tutuhuyshe mola akujazè majazo meme duniyani na aherara alahuma amin yarabal alamin
Masha alah
Jamani waislam wenzangu assalam aleykum naomba Namba ya huyu Shekhe waridi
Watu walio pita kwa shekhe Muhammad bin ayub balaa kilugha maana vitabu wanavyo pitia ni msingi alioujenga shekhe na kuutunga shekhe mwenyewe
Mashalla sheghe
Ni mawadha mazuri.
Dua zenu muhimu kwetu
@hamidharunsaid1666
3 жыл бұрын
حفظك الله ورعاك يا شيخ.... Wamkumbuka vizuri ustadh Harun Said... Alisomea Tamta kwa sheikh Muhammad Ayub...ila kwa miaka yupo mombasa y
@maswausaidi4279
2 жыл бұрын
Alhamdulilllah
1 to view
@mwatimeabdallah7945
4 жыл бұрын
Haya Mambo peleka kwenye kipindi cha Mikasa huku tunapata chakula Cha roho wa Kwanza na wa mwisho wote tunafaidika
Japo nilikuwepo ktk darsa hizi lkn MASHAALLAH nafarjika sna kuzirudia rudia online.Allah ampe umri mrefu sheikh walid.
@al-islammuongozo5635
4 жыл бұрын
Naomba unisaidie namba ya shekh walid ndgu yngu muislam kuna maswala nahitaji ufafanuzi wake
@DarsaTV.
4 жыл бұрын
@@al-islammuongozo5635 ustadh usijali hivi karibuni tunaanzisha kipindi cha maswali na majibu na sheikh walid inshaallah maswali yenu yoote mtajibiwa soon inshaallah alhabib
@tatuothman526
4 жыл бұрын
Amin
@al-islammuongozo5635
4 жыл бұрын
@@DarsaTV. Shukran saana
@fatumamahamood8723
3 жыл бұрын
@@DarsaTV. assalam aleykum naomba Namba ya Shekhe walid
Jifunze quran kusoma kuandika gusa pich yang hapo kama hautojl
@nadhifamohammed7749
Жыл бұрын
Asalam alaykum mimi siwezi kuhifadh nataka kuhifadhi kirahisi nafanya je
@muhammadkipangatv2674
Жыл бұрын
@@nadhifamohammed7749 Walaykumu ssalaam warahmatu Allah wabarakaatuh Unaweza, utaweza bi idhni llaah Tukikuekekeza mbinu za kuhifadhi quran na njia ya kuhifadhi ni jambo lenyekuwezekana kabisa
Kipenzi changu
@hamidakigundula8736
2 жыл бұрын
MaashaAllah Allah akulipe kila la kheri
Mashaallah shekhe wetu kumbe unamfaham al-maruhum shekhe Mohammad bin Ayoub.....
Napenda mawaidha yako inshaallah mungu akupe mda mrefu
@JamilOmary
3 ай бұрын
Hi jjjjjc cc feet