KUSHEREHESHA UBETI WA KWANZA | EP 3 SHEREHE YA KITABU CHA MAULID AL BARZANJI | USTADH SAID SHIRAZY & USTADH SAAD AHMED
Жүктеу.....
Пікірлер: 166
@abdulkarimyusuf93897 ай бұрын
Mashaallah,ya ustadh ingekuwa vizuri kama mwishowe musome barzanji kwa kiswahili Yale munayo tafsiri .ili ifahamike vizuri.
@yusufathman2478
7 ай бұрын
Hawaezi 🤣🤣 ukweli utajulikana
@user-bo1ew3xq6w7 ай бұрын
Masha allah allah awaajalie vijana wetu na allah awape umri mrefu mueze kuwatoa wanachuoni wengi watakao vienzi vitabu vya wanachuoni wetu wa alhulsunna waljamaatul twarika..
@ShurayfuHamis7 ай бұрын
Mashaallah❤❤ tuwaombee mungu hawa mashkh zetu wanafanya kazi kubwa yakuelimisha jamii ielewe barzanj sio yakusoma ka gazeti lazma uzame kielimu nd utaelewa
@AbuuOthman
7 ай бұрын
Naaam hakika sheikh
@iddimohamed254
7 ай бұрын
Maulidi hayana dalili katika dili ndio mana wema walo tangulia hawakuyasoma eg shafii,Malik,abuu hanifa&hambali mnapoteza mda wenu bure.....
@abubakaromar6101
7 ай бұрын
iddimohamed254 wewe unayo Dalili Maulid hayafai kusomwa hiyo kutoyasoma wema walotangulia sio dalili. Haya wewe tukuulize huko kwenu hamuna Bida'a mumezuwa? Mashindano ya Musabaka tul Quran au kuswali Taraweh kwa kila siku kusomwa Juzi moja ni nani ktk wema waliofanya? Labda wewe ndio wajisumbua bure
@OsmanAli-zb3tu
7 ай бұрын
@@abubakaromar6101Huwo ndio uzuka wenu WA mikhurafi wewe waambiwa imam wote WA nne hakuna Alisoma maulid Kwa sababu Haryana dalili waongea ule ule ukhurafi
@OsmanAli-zb3tu
7 ай бұрын
Mbona munalazima kuitumia hadith dhaifu na kwani hakuna hadith swahih Amambazo za msifu mtume?
@ibrahimfugicha4167 ай бұрын
Alhamdullillah nimeelewa
@khalifaahmed52327 ай бұрын
Alhamdulilah kusoma Kisha Allah akupe fahmu, hekma, na adabu rahaa Sanaa na kinyume chake kina fulani 😂😂😂
@yusufathman24787 ай бұрын
Yaani watetea bid'aah
@balkisamisi21316 ай бұрын
Barakallahufiykum
@abdallhabinmkasibayyat66577 ай бұрын
Mungu azidi kukupa nguvu said
@abubakarbakari93727 ай бұрын
Masha allah mungu awajaalie umri mrefu muzidi kutuelimisha kwa mengi
@baishemoha89417 ай бұрын
AA Maustadh wetu ? Nomeangalia episode 1 na 2. Mashallah vipindi vizuri sana na fawaaid ni kkathiri. Mda tu ndio naona ni mfupi sana ikiwezekana uongezwe. Yakuelezwa ni mengi na mda ni mchche sana bi maana mutachukua miezi mingi kukamilisha. Shukran wa jazaka Allaahul khair
@abubakaromar6101
7 ай бұрын
baishemoha W.S. mimi nakuunga mkono vipindi vizuri pia kweli mda ni mfupi lkni naona ni afadhali hivi kidogo kidogo wanavyo fanya Maustadh wetu kwa sababu ya ndugu zetu mashabiki wa mawahabi mda ukiwa mrefu na mambo yakiwa mengi hawatashika kitu mibichwa yao migumu sana haitoshika kitu akili zao mfinyo bora kidogo kidogo mibichwa yao yafunguke
@SalimJamal-jc7ci7 ай бұрын
Mashallh tumefrahi saana mola awafrahishe
@jumaabaamujaahid78217 ай бұрын
Allah akulipeni kheri
@matanohassan96677 ай бұрын
MASHALLAH KAMA UKO HAPA KWA KUPATA FAIDA UTAPATA KAMA NI UBISHI BASI HUNA INSWAFU ITAKUWA WAFUATA MKUMBO
@user-pj3zm2hk2g7 ай бұрын
Mashekhe zetu pole pole wataelewa bora nyinyi muwenasubra nyingi yakutosha allah awape uzima afiya na uzima amini
@HusseinPaula7 ай бұрын
Umri mdogo na ilmu nyingi namna hiyo ALLAH awahifadhi pamoja na awakinge na kila shari khasa husda kwa hakika mwamzidishia furaha ustadh Muhammad albeidh Allah awazidishieni kulla kheri
@Ahbabrasulintegratedacad-ok7uh7 ай бұрын
Mashallwha
@omarymakange84497 ай бұрын
Yaa Allah tujaalie sisi kuwa ni waislamu na kuwa sisi ni watu wa Twariqa mpaka mwisho wa maisha yetu..
@mohagurey2214
7 ай бұрын
Ameen, mungu akujalie ukufe twariqa na sio ahlu sunnah
@omarymakange8449
7 ай бұрын
@@mohagurey2214 nyie Ni mawahabi bhana.. msidandie jina la Ahlsunnah..
@mohagurey2214
7 ай бұрын
@@omarymakange8449 Al muhim, umeomba ufe twariqa na mimi nakuombe hivo hivo, mungu akuuwe kwa njia ya twariqa ulivyoomba
@iddimohamed254
7 ай бұрын
Ata Kama twarika yakupeleka Motoni uko nayo tu hamjielewi kabisa....
@abubakaromar6101
7 ай бұрын
iddimohamed254 wewe ndio hujielewi kabisa maana mawahabi ukisoma vitabu vyenu Mwenye Ezi Mungu AstaghfiruAllah ana jinsia kama kiumbe au kumgawanya Mwenye Ezi Mungu ktk Tauhid ينقسم توحيدإلى ثلاثة أقسم wewe kama wajielewa wakubali hayo
@abuidifundi20167 ай бұрын
Maashaallah
@rushu12327 ай бұрын
Mashaallah alayk watoto Mwenyeezi Mngu awahifadhi wanazuoni wetu watarajiwa.
@iddimutua4207 ай бұрын
A.alaikum Anzeni kisha mkimaliza nendeni mkamsikize Mohamed Is'hak yuwasemaje kuhusu huo mlango insha'Allah,ukumbusho tu.
@IslamSufism385
7 ай бұрын
Mohamed ishaq muongo sana… hafai lolote
@iddimutua420
6 ай бұрын
Mkweli ni yupi kama yeye muongo, na afae ni Nani kama yeye hafai
@abubakarsalim94537 ай бұрын
Maa shaa Allah tumefaidika
@muftishaban.a.musamombasak65777 ай бұрын
Mashallaah
@saidmansoor85287 ай бұрын
Masha ALLAH Mwenyezi Mungu amuhifadh sheikh letu ustaadh Fadhil
@alihassanmwachupa70477 ай бұрын
ما شاء الله طول الله اعماركما في الخير
@KipatiShafi-oo7pj5 ай бұрын
Mmeua lugha muhimu
@ShurayfuHamis7 ай бұрын
Wallah ss wanatwariqa Allah katujaalia ufaswaha wajuu sana ukweli nd huo❤ mawahabi wakubali 2
@MuwadhiFula-st9tn7 ай бұрын
Shukran
@ibrahimnoordin34207 ай бұрын
Sub'hanaLlah.. mpaka mtu apige goti miaka mingi.. bado tuko kwa pool.. twafundishwa ku float. Baharini baaado sanaaa.. si mchezo ilmu.
@user-ef7it7ti2l7 ай бұрын
Allah awalipe kila la kheri
@amanisaidi87577 ай бұрын
Mashallah awa maustadhi wapo vzr saana ❤
@IsmailiallyIsmaili7 ай бұрын
awabariki allah
@AbuuOthman
7 ай бұрын
Allahumma Aaameeen na kwako pia
@saidichina81057 ай бұрын
Mashallahu
@abbasmuhsin48537 ай бұрын
kila chenye kuzidi ya khairi ni baraka kama mke wapili😅😅😅 mashallah
@aliyseif81147 ай бұрын
Dakika ishirini ni kidogo sana at list ziwe 30
@HamidaAlbusaid7 ай бұрын
Al hamdulilah
@habibmayike74637 ай бұрын
Hapa ni elimu tu
@user-qu4jy4fu1s7 ай бұрын
Mashallah
@rushu12327 ай бұрын
Mawahabi hawana ilmu hizo kabisa ndio watatiza watu kwa ilmu zao chache.
@athmanmohamed89347 ай бұрын
Bila ya shaka ninacho jifunza hapa ni hawalingani sawa walio soma na wasio soma... elimu haitaki ushabiki bali inataka mda wa kusoma. Endeleeni kutusomesha ingawa mda ni mchache sana tungeomba mda uzidishwe kama itawezekana inshaaAllah.
@Khatib-xp6fp6 ай бұрын
🏃Sifaamu chchte
@abulhakim22947 ай бұрын
Miongoni ya neema ni mtu kutokuwa wahabi 😂 dah hii kali. Asnte sheikh Ahmed
@sadambakari25797 ай бұрын
Mawahabi Wamekuja kuuharibu uislamu ili waislamu Waache yale yenye faida katika uislamu wao
@DiudaKozi-qu8sl7 ай бұрын
Uone ubabaishaji wa Masufi na upotoshaji wao wa dini ya uislamu
@zainulabidiendhulfikar73987 ай бұрын
Mashallah❤ ...lakin nauliza hivi mshamtumia kitoto cha bachu link angalau ajifunze tafsiri maana lugha Bado changa kwake...
@AbuuOthman
7 ай бұрын
Hahhaahaha itamfikia Tu Maana Video mpaka kuwekwa KZread inatembea Na hata Asipoona Yeye BA's wenzie wataona Na ujumbe utafika tu inshaaa ALLAAAH
@kbereky7 ай бұрын
Assalam aleikum warahmatullah wabarakatuh Jaribuni kutumia lugha nyepesi kila mtu apate kuwaelewa khususwan wale ambao hawakusoma
@abubakarbakari93727 ай бұрын
Bachu yuwasoma na yeye hapo na ndio mambo yao wanasoma kupitia maawidha kisha wanasimama kwenye mimbar wakitusi hawawezi kuelezea walipo soma wala kutaja waalimu wao ni kinanani
@iddimohamed254
7 ай бұрын
Hawamuwezi bachu hata wakiungana ..
@abubakaromar6101
7 ай бұрын
iddimohamed254 bachu hatumuwezi kwa kojo
@alimohamedsaid35066 ай бұрын
Tutungieni kitabu cha tafsiri yake na sherehe
@iddimohamed2547 ай бұрын
Tunataka Hadith sahihi inayosema tusherekee birthday ya mtu hatutaki porojo...
@latifaayoub6126
7 ай бұрын
Ukipewa hadithi sahihi ww utaielewa ... ama ushabiki tu .. ne3mah kubwa ni kuto kua muwahabi. ALHAMDULILAH
@shabaniramadhani21047 ай бұрын
shekh tunaomba kipindi kiwe kirefu inshaallah
@abubakaromar6101
7 ай бұрын
shabaniramadhani ni kweli mda ni mfupi lkni naona ni afadhali hivi kidogo kidogo wanavyo fanya Maustadh wetu kwa sababu ya ndugu zetu mashabiki wa mawahabi mda ukiwa mrefu na mambo yakiwa mengi hawatashika kitu mibichwa yao migumu sana haitoshika kitu akili zao mfinyo bora kidogo kidogo mibichwa yao yafunguke
@shabaniramadhani2104
7 ай бұрын
@@abubakaromar6101 shukran
@abubakaromar6101
7 ай бұрын
shabaniramadhan Aafwan In shaa Allah tuko pamoja
@ismailmsangule13807 ай бұрын
Muendelezo please please please
@yusufathman24787 ай бұрын
Dakika 27 zote hakuna kitu kimezungumzwa
@user-bd7xm6sm3o
6 ай бұрын
Bora ya maneno ni yale yaliyokuwa machache na ya kafahamisha,km huna kitu chochote ulichojifunza hapo jichunguze........
@DiudaKozi-qu8sl7 ай бұрын
Masufi wapo katika kubabaisha watu na kupotosha waislamu
@latifaayoub6126
7 ай бұрын
Mawahabi je
@MohammedAli-fp9vn7 ай бұрын
25:28 25:30
@sulehassanshall61407 ай бұрын
Ikiwa quraan nishifaa mpaka kwamakafiri .eti kwamaiti wakiislam iwe nibidaa nidhambi kuwasomea Khitma.....nduguzetu mawahabi wanamaradhi ya mapepo wachafu ..
@OsmanAli-zb3tu7 ай бұрын
Mbona dj said yuwasomeshwa na mwenzake kwani mushachoka kumfuzia ndio leo afedheheshwa kwa kusomeshwa na mwenzake😅😅😅😅😅
@latifaayoub6126
7 ай бұрын
Daaah .. mnazidi kujifedhehesha miwahabi ... mtaelewa tu
@osmanmanbile9327
6 ай бұрын
Huyu Osman n mjinga sana kwni ustadh said ndio anasomeshwa amah watazamajii ww hata hujielwei ustadh said n mtu alimusomesha bachu mble ya uliwemgu wacha. Ushabiki y kijinga n chukii
@MuwadhiFula-st9tn7 ай бұрын
Uwahabi nihatar mno
@OsmanAli-zb3tu7 ай бұрын
Hawa makhurafi hawajielewi katika mashairi hutajwa Allah Kisha wao humtaja mtume Kisha hujifanya wajua lugha ya kiarabu
@Hawwamajidy
7 ай бұрын
❤ 21:58
@HusseinPaula
7 ай бұрын
Usiwatusi watu wa Mungu wewe mtoto kuwaita majina ya kishenzi sikiliza kama kumtaja mungu unaona haifai kumtaja mtume saw kaitenganishe shahada
@user-cs7fo8ht1n
7 ай бұрын
Asumanieee 😂
@OsmanAli-zb3tu
7 ай бұрын
Utamtaja VP Allah Kisha useme swalallahu aleih huko ni kutojielewa
@user-cs7fo8ht1n
7 ай бұрын
@@OsmanAli-zb3tu hamzungumzii Allaah anazungumzia anachotaka kukiandika kwa kuanza na jina la Allaah kama utaelewa haya kma huelewi nao mungu akupe fahamu .....
@Mariam99-ld4gw7 ай бұрын
Kwa tafsir hii ya undani kupata swali kazi maana munaeleweka moja kwa moja 😂😂alhamdu lilah sio muwahabi
@salemaliy19636 ай бұрын
Ww unataetaka hadithi sahihi kwani hizo zilizotolewa umeambiwa sizo au ...
@Mariam99-ld4gw7 ай бұрын
😂 ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤SinA neno
@habibuchakusaga79817 ай бұрын
Happy mwanzo ametajwa mmwenyezmungu SI mtume acheni kulazmisha mambo
@abubakaromar6101
7 ай бұрын
habibuchakusaga fungua akili uwache ushabiki elewa kilichozungumzwa waweza kurudia tena hiyo video na uwe makini kusikiliza
@user-cs7fo8ht1n
7 ай бұрын
😂😂😂😂😂 ala salale kwa akili hyo we umeruhusiwa kua shabiki sugu😅😅😅
@user-gk6kj9td3q7 ай бұрын
Nauliza hiki kipindi n lini n lini
@jumaa052
7 ай бұрын
Kila alkhamis kwa nilivyo elewa habib
@shawwalmsati34057 ай бұрын
Naomba ktk tee ya taanith mtuwekee bayana zaidi kwa sababu kuna muhabi kaleta shubuha ya tee taanith alipokuwa akiijibu darsa ya ustadh Said kuwa tee taanith ni akhassu. Aksema mbona neno حسنة lina tee ya taanith, je swaum au Hajj haziitwi حسنة kwa vile zenyewe ni mudhakkar.???
@burhanmuhammed2234
7 ай бұрын
Nyinyi maghurafi niwapotofu mumekuja haribu dini ya mungu Kwa urongo mwingi, jibuni 19 ya tanga mpka sahii hamujajibu hutapatapa tuu
@abubakaromar6101
7 ай бұрын
burhanmuhammed2234 nyinyi mawahabi ndio mulokuja kuharibu dini na kutetesha watu ktk Quran au Hadithi ya Mtume S.A.W ينقسم توحيدإلى ثلاثة أقسم kigawanyo cha Tauhid AL-ULUHIYYAH, AL-RUBUBIYYAH, AL-ASMA ' WA SWIFAT au kusema AstaghfiruAllah Mwenye Ezi Mungu ana jinsia kama kiumbe maneno haifai kusema, hoja moja peke yake ilimtoa mkojo mpaka kukimbia je izo zilizobaki sijui ingelikuwaje
@abubakaromar6101
7 ай бұрын
burhanmuhammed2234 mashekhe zenu mpaka nyinyi munaofwata bila fahamu kazi yenu kutukana watu kumwita mushrik kafir au mnafiq ambapo Mtume S.A.W hajawai hata siku moja licha ya waislamu hata wale makafiri na wanafiq wa zake hajawaita hivyo,wakati wa Vita vya Badri Mtume S.A.W alipoweka zile alama za wale wakubwa wa kikafiri huyu atakufa hapa na huyu hapa baada ya Vita walipokuwa wamekufa Mtume S.A.W alienda hapo alikuwa akiwaita kwa majina yao Ya Utba na mfano wake lkni hakuita ya kafir, leo kwa kuwa mumekuja nyinyi mawahabi ni kutukana waislamu wenzenu hasa jihadhari na mashekhe wenu na hawa Mtume S.A.W alitahaddharisha alipowambiya Maswahaba wake watatokea mashekhe kazi yao ni kuwaita watu mushrik au kaafir عن حذيفة رضي الله عنه قال: قال رسول الله صلى الله عليه وسلم : «إنَّ ما أَتَخوَّفُ عليكم رجلٌ قَرَأ القرآنَ حتى إذا رُئِيَتْ بَهْجتُه عليه، وكان رِدْئًا للإِسلام، غَيَّرَه إلى ما شاء الله، فانْسَلَخَ مِنْه ونَبَذَه وراءَ ظَهْرِه، وسَعَى على جاره بالسَّيف، ورمَاه بالشِّرك»، قال: قلتُ: يا نبيَّ الله، أيُّهما أوْلى بالشِّرك، المَرْمِي أم الرَّامي؟ قال: «بل الرَّامي». [حسن] - [رواه ابن حبان] قال ابن كثير رحمه الله : " إِسْنَادٌ جَيِّدٌ " انتهى ، وحسنه الألباني في "الصحيحة" (3201) . ويشهد لهذا المعنى ما رواه البخاري (6104) ، ومسلم (60) - واللفظ له - عن ابْن عُمَرَ رضي الله عنهما ، قال: قَالَ رَسُولُ اللهِ صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَسَلَّمَ : ( أَيُّمَا امْرِئٍ قَالَ لِأَخِيهِ : يَا كَافِرُ، فَقَدْ بَاءَ بِهَا أَحَدُهُمَا، إِنْ كَانَ كَمَا قَالَ ، وَإِلَّا رَجَعَتْ عَلَيْهِ
@user-tu8dv4tj2r7 ай бұрын
Mwazungumza porojo nyingi tu hapo. Kakojoeni mulale.
@mohamedsalimaljahdhamy1436
7 ай бұрын
Wewe kijana uwe na adabu kama huna la kuongea ukalale wewe
@habibumuhammad730
7 ай бұрын
Njoo ukojolewe ww matako ww
@abubakarymaulidy5681
7 ай бұрын
Acha umavi kama huna cha kuongea nikheri ukanyamaza
@abubakarymaulidy5681
7 ай бұрын
Njoo wee uzungumze elimu
@Madhwihajamal
7 ай бұрын
Maneno ya kiwahabi ndio haya si ajabu,ajabu itakuwa wakiongea elimu ndio maana niliona ajabu walipokubali mjadala wa kielimu
@iddimohamed2547 ай бұрын
Watu wanao tawasali kwa maiti hao hawana lolote...
@abubakaromar6101
7 ай бұрын
iddimohamed254 nini maana ya Kutawasal?
@iddimohamed254
7 ай бұрын
@@abubakaromar6101 kuomba Mungu kupitia kitu/mtu Kama walivyokua maquraish pale makka...
@mohagurey22147 ай бұрын
Hebu angalia, mnaulizwa mbona katajwa mungu kisha mwasema salallahu aleyhi wasalim? Jibu lao, ulikuwa tukusalie wewe😂😂😂kisha wanafunza ilmu
@abubakaromar6101
7 ай бұрын
mohagurey sikiza kwa makini ushabiki hautakusadia kitu rudia tena usikize kwa utaratibu
@mohagurey2214
7 ай бұрын
@@abubakaromar6101 wamejibu hivyo ama nimesema uongo?
@abubakaromar6101
7 ай бұрын
mohagurey nilikuambia rudia tena usikize kwa makini mpaka mwisho utaona jawabu
@user-qm4qd8yk2x7 ай бұрын
baina ya ABTADIU IMLA A BISMIDHATI ALIYYA mpaka kusema swallalahu ALEIHI jee iko jina la mtume hapo? ama ishara zake?. maana umesema tuangalie mwanzo wa sentensi au mwisho wake lakini kwa hapo sioni mwenye kusifiwa.yaani mtume sasa hii ALEIHI inamuendeaa nani?
@madhashaaban6085
7 ай бұрын
Rejea kwe dakika 12 na sek 38 utapata jib lako habib
@AbuuOthman
7 ай бұрын
Kwanza watakiws uijuwe Fanni Hizi wanazozitumia kutafsiria ndy utawaelewa vzur hawa mabwana ila kama ww wasikiliza tu tafsiri BA's lazima utatoka hapa ukiwa mtupu Maana hapa Hii darasa ya kielimu
@taurehassan7399
7 ай бұрын
Rudia hili darsa mwanzo utaelewa km hutoelewa mswalie mtume Sana nta itaondika ktk maskio yko
@user-qm4qd8yk2x
7 ай бұрын
katika dakika ya 12 ná sekunde 38 kama ulivyo andika wewe ustadh said asema TUMEFAHAMU SISI HAPA. bas wala sijaona jibu hapo
@user-qm4qd8yk2x
7 ай бұрын
kwa hivyo Wale wote walió kubaliana ná wewe hatakama hawakwenda madrasa hizo fanni wamezielewa? si haya ni yaleyale hauwezi elewa Biblia mpaka uwe ná roho mtakatifu?
@OsmanAli-zb3tu7 ай бұрын
SHIDA ya mawahabi kwenu nii nyinyi kuhimiza watu kuomba maiti na kumzulia mtume mambo ambayo hakuna
@taurehassan7399
7 ай бұрын
Acha uwongo nitajie sheikh 1 tu alowaambia wtu waombe maiti?
@iddimohamed254
7 ай бұрын
Izzudin na aboud Muhammad walisema tuombe walio kufa kwenye vita vya al badri...twarika hawana elimu wafuata kila lisemwalo..
@abubakaromar6101
7 ай бұрын
iddimohamed254 fungua mashikio vizuri wamesema kumuomba Mwenye Ezi Mungu kupitia Ahlu Badri si makosa hata Nabii Yusuf A.S alimponyeza upofu babake Nabii Yaqub kupitia Kanzu na tena yeye ni Nabii si angelimuomba Mwenye Ezi Mungu moja kwa moja angejibiwa hapo hapo au wale As-habu Qahfi ktk lile Pango walosaki waliomba kupitia Mema yao walofanya mpaka Pango kufunguka. Hata hujielewi unacho comments
@OsmanAli-zb3tu
7 ай бұрын
Ukithibitishiwa kuwa mashekhe wanu huwambia watu waombe maiti utasemaje?
@abubakaromar6101
7 ай бұрын
OsmanAli-zb3tu thibitisha yupi mlete tumuone akiomba maiti kwa vitendo hatutaki ya kusikia
@ishirininasita26267 ай бұрын
tupunguze kufunza lugha nyingi hututoa kwa malengo na ningependa tuongelee vipengele venye mashaka na vimetiwa illa
@rukiaabubakar1257
7 ай бұрын
Eee ingia moja Kwa moja kwenye vifungu tata.hatutaki lugha nyingi.ama ni waoga
@OsmanAli-zb3tu
7 ай бұрын
Hiyo ni Tisha toto ndio wajifanya wajua lugha sana na ukweli lau kujua lugha ndio uislamu basi ingekuwa hakuna mwarabu asie kuwa muislamu
@latifaayoub6126
7 ай бұрын
Kwani kila muarabu ajua lugha .. hahahah mwachekesha sana .. hizo sio fanni zenu na ndipo mlipopotezwa mwataka matafsiri ya juu juu hamjui lugha ya kiarabu ni lugha si kma nyenginezo Allah kuiteua na kuipa hio lugha kitabu chake sio kitu kidogo cha kuoelekwa mtakavo nyny
@latifaayoub6126
7 ай бұрын
Kaeni kwa kutulia chukueni faida hapo .. na huyo alosema sehemu tata haoa tuanenda na kitabu kizima ili tukimaliza hakuna tena maswali ... kaeni kwa kutulia tena muwe na macounter ya kuandika point tukimaliza tu sote twasoma maulid
@ishirininasita2626
7 ай бұрын
@@latifaayoub6126 haya ndo salama
@HamidaAlbusaid7 ай бұрын
Shukran
@abeidmbano39417 ай бұрын
Allah atawalipa ila wengine hatujaona ule ufafanuzi wa matumizi ya khatith
@abubakaromar6101
7 ай бұрын
abeidmbano kama hapa huweelewi tuachie wenyewe tunaoelewa, wewe afadhali uwaangalie vitabu vyenu utafute ndani muna Bida'a ngapi hapo ndio utaelewa na kama hujui hivyo vitabu vya kiwahabi Bida'a ziliyomo ndani ktk youtube kuna channel yaitwa Babdeo Tv andika sheikh mohammed Abu Idd usikilize nadhani hapo utaelewa
@mohagurey22147 ай бұрын
Mawahabi wanapinga tu mambo ya kheir wala hutoona wakipinga mambo ya shari, hayo maneno ni uongo wallahi na atajuwa ni uongo siku ya kiama
@abubakaromar6101
7 ай бұрын
mohagurey hakuna uwongo kaongea ukweli mashekhe wenu kila wakipanda juu ya mamimbar nikushambulia Maulid na kutukana na kuwatiya watu wengine motoni, wewe ushawai kuona mashekhe wakitwariqa wakipanda mamimbar nakushambulia Bida'a za kwenu tena ndani ya vitabu vyenu kuna Bida'a mbaya mbovu na chafu sana kama wataka kuzisikia ingia youtube channel ya Babdeo TV ya sheikh mohammed Abu Idd sasa ndio anavichambua vitabu vya kiwahabi mda mrefu mulinyamaziwa lkni mulizidi mukafura mibichwa kuchoza kila Ijuma juu ya mamimbar haya hayafai Bida'a bida'a sasa musikilize za kwenu
Пікірлер: 166
Mashaallah,ya ustadh ingekuwa vizuri kama mwishowe musome barzanji kwa kiswahili Yale munayo tafsiri .ili ifahamike vizuri.
@yusufathman2478
7 ай бұрын
Hawaezi 🤣🤣 ukweli utajulikana
Masha allah allah awaajalie vijana wetu na allah awape umri mrefu mueze kuwatoa wanachuoni wengi watakao vienzi vitabu vya wanachuoni wetu wa alhulsunna waljamaatul twarika..
Mashaallah❤❤ tuwaombee mungu hawa mashkh zetu wanafanya kazi kubwa yakuelimisha jamii ielewe barzanj sio yakusoma ka gazeti lazma uzame kielimu nd utaelewa
@AbuuOthman
7 ай бұрын
Naaam hakika sheikh
@iddimohamed254
7 ай бұрын
Maulidi hayana dalili katika dili ndio mana wema walo tangulia hawakuyasoma eg shafii,Malik,abuu hanifa&hambali mnapoteza mda wenu bure.....
@abubakaromar6101
7 ай бұрын
iddimohamed254 wewe unayo Dalili Maulid hayafai kusomwa hiyo kutoyasoma wema walotangulia sio dalili. Haya wewe tukuulize huko kwenu hamuna Bida'a mumezuwa? Mashindano ya Musabaka tul Quran au kuswali Taraweh kwa kila siku kusomwa Juzi moja ni nani ktk wema waliofanya? Labda wewe ndio wajisumbua bure
@OsmanAli-zb3tu
7 ай бұрын
@@abubakaromar6101Huwo ndio uzuka wenu WA mikhurafi wewe waambiwa imam wote WA nne hakuna Alisoma maulid Kwa sababu Haryana dalili waongea ule ule ukhurafi
@OsmanAli-zb3tu
7 ай бұрын
Mbona munalazima kuitumia hadith dhaifu na kwani hakuna hadith swahih Amambazo za msifu mtume?
Alhamdullillah nimeelewa
Alhamdulilah kusoma Kisha Allah akupe fahmu, hekma, na adabu rahaa Sanaa na kinyume chake kina fulani 😂😂😂
Yaani watetea bid'aah
Barakallahufiykum
Mungu azidi kukupa nguvu said
Masha allah mungu awajaalie umri mrefu muzidi kutuelimisha kwa mengi
AA Maustadh wetu ? Nomeangalia episode 1 na 2. Mashallah vipindi vizuri sana na fawaaid ni kkathiri. Mda tu ndio naona ni mfupi sana ikiwezekana uongezwe. Yakuelezwa ni mengi na mda ni mchche sana bi maana mutachukua miezi mingi kukamilisha. Shukran wa jazaka Allaahul khair
@abubakaromar6101
7 ай бұрын
baishemoha W.S. mimi nakuunga mkono vipindi vizuri pia kweli mda ni mfupi lkni naona ni afadhali hivi kidogo kidogo wanavyo fanya Maustadh wetu kwa sababu ya ndugu zetu mashabiki wa mawahabi mda ukiwa mrefu na mambo yakiwa mengi hawatashika kitu mibichwa yao migumu sana haitoshika kitu akili zao mfinyo bora kidogo kidogo mibichwa yao yafunguke
Mashallh tumefrahi saana mola awafrahishe
Allah akulipeni kheri
MASHALLAH KAMA UKO HAPA KWA KUPATA FAIDA UTAPATA KAMA NI UBISHI BASI HUNA INSWAFU ITAKUWA WAFUATA MKUMBO
Mashekhe zetu pole pole wataelewa bora nyinyi muwenasubra nyingi yakutosha allah awape uzima afiya na uzima amini
Umri mdogo na ilmu nyingi namna hiyo ALLAH awahifadhi pamoja na awakinge na kila shari khasa husda kwa hakika mwamzidishia furaha ustadh Muhammad albeidh Allah awazidishieni kulla kheri
Mashallwha
Yaa Allah tujaalie sisi kuwa ni waislamu na kuwa sisi ni watu wa Twariqa mpaka mwisho wa maisha yetu..
@mohagurey2214
7 ай бұрын
Ameen, mungu akujalie ukufe twariqa na sio ahlu sunnah
@omarymakange8449
7 ай бұрын
@@mohagurey2214 nyie Ni mawahabi bhana.. msidandie jina la Ahlsunnah..
@mohagurey2214
7 ай бұрын
@@omarymakange8449 Al muhim, umeomba ufe twariqa na mimi nakuombe hivo hivo, mungu akuuwe kwa njia ya twariqa ulivyoomba
@iddimohamed254
7 ай бұрын
Ata Kama twarika yakupeleka Motoni uko nayo tu hamjielewi kabisa....
@abubakaromar6101
7 ай бұрын
iddimohamed254 wewe ndio hujielewi kabisa maana mawahabi ukisoma vitabu vyenu Mwenye Ezi Mungu AstaghfiruAllah ana jinsia kama kiumbe au kumgawanya Mwenye Ezi Mungu ktk Tauhid ينقسم توحيدإلى ثلاثة أقسم wewe kama wajielewa wakubali hayo
Maashaallah
Mashaallah alayk watoto Mwenyeezi Mngu awahifadhi wanazuoni wetu watarajiwa.
A.alaikum Anzeni kisha mkimaliza nendeni mkamsikize Mohamed Is'hak yuwasemaje kuhusu huo mlango insha'Allah,ukumbusho tu.
@IslamSufism385
7 ай бұрын
Mohamed ishaq muongo sana… hafai lolote
@iddimutua420
6 ай бұрын
Mkweli ni yupi kama yeye muongo, na afae ni Nani kama yeye hafai
Maa shaa Allah tumefaidika
Mashallaah
Masha ALLAH Mwenyezi Mungu amuhifadh sheikh letu ustaadh Fadhil
ما شاء الله طول الله اعماركما في الخير
Mmeua lugha muhimu
Wallah ss wanatwariqa Allah katujaalia ufaswaha wajuu sana ukweli nd huo❤ mawahabi wakubali 2
Shukran
Sub'hanaLlah.. mpaka mtu apige goti miaka mingi.. bado tuko kwa pool.. twafundishwa ku float. Baharini baaado sanaaa.. si mchezo ilmu.
Allah awalipe kila la kheri
Mashallah awa maustadhi wapo vzr saana ❤
awabariki allah
@AbuuOthman
7 ай бұрын
Allahumma Aaameeen na kwako pia
Mashallahu
kila chenye kuzidi ya khairi ni baraka kama mke wapili😅😅😅 mashallah
Dakika ishirini ni kidogo sana at list ziwe 30
Al hamdulilah
Hapa ni elimu tu
Mashallah
Mawahabi hawana ilmu hizo kabisa ndio watatiza watu kwa ilmu zao chache.
Bila ya shaka ninacho jifunza hapa ni hawalingani sawa walio soma na wasio soma... elimu haitaki ushabiki bali inataka mda wa kusoma. Endeleeni kutusomesha ingawa mda ni mchache sana tungeomba mda uzidishwe kama itawezekana inshaaAllah.
🏃Sifaamu chchte
Miongoni ya neema ni mtu kutokuwa wahabi 😂 dah hii kali. Asnte sheikh Ahmed
Mawahabi Wamekuja kuuharibu uislamu ili waislamu Waache yale yenye faida katika uislamu wao
Uone ubabaishaji wa Masufi na upotoshaji wao wa dini ya uislamu
Mashallah❤ ...lakin nauliza hivi mshamtumia kitoto cha bachu link angalau ajifunze tafsiri maana lugha Bado changa kwake...
@AbuuOthman
7 ай бұрын
Hahhaahaha itamfikia Tu Maana Video mpaka kuwekwa KZread inatembea Na hata Asipoona Yeye BA's wenzie wataona Na ujumbe utafika tu inshaaa ALLAAAH
Assalam aleikum warahmatullah wabarakatuh Jaribuni kutumia lugha nyepesi kila mtu apate kuwaelewa khususwan wale ambao hawakusoma
Bachu yuwasoma na yeye hapo na ndio mambo yao wanasoma kupitia maawidha kisha wanasimama kwenye mimbar wakitusi hawawezi kuelezea walipo soma wala kutaja waalimu wao ni kinanani
@iddimohamed254
7 ай бұрын
Hawamuwezi bachu hata wakiungana ..
@abubakaromar6101
7 ай бұрын
iddimohamed254 bachu hatumuwezi kwa kojo
Tutungieni kitabu cha tafsiri yake na sherehe
Tunataka Hadith sahihi inayosema tusherekee birthday ya mtu hatutaki porojo...
@latifaayoub6126
7 ай бұрын
Ukipewa hadithi sahihi ww utaielewa ... ama ushabiki tu .. ne3mah kubwa ni kuto kua muwahabi. ALHAMDULILAH
shekh tunaomba kipindi kiwe kirefu inshaallah
@abubakaromar6101
7 ай бұрын
shabaniramadhani ni kweli mda ni mfupi lkni naona ni afadhali hivi kidogo kidogo wanavyo fanya Maustadh wetu kwa sababu ya ndugu zetu mashabiki wa mawahabi mda ukiwa mrefu na mambo yakiwa mengi hawatashika kitu mibichwa yao migumu sana haitoshika kitu akili zao mfinyo bora kidogo kidogo mibichwa yao yafunguke
@shabaniramadhani2104
7 ай бұрын
@@abubakaromar6101 shukran
@abubakaromar6101
7 ай бұрын
shabaniramadhan Aafwan In shaa Allah tuko pamoja
Muendelezo please please please
Dakika 27 zote hakuna kitu kimezungumzwa
@user-bd7xm6sm3o
6 ай бұрын
Bora ya maneno ni yale yaliyokuwa machache na ya kafahamisha,km huna kitu chochote ulichojifunza hapo jichunguze........
Masufi wapo katika kubabaisha watu na kupotosha waislamu
@latifaayoub6126
7 ай бұрын
Mawahabi je
25:28 25:30
Ikiwa quraan nishifaa mpaka kwamakafiri .eti kwamaiti wakiislam iwe nibidaa nidhambi kuwasomea Khitma.....nduguzetu mawahabi wanamaradhi ya mapepo wachafu ..
Mbona dj said yuwasomeshwa na mwenzake kwani mushachoka kumfuzia ndio leo afedheheshwa kwa kusomeshwa na mwenzake😅😅😅😅😅
@latifaayoub6126
7 ай бұрын
Daaah .. mnazidi kujifedhehesha miwahabi ... mtaelewa tu
@osmanmanbile9327
6 ай бұрын
Huyu Osman n mjinga sana kwni ustadh said ndio anasomeshwa amah watazamajii ww hata hujielwei ustadh said n mtu alimusomesha bachu mble ya uliwemgu wacha. Ushabiki y kijinga n chukii
Uwahabi nihatar mno
Hawa makhurafi hawajielewi katika mashairi hutajwa Allah Kisha wao humtaja mtume Kisha hujifanya wajua lugha ya kiarabu
@Hawwamajidy
7 ай бұрын
❤ 21:58
@HusseinPaula
7 ай бұрын
Usiwatusi watu wa Mungu wewe mtoto kuwaita majina ya kishenzi sikiliza kama kumtaja mungu unaona haifai kumtaja mtume saw kaitenganishe shahada
@user-cs7fo8ht1n
7 ай бұрын
Asumanieee 😂
@OsmanAli-zb3tu
7 ай бұрын
Utamtaja VP Allah Kisha useme swalallahu aleih huko ni kutojielewa
@user-cs7fo8ht1n
7 ай бұрын
@@OsmanAli-zb3tu hamzungumzii Allaah anazungumzia anachotaka kukiandika kwa kuanza na jina la Allaah kama utaelewa haya kma huelewi nao mungu akupe fahamu .....
Kwa tafsir hii ya undani kupata swali kazi maana munaeleweka moja kwa moja 😂😂alhamdu lilah sio muwahabi
Ww unataetaka hadithi sahihi kwani hizo zilizotolewa umeambiwa sizo au ...
😂 ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤SinA neno
Happy mwanzo ametajwa mmwenyezmungu SI mtume acheni kulazmisha mambo
@abubakaromar6101
7 ай бұрын
habibuchakusaga fungua akili uwache ushabiki elewa kilichozungumzwa waweza kurudia tena hiyo video na uwe makini kusikiliza
@user-cs7fo8ht1n
7 ай бұрын
😂😂😂😂😂 ala salale kwa akili hyo we umeruhusiwa kua shabiki sugu😅😅😅
Nauliza hiki kipindi n lini n lini
@jumaa052
7 ай бұрын
Kila alkhamis kwa nilivyo elewa habib
Naomba ktk tee ya taanith mtuwekee bayana zaidi kwa sababu kuna muhabi kaleta shubuha ya tee taanith alipokuwa akiijibu darsa ya ustadh Said kuwa tee taanith ni akhassu. Aksema mbona neno حسنة lina tee ya taanith, je swaum au Hajj haziitwi حسنة kwa vile zenyewe ni mudhakkar.???
@burhanmuhammed2234
7 ай бұрын
Nyinyi maghurafi niwapotofu mumekuja haribu dini ya mungu Kwa urongo mwingi, jibuni 19 ya tanga mpka sahii hamujajibu hutapatapa tuu
@abubakaromar6101
7 ай бұрын
burhanmuhammed2234 nyinyi mawahabi ndio mulokuja kuharibu dini na kutetesha watu ktk Quran au Hadithi ya Mtume S.A.W ينقسم توحيدإلى ثلاثة أقسم kigawanyo cha Tauhid AL-ULUHIYYAH, AL-RUBUBIYYAH, AL-ASMA ' WA SWIFAT au kusema AstaghfiruAllah Mwenye Ezi Mungu ana jinsia kama kiumbe maneno haifai kusema, hoja moja peke yake ilimtoa mkojo mpaka kukimbia je izo zilizobaki sijui ingelikuwaje
@abubakaromar6101
7 ай бұрын
burhanmuhammed2234 mashekhe zenu mpaka nyinyi munaofwata bila fahamu kazi yenu kutukana watu kumwita mushrik kafir au mnafiq ambapo Mtume S.A.W hajawai hata siku moja licha ya waislamu hata wale makafiri na wanafiq wa zake hajawaita hivyo,wakati wa Vita vya Badri Mtume S.A.W alipoweka zile alama za wale wakubwa wa kikafiri huyu atakufa hapa na huyu hapa baada ya Vita walipokuwa wamekufa Mtume S.A.W alienda hapo alikuwa akiwaita kwa majina yao Ya Utba na mfano wake lkni hakuita ya kafir, leo kwa kuwa mumekuja nyinyi mawahabi ni kutukana waislamu wenzenu hasa jihadhari na mashekhe wenu na hawa Mtume S.A.W alitahaddharisha alipowambiya Maswahaba wake watatokea mashekhe kazi yao ni kuwaita watu mushrik au kaafir عن حذيفة رضي الله عنه قال: قال رسول الله صلى الله عليه وسلم : «إنَّ ما أَتَخوَّفُ عليكم رجلٌ قَرَأ القرآنَ حتى إذا رُئِيَتْ بَهْجتُه عليه، وكان رِدْئًا للإِسلام، غَيَّرَه إلى ما شاء الله، فانْسَلَخَ مِنْه ونَبَذَه وراءَ ظَهْرِه، وسَعَى على جاره بالسَّيف، ورمَاه بالشِّرك»، قال: قلتُ: يا نبيَّ الله، أيُّهما أوْلى بالشِّرك، المَرْمِي أم الرَّامي؟ قال: «بل الرَّامي». [حسن] - [رواه ابن حبان] قال ابن كثير رحمه الله : " إِسْنَادٌ جَيِّدٌ " انتهى ، وحسنه الألباني في "الصحيحة" (3201) . ويشهد لهذا المعنى ما رواه البخاري (6104) ، ومسلم (60) - واللفظ له - عن ابْن عُمَرَ رضي الله عنهما ، قال: قَالَ رَسُولُ اللهِ صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَسَلَّمَ : ( أَيُّمَا امْرِئٍ قَالَ لِأَخِيهِ : يَا كَافِرُ، فَقَدْ بَاءَ بِهَا أَحَدُهُمَا، إِنْ كَانَ كَمَا قَالَ ، وَإِلَّا رَجَعَتْ عَلَيْهِ
Mwazungumza porojo nyingi tu hapo. Kakojoeni mulale.
@mohamedsalimaljahdhamy1436
7 ай бұрын
Wewe kijana uwe na adabu kama huna la kuongea ukalale wewe
@habibumuhammad730
7 ай бұрын
Njoo ukojolewe ww matako ww
@abubakarymaulidy5681
7 ай бұрын
Acha umavi kama huna cha kuongea nikheri ukanyamaza
@abubakarymaulidy5681
7 ай бұрын
Njoo wee uzungumze elimu
@Madhwihajamal
7 ай бұрын
Maneno ya kiwahabi ndio haya si ajabu,ajabu itakuwa wakiongea elimu ndio maana niliona ajabu walipokubali mjadala wa kielimu
Watu wanao tawasali kwa maiti hao hawana lolote...
@abubakaromar6101
7 ай бұрын
iddimohamed254 nini maana ya Kutawasal?
@iddimohamed254
7 ай бұрын
@@abubakaromar6101 kuomba Mungu kupitia kitu/mtu Kama walivyokua maquraish pale makka...
Hebu angalia, mnaulizwa mbona katajwa mungu kisha mwasema salallahu aleyhi wasalim? Jibu lao, ulikuwa tukusalie wewe😂😂😂kisha wanafunza ilmu
@abubakaromar6101
7 ай бұрын
mohagurey sikiza kwa makini ushabiki hautakusadia kitu rudia tena usikize kwa utaratibu
@mohagurey2214
7 ай бұрын
@@abubakaromar6101 wamejibu hivyo ama nimesema uongo?
@abubakaromar6101
7 ай бұрын
mohagurey nilikuambia rudia tena usikize kwa makini mpaka mwisho utaona jawabu
baina ya ABTADIU IMLA A BISMIDHATI ALIYYA mpaka kusema swallalahu ALEIHI jee iko jina la mtume hapo? ama ishara zake?. maana umesema tuangalie mwanzo wa sentensi au mwisho wake lakini kwa hapo sioni mwenye kusifiwa.yaani mtume sasa hii ALEIHI inamuendeaa nani?
@madhashaaban6085
7 ай бұрын
Rejea kwe dakika 12 na sek 38 utapata jib lako habib
@AbuuOthman
7 ай бұрын
Kwanza watakiws uijuwe Fanni Hizi wanazozitumia kutafsiria ndy utawaelewa vzur hawa mabwana ila kama ww wasikiliza tu tafsiri BA's lazima utatoka hapa ukiwa mtupu Maana hapa Hii darasa ya kielimu
@taurehassan7399
7 ай бұрын
Rudia hili darsa mwanzo utaelewa km hutoelewa mswalie mtume Sana nta itaondika ktk maskio yko
@user-qm4qd8yk2x
7 ай бұрын
katika dakika ya 12 ná sekunde 38 kama ulivyo andika wewe ustadh said asema TUMEFAHAMU SISI HAPA. bas wala sijaona jibu hapo
@user-qm4qd8yk2x
7 ай бұрын
kwa hivyo Wale wote walió kubaliana ná wewe hatakama hawakwenda madrasa hizo fanni wamezielewa? si haya ni yaleyale hauwezi elewa Biblia mpaka uwe ná roho mtakatifu?
SHIDA ya mawahabi kwenu nii nyinyi kuhimiza watu kuomba maiti na kumzulia mtume mambo ambayo hakuna
@taurehassan7399
7 ай бұрын
Acha uwongo nitajie sheikh 1 tu alowaambia wtu waombe maiti?
@iddimohamed254
7 ай бұрын
Izzudin na aboud Muhammad walisema tuombe walio kufa kwenye vita vya al badri...twarika hawana elimu wafuata kila lisemwalo..
@abubakaromar6101
7 ай бұрын
iddimohamed254 fungua mashikio vizuri wamesema kumuomba Mwenye Ezi Mungu kupitia Ahlu Badri si makosa hata Nabii Yusuf A.S alimponyeza upofu babake Nabii Yaqub kupitia Kanzu na tena yeye ni Nabii si angelimuomba Mwenye Ezi Mungu moja kwa moja angejibiwa hapo hapo au wale As-habu Qahfi ktk lile Pango walosaki waliomba kupitia Mema yao walofanya mpaka Pango kufunguka. Hata hujielewi unacho comments
@OsmanAli-zb3tu
7 ай бұрын
Ukithibitishiwa kuwa mashekhe wanu huwambia watu waombe maiti utasemaje?
@abubakaromar6101
7 ай бұрын
OsmanAli-zb3tu thibitisha yupi mlete tumuone akiomba maiti kwa vitendo hatutaki ya kusikia
tupunguze kufunza lugha nyingi hututoa kwa malengo na ningependa tuongelee vipengele venye mashaka na vimetiwa illa
@rukiaabubakar1257
7 ай бұрын
Eee ingia moja Kwa moja kwenye vifungu tata.hatutaki lugha nyingi.ama ni waoga
@OsmanAli-zb3tu
7 ай бұрын
Hiyo ni Tisha toto ndio wajifanya wajua lugha sana na ukweli lau kujua lugha ndio uislamu basi ingekuwa hakuna mwarabu asie kuwa muislamu
@latifaayoub6126
7 ай бұрын
Kwani kila muarabu ajua lugha .. hahahah mwachekesha sana .. hizo sio fanni zenu na ndipo mlipopotezwa mwataka matafsiri ya juu juu hamjui lugha ya kiarabu ni lugha si kma nyenginezo Allah kuiteua na kuipa hio lugha kitabu chake sio kitu kidogo cha kuoelekwa mtakavo nyny
@latifaayoub6126
7 ай бұрын
Kaeni kwa kutulia chukueni faida hapo .. na huyo alosema sehemu tata haoa tuanenda na kitabu kizima ili tukimaliza hakuna tena maswali ... kaeni kwa kutulia tena muwe na macounter ya kuandika point tukimaliza tu sote twasoma maulid
@ishirininasita2626
7 ай бұрын
@@latifaayoub6126 haya ndo salama
Shukran
Allah atawalipa ila wengine hatujaona ule ufafanuzi wa matumizi ya khatith
@abubakaromar6101
7 ай бұрын
abeidmbano kama hapa huweelewi tuachie wenyewe tunaoelewa, wewe afadhali uwaangalie vitabu vyenu utafute ndani muna Bida'a ngapi hapo ndio utaelewa na kama hujui hivyo vitabu vya kiwahabi Bida'a ziliyomo ndani ktk youtube kuna channel yaitwa Babdeo Tv andika sheikh mohammed Abu Idd usikilize nadhani hapo utaelewa
Mawahabi wanapinga tu mambo ya kheir wala hutoona wakipinga mambo ya shari, hayo maneno ni uongo wallahi na atajuwa ni uongo siku ya kiama
@abubakaromar6101
7 ай бұрын
mohagurey hakuna uwongo kaongea ukweli mashekhe wenu kila wakipanda juu ya mamimbar nikushambulia Maulid na kutukana na kuwatiya watu wengine motoni, wewe ushawai kuona mashekhe wakitwariqa wakipanda mamimbar nakushambulia Bida'a za kwenu tena ndani ya vitabu vyenu kuna Bida'a mbaya mbovu na chafu sana kama wataka kuzisikia ingia youtube channel ya Babdeo TV ya sheikh mohammed Abu Idd sasa ndio anavichambua vitabu vya kiwahabi mda mrefu mulinyamaziwa lkni mulizidi mukafura mibichwa kuchoza kila Ijuma juu ya mamimbar haya hayafai Bida'a bida'a sasa musikilize za kwenu