KUOTA NDOTO YA MWIZI INAJULISHA: MUHARIBIFU WA WAKE/WAUME ZA WATU: CHUMA ULETE: MTU DHALILI: MUONGO:

لص في المنام:
KUOTA NDOTO YA MWIZI USINGIZINI: HIZI NI FASIRI ZAKE:
***********************************************
Na mwandishi wako khamisi suleiman mayunga, piga simu namba:
+255713439891
+255685496336
+255776969998
WhatsApp:
+255765893020
+255758678552
*****************
1. Kuota mwizi ambae unamjua katika ndoto kunajulisha kua:
"Huyo ni mtu muongo na dhalili"
"Huyo ni mwanamume dhalili anaetafuta kitu kisichokua chake"
"Huyo ni muharibifu wa wake za watu"
"Huyo ni mtu muongo"
"Huyo ni mtu mwenye vitimbi"
2. Kuota mwizi usie mjua katika ndoto kunajulisha kua:
"Huyo ni malaika mtoa roho, kwa kule kujificha kwake wakati wa kuchukua roho yako, na ndivyo mwizi usie mjua anavyoshuka nyumbani kwako bila ya idhini yako, hivyo atapora mali na roho za watu"
"Huyo ni mwanamume mzinifu, kwakua anajificha kama anavyo jificha mzinifu mwingine"
3. Kuota mwizi katika ndoto kunajulisha kua:
"Wanyama wakali"
"Majoka makubwa"
"Majini chuma ulete"
4. Imeelezwa na wafasiri wakubwa kua ndoto ya kuota mwizi pia inajulisha ni:
"Ikiwa mwizi ni mtu mweusi basi ni Maradhi ya saudai"
"Ikiwa mwizi ni mtu mweupe basi ni maradhi ya balgham"
"Ikiwa mwizi ni mtu mwekundu, basi ni maradhi ya damu"
"Ikiwa mwizi ni mtu wamanjano, basi ni maradhi ya manjano"
5. Mtu anapolala kisha akaota kua kamuona mwizi kaingia ndani nyumbani kwake na akachukua kitu na akaondoka nacho, basi njozi inakujulisha kua:
"Ajali ya mtu hapo nyumbani imekaribia"
6. Mtu anapolala kisha akaota kua kamuona mwizi kaingia ndani ya nyumba yake, lakini mwizi huyo hajachukua chochote na akaondoka, basi njozi inakujulisha kua:
"Ajali ya mtu katika nyumba hiyo imeakhirishwa"
7. Mtu anapolala kisha akaota kua kamuona mwizi, lakini ulipomuona hujui katokea wapi au mahala gani, na mwizi huyo kunakitu kakibeba, basi njozi inakujulisha kua:
"Mgonjwa wako atapona na atanawirika mfano wa jauhari"
"Nakama mwizi hakubeba kitu, basi utapitia katika maradhi mazito na utapona haraka"
8. Mtu anapolala kisha akaota kua kamuua mwizi, basi njozi inakujulisha kua:
"Utapona maradhi yako"
9. Mtu anapolala kisha akaota kua Mwizi kaingia ndani ya nyumba, na ndani ya hiyo nyumba kuna mwanamke ambae hajaolewa au hana mume, basi njozi inakujulisha kua:
"Huyo ni mchumba atakaekuja kuchumbia"
10. Mtu anapolala kisha akaota kua anaiba, basi njozi inakujulisha kua:
"Utazini"
"Utasema uongo"
MENGINEYO:
*************
* Njozi yako bishara yako, Kwakua inakubashiria mazuri utayoyapata.
* Njozi yako nidhari yako, kwakua inakunadiria au kukukhofisha kutokana na mabaya yanayoweza kukukuta.
* Njozi yako maisha yako, kwakua inakuelezea maisha yako ya nyuma, yasasa, na yajayo.
* Usikubali kuidharau njozi yako kwakua utakua umedharau kitu muhimu sana maishani mwako, chukua hatua sasa.
Waweza kuwasiliana nami kwa namba hizi:
+255713439891
+255776969998
+255685496336
WhatsApp:
+255765893020
+255758678552

Пікірлер: 47

  • @nicanduva2663
    @nicanduva2663 Жыл бұрын

    Pole na majukumu mie nimeota tulikuwa sokoni mwizi alikotokea cjui ila mzigo wangu gafla nikawa siuoni mara tu nikamuona mwanamke mmoja ana huo mzigo wangu ulikua ni unga alivyo niibia jinsi alivyochukua cjaona nikaitaa mwizi anakimbia kweli kweli mara kwenye kukamatwa akawa ni kijana mweupe kapigwa kwelikweli ata mie nilimpiga na vitu vyangu nikavipata

  • @fatumasaidi
    @fatumasaidi9 күн бұрын

    Mi sijaona mwizi. Nimeota tu vitu vyangu havipo vishaibiwa

  • @ghinaathman6681
    @ghinaathman66812 ай бұрын

    Nimeota mwizi ameingia akatoka na kijana wangu mkubwa

  • @eunicegerald732
    @eunicegerald7322 жыл бұрын

    Basi mimi tangu nikiwa mtoto huota sana wezi wamevamia makazi na wanaiba kila nyumba ila kwangu/kwetu hawajawahi kuiba wakifika tu wanaweza ongea tu na kuondoka au wasifikie kabisa nyumba yangu/yetu lakini ajabu kila niotapo naona kama vile nyumba ninayoishi haina usalama kabisa, aidha madirisha yako wazi na hayafungi au mlango unakuwa wazi na haufunguki lakini wezi siwajui kabisa... 🙌 Sheikh tafadhali nijukishe tafsiri 🙏🙏

  • @nyumbayatibanadua737

    @nyumbayatibanadua737

    Жыл бұрын

    Pole sana

  • @agnesnangela2689
    @agnesnangela2689 Жыл бұрын

    Waaa, nimeota mwizi amemshika babangu, na hyo mwizi simjui

  • @galaxykahalid3172
    @galaxykahalid31723 жыл бұрын

    Asante shekhe Mengi unatufunza

  • @nyumbayatibanadua737

    @nyumbayatibanadua737

    3 жыл бұрын

    Shukran

  • @user-km3ri1cm2l
    @user-km3ri1cm2lАй бұрын

    menmeota nipo na maskauti tunaiba maji yariyopasuka mara nikaona tunakimbia kwenye kichaka na wale skaut washulen kwetu gafra nikaota nmeiba mashuka vitambaa mikoba yan nivipya nmebeba frushi kubwa mikononi furushi la nguo nyingi nakimbia navyo inamaan gan

  • @neemaphilipo9543
    @neemaphilipo9543 Жыл бұрын

    Shekhe mume wangu aliota wezi wameingia ndani wakaniuwa Mimi harafu baada ya hapo ikapita wiki na mie pia nikaota hivyo hivyo mwizi kaingia ndani na kutaka kuniuwa hii inamaanisha nini naomba nisaidie 🙏🏾🙏🏾

  • @haseanatnsanya2079
    @haseanatnsanya20793 жыл бұрын

    Asante

  • @agathemichelle238
    @agathemichelle2385 ай бұрын

    Salam Sheikh tafazali nimeota sifuria kubwa inajaa maharage yamepikwa maana yake nini nayalikuwa yameungwa kabisa

  • @rwantundasadiki2120
    @rwantundasadiki2120 Жыл бұрын

    Aksante kwa mafasirio ya ndoto

  • @nyumbayatibanadua737

    @nyumbayatibanadua737

    Жыл бұрын

    Shukran sana

  • @christophersommy1135
    @christophersommy1135 Жыл бұрын

    Niliwah kuota naibiwa simu lakin mbele nikakutana na mtu namjuwa akaita watu wakanisaidia kutafutaa na nikawaeleza jinsi hao wezi wapo wakasema wanawajuwa simu na wakaahidi kunirudishia sikumbuki mwisho ila kulikuwa na watu ni kama kijiweni ila mm niliibiwa mbele yao ila wap hawakuona mpka mimi nilipowaambia

  • @nabirabakary4209
    @nabirabakary42093 жыл бұрын

    Barakllahu fiq

  • @nyumbayatibanadua737

    @nyumbayatibanadua737

    3 жыл бұрын

    Amina yaarabiy

  • @user-sh1vb1zt1j

    @user-sh1vb1zt1j

    Ай бұрын

    Hakika ki ogozi wetu

  • @binthatv2794
    @binthatv27942 жыл бұрын

    Nimeota nampiga mwiza vibaya sana alikuja kunibia sim nimempiga jiwe la uso Pia nilikuwa nimemumiza sana usoni kwake wangine wakaogopa kunisogelea kwasababu nilikuwa nimepita sokoni wakanivamia hapo nimempiga sana

  • @anliomaromar7163
    @anliomaromar71632 жыл бұрын

    Asalamu alaykum shekhe habaryako.

  • @nyumbayatibanadua737

    @nyumbayatibanadua737

    Жыл бұрын

    Waalaykum salaam warahmatu llaah wabarakatuh

  • @fadiashami6381
    @fadiashami63813 жыл бұрын

    🙏🙏🙏

  • @nyumbayatibanadua737

    @nyumbayatibanadua737

    3 жыл бұрын

    Shukran

  • @zaituniantony2380
    @zaituniantony23802 жыл бұрын

    Mm naixhi mwenyewe 2 xaxa inamaana gn kwa upande wangu ndio siku zimexha fk au itahusika adifamilia ya mama baba mwananga kaka yng dada yng au wadogo zng au itanihusu mm na mwanang

  • @nyumbayatibanadua737

    @nyumbayatibanadua737

    Жыл бұрын

    Inakuhusu wewe mwenyewe ingawa wewe unaweza kua ni chanzo cha kuumia

  • @jacklinibrahim8805
    @jacklinibrahim88058 ай бұрын

    Shekh nimeota mwizi ameiba ndani kwangu pesa na vitu vingine akakimbia nikamkimbiza namuitia mwizi akashikwa nika mnyanganya vitu vyangu nikawa na mchapa atoe napesa hiyi nini maana yake

  • @johsen9475
    @johsen9475 Жыл бұрын

    Samahani, nini maana ya maradhi ya saudaa

  • @chrislacarin4332
    @chrislacarin43323 жыл бұрын

    Nzuri

  • @nyumbayatibanadua737

    @nyumbayatibanadua737

    3 жыл бұрын

    Shukran

  • @lizzydiy4590

    @lizzydiy4590

    2 жыл бұрын

    @@nyumbayatibanadua737 nimeota nimeibiwa simu na sura ya mwizi niliiona ila hiyo sura ni ngeni kwangu sijawah kuiona nisaidie shekhe

  • @lizzydiy4590

    @lizzydiy4590

    2 жыл бұрын

    @@nyumbayatibanadua737 pia nimeota kuna nguo nyeusi na nyeupe nikawa navaa navua navaa navua javaa navua mwulishoe nikavaa nguo nyeusi peke ake nyeupe sikuivaa

  • @nancynkya4462
    @nancynkya4462 Жыл бұрын

    Mimi nimeota tumeibiwa wapangani wote Yani kwenda dukani nakurudi tukakuta vyumba vyetu vyeupe pee mmoja tu ndo ajaibiwa

  • @neyiflaim9249
    @neyiflaim92492 жыл бұрын

    Nimeota ofisini kwangu wameiba kila kityu

  • @nyumbayatibanadua737

    @nyumbayatibanadua737

    Жыл бұрын

    Huyo ni mtu wako wa karibu tena aenezae mambo ya uongo.

  • @shariffkareem8045
    @shariffkareem8045 Жыл бұрын

    Ukiota Qluani ime andikwa kwa maandishi ewani na moto

  • @MwajumaSebe-zo9ob
    @MwajumaSebe-zo9ob11 ай бұрын

    Mm nimeota nime mkamata mwizi

  • @modeystaraxy3440
    @modeystaraxy3440 Жыл бұрын

    Je ukiota jambazi kashika bastola kaja kwako but thn ukashituka

  • @nyumbayatibanadua737

    @nyumbayatibanadua737

    Жыл бұрын

    Mchunguze mtu wa karibu yako, kwakua siri zako anaziweka hadharani ambapo itakuja kukuumiza

  • @DorothyPhilipo-sl1gj
    @DorothyPhilipo-sl1gj Жыл бұрын

    Kuota umemkamata mwizi alie kuibia maana yake nn

  • @fatmamohammed5034
    @fatmamohammed5034 Жыл бұрын

    Na kma mwizi nisiyemjua amenichukulia simu yngu kisha kanirudishia.

  • @jamessanga4816
    @jamessanga48162 жыл бұрын

    Sasa Mimi nimeota naiba mwenyewe

  • @nyumbayatibanadua737

    @nyumbayatibanadua737

    Жыл бұрын

    Hiyo inakutaka upunguze uongo, kwakua uongo ni jambo laweza kuleta hatari katika jamii

  • @esterkavuuirungu367
    @esterkavuuirungu3672 жыл бұрын

    Na mm nikiwa mwixi

  • @nyumbayatibanadua737

    @nyumbayatibanadua737

    Жыл бұрын

    Inajulisha upunguze uongo

  • @mariamwakabuta1034
    @mariamwakabuta10343 жыл бұрын

    Nimeota mwanamke mweusi kaniibia nguo nika mkamata nikawa nampiga usoni kwake inamaana gani ?

  • @nyumbayatibanadua737

    @nyumbayatibanadua737

    Жыл бұрын

    Hiyo umeondosha udhia kwako

  • @shariffkareem8045
    @shariffkareem8045 Жыл бұрын

    Kuwota una nywshewa na vuwa ya fudha balabalani

Келесі