KUOTA NDOTO YA MWIZI INAJULISHA: MUHARIBIFU WA WAKE/WAUME ZA WATU: CHUMA ULETE: MTU DHALILI: MUONGO:
لص في المنام:
KUOTA NDOTO YA MWIZI USINGIZINI: HIZI NI FASIRI ZAKE:
***********************************************
Na mwandishi wako khamisi suleiman mayunga, piga simu namba:
+255713439891
+255685496336
+255776969998
WhatsApp:
+255765893020
+255758678552
*****************
1. Kuota mwizi ambae unamjua katika ndoto kunajulisha kua:
"Huyo ni mtu muongo na dhalili"
"Huyo ni mwanamume dhalili anaetafuta kitu kisichokua chake"
"Huyo ni muharibifu wa wake za watu"
"Huyo ni mtu muongo"
"Huyo ni mtu mwenye vitimbi"
2. Kuota mwizi usie mjua katika ndoto kunajulisha kua:
"Huyo ni malaika mtoa roho, kwa kule kujificha kwake wakati wa kuchukua roho yako, na ndivyo mwizi usie mjua anavyoshuka nyumbani kwako bila ya idhini yako, hivyo atapora mali na roho za watu"
"Huyo ni mwanamume mzinifu, kwakua anajificha kama anavyo jificha mzinifu mwingine"
3. Kuota mwizi katika ndoto kunajulisha kua:
"Wanyama wakali"
"Majoka makubwa"
"Majini chuma ulete"
4. Imeelezwa na wafasiri wakubwa kua ndoto ya kuota mwizi pia inajulisha ni:
"Ikiwa mwizi ni mtu mweusi basi ni Maradhi ya saudai"
"Ikiwa mwizi ni mtu mweupe basi ni maradhi ya balgham"
"Ikiwa mwizi ni mtu mwekundu, basi ni maradhi ya damu"
"Ikiwa mwizi ni mtu wamanjano, basi ni maradhi ya manjano"
5. Mtu anapolala kisha akaota kua kamuona mwizi kaingia ndani nyumbani kwake na akachukua kitu na akaondoka nacho, basi njozi inakujulisha kua:
"Ajali ya mtu hapo nyumbani imekaribia"
6. Mtu anapolala kisha akaota kua kamuona mwizi kaingia ndani ya nyumba yake, lakini mwizi huyo hajachukua chochote na akaondoka, basi njozi inakujulisha kua:
"Ajali ya mtu katika nyumba hiyo imeakhirishwa"
7. Mtu anapolala kisha akaota kua kamuona mwizi, lakini ulipomuona hujui katokea wapi au mahala gani, na mwizi huyo kunakitu kakibeba, basi njozi inakujulisha kua:
"Mgonjwa wako atapona na atanawirika mfano wa jauhari"
"Nakama mwizi hakubeba kitu, basi utapitia katika maradhi mazito na utapona haraka"
8. Mtu anapolala kisha akaota kua kamuua mwizi, basi njozi inakujulisha kua:
"Utapona maradhi yako"
9. Mtu anapolala kisha akaota kua Mwizi kaingia ndani ya nyumba, na ndani ya hiyo nyumba kuna mwanamke ambae hajaolewa au hana mume, basi njozi inakujulisha kua:
"Huyo ni mchumba atakaekuja kuchumbia"
10. Mtu anapolala kisha akaota kua anaiba, basi njozi inakujulisha kua:
"Utazini"
"Utasema uongo"
MENGINEYO:
*************
* Njozi yako bishara yako, Kwakua inakubashiria mazuri utayoyapata.
* Njozi yako nidhari yako, kwakua inakunadiria au kukukhofisha kutokana na mabaya yanayoweza kukukuta.
* Njozi yako maisha yako, kwakua inakuelezea maisha yako ya nyuma, yasasa, na yajayo.
* Usikubali kuidharau njozi yako kwakua utakua umedharau kitu muhimu sana maishani mwako, chukua hatua sasa.
Waweza kuwasiliana nami kwa namba hizi:
+255713439891
+255776969998
+255685496336
WhatsApp:
+255765893020
+255758678552
Пікірлер: 47
Pole na majukumu mie nimeota tulikuwa sokoni mwizi alikotokea cjui ila mzigo wangu gafla nikawa siuoni mara tu nikamuona mwanamke mmoja ana huo mzigo wangu ulikua ni unga alivyo niibia jinsi alivyochukua cjaona nikaitaa mwizi anakimbia kweli kweli mara kwenye kukamatwa akawa ni kijana mweupe kapigwa kwelikweli ata mie nilimpiga na vitu vyangu nikavipata
Mi sijaona mwizi. Nimeota tu vitu vyangu havipo vishaibiwa
Nimeota mwizi ameingia akatoka na kijana wangu mkubwa
Basi mimi tangu nikiwa mtoto huota sana wezi wamevamia makazi na wanaiba kila nyumba ila kwangu/kwetu hawajawahi kuiba wakifika tu wanaweza ongea tu na kuondoka au wasifikie kabisa nyumba yangu/yetu lakini ajabu kila niotapo naona kama vile nyumba ninayoishi haina usalama kabisa, aidha madirisha yako wazi na hayafungi au mlango unakuwa wazi na haufunguki lakini wezi siwajui kabisa... 🙌 Sheikh tafadhali nijukishe tafsiri 🙏🙏
@nyumbayatibanadua737
Жыл бұрын
Pole sana
Waaa, nimeota mwizi amemshika babangu, na hyo mwizi simjui
Asante shekhe Mengi unatufunza
@nyumbayatibanadua737
3 жыл бұрын
Shukran
menmeota nipo na maskauti tunaiba maji yariyopasuka mara nikaona tunakimbia kwenye kichaka na wale skaut washulen kwetu gafra nikaota nmeiba mashuka vitambaa mikoba yan nivipya nmebeba frushi kubwa mikononi furushi la nguo nyingi nakimbia navyo inamaan gan
Shekhe mume wangu aliota wezi wameingia ndani wakaniuwa Mimi harafu baada ya hapo ikapita wiki na mie pia nikaota hivyo hivyo mwizi kaingia ndani na kutaka kuniuwa hii inamaanisha nini naomba nisaidie 🙏🏾🙏🏾
Asante
Salam Sheikh tafazali nimeota sifuria kubwa inajaa maharage yamepikwa maana yake nini nayalikuwa yameungwa kabisa
Aksante kwa mafasirio ya ndoto
@nyumbayatibanadua737
Жыл бұрын
Shukran sana
Niliwah kuota naibiwa simu lakin mbele nikakutana na mtu namjuwa akaita watu wakanisaidia kutafutaa na nikawaeleza jinsi hao wezi wapo wakasema wanawajuwa simu na wakaahidi kunirudishia sikumbuki mwisho ila kulikuwa na watu ni kama kijiweni ila mm niliibiwa mbele yao ila wap hawakuona mpka mimi nilipowaambia
Barakllahu fiq
@nyumbayatibanadua737
3 жыл бұрын
Amina yaarabiy
@user-sh1vb1zt1j
Ай бұрын
Hakika ki ogozi wetu
Nimeota nampiga mwiza vibaya sana alikuja kunibia sim nimempiga jiwe la uso Pia nilikuwa nimemumiza sana usoni kwake wangine wakaogopa kunisogelea kwasababu nilikuwa nimepita sokoni wakanivamia hapo nimempiga sana
Asalamu alaykum shekhe habaryako.
@nyumbayatibanadua737
Жыл бұрын
Waalaykum salaam warahmatu llaah wabarakatuh
🙏🙏🙏
@nyumbayatibanadua737
3 жыл бұрын
Shukran
Mm naixhi mwenyewe 2 xaxa inamaana gn kwa upande wangu ndio siku zimexha fk au itahusika adifamilia ya mama baba mwananga kaka yng dada yng au wadogo zng au itanihusu mm na mwanang
@nyumbayatibanadua737
Жыл бұрын
Inakuhusu wewe mwenyewe ingawa wewe unaweza kua ni chanzo cha kuumia
Shekh nimeota mwizi ameiba ndani kwangu pesa na vitu vingine akakimbia nikamkimbiza namuitia mwizi akashikwa nika mnyanganya vitu vyangu nikawa na mchapa atoe napesa hiyi nini maana yake
Samahani, nini maana ya maradhi ya saudaa
Nzuri
@nyumbayatibanadua737
3 жыл бұрын
Shukran
@lizzydiy4590
2 жыл бұрын
@@nyumbayatibanadua737 nimeota nimeibiwa simu na sura ya mwizi niliiona ila hiyo sura ni ngeni kwangu sijawah kuiona nisaidie shekhe
@lizzydiy4590
2 жыл бұрын
@@nyumbayatibanadua737 pia nimeota kuna nguo nyeusi na nyeupe nikawa navaa navua navaa navua javaa navua mwulishoe nikavaa nguo nyeusi peke ake nyeupe sikuivaa
Mimi nimeota tumeibiwa wapangani wote Yani kwenda dukani nakurudi tukakuta vyumba vyetu vyeupe pee mmoja tu ndo ajaibiwa
Nimeota ofisini kwangu wameiba kila kityu
@nyumbayatibanadua737
Жыл бұрын
Huyo ni mtu wako wa karibu tena aenezae mambo ya uongo.
Ukiota Qluani ime andikwa kwa maandishi ewani na moto
Mm nimeota nime mkamata mwizi
Je ukiota jambazi kashika bastola kaja kwako but thn ukashituka
@nyumbayatibanadua737
Жыл бұрын
Mchunguze mtu wa karibu yako, kwakua siri zako anaziweka hadharani ambapo itakuja kukuumiza
Kuota umemkamata mwizi alie kuibia maana yake nn
Na kma mwizi nisiyemjua amenichukulia simu yngu kisha kanirudishia.
Sasa Mimi nimeota naiba mwenyewe
@nyumbayatibanadua737
Жыл бұрын
Hiyo inakutaka upunguze uongo, kwakua uongo ni jambo laweza kuleta hatari katika jamii
Na mm nikiwa mwixi
@nyumbayatibanadua737
Жыл бұрын
Inajulisha upunguze uongo
Nimeota mwanamke mweusi kaniibia nguo nika mkamata nikawa nampiga usoni kwake inamaana gani ?
@nyumbayatibanadua737
Жыл бұрын
Hiyo umeondosha udhia kwako
Kuwota una nywshewa na vuwa ya fudha balabalani