KUMUHESHIMU MTUME (S.A.W) NI KUPI ? | USTADH SAID OMAR SHIRAZY

Пікірлер: 45

  • @Mariam99-ld4gw
    @Mariam99-ld4gw8 ай бұрын

    Nikikusikiliza. Nahisi utamu mashall ah @kama namuona mtume muhammad sw ❤❤❤

  • @yasinkassim7131
    @yasinkassim71318 ай бұрын

    Wallah tumempata mtetezi mpya wa mtume s.a.w

  • @ZubeirShomar
    @ZubeirShomar22 күн бұрын

    daah allah akupe afya shekh tupate rehma kupitia ww 😊

  • @ZainabYussuf-x2t
    @ZainabYussuf-x2t20 күн бұрын

    Sheikh endelea na dawa Mwenyezi Mungu atakulipa

  • @Amina-rr8ve
    @Amina-rr8ve8 ай бұрын

    ❤❤❤❤ Allah tukutanishe n kipenzi chetu in sha allah

  • @hassankiloba217
    @hassankiloba2178 ай бұрын

    Raha sana mmm asanite sana mwalim wangu

  • @MuhdharMuhammad-qv3zl
    @MuhdharMuhammad-qv3zl8 ай бұрын

    Shukran Sana Sheikh Wetu Kwakutuelimisha na Tunakuomba usife moyo kwasababu hata Mtumi Muhammad SAW alipingwa shukran sana Allah akuhifadh akupe umri mrefu na Maisha mazuri hapa duniani na Kesho akhera

  • @jasminmohamed6145
    @jasminmohamed61458 ай бұрын

    SUBHANALLAH ALLAHUMA SWALLI ALA SAIDINA MOHAMMADIN WAALI SAIDINA MOHAMMADIN WA BARIK ALAIHI WASALLIM Barakallahu Feek

  • @AllyAhmad-zg2yp
    @AllyAhmad-zg2yp8 ай бұрын

    Hakika mpenzi humtii na kumfata anaempenda

  • @ZainabYussuf-x2t
    @ZainabYussuf-x2t20 күн бұрын

    ❤❤

  • @hadiabdallah1567
    @hadiabdallah15678 ай бұрын

    MashaAllah baarakaAllah fyk ❤️😍… Mungu atunufaishe kwa ilmu yako🤲🏻

  • @user-eq5xc2js5g
    @user-eq5xc2js5g8 ай бұрын

    Maashaallah

  • @jimjam-xg7rv
    @jimjam-xg7rv8 ай бұрын

    Maa shaa ALLAH 💚💚💚

  • @Ahbabrasulintegratedacad-ok7uh
    @Ahbabrasulintegratedacad-ok7uh8 ай бұрын

    Shukran shukran sheikh

  • @Mariam99-ld4gw
    @Mariam99-ld4gw8 ай бұрын

    ❤❤❤❤❤❤

  • @AllyAhmad-zg2yp
    @AllyAhmad-zg2yp8 ай бұрын

    Msiba zaidi ya kifo cha mtume ni kuiona hakki na sunna ukaiacha kwasababu hakuna msiba wakifo cha mtume kwa kafiri na asiempenda mtume

  • @elbattawy2864
    @elbattawy28648 ай бұрын

    bachu lazima awe na adabu, alifikiri ataachwa tu sasa kiboko yake ni huyu, sijamsikia tena akileta chokochoko kwa Mtume s.a.w

  • @pronackafrica3829
    @pronackafrica38298 ай бұрын

    Bacho kwa kweli enda ka twali vizuri halafu ka simame mimbari ku to daawa, elmu ni muhimu

  • @ZainabYussuf-x2t
    @ZainabYussuf-x2t20 күн бұрын

    Bachu aache Mambo yake

  • @AbdirahimIbrahim-sh6sl
    @AbdirahimIbrahim-sh6sl8 ай бұрын

    Nikuacha kumpigia rumba na kukata mavuno

  • @mohamedamiri4597
    @mohamedamiri45978 ай бұрын

    Bacho ungejibu sijui ungefaidika sana

  • @Mariam99-ld4gw

    @Mariam99-ld4gw

    8 ай бұрын

    Walah bachu katukosesha. Mambo 😂😂😂😂yani kusema sijui tu kashindwa 😂😂😂😂

  • @user-qm4qd8yk2x

    @user-qm4qd8yk2x

    8 ай бұрын

    ​@@Mariam99-ld4gw dadangu aslm alkm majibu hujibiwa kwa namna nyingi unaweza sema sijui au najua au useme Hilo swali halipo ni la kitoto hayo yote ni aina ya majibu sio lazima bachu aseme sijui sasa basi baada ya bachu kujibu Hilo swali halipo ilikuwa ni wajibu WA said atoe ushahidi wa kutamka kwa wanyama hatakama bachu aliondoka ilikuwa ni wakati mzuri WA said kukupa wewe faida lakini ajabu mpaka Leo said hajakupa faida wewe wachana na bachu kulingana na wewe bachu alikimbia sasa mwambie said atoe dalili katika qur an au Hadith swahih sio dhaif na munkaar laaaaa . nawala hatatoa mpaka kiama

  • @AbuuAbdillah-hb8li
    @AbuuAbdillah-hb8li8 ай бұрын

    Acheni uwongo mngelikua mnamuheshimu mtume swalallahu aleihi wasallam mngemtangaza kwa mafundisho sahihi lkn mnamtangaza kwa kumuudhi kwa kumzushia mambo kwa kudai kwamba ni dini

  • @elbattawy2864

    @elbattawy2864

    8 ай бұрын

    Unaumia lakini stahamili, Mtume s.a.w hawezi kuwa sawa mimi na wewe, sheikh said kawachoma ndipo, bachu sasa atakuwa na heshima akitaka na akileta fyokofyoko sheikh said atamjibu vigorously lazima bachu anawe na adabu akitaka ama sitake

  • @AbuuAbdillah-hb8li

    @AbuuAbdillah-hb8li

    8 ай бұрын

    @@elbattawy2864 lazima niumie nikiona watu kama nyie mnaodai mapenzi feki ya kumpenda mtume swalallahu aleihi wasallam huku mkichafua mafunzo yake na kutetea UZUSHI na kuutangaza uzushi kwa madai ya uwongo eti mnampenda mtume swalallahu aleihi wasallam

  • @habibmayike7463

    @habibmayike7463

    8 ай бұрын

    Wacha makasiriko ww

  • @abubakaromar6101

    @abubakaromar6101

    8 ай бұрын

    AbuuAbdillah na twaumia zaidi tena na zaidi sana kuwaona kumgawanya Mwenye Ezi Mungu ktk Tauhid yaani nyinyi mawahabi huwa mwajisahau sana kama kwenu pia ziko Bida'a kibao tena za kwenu ni hatari zaidi AstaghfiruAllah mpaka Mwenye Ezi Mungu mumemfananisha na viumbe si huwa mwasema Mwenye Ezi Mungu ana mikono, Miguu, Macho yaani AstaghfiruAllah jiokoeni na hao Mashekhe wenu wa kiwahabi mutajikuta pabaya

  • @saidimadzumba2266

    @saidimadzumba2266

    8 ай бұрын

    Politics togather majority! Artistry to delete good lesson learnt....

  • @mudybeka6698
    @mudybeka66988 ай бұрын

    Kumuheshimu mtume nikuacha kumzushia na kupiga ngoma na kupuliza nai

  • @mybabyarchive2104

    @mybabyarchive2104

    8 ай бұрын

    Acha ubishi chuki zitawauwa

  • @mudybeka6698

    @mudybeka6698

    8 ай бұрын

    @@mybabyarchive2104 ww ndiounatakiwa akili yako ifanye kazi vzr haiwezekan umzushie mtume nakupiga ngoma alafu useme unamuheshimu mtume....huko nikumkosea adabu mtume na kuikosea adabu dini iliyokamilika..

  • @jimjam-xg7rv

    @jimjam-xg7rv

    8 ай бұрын

    Elimu ni muhimu Kwa hafya yako mwazo katafute elimu Kwa masheihk na usiitegeme mitandao

  • @zamdinikilala5454

    @zamdinikilala5454

    8 ай бұрын

    Mazumbukuku hamkosekani

  • @mudybeka6698

    @mudybeka6698

    8 ай бұрын

    @@zamdinikilala5454 watu wangoma wote mazumbukuku ndiomana wamejaa arizi ktk mili yao namajumba mwao na washirikina wote kama hawatotubia jahanam inawasubir

  • @AbuuAbdillah-hb8li
    @AbuuAbdillah-hb8li8 ай бұрын

    Hayo kayasema mwenyewe kwa kinywa chake wazi kua wazazi wake wapo motoni acha uzuka saidi hii ni dini sio chama chenu cha ngoma na matari

  • @zamdinikilala5454

    @zamdinikilala5454

    8 ай бұрын

    Mazumbukuku hamkosekani 😂😂😂

  • @AbuuAbdillah-hb8li

    @AbuuAbdillah-hb8li

    8 ай бұрын

    @@zamdinikilala5454 wewe ni zumbukuku mkubwa huna mapenzi ya kweli ya dini bali unaushabikitu

  • @abdulrahmanabubakar5127

    @abdulrahmanabubakar5127

    8 ай бұрын

    ​@@zamdinikilala5454 kama wewe hivi , chizi flani wa mitaani , lazima utaarifishe watu uwepo wako. Allah akuafu

  • @asharajab1844

    @asharajab1844

    8 ай бұрын

    Acha lawama kwenye mitandao nenda kakae kwenye kile kiti alichojikojolea bachu... uone kama huyu elimu hana au laa

  • @abdulrahmanabubakar5127
    @abdulrahmanabubakar51278 ай бұрын

    Ndugu zanguni , musidanganyike na uzungumzaji wa huyu kijana. Huyu si msomi Bali ni msanii.... Na yeyote anayepinga aniambie ni mwana chuoni yupi alipiga piano ama guitar , wacha maswahaba na mtume , niambie mwana chuoni mmoja katika wema waliotangulia alifanya hivyo.....mcheni mola wenu na tafteni elimu kwa wasomi wa kikweli

  • @habibmayike7463

    @habibmayike7463

    8 ай бұрын

    Kakojoe ulale ww

  • @abdulrahmanabubakar5127

    @abdulrahmanabubakar5127

    8 ай бұрын

    @@habibmayike7463 enda ukanye uwache kuchafulia watu hewa.

  • @ZainabYussuf-x2t
    @ZainabYussuf-x2t20 күн бұрын

    ❤❤