KUMCHAGUA PAPA: Ishara ya kupaa Moshi MWEUPE au MWEUSI angani itakushangaza, Maana yake ni hii

Unaipenda kazi yetu na ungependa kutuunga mkono? Sasa unaweza kutuchangia kiasi chochote kuanzia shilingi 500. Fuata link hii hiveticket.web.app/buy/6Ew6mE...
Tunashukuru kwa kuwa Mwana SnS unayejali

Пікірлер: 180

  • @paschalsafari9747
    @paschalsafari9747 Жыл бұрын

    Nisahihishe kidogo maelezo ya simulizi kuhusu moshi mweupe au mweusi.... Mosi.. Jina la mshindi wa kura huwekwa kwenye kalisi nalo huchomwa... Ukitoka moshi mweusi... Ni ishara kuwa Mungu hajapendezwa naye... Kura inapigwa tena kumtafuta mwingine.. Jina la mshindi huwekwa kwenye kalisi nalo huchomwa.. Ukitoka moshi mweupe ni ishara kuwa Mungu amependezwa naye.. Ndipo hatua zingine hufuata.... Hakuna kemikali yoyote inayotumika.. Bali ni Roho Mtakatifu mwenyewe hudhihirisha hilo.... Asanteni.. Ni mimi niliye mdogo kabisa kwa ujumbe wa Kristo.. TUMSIFU YESU KRISTO...

  • @musakalangahe6876

    @musakalangahe6876

    Жыл бұрын

    Bro. That's pure science, just some chemical addition. It's the work of the alchemist....just a way to communicate

  • @yonalihweuli4138

    @yonalihweuli4138

    Жыл бұрын

    Milele Amina

  • @neemamohammed9176

    @neemamohammed9176

    Жыл бұрын

    P

  • @vicyngowi6459

    @vicyngowi6459

    Жыл бұрын

    Soma historia then bible,usimuhusishe roho mtakatifu to that worst thing no holly spiritual there

  • @felixmtuya6351

    @felixmtuya6351

    Жыл бұрын

    Thats according to your poor /minor religiuos knowledge!!!

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 Жыл бұрын

    Wa kwanza hapa Leo nipeni like zangu

  • @nicolenabintu2509
    @nicolenabintu2509 Жыл бұрын

    Yani dah , shikamo SNS 👌🏾 romain Catholic Church to the world 🌎🔥👏🏾

  • @abiboseleman1649

    @abiboseleman1649

    Жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂

  • @yohanambano872
    @yohanambano872 Жыл бұрын

    Asante kwa mafundisho mazuri

  • @ibrahimkibira9943
    @ibrahimkibira9943 Жыл бұрын

    Aisee may God protect you 🙏 achana na serikali yetu kwa ajir ya kurudisha watu nyuma na hapo kwasababu kuna hela nying wanapata wabinafsi na wana roho mbaya ..never give up tupo na wewe Bega kwa Bega tuko na ndugu zetu wanaumwa na dawa wanakunywa hakuna mapya

  • @francisjoseph1074
    @francisjoseph1074 Жыл бұрын

    Yani wewe sky nakukubali Sana hata research zako nimakin na sio porojo kama za simulizi zingine big up sana

  • @user-ui9us6vm4t
    @user-ui9us6vm4t Жыл бұрын

    Amina

  • @jeturdasimon4851
    @jeturdasimon485110 ай бұрын

    Yani ukifikilia sana haya madhehebu ni bola kupiga hoti tu ndani kwako nakumlilia mungu wako nae atakujibu

  • @jacksonngusi4122
    @jacksonngusi4122 Жыл бұрын

    Dah story nzuri na yakina

  • @MsokaselemaniMkelelwa-so9wr
    @MsokaselemaniMkelelwa-so9wr6 күн бұрын

    Jina papa halipo bibliani,walilolitowa wanapajua wenyewe,haliusiani na Neno la Mungu(BIBLIA)

  • @madawamchuwa8253
    @madawamchuwa8253 Жыл бұрын

    Mtakatifu? Hivi mnaangalia vigezo gani vya kuona utakatifu wa mtu? Jamani mtakatifu ni MUNGU tu ndio ambae hana dosari hapa chini ya jua hakuna mtakatifu wacheni ujinga

  • @deogratiusyudatadei5658

    @deogratiusyudatadei5658

    Жыл бұрын

    Hujaelewa chochote ndiyo maana umejibu ulicho elewa we Ila ulichoelewa ww sicho kilicho zungumzwa hapa

  • @vicyngowi6459

    @vicyngowi6459

    Жыл бұрын

    Mateka wa imani

  • @audifansisafari5587

    @audifansisafari5587

    Жыл бұрын

    Mjinga ni we mwenyewe

  • @witnesclement7635

    @witnesclement7635

    Жыл бұрын

    Andamana sasa!! Ila ndo ashaitwa mtakatifu

  • @georgepam1231

    @georgepam1231

    Жыл бұрын

    Mungu pekee ndiye Mtakatifu.Hakuna mwandamu aliyemtakatifu acha ushabiki wowote kulingana na udini wako ulioukuta .Soma biblia utaona kwanzia mwanzo mpaka ufunuo kuna mtakatifu mmoja ambaye ni Mungu .Hapa Duniani hakuna aliyemtakatifu na yeyote anayejiita baba mtqkatifu maan anachukua nafasi ya mungu na mungu awezi kukubali nafasi yake ichukuliwe na mwandamu wa kula maharage na chapati.Utaabudu shetani becare

  • @mwenendoassani9127
    @mwenendoassani9127 Жыл бұрын

    A santé sana kbs dungu na utuleye zingine dini piya

  • @yusuphmwamlima2902
    @yusuphmwamlima290211 ай бұрын

    Mungu alishafanya yake kwa uwezo na nguvu kwa hivyo hakuna maana ya kimungu katika huo moshi mweupe au mweusi. Mungu alishafanya yake kwa uwezo na nguvu. Hivyo ikabaki viumbe kuufuata huo utaratibu wa kuishi kimungu pasina kukengeushwa na viumbe vinginevyo kwa kutak kufuata yao pasina kufuata ya kimungu. Kiufupi tumedanganywa san juu taratib za kimungu tumekuwa tukiaminishwa na kutishwa na vitu ving visivyo Tunaishi kwa kufuata misingi ya baadh ya viumbe majini, malaika, dragon, elians, mapepo, nk. Ya ya mungu yatunasue katika kujisimamia kwa kuujua ukweli wa uishi wetu. Sis viumbe binadamu.

  • @EdsonGoziberth

    @EdsonGoziberth

    17 күн бұрын

    Hujalazimishwa kuhamini bro kama Jambo halihusiani na wewe unaachana nalo by the way nikwambie Jambo moja katafute nini maana ya. Imani ukipata maana yake basi utaacha kuwa unakomenti kila kitu kwa kupinga. Haulazimishwi kuhamini kama kanisa halikuhusu basi achana na mambo ya kanisa Hilo basi

  • @mr.yahzadochuno7914
    @mr.yahzadochuno7914 Жыл бұрын

    ❤❤❤

  • @user-zy6oc4ms3e
    @user-zy6oc4ms3e Жыл бұрын

    papa mpinga kristo. hii ni machukizo mbele ya Mungu. utawala wa Roma chini ya dini-Papa,ilibadilisha majira ya saa duniani.huhimiza watu kuabudu ibaada ya sanamu na ndoa za jinsia moja. Papa afiye mbali mhuni wa dunia,tazama ndiye anayezungumza na kufanya makufuru yasiyompendeza Mungu. soma danieli 7:25, papa na kanisa lake ni yakuwapotoza watu. Mungu aturehemu, tuko katika Babeli ya tatu...

  • @user-cf9sk4us6u

    @user-cf9sk4us6u

    4 ай бұрын

    Acha ujinga na upuuzi. Kwa kuwa hulipendi kanisa KATOLIKI unalikashifu utadhani WEWE ni mtakatifu,acha hizo WEWE siyo Mungu.

  • @Sarahsaid2648

    @Sarahsaid2648

    3 ай бұрын

    ⁠@@user-cf9sk4us6ukaongea ukweli ni wapi kwenye biblia limewataja mapapa na makadni km kuwafanya watu waabudu masanamu habar za mapapa ni mpango wa shetani kuliangusha kanisa la Mungu

  • @RamaNevi-fs6zr
    @RamaNevi-fs6zr4 ай бұрын

    Yesu alitoka Jerusalem,mbn makao makuu y ukristo uko Vatican,kulikon

  • @sabihaibrahim143
    @sabihaibrahim143 Жыл бұрын

    Hao mapapa wamefanana mbona au ndugu

  • @athumanshaban
    @athumanshaban Жыл бұрын

    Washenzi Sana hao viyongozi wakubwa wa dini harafu hawekemei ushoga , Waafrika hizi dini tulizoletewa hafadhal tungefuata tamadun za mababu maana siyo kila kitu cha mzungu ni sawa

  • @robertmosha6801

    @robertmosha6801

    9 ай бұрын

    Kemea wanao...

  • @elizabethnyirato9856
    @elizabethnyirato9856 Жыл бұрын

    Ushirikina tuu wa kirum hapana chochote apo, ivi ni wapi imeandikwa wafanye hivo

  • @cleofasladislaus2177
    @cleofasladislaus2177 Жыл бұрын

    Kwa Nini hakujawahi kutokea akachaguliwa Papa mwafrika mweusi?

  • @BacktoPhiladelphiaministry
    @BacktoPhiladelphiaministry Жыл бұрын

    Kwanini Aya makala yanaitwa 360....... Thanks kwa istoria nzuri sana❤❤❤

  • @ibrahimkhamis3324

    @ibrahimkhamis3324

    Жыл бұрын

    Inamaanisha kuwa hutoa habari za kiulimwengu kiujumla ikimaanisha dunia Ina nyuzi 360 ambapo dunia huwa inapembe 4 Na kila pembe ni nyuzi 90 ukizidisha Kwa 4 utapata 360

  • @filskischannel9737

    @filskischannel9737

    Жыл бұрын

    360= 3 =666 ... Alama ya mnyama

  • @kulwanzobe7657

    @kulwanzobe7657

    Жыл бұрын

    Nakuunga mkono

  • @hikupskikons8914

    @hikupskikons8914

    Жыл бұрын

    @@ibrahimkhamis3324 Exactly

  • @hikupskikons8914

    @hikupskikons8914

    Жыл бұрын

    @@filskischannel9737 FILSKIS ACHA OUNGO WEWE, KAMA HUJUI KAA KIMYA

  • @stefanomwayele6761
    @stefanomwayele6761 Жыл бұрын

    Fumata nera mean n moshi mweusi in italian den Fumata bianca n moshi mweupe

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Жыл бұрын

    👊🙏✌️.

  • @norahnoboka34

    @norahnoboka34

    Жыл бұрын

    Oomoj

  • @deogratiusyudatadei5658
    @deogratiusyudatadei5658 Жыл бұрын

    Fransis yeye ata ruhusu mapandri kuowa🙈

  • @erastompongo8400
    @erastompongo8400 Жыл бұрын

    We nimnoma

  • @victormbaga5772
    @victormbaga5772 Жыл бұрын

    Mashoga machapombe mahanisi wanachaguana na watubu wamgeukie Mungu

  • @mancholotrasco8350
    @mancholotrasco8350 Жыл бұрын

    Swali : lini atapatikana papa mweusi...???

  • @emmanuelmlowe-ew7gx
    @emmanuelmlowe-ew7gx11 ай бұрын

    Why does the United States send weapons to countries that are at war and help the side they want, but if someone else acts like they don't like it?

  • @joysekiza3944
    @joysekiza3944 Жыл бұрын

    Umejuaje wakati ni siri?

  • @chuchetresha
    @chuchetresha Жыл бұрын

    Rise and falling of Roman Empire, the home of the DEVIL PERIGAMO ,REVELATION 13 Devil agent ,hawana lolote 💯💥

  • @MuneneBrian-nq7bd

    @MuneneBrian-nq7bd

    2 ай бұрын

    kwanza wanalawitiana haws😅😅😅😅😅

  • @chuchetresha

    @chuchetresha

    2 ай бұрын

    😁😁😁😁😅😂😂🤣🤣🤣😂

  • @chuchetresha
    @chuchetresha Жыл бұрын

    Ufunuo 13 ambao tokamwanzo Hadi mwisho wa kitabu Cha biblia cheo Chao hakipo ,ni mpango wa RUMI kuitawala DUNIA,hata ukiwa Tanzania utaitwa Roma katoliki, Sio Tanzania katoliki😂🤣those are true sons of Babylon ,babel ,biblia takatifu haiwakubali isipokuwa kitabu Cha maswali na majibu KATEKISIM😭🤣😂😅😰😓👽

  • @jamilajamal1584
    @jamilajamal1584 Жыл бұрын

    Papá anakuwa na mke na watoto? Nauliza tu

  • @chuchetresha
    @chuchetresha Жыл бұрын

    Satan company😅😂🤣💥💯

  • @alimuhamed1830
    @alimuhamed1830 Жыл бұрын

    Inadina ghenda Allah islam

  • @rosemayunga4021
    @rosemayunga4021 Жыл бұрын

    Mbona hatuoni weusi

  • @mancholotrasco8350
    @mancholotrasco8350 Жыл бұрын

    Dini ya waitaly na wazungu hii

  • @audifansisafari5587

    @audifansisafari5587

    Жыл бұрын

    Ndiyo walioanzisha acha kuropoka kama hujui kitu hiyo ni Dini ya Dunia nzima Haina kabila

  • @hikupskikons8914
    @hikupskikons8914 Жыл бұрын

    SAFI SANA, UMEELEZEA VIZURI SANA

  • @mohdnasser894

    @mohdnasser894

    Жыл бұрын

    Hapo utaona kama ni dini ya ubaguzi vp hatuoni ma papa wa kiafrika au papa mweusi

  • @hikupskikons8914

    @hikupskikons8914

    Жыл бұрын

    @@mohdnasser894 KATIKA HISTORIA PAPA FRANCIS NI PAPA WA 266, NA MAPAPA WA KIAFRIKA NI WA 3, AMBAO WALIISHI AFRIKA YA KAZIKAZINI, YAANI HASA NCHI ZA MISRI NA MOROCO. WALIISHI KARNE YA 2, 4 NA 5.

  • @JIWEtv6484
    @JIWEtv6484 Жыл бұрын

    Hawa wote ni wahini tu Sasa hivi atudanganyiki. Uliwahi kuona papa mweusi

  • @clethbarnaba923

    @clethbarnaba923

    9 ай бұрын

    Yeah, walishatokea mapapa watatu kutoka Afrika. Angalia historia

  • @FreeGod368
    @FreeGod368 Жыл бұрын

    Usiri wanini sasa

  • @victoriadaizy5277

    @victoriadaizy5277

    Жыл бұрын

    Huezi elewa because you are not a catholic achia hapo sio kila jambo huwekwa wazi hata kwa familia kuna mambo huwa yana pitishwa kisiri na wazazi so ww shinda hapo ukipanga kitu ambacho huelewi .

  • @mangulimanguli3974
    @mangulimanguli3974 Жыл бұрын

    Eti Baba mtakatifu!!awa ma free Mason, ilo kanisa limejaa ushoga, lina laana ilo kanisa, vitendo wanavyo fanya umo ndani ni vya kishetani tu wala c vya mungu, wanaozesha watu wa jinsia moja alafu useme ao watakatifu

  • @lucykioko2909

    @lucykioko2909

    Жыл бұрын

    Mungu hakusamehe Kwa maana hujui unalosema

  • @lucykioko2909

    @lucykioko2909

    Жыл бұрын

    Mungu hakusamehe Kwa maana hujui unalosema

  • @anathaliamwangamila3296

    @anathaliamwangamila3296

    Жыл бұрын

    Muombe MUNGU akusamehe, unatukana dini ya watu. anaejua yote ni mungu pekee. Mambo ya imana si ya kukashifu.

  • @seharjan8523

    @seharjan8523

    Жыл бұрын

    Moshi mweusi ni black pope ambae ni shetani amesema ukweli hkna cha Mungu akusamehe Hili kanisa ni nyumba ya shetani na hapa ndio kila kitu kinapangwa

  • @jannethshayo1367

    @jannethshayo1367

    Жыл бұрын

    Hata huko kwenu upo sema huoni kibanzi kilicho ndani yako waona chamwenzako tu fikiri kabla ya kutenda

  • @abiboseleman1649
    @abiboseleman1649 Жыл бұрын

    ukitulizaakili.yako utajua roman ni.utawala wakarne hizo nahata ukiangalia ottoman azam tv utagundua roman kazi yake.ilikua nini kina.nikola haikuwa dini.bali ulikua niutawala😅😅😅acheni kulazimisha akili.kulala

  • @audifansisafari5587

    @audifansisafari5587

    Жыл бұрын

    Acha uboya ile ni movie wale wote ni waislamu mna akili ndogo sana

  • @winifridajohn7390
    @winifridajohn7390 Жыл бұрын

    Kwann sijawahi ona papa mwafrica?

  • @alicesamson6316

    @alicesamson6316

    Жыл бұрын

    Kura ndo zinaongea

  • @missp1814

    @missp1814

    Жыл бұрын

    Makadinari waafrica ni wachache

  • @johnkiimbila6799

    @johnkiimbila6799

    Жыл бұрын

    Waafrika wana dhambi nyingi.

  • @johnkiimbila6799

    @johnkiimbila6799

    Жыл бұрын

    ​@@missp1814 ubaguzi

  • @winifridajohn7390

    @winifridajohn7390

    Жыл бұрын

    @@johnkiimbila6799 uliambiwa na nan

  • @jescalutegonsombnambyakoda6719
    @jescalutegonsombnambyakoda6719 Жыл бұрын

    Hili kanisa halitingwishi aisee Mungu awatunze RC

  • @chuchetresha

    @chuchetresha

    Жыл бұрын

    Iliandikwa usifuate mataifa na njia zao ,Roma catholic ITALIA ,Anglican England ,Lutheran Germany🤣😂😅👽👽😓😰😭😁😹💯💥tafuta kweli imeandikwa mayo itakuweka HURU😲😫

  • @jescalutegonsombnambyakoda6719
    @jescalutegonsombnambyakoda6719 Жыл бұрын

    Hapo hakuna mafuta ya upako ni kusali mpk kieleweke 😃😃😃

  • @chuchetresha

    @chuchetresha

    Жыл бұрын

    Bogus💯💥

  • @braystuskibassa3842
    @braystuskibassa3842 Жыл бұрын

    Wamebariki ushoga hao hata siwapendi hata asilimia moja wapuuzi tu mimi ni mromani mnzuri kwa upuuzi wa ushoga, nakumkaribisha Zelensky pale Roma ni dhahili wamebariki mauaji pale Ukraine

  • @florabuzoya3948

    @florabuzoya3948

    Жыл бұрын

    Acha uongo nani kasema wamebarki ushoga acha dhambi za kujitakia

  • @ireneassey2022

    @ireneassey2022

    Жыл бұрын

    Pole jamn ujapata taarif vizur itakua unasikiliza sungura tv

  • @shukurumsebaloli

    @shukurumsebaloli

    Жыл бұрын

    @@florabuzoya3948 😂😂😂 unaishi ulimwengu upi wewe

  • @yasminoluoch169

    @yasminoluoch169

    Жыл бұрын

    Acha uongo si wakatholiki

  • @isikesamike

    @isikesamike

    Жыл бұрын

    Hujapata taarifa sahihi. Tunakosea sana kumtafsiri mtu anayesema "...mashoga wana haki kama watu wengine." Ni sawa na kusema "...wezi, wazinzi na wadhambi wengine wana haki." Haki inayozungumzwa hapa ni ile ambayo kila mtu anayo na si dhambi atendayo. Ushoga, wizi, ufisadi, ulongo, mauaji, uzinzi na vitu kama hivyo vyote ni dhambi mbele ya Mwenyezi MUNGU. Ila watenda dhambi hii wana haki zote za kibinadamu. Kama ndivyo, basi ushoga siyo haki bali ni dhambi kama dhambi zingine ila hiyo haindoi haki za kibinadamu za shoga kama ilivyo kwa mwizi, mwongo, mzinzi ama muuji.

  • @Manyesha6290
    @Manyesha6290 Жыл бұрын

    Amina

Келесі