Jifunze yote kuhusu sheria, haki na majukumu ya wapangaji na wenye nyumba kama anavyozungumza mtalaamu wa sheria.
Thank you! We need to know these things
Very informative show. Naomba kuuliza kwanza, nini tofauti ya advocate na lawyer?
Naomba kuuliza mpangani aliye panga fremu za kufanya biashara haki yakufanya usafi ikojeeee???
Je kazo za majitaka zinapojaa nani anatakiwa kuvuta hayo maji machafu,ni mpangaji au mwenye nyumba au wote mwenyenyumba na mpangaji???
elimu ya buree
Пікірлер: 6
Thank you! We need to know these things
Very informative show. Naomba kuuliza kwanza, nini tofauti ya advocate na lawyer?
Naomba kuuliza mpangani aliye panga fremu za kufanya biashara haki yakufanya usafi ikojeeee???
Je kazo za majitaka zinapojaa nani anatakiwa kuvuta hayo maji machafu,ni mpangaji au mwenye nyumba au wote mwenyenyumba na mpangaji???
elimu ya buree
Naomba kuuliza mpangani aliye panga fremu za kufanya biashara haki yakufanya usafi ikojeeee???