I always be blessed by this choir. Your message will live everlastingly. May the Lord bless you and when you are blessed bless others
@stanleymhozi75902 ай бұрын
Yesu awafiche.mbawani
@eligiuscylidion3290 Жыл бұрын
Mbarikiwe saaana Wahubiri wa Mungu wa mbinguni
@petertimothy7882 Жыл бұрын
AMINAAAA😀 MUNGU WETU AENDELEE KUTUKUZWA ZAIDI KWA UWEPO WENU The Voice of Prophecy Choir🙋. Hakika nyimbo zenu kama huu wa vyakula sahihi n.k zinatubariki sana sana wanadamu. Mungu atuwezeshe tuje kuonana Mbinguni kwa FURAHA YA MILELE🙋
@daudhenry75092 ай бұрын
Amina voice of prophecy
@divinahnyatichi5300 Жыл бұрын
Mimi nmebarikiwa sana kutoka Kenya..Mungu wa amani awatunze na azidi kuwapa nguvu.
@IMHJacques1 Жыл бұрын
Amina !!! MUNGU awazidishiye hakili, nguvu; atuwejeshe kuendelea fundisha ulilwengu wote ndipo aje ! Nashukuru. 🙏🏻🙏🏻😍
@cosmas274010 ай бұрын
Wmbo mzuri, mmeiga waislamu kuvaa kofia,kumbukeni Musa alipokuwa mbele ya Mungu,alivua utaji, mmekengeuka.
@thevoiceofprophecy7757
9 ай бұрын
tunajifunza kufikisha ujumbe kila sehemu lakini hayo na mavazi yasikutoe kwenye neema ya yesu
@africanusadriano2441
2 ай бұрын
@@thevoiceofprophecy7757nonsense
@joycemugaka3039 Жыл бұрын
Ameeni barikiwa waimbaji Kwa ujumbe mzuri kuusu vile mungu ali tuagiza kutunza agya zetu maama mwili wetu ni Hekalu takatifu
@samuelmuhindosivamwanza4988 Жыл бұрын
AMINA AMINA. Kwa kweli watu wengi sana wanakula visivyo liwa. Sabato njema kwenu nyote.
@santuscosmas9019 Жыл бұрын
Wimbo mzuri sanaaa!! Naipenda Sana hii kwaya, Mungu wa mbinguni azidi kuwatumiaaaaaa
@esterjuma-bw4lq Жыл бұрын
Mungu awabariki sana kwanyimbo nzuri
@user-uj7qc4ie9w11 ай бұрын
Very nice
@ngomejamesalfred10319 ай бұрын
Amen
@oswaldkichwa3792 Жыл бұрын
Mungu atukuzwe mnoooo,ujumbe mzuri kwa Afya ya akili
@lameckelisha263 Жыл бұрын
Barikiwa nawaona
@thevoiceofprophecy7757
Жыл бұрын
umetuona basi nawewe ubarikiwe
@sauud2some471 Жыл бұрын
Ameeen barikkiwen kwa kazi zuri 🙏🙏🙏❤❤❤
@daudhenry75092 ай бұрын
Amina
@kuruikelvin3471 Жыл бұрын
Amina Amina Amina.....mbarikiwe sana Waimbaji
@mawadripatrick7653 Жыл бұрын
Thank you God bless you for masseger
@edwinbhetetse9685 Жыл бұрын
Bwana awatie nguvu. Amina.
@ndimangwanzota918810 ай бұрын
You are doing well be Blessed
@stanleymhozi7590 Жыл бұрын
Mko.vzr wimbo biti namavazi
@ruthwairimu9592 Жыл бұрын
Wow sounds well arranged God bless you.
@Badakao-vi9wo
8 ай бұрын
pendeza
@africanusadriano24412 ай бұрын
assalamualaikum
@Asila-fb3gp10 ай бұрын
🇧🇮💯💓👌👌
@leonardmunjalu910 Жыл бұрын
HAKIKA MBARIKIWE KABISA. NAWAPENDA SANA. KUTOKA NCHINI KENYA.
@Kisiicountuwatvhdog Жыл бұрын
Amina ujumbe mtamu
@elizabethnyirato9856 Жыл бұрын
You killed it brethrens
@fredychristopher636 Жыл бұрын
Mbarikiwe Sanaa Mungu Azidi Kuwainua Zaidi🙌🙌
@thevoiceofprophecy7757
Жыл бұрын
fredy christopher tubarikiwe sote
@lucasmabuli4786 Жыл бұрын
Mbona mavazi ya kislamu?? But be blessed
@winnjoel712 Жыл бұрын
Amen 🙏🙏
@jacksoncharles623910 ай бұрын
Kumbikumbi tena.😢
@thevoiceofprophecy7757
9 ай бұрын
ndiyo jifunze walawi 11;1-11
@willygwaikana3 ай бұрын
Hapa inaonekana kwamba wameiga uvaaji wa waislamu. Lakini ukitafakari vizuri utaona kuwa uvaaji huo na hasa walivyovaa wanawake ndivyo wanawake wakristo ilitakiwa wavae hivyo. Tatizo liko kwenye ufahamu kufikiri kuwa wakristo hawatakiwi kuvaa mavazi ya kujisitiri kuonyesha staha ya mwili wa mwanamke. Wngi wanawake hawajui kuwa hayo ni maagizo ya Mungu, maana wanasubiri hadi mchungaji au kanisa liwaambie. Soma Biblia kwa nafsi yako, jiponye mlimani, acheni kuaiga usichokijua. Hayo sio mavazi ya kiislamu, bali dini ya kiislamu iliiga mavazi waliyokuwa wanavaa wanawake wayahudi na wakristo wa mwanzo kabla ya kuja ukengeufu huu tunaouona. Mwanaume haimpasi kufunikwa Kichwa kwa mujibu wa Biblia
@user-og4ox5jb4v5 ай бұрын
Someni matukio ya siku za mwisho e g white uk 75 toleo la 2002 TAP morogoro hivyo mlivyoimba vinaliwa kwa sasa havifai vyote mko nyuma ya ratiba ya Mungu hakika
@thevoiceofprophecy7757 Жыл бұрын
Wapendwa mnaotufuatilia kutoka sehemu mbalimbali barikiweni kwaujumbe huo
@jele.mlimba-ni6ut
Жыл бұрын
Nimeongoka hapa kwa upande wa kumbikumbi,mimi nilijua siyo najisi kumbe hawaliwi,hii ni hatari Mungu anisamehe,japo mimi huwa sili lakini niliwaruhusu watoto wakala2023
@Gwaro555 Жыл бұрын
This is the present truth msg now
@edwinbhetetse9685 Жыл бұрын
vop nawapenda sana hapa hii nayo nimepata songeni mbele kwa JINA LA YESU KRISTO. kwa kweli mko vizuri.
@samsonnyagwoko97442 ай бұрын
Hapo Kwa mafuta sielewi please elaborate
@albertmarshall4975 Жыл бұрын
Wonderful.. kindly someone give the meaning in English...
@truthlightmedia
Жыл бұрын
The song is about eating habits according to Leviticus 11... And they use the illustration from the way different works in the car. If you put water where oil is supposed to be put is wrong and otherwise
@mwaminihilary1929 Жыл бұрын
balikiweni sana
@charlesibrahim2789 Жыл бұрын
Mnanibariki saaana mwende mbalii
@charlesibrahim2789
Жыл бұрын
🙏
@thevoiceofprophecy7757
Жыл бұрын
Charles ibrahim tumefurahishwa na ujumbe wako barikiwa
Пікірлер: 67
Watu wanajua kuwa ni kosa lakini wanazidi kupuuza tu . Basi ujumbe anayechukua azidi kubarikiwa na mungu maana kila mtu atabeba mzigo
Baraka tele,I'm blessed with the message
Ni kweli kabisa huo ndo mpango wa MUNGU WA ULAJI
Amina!!! nabarikiwa sana na nyimbo zenu vop choir Mungu azidi kuwainua zaidi na zaidi.
Barikiweni Sana vop
Mbarikiwe zaidi kwa kweli
Barikiw waimbanj wamung❤❤ tukosehem mbarimbar afrik
@thevoiceofprophecy7757
9 ай бұрын
ooh hukuhuko barikiweni
I always be blessed by this choir. Your message will live everlastingly. May the Lord bless you and when you are blessed bless others
Yesu awafiche.mbawani
Mbarikiwe saaana Wahubiri wa Mungu wa mbinguni
AMINAAAA😀 MUNGU WETU AENDELEE KUTUKUZWA ZAIDI KWA UWEPO WENU The Voice of Prophecy Choir🙋. Hakika nyimbo zenu kama huu wa vyakula sahihi n.k zinatubariki sana sana wanadamu. Mungu atuwezeshe tuje kuonana Mbinguni kwa FURAHA YA MILELE🙋
Amina voice of prophecy
Mimi nmebarikiwa sana kutoka Kenya..Mungu wa amani awatunze na azidi kuwapa nguvu.
Amina !!! MUNGU awazidishiye hakili, nguvu; atuwejeshe kuendelea fundisha ulilwengu wote ndipo aje ! Nashukuru. 🙏🏻🙏🏻😍
Wmbo mzuri, mmeiga waislamu kuvaa kofia,kumbukeni Musa alipokuwa mbele ya Mungu,alivua utaji, mmekengeuka.
@thevoiceofprophecy7757
9 ай бұрын
tunajifunza kufikisha ujumbe kila sehemu lakini hayo na mavazi yasikutoe kwenye neema ya yesu
@africanusadriano2441
2 ай бұрын
@@thevoiceofprophecy7757nonsense
Ameeni barikiwa waimbaji Kwa ujumbe mzuri kuusu vile mungu ali tuagiza kutunza agya zetu maama mwili wetu ni Hekalu takatifu
AMINA AMINA. Kwa kweli watu wengi sana wanakula visivyo liwa. Sabato njema kwenu nyote.
Wimbo mzuri sanaaa!! Naipenda Sana hii kwaya, Mungu wa mbinguni azidi kuwatumiaaaaaa
Mungu awabariki sana kwanyimbo nzuri
Very nice
Amen
Mungu atukuzwe mnoooo,ujumbe mzuri kwa Afya ya akili
Barikiwa nawaona
@thevoiceofprophecy7757
Жыл бұрын
umetuona basi nawewe ubarikiwe
Ameeen barikkiwen kwa kazi zuri 🙏🙏🙏❤❤❤
Amina
Amina Amina Amina.....mbarikiwe sana Waimbaji
Thank you God bless you for masseger
Bwana awatie nguvu. Amina.
You are doing well be Blessed
Mko.vzr wimbo biti namavazi
Wow sounds well arranged God bless you.
@Badakao-vi9wo
8 ай бұрын
pendeza
assalamualaikum
🇧🇮💯💓👌👌
HAKIKA MBARIKIWE KABISA. NAWAPENDA SANA. KUTOKA NCHINI KENYA.
Amina ujumbe mtamu
You killed it brethrens
Mbarikiwe Sanaa Mungu Azidi Kuwainua Zaidi🙌🙌
@thevoiceofprophecy7757
Жыл бұрын
fredy christopher tubarikiwe sote
Mbona mavazi ya kislamu?? But be blessed
Amen 🙏🙏
Kumbikumbi tena.😢
@thevoiceofprophecy7757
9 ай бұрын
ndiyo jifunze walawi 11;1-11
Hapa inaonekana kwamba wameiga uvaaji wa waislamu. Lakini ukitafakari vizuri utaona kuwa uvaaji huo na hasa walivyovaa wanawake ndivyo wanawake wakristo ilitakiwa wavae hivyo. Tatizo liko kwenye ufahamu kufikiri kuwa wakristo hawatakiwi kuvaa mavazi ya kujisitiri kuonyesha staha ya mwili wa mwanamke. Wngi wanawake hawajui kuwa hayo ni maagizo ya Mungu, maana wanasubiri hadi mchungaji au kanisa liwaambie. Soma Biblia kwa nafsi yako, jiponye mlimani, acheni kuaiga usichokijua. Hayo sio mavazi ya kiislamu, bali dini ya kiislamu iliiga mavazi waliyokuwa wanavaa wanawake wayahudi na wakristo wa mwanzo kabla ya kuja ukengeufu huu tunaouona. Mwanaume haimpasi kufunikwa Kichwa kwa mujibu wa Biblia
Someni matukio ya siku za mwisho e g white uk 75 toleo la 2002 TAP morogoro hivyo mlivyoimba vinaliwa kwa sasa havifai vyote mko nyuma ya ratiba ya Mungu hakika
Wapendwa mnaotufuatilia kutoka sehemu mbalimbali barikiweni kwaujumbe huo
@jele.mlimba-ni6ut
Жыл бұрын
Nimeongoka hapa kwa upande wa kumbikumbi,mimi nilijua siyo najisi kumbe hawaliwi,hii ni hatari Mungu anisamehe,japo mimi huwa sili lakini niliwaruhusu watoto wakala2023
This is the present truth msg now
vop nawapenda sana hapa hii nayo nimepata songeni mbele kwa JINA LA YESU KRISTO. kwa kweli mko vizuri.
Hapo Kwa mafuta sielewi please elaborate
Wonderful.. kindly someone give the meaning in English...
@truthlightmedia
Жыл бұрын
The song is about eating habits according to Leviticus 11... And they use the illustration from the way different works in the car. If you put water where oil is supposed to be put is wrong and otherwise
balikiweni sana
Mnanibariki saaana mwende mbalii
@charlesibrahim2789
Жыл бұрын
🙏
@thevoiceofprophecy7757
Жыл бұрын
Charles ibrahim tumefurahishwa na ujumbe wako barikiwa
@charlesibrahim2789
Жыл бұрын
Amen
@thevoiceofprophecy7757
Жыл бұрын
asante@@charlesibrahim2789
@charlesibrahim2789
Жыл бұрын
Ok muwe na sabato njma
Vop barikiweni saaana tunawaelewa saana hasakwajumbe zenu2
@philiprush7883
Жыл бұрын
Mbarikiwe vop nabarikiwa sana mulanteye amanuri nawamisi sana
Amina
Amina