KULAHIVI KWA AFYA,YAKO By THE VOICE OF PROPHECY CHOIR KASULU Kigoma Tz.

Музыка

Пікірлер: 67

  • @EmmanuelKhaday-ut3uw
    @EmmanuelKhaday-ut3uw6 ай бұрын

    Watu wanajua kuwa ni kosa lakini wanazidi kupuuza tu . Basi ujumbe anayechukua azidi kubarikiwa na mungu maana kila mtu atabeba mzigo

  • @user-bv8br7ig2e
    @user-bv8br7ig2e8 ай бұрын

    Baraka tele,I'm blessed with the message

  • @Badakao-vi9wo
    @Badakao-vi9wo8 ай бұрын

    Ni kweli kabisa huo ndo mpango wa MUNGU WA ULAJI

  • @deogratiusbenedicto1754
    @deogratiusbenedicto1754 Жыл бұрын

    Amina!!! nabarikiwa sana na nyimbo zenu vop choir Mungu azidi kuwainua zaidi na zaidi.

  • @samwelgeofrey7612
    @samwelgeofrey76128 ай бұрын

    Barikiweni Sana vop

  • @Mhinambasha-yh6oc
    @Mhinambasha-yh6oc4 ай бұрын

    Mbarikiwe zaidi kwa kweli

  • @Asila-fb3gp
    @Asila-fb3gp10 ай бұрын

    Barikiw waimbanj wamung❤❤ tukosehem mbarimbar afrik

  • @thevoiceofprophecy7757

    @thevoiceofprophecy7757

    9 ай бұрын

    ooh hukuhuko barikiweni

  • @rogerscylidion-oo3mw
    @rogerscylidion-oo3mw7 ай бұрын

    I always be blessed by this choir. Your message will live everlastingly. May the Lord bless you and when you are blessed bless others

  • @stanleymhozi7590
    @stanleymhozi75902 ай бұрын

    Yesu awafiche.mbawani

  • @eligiuscylidion3290
    @eligiuscylidion3290 Жыл бұрын

    Mbarikiwe saaana Wahubiri wa Mungu wa mbinguni

  • @petertimothy7882
    @petertimothy7882 Жыл бұрын

    AMINAAAA😀 MUNGU WETU AENDELEE KUTUKUZWA ZAIDI KWA UWEPO WENU The Voice of Prophecy Choir🙋. Hakika nyimbo zenu kama huu wa vyakula sahihi n.k zinatubariki sana sana wanadamu. Mungu atuwezeshe tuje kuonana Mbinguni kwa FURAHA YA MILELE🙋

  • @daudhenry7509
    @daudhenry75092 ай бұрын

    Amina voice of prophecy

  • @divinahnyatichi5300
    @divinahnyatichi5300 Жыл бұрын

    Mimi nmebarikiwa sana kutoka Kenya..Mungu wa amani awatunze na azidi kuwapa nguvu.

  • @IMHJacques1
    @IMHJacques1 Жыл бұрын

    Amina !!! MUNGU awazidishiye hakili, nguvu; atuwejeshe kuendelea fundisha ulilwengu wote ndipo aje ! Nashukuru. 🙏🏻🙏🏻😍

  • @cosmas2740
    @cosmas274010 ай бұрын

    Wmbo mzuri, mmeiga waislamu kuvaa kofia,kumbukeni Musa alipokuwa mbele ya Mungu,alivua utaji, mmekengeuka.

  • @thevoiceofprophecy7757

    @thevoiceofprophecy7757

    9 ай бұрын

    tunajifunza kufikisha ujumbe kila sehemu lakini hayo na mavazi yasikutoe kwenye neema ya yesu

  • @africanusadriano2441

    @africanusadriano2441

    2 ай бұрын

    ​@@thevoiceofprophecy7757nonsense

  • @joycemugaka3039
    @joycemugaka3039 Жыл бұрын

    Ameeni barikiwa waimbaji Kwa ujumbe mzuri kuusu vile mungu ali tuagiza kutunza agya zetu maama mwili wetu ni Hekalu takatifu

  • @samuelmuhindosivamwanza4988
    @samuelmuhindosivamwanza4988 Жыл бұрын

    AMINA AMINA. Kwa kweli watu wengi sana wanakula visivyo liwa. Sabato njema kwenu nyote.

  • @santuscosmas9019
    @santuscosmas9019 Жыл бұрын

    Wimbo mzuri sanaaa!! Naipenda Sana hii kwaya, Mungu wa mbinguni azidi kuwatumiaaaaaa

  • @esterjuma-bw4lq
    @esterjuma-bw4lq Жыл бұрын

    Mungu awabariki sana kwanyimbo nzuri

  • @user-uj7qc4ie9w
    @user-uj7qc4ie9w11 ай бұрын

    Very nice

  • @ngomejamesalfred1031
    @ngomejamesalfred10319 ай бұрын

    Amen

  • @oswaldkichwa3792
    @oswaldkichwa3792 Жыл бұрын

    Mungu atukuzwe mnoooo,ujumbe mzuri kwa Afya ya akili

  • @lameckelisha263
    @lameckelisha263 Жыл бұрын

    Barikiwa nawaona

  • @thevoiceofprophecy7757

    @thevoiceofprophecy7757

    Жыл бұрын

    umetuona basi nawewe ubarikiwe

  • @sauud2some471
    @sauud2some471 Жыл бұрын

    Ameeen barikkiwen kwa kazi zuri 🙏🙏🙏❤❤❤

  • @daudhenry7509
    @daudhenry75092 ай бұрын

    Amina

  • @kuruikelvin3471
    @kuruikelvin3471 Жыл бұрын

    Amina Amina Amina.....mbarikiwe sana Waimbaji

  • @mawadripatrick7653
    @mawadripatrick7653 Жыл бұрын

    Thank you God bless you for masseger

  • @edwinbhetetse9685
    @edwinbhetetse9685 Жыл бұрын

    Bwana awatie nguvu. Amina.

  • @ndimangwanzota9188
    @ndimangwanzota918810 ай бұрын

    You are doing well be Blessed

  • @stanleymhozi7590
    @stanleymhozi7590 Жыл бұрын

    Mko.vzr wimbo biti namavazi

  • @ruthwairimu9592
    @ruthwairimu9592 Жыл бұрын

    Wow sounds well arranged God bless you.

  • @Badakao-vi9wo

    @Badakao-vi9wo

    8 ай бұрын

    pendeza

  • @africanusadriano2441
    @africanusadriano24412 ай бұрын

    assalamualaikum

  • @Asila-fb3gp
    @Asila-fb3gp10 ай бұрын

    🇧🇮💯💓👌👌

  • @leonardmunjalu910
    @leonardmunjalu910 Жыл бұрын

    HAKIKA MBARIKIWE KABISA. NAWAPENDA SANA. KUTOKA NCHINI KENYA.

  • @Kisiicountuwatvhdog
    @Kisiicountuwatvhdog Жыл бұрын

    Amina ujumbe mtamu

  • @elizabethnyirato9856
    @elizabethnyirato9856 Жыл бұрын

    You killed it brethrens

  • @fredychristopher636
    @fredychristopher636 Жыл бұрын

    Mbarikiwe Sanaa Mungu Azidi Kuwainua Zaidi🙌🙌

  • @thevoiceofprophecy7757

    @thevoiceofprophecy7757

    Жыл бұрын

    fredy christopher tubarikiwe sote

  • @lucasmabuli4786
    @lucasmabuli4786 Жыл бұрын

    Mbona mavazi ya kislamu?? But be blessed

  • @winnjoel712
    @winnjoel712 Жыл бұрын

    Amen 🙏🙏

  • @jacksoncharles6239
    @jacksoncharles623910 ай бұрын

    Kumbikumbi tena.😢

  • @thevoiceofprophecy7757

    @thevoiceofprophecy7757

    9 ай бұрын

    ndiyo jifunze walawi 11;1-11

  • @willygwaikana
    @willygwaikana3 ай бұрын

    Hapa inaonekana kwamba wameiga uvaaji wa waislamu. Lakini ukitafakari vizuri utaona kuwa uvaaji huo na hasa walivyovaa wanawake ndivyo wanawake wakristo ilitakiwa wavae hivyo. Tatizo liko kwenye ufahamu kufikiri kuwa wakristo hawatakiwi kuvaa mavazi ya kujisitiri kuonyesha staha ya mwili wa mwanamke. Wngi wanawake hawajui kuwa hayo ni maagizo ya Mungu, maana wanasubiri hadi mchungaji au kanisa liwaambie. Soma Biblia kwa nafsi yako, jiponye mlimani, acheni kuaiga usichokijua. Hayo sio mavazi ya kiislamu, bali dini ya kiislamu iliiga mavazi waliyokuwa wanavaa wanawake wayahudi na wakristo wa mwanzo kabla ya kuja ukengeufu huu tunaouona. Mwanaume haimpasi kufunikwa Kichwa kwa mujibu wa Biblia

  • @user-og4ox5jb4v
    @user-og4ox5jb4v5 ай бұрын

    Someni matukio ya siku za mwisho e g white uk 75 toleo la 2002 TAP morogoro hivyo mlivyoimba vinaliwa kwa sasa havifai vyote mko nyuma ya ratiba ya Mungu hakika

  • @thevoiceofprophecy7757
    @thevoiceofprophecy7757 Жыл бұрын

    Wapendwa mnaotufuatilia kutoka sehemu mbalimbali barikiweni kwaujumbe huo

  • @jele.mlimba-ni6ut

    @jele.mlimba-ni6ut

    Жыл бұрын

    Nimeongoka hapa kwa upande wa kumbikumbi,mimi nilijua siyo najisi kumbe hawaliwi,hii ni hatari Mungu anisamehe,japo mimi huwa sili lakini niliwaruhusu watoto wakala2023

  • @Gwaro555
    @Gwaro555 Жыл бұрын

    This is the present truth msg now

  • @edwinbhetetse9685
    @edwinbhetetse9685 Жыл бұрын

    vop nawapenda sana hapa hii nayo nimepata songeni mbele kwa JINA LA YESU KRISTO. kwa kweli mko vizuri.

  • @samsonnyagwoko9744
    @samsonnyagwoko97442 ай бұрын

    Hapo Kwa mafuta sielewi please elaborate

  • @albertmarshall4975
    @albertmarshall4975 Жыл бұрын

    Wonderful.. kindly someone give the meaning in English...

  • @truthlightmedia

    @truthlightmedia

    Жыл бұрын

    The song is about eating habits according to Leviticus 11... And they use the illustration from the way different works in the car. If you put water where oil is supposed to be put is wrong and otherwise

  • @mwaminihilary1929
    @mwaminihilary1929 Жыл бұрын

    balikiweni sana

  • @charlesibrahim2789
    @charlesibrahim2789 Жыл бұрын

    Mnanibariki saaana mwende mbalii

  • @charlesibrahim2789

    @charlesibrahim2789

    Жыл бұрын

    🙏

  • @thevoiceofprophecy7757

    @thevoiceofprophecy7757

    Жыл бұрын

    Charles ibrahim tumefurahishwa na ujumbe wako barikiwa

  • @charlesibrahim2789

    @charlesibrahim2789

    Жыл бұрын

    Amen

  • @thevoiceofprophecy7757

    @thevoiceofprophecy7757

    Жыл бұрын

    asante@@charlesibrahim2789

  • @charlesibrahim2789

    @charlesibrahim2789

    Жыл бұрын

    Ok muwe na sabato njma

  • @jacobkizwili2318
    @jacobkizwili2318 Жыл бұрын

    Vop barikiweni saaana tunawaelewa saana hasakwajumbe zenu2

  • @philiprush7883

    @philiprush7883

    Жыл бұрын

    Mbarikiwe vop nabarikiwa sana mulanteye amanuri nawamisi sana

  • @foibeshemayabibuka9769
    @foibeshemayabibuka97699 ай бұрын

    Amina

  • @jele.mlimba-ni6ut
    @jele.mlimba-ni6ut Жыл бұрын

    Amina

Келесі