Kufutwa kwa mawaziri wandani wa rais Ruto ni zaidi ya hasara
Licha ya wote kuathirika katika mabadiliko ya leo ya baraza la mawaziri yaliyowaacha bila kazi, kuna baadhi ya wale ambao kufutwa kwao ni zaidi ya hasara. Mbali na kuwa wandani wa karibu wa William Ruto, Waziri Kithure Kindiki, Aden Duale na Kipchumba Murkomen ni kati ya waliopoteza pakubwa.
Пікірлер: 130
THIS IS A VERY BOLD MOVE FROM BABA CHARLENE....
@augustuskivati
20 күн бұрын
😅😅😅😅 unamuita nani
We want to see young people in the government
I am a 95 old Kenyan, but genuinely I am supporting GENZs
@eddahwekesa1951
20 күн бұрын
🙏🙏🙏🙏🙏 may God give you Life longer
@JOHNIE254
19 күн бұрын
Enda home 😂😂😂😂
Ruto, congratulation. You've started to be receptive to Kenyan needs. Fix the government alone, we don't want Raila's input.Merit should be the guiding factor and not reward.
@BenBella254
20 күн бұрын
Someone steals your pencil then helps you look for it,then you thank him😢
@user-ot6nc5tf3h
20 күн бұрын
Can someone make him a wake please
Matiang'i don't give in to be appointed
@fatumaadam4271
20 күн бұрын
Hawezi
@afrakanaswahilitv5520
19 күн бұрын
Hatutaki Dkt. Matiangi kwa sababu alikiuka na kukaidi sheria na katiba ya nchi wakati alikosa kuwajibika kwa maagizo ya mahakama ya Kenya kumkubali mkenya, Miguna Miguna kurejea nyumbani.
@petermacharia6494
19 күн бұрын
@@afrakanaswahilitv5520Ruto too has been doing the same. Should he also resign?
THE POSSIBLE REASON AS TO WHY he is firing all CS is to justify himself that he was not corrupt and that only them were corrupt, do not be deceived. WE ARE NOT TALKING ABOUT RUTO ONLY but we are talking about any King in the world who have been elected into power. This is what it is written about them. Revelation 19:19 (KJV) And I saw the beast, and the kings of the earth, and their armies, gathered together to make war against him that sat on the horse, and against his army. So this means that even if Ruto goes, the solution is not to elect another person into power because if you do that, you will suffer. The solution is to give yourself to Christ as the only King 𝙎𝙚𝙖𝙧𝙘𝙝 𝙛𝙤𝙧 "𝙏𝙃𝙀 𝙏𝙍𝙐𝙀 𝙒𝘼𝙔 𝙏𝙊 𝙃𝙀𝘼𝙑𝙀𝙉 𝙜𝙤𝙨𝙥𝙚𝙡 𝙢𝙚𝙨𝙨𝙖𝙜𝙚𝙨"
@jairusdaughtershow7077
20 күн бұрын
To justify what you pple request he it now is justifying
Yes we need such transparency in government mchana ndio best kila mtu ajukumike vile inafaa congratulations mr President 🎉✌️
Alice wahome kaende kaende
Mpe vijana kazi wazee wameshiba waende kabisa
@alextercisio
20 күн бұрын
Stop joking clueless youths
@wycliffepoet5201
20 күн бұрын
@@alextercisionkt
Wakwende Na huko,walikua huko wakitumia pesa yetu
@mwikalijosephine5178
20 күн бұрын
Wah
😂😂😂Aisha jumwa wapi weweeeee, tuta rudisha kesi yako sasa .😂😂😂
@abdab8466
19 күн бұрын
You cant cause the victim family has been paid,and withdraw the case
@mkutanocarolyne
19 күн бұрын
@@abdab8466 richa kizungu kinji unaona nisawa zho arizho hende. Siswi enye faviricha ela mulungu andariha thu
@abdab8466
19 күн бұрын
@@mkutanocarolyne Caroline si mambo na chizungu kinji,ndio mambo yalivyo,familia yenyewe iliondoa kesi,kama wewe ni familia na hukutia saini ya kuondoa kesi basi Fanya tuone umerekesha kesi
@abdab8466
19 күн бұрын
@@mkutanocarolyne tangu mwanzo ilikua si vyema mtu alio na kesi ya mauji awe waziri,lkni serikali ya ruto ni serikali ya makurutu,fikiria watu kama linturi ana kesi chungu mzima,ubakaji,
@mkutanocarolyne
19 күн бұрын
@@abdab8466 unafikiri fayusa kwa kuhedza , khafunauwezo wa kuyuja ela hatha kala ni miaka kumi idzayo damu ya ndungu yehu indarihiza umaye vizho
hapo sawa Congratulations🎉🎉🎉🎉ruto for the first time i congrats you nice job
Bado wabunge nao wawe impeached
They knew what was coming,let them go🗑️
But waende home Kenya kwanza you MUST GO
Asante MWENYEZI MUNGU KWA KUSIKIA KILIO CHETU
They held meetings just to eat. What was discussed is no longer for them.Happy last meal!
Good start, I'm 55yrs supporting Gen z 100% Kenya is ours not for individual so the president must wake-up we have educated our children but old people don't want to give them chance, Gen z is the Kenya heroes being send by God to deliver the message to president na wale waliuwa watoto wetu damu Yao na iwaukumu
Waliokuwa😂😂😂😂
@brianmbura7695
20 күн бұрын
😂😂😂 wameanguka nayo
Hii yao ilikuwa nikujitetea tu waonekane kuwa wachapa kazi... uongoooo hawa wote ni bure kabisa.
Hii kali kwa alfred mutua anafanya usafi huku anafutwa kazi😂😂😂
People like Murkomen didn’t deserve to be ministers
Good prezo
Ni jambo la maana kuvunja hilo baraza la mawaziri fisadi ili huduma bora kwa wakenya ipatikane.
That's the way to go .. 🙏🙏
They should bring back money stolen & go to jail for the cases dropped
Ruto ajua kucheza na akili za wakenya hapa ataka kujisafisha.kufuta kz hao hakuna kitu umefanya wewe ndio jangili na shetani mkubwa Kenya
Salary of the mps and gvns must be reduced
Mudavadi pia aondoke...hio ofisi yake haina maana...kwetu
ZAKAYO AMEANZA KUFUNGUA MACHO SASA.THEY MUST FACE JUSTICE FOR ROBBING KENYA AND INSULTING THE PATRIOTIC YOUTH OF GN ZEE.
Alhmdulillah Allahumaa Ameen yaraabi Bado wako wengi wapunguze tena hao wameshiba kula pesa za umaa😂😂
They will be reinstated
Sasa wote wamekuwa waliokuwa mawaziri 😂😂😂
Sio suluhu , rudia hii comment in 2 yrs
We hope it's a positive move 😢,, we hope this govt will stand again.
What have they been doing all through? 2 full years
Saving for themselves money yet mwananchi wa kawaida suffering shem on them
Atakama nakhumicha alikua acha akae nyumbani🙏
Why why this Genz sisi ndo tulianzisha lazma tumalize mbona tuallow vijana wengine wakufe ..Genz wake up Plz ruto atamaliza vijana wetu plz..lazma twende state house kama Genz lazma tuamke coz ruto atamaliZa vijana wetu for sure
Let them go and be idlers and soon tuwafuate warudishe zile pesa wamepora
Wakikuwa wanajua wanaenda,ruto awachezea nanyii mnadensi
They must go
Mr president do not bother the noise outside......make sure you retain 50/-of those cabinets as they were performing better.
Erick Omondi gave him hadi Thursday, now we can have a talk bwana president. Ila naye anafaa aanguke nao
At least hawa walikuwa wamesha iba na sahii they were trying to work ..now your going to adopt new cadets who are going to malizia sisi vizuru...hii kenya 😂😂😂
A full lifestyle investigation for all these former CS' should immediately be done
Msharaha wa Dhambi ni mauti😢 kenye mlifanyia rais hakika imewarudia wenyewe 🤞mlikuwa mntaka kuleta vita juu ya kitu kidogo yenye Ninyi wenyewe mngesuuluisha 🤔mwende nyumbani kwa amani 🤞
Thanks God , waiting new theves
@abdulissaahmed7946
20 күн бұрын
😅😅😅
@NancyNjoki-w4o
20 күн бұрын
Kabla wajue wizi term itakua imeisha😂😂hawataiba sana😅😂😂
@Rockyline7386
20 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂
Gen Z hoyeeee raia wa Kenya wanafanya hivyo ili mustakbali unaokuja itatufaa yaani Gen Z for the future,na bado itaendelea mpaka majukumu yetu itimie Insha Allah,mara hivi hakuna kulala.
Discussing wat ,??kwendeni huko Kwanza Hao wazirudi
According to my observation more to come.
Hidden agenda, Ruto playing with Gen Z mind
Ukweli waliokuwa
Rudisheni gari za serikali 😂
Bottom up must gooo
Parliament ipunuzwe
Sisi km wananchi tutawafagia mps pia.
mazee hawakua.. na hakuna mtu..alijua..
Is mudavandi position constitutional?
Imebakiya historia waliyokuwa
Mudavadi: We cut our clothe according to our size... Also Mudavadi (being plus size) 😂😂😂😂😂 🤗
Ruto naomba unyoroshe Kenya
🤣🤣🤣🤣🤣🤣yani hii inachekesha uweeh sitawai saau 😂😂😂😂
Ruto for life
Fagia wote takataka za watu waizi.tena turudi kwa m.p
End Corruption
We don't need him,he has to go home,New generation,anachezea watu akili,RUTO MUST GO PERIOD !!!!!!!!!!!!
Moses kuria alikuwa wapi😅😅😅😅
Ruto we done better
All hadi mudavadi home
Our matiangi plz don't fall into this trap ..we are keenly reading Ruto's script
Hats Ruto angewafuata tuingie uchaguzi😂😂😂
I couldn't wait for ADEN DUALE TO GET A SACK.... He's incompetent to run the defence ministry. He's probably good to run livestock ministry.
Sekta ya madini 🤔 ya katoliki, islamu budha
Koskei🤔🙄🤣🙄🙄🤔
Chenye kimebaki ni ku-resign tu aende sugoi😂😂😂 GEN Zs power💪💪💪💪💪 sasa sisi ndio kusema kenya kiburi ya zakayo imeisha🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂Waende bure kabisa
Mudavadi aende
Genz hellooooooo
Kimewaramba😂😂😂😂😂
Hii mtu madvd pia akwende kabisa Mtegemea nundu aishi .. ... ... ? BURE KABISA.
😂
😂😂
Its normal to fart when dropping poop
😂😢😢😢
Ooooooh yes,Kimewaramba🤣🤣🤣🤣
@johnbrown3235
Күн бұрын
furaha ya ujinga na kindiki, duale na murkomen wamerudishwa... wewe ndiye kimekuramba mkundu wako mkavu.
@user-ii6vf9nw4b
Күн бұрын
@@johnbrown3235 kimeramba hio mkundu yako yenye haujui kupanguza,Mee aa me mbui.
@user-ii6vf9nw4b
Күн бұрын
@@johnbrown3235 mkamba mjinga, ngeeu ii
@johnbrown3235
Күн бұрын
@@user-ii6vf9nw4bwewe kagege ulipigia ruto kura sasa unataka raila akupanguze mkundu yako chafu... pambana na hali yako.
@johnbrown3235
Күн бұрын
@@user-ii6vf9nw4balafu mambo ya mkundu, nimekuachia wewe mafi utuambie...
Wote waende nyumbani wakasaidie mama mboga na kiondoo. Na wasaulike kabisaaa. Kama machozi ya dinosaur siku za Noah's ark. Ati waizi ni mHeshimiwa. Bure kabisaaaa
Kll7😅ooo98j😊lpp00😊😊😊😊😊u
pepoal.lesen.to.each.other.as.kenyans.
😂
😂
😂