KISOMO KINACHO WA UMIZA WACHWI NA MAJINI WABAYA /maalim shabani

Пікірлер: 65

  • @user-yl2ju4oc9c
    @user-yl2ju4oc9c2 күн бұрын

    Amin yarab Amin yarab Amin yarab nijalie nipate kuolewa ndani yahuu mwezi yarab mola wangu niondolee jini mahaba na hata wanaoniwanga

  • @ahmadabdallah6641
    @ahmadabdallah6641 Жыл бұрын

    Asalam alaykum. Allah Barik. Mashallah. Unatoa elimu kwa roho safi bila kinyongo. Allah Akuhifadhi na Akupe pepo ya Firdaus. Ameen

  • @maalimshabanionlinetv7105

    @maalimshabanionlinetv7105

    Жыл бұрын

    Ameen shukran

  • @salhalutalo

    @salhalutalo

    Жыл бұрын

    Asàam aleykum.mungu kutie nguvu shekhe na maisha marefu

  • @salhalutalo

    @salhalutalo

    Жыл бұрын

    Hiyo juu ndo namba yko shekhe

  • @rajabnyoka-vv5vh
    @rajabnyoka-vv5vh Жыл бұрын

    Shukran nimekisiliza kisomo vizuri sana ustadh na mungu amulipe kheri nazaidi amulipe pepo,mimi ni ust Rajab ali nyoka (mwanganza) niko kenya, natumai ombi langu lilikufikia xheikh wetu,kuhusu kuwaombea dua wale ndugu zangu wawili wenye michaa au kwa lugha nyengine wazimu,ambao majina yao ni juma Ali nyoka na mbaraka Ali nyoka hawa ni mtu na mkubw wake na mimi ni wakubwa zangu lakini wamepata mtihani huo naomba inxhaallah xheihk katika dua zako uxiwasahu pia huenda Allah akawaponesha nazaidi pia kuwombea wanga waangamia kabisa wafilie mbali mana hata tuko nao tu sasa ndio wanasumbua sana

  • @AhamadShabaanmussaShaban-kv2zv
    @AhamadShabaanmussaShaban-kv2zv11 ай бұрын

    Ewe mwenyezi Mungu tujalie wote tunao sikiliza dua hii ituepushe na wachawi wanga amen

  • @rigeiyenyika570

    @rigeiyenyika570

    4 күн бұрын

    Aamin

  • @eidyathman3228
    @eidyathman3228 Жыл бұрын

    Assalamu Alaikum maalim shaaban wallahi jazaaka yako kwa Allah ni kubwa mno Allah akatuingize peponi na Atuweke darja ya juu kabisaa AmiiN ....in shaa Allaah kuanzia leo hii ndio itakua dua yangu ya kulalia ita play mpaka Allah atakaponiamsha shukran Akhy

  • @maalimshabanionlinetv7105

    @maalimshabanionlinetv7105

    Жыл бұрын

    Ameen shukran kwasote

  • @user-to3te5ri7e
    @user-to3te5ri7eАй бұрын

    Asalam allayikum, ahukran allah atujalie pepoyake mimi ni assumani napatikana congo DRC

  • @aminasuphian7685
    @aminasuphian7685 Жыл бұрын

    Mashallaa mungu akupe umri mrefu wenye nataka tele

  • @user-mf7kj5kw7u
    @user-mf7kj5kw7u10 ай бұрын

    Allah Akulipe majazomema hapa duniani na kesho akhera ju emezindua wengi tulikua hatujui kitu.

  • @azizams5721
    @azizams5721 Жыл бұрын

    Nazifuatilia sana dua zako zinanisaidia sana nashkur alhamdullah ❤❤

  • @Yumkh-pe8js
    @Yumkh-pe8js Жыл бұрын

    Yaaa allh akupe umri mrefu wenye manufaa

  • @rajabnyoka-vv5vh
    @rajabnyoka-vv5vh Жыл бұрын

    Xheikh nakusiliza kila xiku huenda na mimi pia nakafungukiwa na njia zangu za kheri mimi ni ust niko kenya nazaidi nawaombea ndugu zangu hawa wawili ambao pia wapo hapa kenya dua zako inxhaallah ziwafikie na mungu awaponeshe aameen,na mwanga anaye wasumbua mungu amchukue na amdhilalixhe sana hapa duniani kabla yakufa kwake yuatesa sana

  • @saidjuma8263
    @saidjuma82636 ай бұрын

    Mashallah sheikh mungu akujaze

  • @rahmaMohamed-op9mk
    @rahmaMohamed-op9mk Жыл бұрын

    Inshallah,jazkhallah,kher

  • @amina2044amin-zv2gh
    @amina2044amin-zv2gh9 ай бұрын

    Amin🤲

  • @natashazuu6012
    @natashazuu6012 Жыл бұрын

    Mungu akufunguliye kazi yako uwe yenye mafanikio inshalla

  • @aishahamis1248
    @aishahamis12487 ай бұрын

    mashaahllah Akufanyiye wpes

  • @fatmayussuf7241
    @fatmayussuf7241 Жыл бұрын

    Mashallh sheh mimi niko ZNZ Rabi akubariki

  • @user-mf7kj5kw7u
    @user-mf7kj5kw7u10 ай бұрын

    Dua zako zinifikie na watoto ameen

  • @azizams5721
    @azizams5721 Жыл бұрын

    Mashallah unasoma vizur sana

  • @UwesuHabdalla-hz5co
    @UwesuHabdalla-hz5co Жыл бұрын

    Nakubali sana kazi zako mzuri sana upo sahihi kabisa mkuu

  • @zitoncombo1317
    @zitoncombo1317 Жыл бұрын

    Marshallah Tabarakallah. Shekh Shabaan.

  • @maalimshabanionlinetv7105

    @maalimshabanionlinetv7105

    Жыл бұрын

    Shukran

  • @sabahabdallah5791
    @sabahabdallah5791 Жыл бұрын

    Amin🤲🏼

  • @halimamfaume1925
    @halimamfaume19254 ай бұрын

    MashaAllah ❤❤❤ shukraan sheikh

  • @hadijahwanders9715
    @hadijahwanders9715 Жыл бұрын

    Masha'Allah

  • @sistertrashid2488
    @sistertrashid2488 Жыл бұрын

    MASHAALLAH TABARAKALLAH HAKIKA NASIKILIZA DUA ZAKO ZINANIFUISHA INSHAALLAH MWENYEZI MUNGU AKULIPE YALIOMEMA MEMA NAIDOWNLOD HII HAPA NIKUAMKA USIKU NISALI LAKAA ZANGU 2 KISHA NIIFUNGULIE NIWE NAISIKILIZA MUNGU ANIFANYIE WEPESI MIMI NA VIPENZI VYA BWANA MTUME NA VIPENZI VYA MAALIM SHABANI AMIIN

  • @user-px3pn5tb9h
    @user-px3pn5tb9h Жыл бұрын

    tunashukuru sana

  • @user-mf7kj5kw7u
    @user-mf7kj5kw7u10 ай бұрын

    Dua zako zinifikie na watoto ameen pia nyumba wadudu hawaishi na homa saa yote.ndoa inahekaheka pia

  • @taussimarlenemuhimpundu7055
    @taussimarlenemuhimpundu7055 Жыл бұрын

    JazakAllah kheir

  • @rajabnyoka-vv5vh
    @rajabnyoka-vv5vh Жыл бұрын

    Shukran kwa dua zako xheikh

  • @zulfamwinyiathman5423
    @zulfamwinyiathman54236 ай бұрын

    Mashalllah

  • @FathiaAhmed-px2lm
    @FathiaAhmed-px2lm11 ай бұрын

    Assalamu alaikum sheikh Mimi kicwa vituziko kakicwa anazungumzap hanyamazi ❤

  • @user-bp5wg6su8z
    @user-bp5wg6su8zАй бұрын

    MashAllh

  • @user-ve9vk5pg3t
    @user-ve9vk5pg3t11 ай бұрын

    Alihamdulillah

  • @abdulrazack9577
    @abdulrazack9577 Жыл бұрын

    Allah akujalie kheir sheikh

  • @maalimshabanionlinetv7105

    @maalimshabanionlinetv7105

    Жыл бұрын

    Ameen shukra

  • @FathiaAhmed-px2lm
    @FathiaAhmed-px2lm11 ай бұрын

    Mimi. Mpaka nimeingiya kanisani Mimi sitaki kaarbu nikuemkiristo

  • @aminaraisa8893
    @aminaraisa8893 Жыл бұрын

    Asalm alaykum warahmatullah wabarakatullah sheikhe Shaban Natak unambie Dua iyo

  • @mohamedmoadhani5614
    @mohamedmoadhani5614 Жыл бұрын

    A Salam alaikum maalim Shaban nifatilia hi dua

  • @hadiustafa
    @hadiustafa21 күн бұрын

    ❤❤❤❤❤

  • @salmamukeshimana6720
    @salmamukeshimana6720 Жыл бұрын

    Mashallah

  • @AllyMKUMBA-gd2ti
    @AllyMKUMBA-gd2ti2 ай бұрын

    ❤❤❤

  • @FathiaAhmed-px2lm
    @FathiaAhmed-px2lm11 ай бұрын

    Mimi fathiya anzugumzza hanyamazi

  • @khadijaali2173
    @khadijaali2173 Жыл бұрын

    Amini

  • @mwajuvuai-pz5dw
    @mwajuvuai-pz5dw Жыл бұрын

    A,alykum dua nzuri na pia napenda kuckiliza dua hizi Mimi na wanangu

  • @user-rh4je5dg5b
    @user-rh4je5dg5b Жыл бұрын

    Asalamu alaikum chehe niope dua nina mashaituani nimerogua

  • @BukururuHaawaa-xc4pw
    @BukururuHaawaa-xc4pw Жыл бұрын

    Wahadhaa asalam alaikum nimekuwa naomba ukuwe unasoma pole pole Wende slowly ili tuwe tunaiskia nasii tuijifunze kwakicha bila kuskiliza

  • @monicajeremiah
    @monicajeremiah Жыл бұрын

    As salaamu alaykum mwalim shaban. Mimi nilikua ninashid ya kunajamboni kuuliz

  • @mngwalimngwali669
    @mngwalimngwali669 Жыл бұрын

    Tutajieni majina ya sura wengine tutasoma kusoma na kusokiliza yote Ina cost sana Mb

  • @FathiaAhmed-px2lm
    @FathiaAhmed-px2lm11 ай бұрын

    Kicwa changu kwa nyweli shingo ananiviviya. Mpaka choni anaingiya ana soma kuran ❤ Mimi sitaki nisaidiye

  • @doctorpatrick1498
    @doctorpatrick1498 Жыл бұрын

    Assalamu Alaikum maalim shabani

  • @SansaNanenane
    @SansaNanenane5 ай бұрын

    Inshallah😅

  • @ramoukinjumbi4273
    @ramoukinjumbi4273 Жыл бұрын

    Vipi ktk kisomo hiki bukhuri yake au kavukavu tu?.

  • @batashqiraa9936
    @batashqiraa9936 Жыл бұрын

    Skh hivyo visomo itakuwa vizuri sana na utafanya jambo la maana ukiweka hapo kwenye screen

  • @sfiaalanazi5479

    @sfiaalanazi5479

    Жыл бұрын

    Ushasema dear na sisi tuna chukua screen shot tukijisomea wenyewe

  • @yahyamruttu2396
    @yahyamruttu2396 Жыл бұрын

    Assalam aleikum warrahmatullahi wabarrakatuhu, hiyo maji in hela ngapi?

  • @maalimshabanionlinetv7105

    @maalimshabanionlinetv7105

    Жыл бұрын

    Njo wasap upate maelekezo

  • @Yumkh-pe8js
    @Yumkh-pe8js Жыл бұрын

    Shekh mimi nipo unguja mnapatikana wapi? Tafhal naomba dua zako kama kuna kituo nataka kujumuika na mimi inshallh

  • @maalimshabanionlinetv7105

    @maalimshabanionlinetv7105

    8 ай бұрын

    Nipo daresalam

  • @yakoubali4977
    @yakoubali4977 Жыл бұрын

    Duwa hii unataka kitabu gani