KISOMO KINACHO WA UMIZA WACHWI NA MAJINI WABAYA /maalim shabani
Жүктеу.....
Пікірлер: 65
@user-yl2ju4oc9c2 күн бұрын
Amin yarab Amin yarab Amin yarab nijalie nipate kuolewa ndani yahuu mwezi yarab mola wangu niondolee jini mahaba na hata wanaoniwanga
@ahmadabdallah6641 Жыл бұрын
Asalam alaykum. Allah Barik. Mashallah. Unatoa elimu kwa roho safi bila kinyongo. Allah Akuhifadhi na Akupe pepo ya Firdaus. Ameen
@maalimshabanionlinetv7105
Жыл бұрын
Ameen shukran
@salhalutalo
Жыл бұрын
Asàam aleykum.mungu kutie nguvu shekhe na maisha marefu
@salhalutalo
Жыл бұрын
Hiyo juu ndo namba yko shekhe
@rajabnyoka-vv5vh Жыл бұрын
Shukran nimekisiliza kisomo vizuri sana ustadh na mungu amulipe kheri nazaidi amulipe pepo,mimi ni ust Rajab ali nyoka (mwanganza) niko kenya, natumai ombi langu lilikufikia xheikh wetu,kuhusu kuwaombea dua wale ndugu zangu wawili wenye michaa au kwa lugha nyengine wazimu,ambao majina yao ni juma Ali nyoka na mbaraka Ali nyoka hawa ni mtu na mkubw wake na mimi ni wakubwa zangu lakini wamepata mtihani huo naomba inxhaallah xheihk katika dua zako uxiwasahu pia huenda Allah akawaponesha nazaidi pia kuwombea wanga waangamia kabisa wafilie mbali mana hata tuko nao tu sasa ndio wanasumbua sana
@AhamadShabaanmussaShaban-kv2zv11 ай бұрын
Ewe mwenyezi Mungu tujalie wote tunao sikiliza dua hii ituepushe na wachawi wanga amen
@rigeiyenyika570
4 күн бұрын
Aamin
@eidyathman3228 Жыл бұрын
Assalamu Alaikum maalim shaaban wallahi jazaaka yako kwa Allah ni kubwa mno Allah akatuingize peponi na Atuweke darja ya juu kabisaa AmiiN ....in shaa Allaah kuanzia leo hii ndio itakua dua yangu ya kulalia ita play mpaka Allah atakaponiamsha shukran Akhy
@maalimshabanionlinetv7105
Жыл бұрын
Ameen shukran kwasote
@user-to3te5ri7eАй бұрын
Asalam allayikum, ahukran allah atujalie pepoyake mimi ni assumani napatikana congo DRC
@aminasuphian7685 Жыл бұрын
Mashallaa mungu akupe umri mrefu wenye nataka tele
@user-mf7kj5kw7u10 ай бұрын
Allah Akulipe majazomema hapa duniani na kesho akhera ju emezindua wengi tulikua hatujui kitu.
@azizams5721 Жыл бұрын
Nazifuatilia sana dua zako zinanisaidia sana nashkur alhamdullah ❤❤
@Yumkh-pe8js Жыл бұрын
Yaaa allh akupe umri mrefu wenye manufaa
@rajabnyoka-vv5vh Жыл бұрын
Xheikh nakusiliza kila xiku huenda na mimi pia nakafungukiwa na njia zangu za kheri mimi ni ust niko kenya nazaidi nawaombea ndugu zangu hawa wawili ambao pia wapo hapa kenya dua zako inxhaallah ziwafikie na mungu awaponeshe aameen,na mwanga anaye wasumbua mungu amchukue na amdhilalixhe sana hapa duniani kabla yakufa kwake yuatesa sana
@saidjuma82636 ай бұрын
Mashallah sheikh mungu akujaze
@rahmaMohamed-op9mk Жыл бұрын
Inshallah,jazkhallah,kher
@amina2044amin-zv2gh9 ай бұрын
Amin🤲
@natashazuu6012 Жыл бұрын
Mungu akufunguliye kazi yako uwe yenye mafanikio inshalla
@aishahamis12487 ай бұрын
mashaahllah Akufanyiye wpes
@fatmayussuf7241 Жыл бұрын
Mashallh sheh mimi niko ZNZ Rabi akubariki
@user-mf7kj5kw7u10 ай бұрын
Dua zako zinifikie na watoto ameen
@azizams5721 Жыл бұрын
Mashallah unasoma vizur sana
@UwesuHabdalla-hz5co Жыл бұрын
Nakubali sana kazi zako mzuri sana upo sahihi kabisa mkuu
@zitoncombo1317 Жыл бұрын
Marshallah Tabarakallah. Shekh Shabaan.
@maalimshabanionlinetv7105
Жыл бұрын
Shukran
@sabahabdallah5791 Жыл бұрын
Amin🤲🏼
@halimamfaume19254 ай бұрын
MashaAllah ❤❤❤ shukraan sheikh
@hadijahwanders9715 Жыл бұрын
Masha'Allah
@sistertrashid2488 Жыл бұрын
MASHAALLAH TABARAKALLAH HAKIKA NASIKILIZA DUA ZAKO ZINANIFUISHA INSHAALLAH MWENYEZI MUNGU AKULIPE YALIOMEMA MEMA NAIDOWNLOD HII HAPA NIKUAMKA USIKU NISALI LAKAA ZANGU 2 KISHA NIIFUNGULIE NIWE NAISIKILIZA MUNGU ANIFANYIE WEPESI MIMI NA VIPENZI VYA BWANA MTUME NA VIPENZI VYA MAALIM SHABANI AMIIN
@user-px3pn5tb9h Жыл бұрын
tunashukuru sana
@user-mf7kj5kw7u10 ай бұрын
Dua zako zinifikie na watoto ameen pia nyumba wadudu hawaishi na homa saa yote.ndoa inahekaheka pia
Пікірлер: 65
Amin yarab Amin yarab Amin yarab nijalie nipate kuolewa ndani yahuu mwezi yarab mola wangu niondolee jini mahaba na hata wanaoniwanga
Asalam alaykum. Allah Barik. Mashallah. Unatoa elimu kwa roho safi bila kinyongo. Allah Akuhifadhi na Akupe pepo ya Firdaus. Ameen
@maalimshabanionlinetv7105
Жыл бұрын
Ameen shukran
@salhalutalo
Жыл бұрын
Asàam aleykum.mungu kutie nguvu shekhe na maisha marefu
@salhalutalo
Жыл бұрын
Hiyo juu ndo namba yko shekhe
Shukran nimekisiliza kisomo vizuri sana ustadh na mungu amulipe kheri nazaidi amulipe pepo,mimi ni ust Rajab ali nyoka (mwanganza) niko kenya, natumai ombi langu lilikufikia xheikh wetu,kuhusu kuwaombea dua wale ndugu zangu wawili wenye michaa au kwa lugha nyengine wazimu,ambao majina yao ni juma Ali nyoka na mbaraka Ali nyoka hawa ni mtu na mkubw wake na mimi ni wakubwa zangu lakini wamepata mtihani huo naomba inxhaallah xheihk katika dua zako uxiwasahu pia huenda Allah akawaponesha nazaidi pia kuwombea wanga waangamia kabisa wafilie mbali mana hata tuko nao tu sasa ndio wanasumbua sana
Ewe mwenyezi Mungu tujalie wote tunao sikiliza dua hii ituepushe na wachawi wanga amen
@rigeiyenyika570
4 күн бұрын
Aamin
Assalamu Alaikum maalim shaaban wallahi jazaaka yako kwa Allah ni kubwa mno Allah akatuingize peponi na Atuweke darja ya juu kabisaa AmiiN ....in shaa Allaah kuanzia leo hii ndio itakua dua yangu ya kulalia ita play mpaka Allah atakaponiamsha shukran Akhy
@maalimshabanionlinetv7105
Жыл бұрын
Ameen shukran kwasote
Asalam allayikum, ahukran allah atujalie pepoyake mimi ni assumani napatikana congo DRC
Mashallaa mungu akupe umri mrefu wenye nataka tele
Allah Akulipe majazomema hapa duniani na kesho akhera ju emezindua wengi tulikua hatujui kitu.
Nazifuatilia sana dua zako zinanisaidia sana nashkur alhamdullah ❤❤
Yaaa allh akupe umri mrefu wenye manufaa
Xheikh nakusiliza kila xiku huenda na mimi pia nakafungukiwa na njia zangu za kheri mimi ni ust niko kenya nazaidi nawaombea ndugu zangu hawa wawili ambao pia wapo hapa kenya dua zako inxhaallah ziwafikie na mungu awaponeshe aameen,na mwanga anaye wasumbua mungu amchukue na amdhilalixhe sana hapa duniani kabla yakufa kwake yuatesa sana
Mashallah sheikh mungu akujaze
Inshallah,jazkhallah,kher
Amin🤲
Mungu akufunguliye kazi yako uwe yenye mafanikio inshalla
mashaahllah Akufanyiye wpes
Mashallh sheh mimi niko ZNZ Rabi akubariki
Dua zako zinifikie na watoto ameen
Mashallah unasoma vizur sana
Nakubali sana kazi zako mzuri sana upo sahihi kabisa mkuu
Marshallah Tabarakallah. Shekh Shabaan.
@maalimshabanionlinetv7105
Жыл бұрын
Shukran
Amin🤲🏼
MashaAllah ❤❤❤ shukraan sheikh
Masha'Allah
MASHAALLAH TABARAKALLAH HAKIKA NASIKILIZA DUA ZAKO ZINANIFUISHA INSHAALLAH MWENYEZI MUNGU AKULIPE YALIOMEMA MEMA NAIDOWNLOD HII HAPA NIKUAMKA USIKU NISALI LAKAA ZANGU 2 KISHA NIIFUNGULIE NIWE NAISIKILIZA MUNGU ANIFANYIE WEPESI MIMI NA VIPENZI VYA BWANA MTUME NA VIPENZI VYA MAALIM SHABANI AMIIN
tunashukuru sana
Dua zako zinifikie na watoto ameen pia nyumba wadudu hawaishi na homa saa yote.ndoa inahekaheka pia
JazakAllah kheir
Shukran kwa dua zako xheikh
Mashalllah
Assalamu alaikum sheikh Mimi kicwa vituziko kakicwa anazungumzap hanyamazi ❤
MashAllh
Alihamdulillah
Allah akujalie kheir sheikh
@maalimshabanionlinetv7105
Жыл бұрын
Ameen shukra
Mimi. Mpaka nimeingiya kanisani Mimi sitaki kaarbu nikuemkiristo
Asalm alaykum warahmatullah wabarakatullah sheikhe Shaban Natak unambie Dua iyo
A Salam alaikum maalim Shaban nifatilia hi dua
❤❤❤❤❤
Mashallah
❤❤❤
Mimi fathiya anzugumzza hanyamazi
Amini
A,alykum dua nzuri na pia napenda kuckiliza dua hizi Mimi na wanangu
Asalamu alaikum chehe niope dua nina mashaituani nimerogua
Wahadhaa asalam alaikum nimekuwa naomba ukuwe unasoma pole pole Wende slowly ili tuwe tunaiskia nasii tuijifunze kwakicha bila kuskiliza
As salaamu alaykum mwalim shaban. Mimi nilikua ninashid ya kunajamboni kuuliz
Tutajieni majina ya sura wengine tutasoma kusoma na kusokiliza yote Ina cost sana Mb
Kicwa changu kwa nyweli shingo ananiviviya. Mpaka choni anaingiya ana soma kuran ❤ Mimi sitaki nisaidiye
Assalamu Alaikum maalim shabani
Inshallah😅
Vipi ktk kisomo hiki bukhuri yake au kavukavu tu?.
Skh hivyo visomo itakuwa vizuri sana na utafanya jambo la maana ukiweka hapo kwenye screen
@sfiaalanazi5479
Жыл бұрын
Ushasema dear na sisi tuna chukua screen shot tukijisomea wenyewe
Assalam aleikum warrahmatullahi wabarrakatuhu, hiyo maji in hela ngapi?
@maalimshabanionlinetv7105
Жыл бұрын
Njo wasap upate maelekezo
Shekh mimi nipo unguja mnapatikana wapi? Tafhal naomba dua zako kama kuna kituo nataka kujumuika na mimi inshallh
@maalimshabanionlinetv7105
8 ай бұрын
Nipo daresalam
Duwa hii unataka kitabu gani