KISOMO KIKALI MAJINI WAKO SASA WATATOLEWA MARA UKISIKILIZA KISOMO UMEPONA INSHALLAH!

Пікірлер: 37

  • @ASHURAASHURA-jx2if
    @ASHURAASHURA-jx2if6 ай бұрын

    Yaallah ninakuomba mola wangu mlezi kupitia dua hii yarabi ninakuomba utuondoshee kila jini masheitwan maradhi uchawi khusda kijicho fitna mimi na watotowangu yarabi kwauwezo wako tufunguliwe milango ya kher kwenye maisha yetu napia tushibishe subra imani uwakuze watoto wangu kwenye maadili yakupendezayo yakuisoma dini nakufanyia ibada inshaallah

  • @ASHURAASHURA-jx2if
    @ASHURAASHURA-jx2if6 ай бұрын

    Yaallah ni nakushukuru mola wangu nilikuomba sana unijaalie nipate kazi nnje ya nchi NA inshaallah mungu hukuniacha ulinijaalia nikapata kazi ni kasafili alhamdulilah nikaaza kaz lkn kidog kaz hio inachangamoto vikwazo kwa bos wangu lkn inshaallah ninaamini yaallah iko siku zitakwisha NA nitasahau inshaallah kwan hakuna kisichowezekana mbele yako kikubwa subra NA imani tu nami ninaamini kupitia dua hii yarabi nitaondokewa NA hizi changamoto zote inshaallah🤲🤲🤲

  • @ASHURAASHURA-jx2if
    @ASHURAASHURA-jx2if6 ай бұрын

    Bismilah rahman rahim hakika nakushkulu allah allah kwakila jambo naamuni kila kibaya kilicho kuwa kwenye mwili wangu kimeondoka mana hali niliokuwa naiskia baada yakuskila hiki kisomo wewe allah ndie ujuwae inshaallah mpe maisha malefu shekhe OTHMAN MICHAELL azidi kutusomea dua amiina

  • @saudayahaya639
    @saudayahaya6394 ай бұрын

    A.alekum. Ahekh Othman allah azidi kukupa kheri zaid kwakuwa jisomo hiki jiwa kinanisaidia sana. Ktkmaradhi ya kishetwain

  • @BintiAmina-kh9oh
    @BintiAmina-kh9oh7 ай бұрын

    Asalamaleikum warahmatuhllai wabarakatuh,nauliza mtu akitaka kuja kupata kisomo uwaeza kuja.

  • @buhitexmohamed4785
    @buhitexmohamed47858 ай бұрын

    Allahuma Amiin

  • @saumusulaiman4742
    @saumusulaiman47426 ай бұрын

    Maashaalah.Shukuran jazira .Allah baariki shekhe🙏🙏🙏🥰

  • @watototunawezatuwezeshwe6126
    @watototunawezatuwezeshwe61265 ай бұрын

    Assalam alaykum sheikh. Alhamdulilah alhamdulilah alhamdulilah nina imani kwamba nimepona. Sheikh nilikuwa nakwenda nyayo sana inaashiria nini. Na alhamdulilah ametoa salaam. Allah akulipe kwa kila wema wako

  • @user-fs5zu9pq5e
    @user-fs5zu9pq5e6 ай бұрын

    Amin cheikh wetu Osman Michael. Mwenyezi Mungu ukulinde uzidi tusomeya ili tupone..inshAllah.

  • @user-pz8qk7ke4h
    @user-pz8qk7ke4h7 ай бұрын

    Allah aqbar tabaraqallh 🤲🤲🙏

  • @user-rt5vq5vc3k
    @user-rt5vq5vc3k5 ай бұрын

    Amiiin amiin🤲🤲

  • @user-kz7qt8qr8z
    @user-kz7qt8qr8z8 ай бұрын

    Yarabi kwa kisomo hk ukanioshee matatizo yote ktk maisha yangu na umifungulie milango ya rizki

  • @HamyarMohd-vb1qv
    @HamyarMohd-vb1qv8 ай бұрын

    Asalam aleykum naomba kuiliza je ukomtaja allah kimoyoni na kumswalia mtume kimoyo moyo au kwa saut vip nzur zaidi

  • @ElizabethLizzy-pk3zj

    @ElizabethLizzy-pk3zj

    8 ай бұрын

    Kimoyo moyo ❤

  • @user-xg7bj6qg5r
    @user-xg7bj6qg5r13 күн бұрын

    Asallam aleykum mm nipo oman kikazi nimesikuluza dua hii kupitia kuweka von masikion maajabu niliyoona shee nilianza kucheza mwili kicha tumbo kuvuluga nakaanza kupinga miayo sana uku mwili ukinicheza sana wakati unamalizia dua nikajikuta mmdomo uko wazi mate yanatoka kisha nikaona ulimi unatoka inje ukawa mlefu kabisa ulipokuwa unamalizaduwa ndio ulimi ukalundi ndani wenyewe mpaka ukawa unaniuma kweri shee nimeona miujiza asant shee laken namba za sim sikuziona nilikuwa nasikia vibaya nikajilaza chali nikawa najiyoisha tu viungi

  • @halimakenya3632
    @halimakenya36328 ай бұрын

    Amina

  • @ElizabethLizzy-pk3zj
    @ElizabethLizzy-pk3zj8 ай бұрын

    AMIIN 🤲

  • @zawadi-mz2nr
    @zawadi-mz2nr8 ай бұрын

    Assalam aleikum warahmatullah wabarakatuh ya shk. Shukran kwa kisomo hiki kizuri. Mm nauliza us who stays far from your country, can you pray for us through the phone? If yes ! On which exact number? BarakaAllahu fikum may Allah ta'ala continue to bless you for us In Sha Allah.

  • @othmanmichaelonline2866

    @othmanmichaelonline2866

    8 ай бұрын

    +255784122858

  • @AsiaNassoroMpili
    @AsiaNassoroMpili8 ай бұрын

    Amiiiiiin 🙏

  • @janetmutua4275
    @janetmutua427522 күн бұрын

    mungu akubariki sana 🙏,pia nitume sadaka kwa number ngani pls,niko kenya njina ni Janet minoo mutua

  • @ElizabethLizzy-pk3zj
    @ElizabethLizzy-pk3zj8 ай бұрын

    Assallam walky warakumatullah wabrakatullah Allahmdulillah,,mm naisikiliza lakini malaika ya simama🤲

  • @wardagogodigo1111
    @wardagogodigo11118 ай бұрын

    🙏

  • @sabahabdallah5791
    @sabahabdallah57918 ай бұрын

    Kisomo kizuri saaana sheikh, MashaAllah 👏

  • @user-xg7bj6qg5r
    @user-xg7bj6qg5r13 күн бұрын

    Sasa mm nipo mbali nifanyeje kuusu dawa

  • @ElizabethLizzy-pk3zj
    @ElizabethLizzy-pk3zj8 ай бұрын

    Amiin yaraby 🤲 Allah muondolee kila ugonjwa 🙏🤲

  • @ElizabethLizzy-pk3zj

    @ElizabethLizzy-pk3zj

    8 ай бұрын

    Kila aliye mgonjwa*

  • @user-qm5ut3yp9p
    @user-qm5ut3yp9p8 ай бұрын

    Yarab molla wangu niondoshee maradhi yanayonisumbua katk maisha yangu kupitia kisomo iki

  • @geradybahati3127
    @geradybahati31278 ай бұрын

    Nimetoa hewa na mwili umesisimuka

  • @user-zc6ky6si8r
    @user-zc6ky6si8r8 ай бұрын

    Waalekum salam sheikh. Kusema la ukweli nlipoanza kuskiza tokea mwanzo usingizi ghafla ulinijia japo nlijikaza nisisinzie mpaka mwisho wa kisomo ukatoweka

  • @wardagogodigo1111

    @wardagogodigo1111

    8 ай бұрын

    Rudia tena kuckiliza

  • @user-kz7qt8qr8z
    @user-kz7qt8qr8z8 ай бұрын

    Shehe mm nimetowa sn hewa mdomoni na nilijinyosha sn naomba unipe maelekezo nije

  • @othmanmichaelonline2866

    @othmanmichaelonline2866

    8 ай бұрын

    Njoo buguruni rozana ukifika tupigie

  • @user-kz7qt8qr8z

    @user-kz7qt8qr8z

    8 ай бұрын

    @@othmanmichaelonline2866 ijumaa natakiwa kuja muda gani

  • @ElizabethLizzy-pk3zj
    @ElizabethLizzy-pk3zj8 ай бұрын

    Sheikh ukitaka dawa na uko kenya twazipata vipi

  • @mwanamisiramadhan4773

    @mwanamisiramadhan4773

    8 ай бұрын

    Guraya majengo pale alipofikia wakati yupo msa kama wakumbuka

  • @othmanmichaelonline2866

    @othmanmichaelonline2866

    8 ай бұрын

    Guraya iko brunch yetu napia waeza tumiwa na tawakkal bus