KISOMO KIKALI MAJINI WAKO SASA WATATOLEWA MARA UKISIKILIZA KISOMO UMEPONA INSHALLAH!
Жүктеу.....
Пікірлер: 37
@ASHURAASHURA-jx2if6 ай бұрын
Yaallah ninakuomba mola wangu mlezi kupitia dua hii yarabi ninakuomba utuondoshee kila jini masheitwan maradhi uchawi khusda kijicho fitna mimi na watotowangu yarabi kwauwezo wako tufunguliwe milango ya kher kwenye maisha yetu napia tushibishe subra imani uwakuze watoto wangu kwenye maadili yakupendezayo yakuisoma dini nakufanyia ibada inshaallah
@ASHURAASHURA-jx2if6 ай бұрын
Yaallah ni nakushukuru mola wangu nilikuomba sana unijaalie nipate kazi nnje ya nchi NA inshaallah mungu hukuniacha ulinijaalia nikapata kazi ni kasafili alhamdulilah nikaaza kaz lkn kidog kaz hio inachangamoto vikwazo kwa bos wangu lkn inshaallah ninaamini yaallah iko siku zitakwisha NA nitasahau inshaallah kwan hakuna kisichowezekana mbele yako kikubwa subra NA imani tu nami ninaamini kupitia dua hii yarabi nitaondokewa NA hizi changamoto zote inshaallah🤲🤲🤲
@ASHURAASHURA-jx2if6 ай бұрын
Bismilah rahman rahim hakika nakushkulu allah allah kwakila jambo naamuni kila kibaya kilicho kuwa kwenye mwili wangu kimeondoka mana hali niliokuwa naiskia baada yakuskila hiki kisomo wewe allah ndie ujuwae inshaallah mpe maisha malefu shekhe OTHMAN MICHAELL azidi kutusomea dua amiina
@saudayahaya6394 ай бұрын
A.alekum. Ahekh Othman allah azidi kukupa kheri zaid kwakuwa jisomo hiki jiwa kinanisaidia sana. Ktkmaradhi ya kishetwain
@BintiAmina-kh9oh7 ай бұрын
Asalamaleikum warahmatuhllai wabarakatuh,nauliza mtu akitaka kuja kupata kisomo uwaeza kuja.
Assalam alaykum sheikh. Alhamdulilah alhamdulilah alhamdulilah nina imani kwamba nimepona. Sheikh nilikuwa nakwenda nyayo sana inaashiria nini. Na alhamdulilah ametoa salaam. Allah akulipe kwa kila wema wako
@user-fs5zu9pq5e6 ай бұрын
Amin cheikh wetu Osman Michael. Mwenyezi Mungu ukulinde uzidi tusomeya ili tupone..inshAllah.
@user-pz8qk7ke4h7 ай бұрын
Allah aqbar tabaraqallh 🤲🤲🙏
@user-rt5vq5vc3k5 ай бұрын
Amiiin amiin🤲🤲
@user-kz7qt8qr8z8 ай бұрын
Yarabi kwa kisomo hk ukanioshee matatizo yote ktk maisha yangu na umifungulie milango ya rizki
@HamyarMohd-vb1qv8 ай бұрын
Asalam aleykum naomba kuiliza je ukomtaja allah kimoyoni na kumswalia mtume kimoyo moyo au kwa saut vip nzur zaidi
@ElizabethLizzy-pk3zj
8 ай бұрын
Kimoyo moyo ❤
@user-xg7bj6qg5r13 күн бұрын
Asallam aleykum mm nipo oman kikazi nimesikuluza dua hii kupitia kuweka von masikion maajabu niliyoona shee nilianza kucheza mwili kicha tumbo kuvuluga nakaanza kupinga miayo sana uku mwili ukinicheza sana wakati unamalizia dua nikajikuta mmdomo uko wazi mate yanatoka kisha nikaona ulimi unatoka inje ukawa mlefu kabisa ulipokuwa unamalizaduwa ndio ulimi ukalundi ndani wenyewe mpaka ukawa unaniuma kweri shee nimeona miujiza asant shee laken namba za sim sikuziona nilikuwa nasikia vibaya nikajilaza chali nikawa najiyoisha tu viungi
@halimakenya36328 ай бұрын
Amina
@ElizabethLizzy-pk3zj8 ай бұрын
AMIIN 🤲
@zawadi-mz2nr8 ай бұрын
Assalam aleikum warahmatullah wabarakatuh ya shk. Shukran kwa kisomo hiki kizuri. Mm nauliza us who stays far from your country, can you pray for us through the phone? If yes ! On which exact number? BarakaAllahu fikum may Allah ta'ala continue to bless you for us In Sha Allah.
@othmanmichaelonline2866
8 ай бұрын
+255784122858
@AsiaNassoroMpili8 ай бұрын
Amiiiiiin 🙏
@janetmutua427522 күн бұрын
mungu akubariki sana 🙏,pia nitume sadaka kwa number ngani pls,niko kenya njina ni Janet minoo mutua
@ElizabethLizzy-pk3zj8 ай бұрын
Assallam walky warakumatullah wabrakatullah Allahmdulillah,,mm naisikiliza lakini malaika ya simama🤲
@wardagogodigo11118 ай бұрын
🙏
@sabahabdallah57918 ай бұрын
Kisomo kizuri saaana sheikh, MashaAllah 👏
@user-xg7bj6qg5r13 күн бұрын
Sasa mm nipo mbali nifanyeje kuusu dawa
@ElizabethLizzy-pk3zj8 ай бұрын
Amiin yaraby 🤲 Allah muondolee kila ugonjwa 🙏🤲
@ElizabethLizzy-pk3zj
8 ай бұрын
Kila aliye mgonjwa*
@user-qm5ut3yp9p8 ай бұрын
Yarab molla wangu niondoshee maradhi yanayonisumbua katk maisha yangu kupitia kisomo iki
@geradybahati31278 ай бұрын
Nimetoa hewa na mwili umesisimuka
@user-zc6ky6si8r8 ай бұрын
Waalekum salam sheikh. Kusema la ukweli nlipoanza kuskiza tokea mwanzo usingizi ghafla ulinijia japo nlijikaza nisisinzie mpaka mwisho wa kisomo ukatoweka
@wardagogodigo1111
8 ай бұрын
Rudia tena kuckiliza
@user-kz7qt8qr8z8 ай бұрын
Shehe mm nimetowa sn hewa mdomoni na nilijinyosha sn naomba unipe maelekezo nije
@othmanmichaelonline2866
8 ай бұрын
Njoo buguruni rozana ukifika tupigie
@user-kz7qt8qr8z
8 ай бұрын
@@othmanmichaelonline2866 ijumaa natakiwa kuja muda gani
@ElizabethLizzy-pk3zj8 ай бұрын
Sheikh ukitaka dawa na uko kenya twazipata vipi
@mwanamisiramadhan4773
8 ай бұрын
Guraya majengo pale alipofikia wakati yupo msa kama wakumbuka
@othmanmichaelonline2866
8 ай бұрын
Guraya iko brunch yetu napia waeza tumiwa na tawakkal bus
Пікірлер: 37
Yaallah ninakuomba mola wangu mlezi kupitia dua hii yarabi ninakuomba utuondoshee kila jini masheitwan maradhi uchawi khusda kijicho fitna mimi na watotowangu yarabi kwauwezo wako tufunguliwe milango ya kher kwenye maisha yetu napia tushibishe subra imani uwakuze watoto wangu kwenye maadili yakupendezayo yakuisoma dini nakufanyia ibada inshaallah
Yaallah ni nakushukuru mola wangu nilikuomba sana unijaalie nipate kazi nnje ya nchi NA inshaallah mungu hukuniacha ulinijaalia nikapata kazi ni kasafili alhamdulilah nikaaza kaz lkn kidog kaz hio inachangamoto vikwazo kwa bos wangu lkn inshaallah ninaamini yaallah iko siku zitakwisha NA nitasahau inshaallah kwan hakuna kisichowezekana mbele yako kikubwa subra NA imani tu nami ninaamini kupitia dua hii yarabi nitaondokewa NA hizi changamoto zote inshaallah🤲🤲🤲
Bismilah rahman rahim hakika nakushkulu allah allah kwakila jambo naamuni kila kibaya kilicho kuwa kwenye mwili wangu kimeondoka mana hali niliokuwa naiskia baada yakuskila hiki kisomo wewe allah ndie ujuwae inshaallah mpe maisha malefu shekhe OTHMAN MICHAELL azidi kutusomea dua amiina
A.alekum. Ahekh Othman allah azidi kukupa kheri zaid kwakuwa jisomo hiki jiwa kinanisaidia sana. Ktkmaradhi ya kishetwain
Asalamaleikum warahmatuhllai wabarakatuh,nauliza mtu akitaka kuja kupata kisomo uwaeza kuja.
Allahuma Amiin
Maashaalah.Shukuran jazira .Allah baariki shekhe🙏🙏🙏🥰
Assalam alaykum sheikh. Alhamdulilah alhamdulilah alhamdulilah nina imani kwamba nimepona. Sheikh nilikuwa nakwenda nyayo sana inaashiria nini. Na alhamdulilah ametoa salaam. Allah akulipe kwa kila wema wako
Amin cheikh wetu Osman Michael. Mwenyezi Mungu ukulinde uzidi tusomeya ili tupone..inshAllah.
Allah aqbar tabaraqallh 🤲🤲🙏
Amiiin amiin🤲🤲
Yarabi kwa kisomo hk ukanioshee matatizo yote ktk maisha yangu na umifungulie milango ya rizki
Asalam aleykum naomba kuiliza je ukomtaja allah kimoyoni na kumswalia mtume kimoyo moyo au kwa saut vip nzur zaidi
@ElizabethLizzy-pk3zj
8 ай бұрын
Kimoyo moyo ❤
Asallam aleykum mm nipo oman kikazi nimesikuluza dua hii kupitia kuweka von masikion maajabu niliyoona shee nilianza kucheza mwili kicha tumbo kuvuluga nakaanza kupinga miayo sana uku mwili ukinicheza sana wakati unamalizia dua nikajikuta mmdomo uko wazi mate yanatoka kisha nikaona ulimi unatoka inje ukawa mlefu kabisa ulipokuwa unamalizaduwa ndio ulimi ukalundi ndani wenyewe mpaka ukawa unaniuma kweri shee nimeona miujiza asant shee laken namba za sim sikuziona nilikuwa nasikia vibaya nikajilaza chali nikawa najiyoisha tu viungi
Amina
AMIIN 🤲
Assalam aleikum warahmatullah wabarakatuh ya shk. Shukran kwa kisomo hiki kizuri. Mm nauliza us who stays far from your country, can you pray for us through the phone? If yes ! On which exact number? BarakaAllahu fikum may Allah ta'ala continue to bless you for us In Sha Allah.
@othmanmichaelonline2866
8 ай бұрын
+255784122858
Amiiiiiin 🙏
mungu akubariki sana 🙏,pia nitume sadaka kwa number ngani pls,niko kenya njina ni Janet minoo mutua
Assallam walky warakumatullah wabrakatullah Allahmdulillah,,mm naisikiliza lakini malaika ya simama🤲
🙏
Kisomo kizuri saaana sheikh, MashaAllah 👏
Sasa mm nipo mbali nifanyeje kuusu dawa
Amiin yaraby 🤲 Allah muondolee kila ugonjwa 🙏🤲
@ElizabethLizzy-pk3zj
8 ай бұрын
Kila aliye mgonjwa*
Yarab molla wangu niondoshee maradhi yanayonisumbua katk maisha yangu kupitia kisomo iki
Nimetoa hewa na mwili umesisimuka
Waalekum salam sheikh. Kusema la ukweli nlipoanza kuskiza tokea mwanzo usingizi ghafla ulinijia japo nlijikaza nisisinzie mpaka mwisho wa kisomo ukatoweka
@wardagogodigo1111
8 ай бұрын
Rudia tena kuckiliza
Shehe mm nimetowa sn hewa mdomoni na nilijinyosha sn naomba unipe maelekezo nije
@othmanmichaelonline2866
8 ай бұрын
Njoo buguruni rozana ukifika tupigie
@user-kz7qt8qr8z
8 ай бұрын
@@othmanmichaelonline2866 ijumaa natakiwa kuja muda gani
Sheikh ukitaka dawa na uko kenya twazipata vipi
@mwanamisiramadhan4773
8 ай бұрын
Guraya majengo pale alipofikia wakati yupo msa kama wakumbuka
@othmanmichaelonline2866
8 ай бұрын
Guraya iko brunch yetu napia waeza tumiwa na tawakkal bus