KISA ÇHA MASIH DAJJAL NA MWISHO WA DUNIA - SHEIKH OTHMAN MICHAEL
Жүктеу.....
Пікірлер: 138
@shaibushaaban15385 жыл бұрын
Hakika hii nisiku ngumu Sana Allah atunusulu shukrani shekhe othman Michael umeiyona Haki Kabla hujafa ukaifwata Allah akuongoze
@nassrakhalef3437
3 жыл бұрын
Iuīo0
@swafiamohammed17084 жыл бұрын
Allahumma audhu bika min adhabil qabr wa min adhabinnar wa min fitnati mahyaa wa mamati wa min fitnati masihi dajal
@alhamdulillah57965 жыл бұрын
Yaa Rabb tuepushe waja wako na shari na fitna ya masihi dajjal, Amiin
@samsacute8672
5 жыл бұрын
Amen
@issarachide1474
5 жыл бұрын
Masha Allah
@shameemameery2979
4 жыл бұрын
Amiin inshaallah
@saidasalim2179
3 жыл бұрын
@@samsacute8672 p
@saidasalim2179
3 жыл бұрын
@@samsacute8672 p
@salimmluta35144 жыл бұрын
Wallahi shaikh uthman Allah amekupa nuru akujaze nuru kila mahali na nuru yako izid kungaa
@selemanmajaliwa12404 жыл бұрын
Yaa ALLAH tuepushe na fitina za masihi Dajjal 🙏🙏🙏🙏
@nasraalismailiy51885 жыл бұрын
subhanaAllah Allah awahifadhi masheikh wote na kila anaependa jambo zuri na kututia moyo waislam napenda sana mtu mwenye hekma na maneno mazuru namuomba Allah nanapenda niwe karibu na watu ambao hata ninapokosea wananisemeshe kwa maneno mazuri sipendi mtu mkali ktk maisha yangu .
@muddyhuseni2300
4 жыл бұрын
Mungu atulinde
@alhamdulillah57965 жыл бұрын
Maa shaa Allah nikimsikiliza sheikh huyu najisikia km namsikiliza sheikh Othman Maalim. Allah akuhifadhini Masheikh wote na akupeni umr wenye manufaa na khatima njema, Amiin
@shamsismail7115
5 жыл бұрын
Na Mimi nakubaliana na wewe
@najmoabdullahi3609
5 жыл бұрын
Swadaqta
@ibrahimmohamedmaalim5568
5 жыл бұрын
Nataraji ni mwanafunzi wake
@abdijuma4763
4 жыл бұрын
Ameen
@dhulkaadawakaada3971
4 жыл бұрын
N kwel kabsa
@abdulrahmanngaluma37685 жыл бұрын
Kikubwa ni kuyafanyia Kazi haya mawaidha .....👋🏾👋🏾👋🏾👋🏾👋🏾
@ahmadjuma60835 жыл бұрын
Maashaa Allah shekh Othman mayko nakukubali zaidi ninavyojikubali mwenyewe uko vizuri sana Allah akuzidishie elimu tuzidi kunufaika nawe Allah akukinge na mahasaidi.
@jabalfondo38054 жыл бұрын
sikujua yote haya lakini kwa kusikiliza khutbah hakika nimezinduka. Shukrani SHEIKH OTHMAN
@mussajuma74605 жыл бұрын
Daah wapo kwel na mimi nawajuwa hapa hapa nchini hao masheikh waongo wanatumika vibaya wanatugawa sisi
@anitaciza76605 жыл бұрын
Subuhanallah Shukurani shekhe Allah atunusuru wajawake tuwe na imani kamili.
@ashalaurent24654 жыл бұрын
Mashaa alha mungu azidi kukupa umri mrefu wenye faida
@HABIBULLAH-nd9ft4 жыл бұрын
Kwa kufananisha saut hivi sidhan kama shekh Othman maalim Alisha wahi kumskia mrithi wake huyu na siku akimskia atasema yaa Rabbi jaalia wawe hata wengi kama HAWA maasha allah
Masha Allah shukran shk.umetuelemisha nyingi na uzidi kutuelemisha zaidi Allah akujalie uzima wa afya na maisha marefu,ya Allah tuepushe na adabu ya kaburi,jahannam,fitina ya mahya wamamatii na shari yke masih dajjal.Ameen
@wondersmotivation55435 жыл бұрын
Jazakha Allah kheer,,,Allah atuepushe na fitnatul Dunia,,Wa adhabal Kabur,,,Wa fitnatul Masih Dajaal,,,
@trustciousmakungu4646
4 жыл бұрын
wonders motivation sheikh othumni Tunashukuru sana Allah akupe umri mrefu Tunafaidika namawaidha imani zetu zinjengeka kikamilifu Alhamdulilahi.
@sweetysamsat5 жыл бұрын
Asalam aleykum warahmatullah wabarakatuh Ma shaa Allah mawaidha mazuri Saana Mie nimesikia yote na hakuna kilichonivutia zayd km story fupi ya SHEIKH ATHMAN ALLAH IHFADHKUM Naomba hicho kipengele cha story yake maana kuna watu wako giza hasa kijijin kwangu na ukoo Wangu wanaihama saana dini hasa mabinty tukitaka kuolewa Hivo naomba hiyo clip waweze kumsikia sheikh huenda ikawagusa kwa namna moja ama nyingne in shaa Allah Shoukran jazakallahu khayr
@rayisadesigns2646
4 жыл бұрын
samahir, kama upo dar es salaam wasiliana na masjid mtoro online tv watakupatia video yake au kama upo nje ya nchi download aidha ktk simu yako au pc, au kama ni ndefu ina mb nyingi hauwezi kuwatumia bonyeza hapo kulia upande wa chini ya video kwenye neno SHARE halafu watumie link yake kwenye namba zao za whatsapp wataziangalia moja kwa moja youtube ktk chanel hii kama unavyoangalia wewe.
@saeedsaeed73815 жыл бұрын
Masha Allah Masha Allah sheikh Othman mawaidha safi sana na mada ya leo muhimu kuhusu daiili za kiyama..lnshallah mungu atupe neema dhabiti sote kwa ujumla Ameen yarab
@kulwabakari21665 жыл бұрын
Shukrani shekh mungu akuzidishie umri utujuze mengi
@omadybinumady54275 жыл бұрын
Mashaa Allah shukrani shekhe
@jasminali59214 жыл бұрын
Mashaaallah tabarakallah shukrani sana shekh othman Michael kwa ukumbusho Allah akujaalie Kila la kher 🌹🙏🙏🙏
@ummulkheir83214 жыл бұрын
Mashaallah,yarabbi tuhifadhi
@mirajisaid35915 жыл бұрын
Shekh Allah akulipe kila la kher
@faizasaid82625 жыл бұрын
Subuhanallah mungu atuepushie na masahid dajjal
@yanikdabo21375 жыл бұрын
Allahumma swalli alaa muhammadin waali sayyidna muhammad ( saw ) rehma a amani ziwe juu yake inshallahu
@hajatihajati53575 жыл бұрын
Jazaka Llah khayrah. Allah akupe umri murefu uzidi kutu juza na kufikisha Elimu yake kwa waja wake
@chunaamina87194 жыл бұрын
Mashaallah, Tabaraqah Allah,Mungu akupe umri mrefu Na uzidi kutuongoza inshaalla🤲🙏
@user-sq8pq1xj7m2 жыл бұрын
Ewe Mwenyezi Mungu tuepushe na athar za masihdhajall kafr huyu akikuandama hna chko insha'Allah Mwenyezi Mungu atulinde Ameeen ameeen ameeen
@sleymohamed9355 жыл бұрын
Subhanallah. M/Mungu atuepushie mbali na hiki kiumbe ni mtihani sana
@mwanahamisimkilalu38924 жыл бұрын
Allah atuepushe na masih dajal tusimfate
@ziadasadiki81963 жыл бұрын
ALLAH AKUSTIRI na SHARI za Dunia na Ukujaalie PEPO BORA INSHAALLAH.
@mwaks33474 жыл бұрын
Mash Allah,,hasnal khatimah
@asiaissa9765 жыл бұрын
Shukran yaasheikh othman mungu akuzidishie nuuru kifuani mwako amiin yaallah
@ibrahimwario3177
5 жыл бұрын
Ameen ya Rab
@aishaabdallah45604 жыл бұрын
MaashaAllah napenda mawaidha ya huyu sheikh mungu akuzidishie kheir na km hayo ya vifo vya wengi mfano hiyo corona watu wapupitika yarab tustiri🙏
@leylerahmed16775 жыл бұрын
Laaa haaulaaaa walakuwwatah illa billah duh
@jumannemashaka10345 жыл бұрын
Mungu akujalie
@khadijaal65485 жыл бұрын
Ma shaa Allah Shoukran saana Mie naomba clip yotee
@abdallahmustapha71255 жыл бұрын
allahu akbar
@samutykuntathebantu84022 жыл бұрын
Yesu Kristo alimaliza yote msalabani. Wakristo Wana bahati tuna Roho mtakatifu...
@almassoud31095 жыл бұрын
Maashallah. Khutba mzuri. Faida kubwa ilioje. Allah ampe umri mrefu tuzid kupata faida
@championshahidu24655 жыл бұрын
Thank you so much sheik, I love your recitation, stay blessings
@blakshajaa44185 жыл бұрын
MashaAllah Allah atulindie waislam na mashehk zt
@faizasaid82625 жыл бұрын
Mashallah shukuran
@khadijaal6548
5 жыл бұрын
Faiza Said Aamin
@zobidaal44234 жыл бұрын
Yaaarab tuepushe na fitna kubwa za masihi dajjal
@MOMOsisterinthesports5 жыл бұрын
Mashallaha tabarak llah shekh unatujeng kiimani
@yusufsuleiman13915 жыл бұрын
Subhana llah
@asyaluay57875 жыл бұрын
ALLAH ATUEPUSHE NA FITNA ZA MASIH DAJJAL
@abubakarsadiq8179
4 жыл бұрын
MashaALLAH
@abdalahsuleiman89895 жыл бұрын
Masha Allah
@ismailelfadhil68133 жыл бұрын
sheikh Allah akubarik akujaze ilmu yenye manufaa kuhusu huyo shekh makame shekh nilikuwa nawasha redio kl cku wakat wa magharib nimfuatishe anapo adhin japo nilikuwa nakosea kufuatisha adhana baada kuitikia namuomba allah anisameh nilikuwa bd mtoto pia nilikuwa nataman nije kuadhin km hy shekh
Masha Allah jazzakum rakhreil sheikh mim nakosa cakusema Allah mwingi warehma akupe umli mulefu uzidikutupa elim tofauti
@allyzicko81495 жыл бұрын
Shukrn
@saeedsaeed73815 жыл бұрын
Inshallah mungu atupe emaan dhabiti na utuepushe na adhabu za motoni Ameen yarab
@habityabsa9975 жыл бұрын
Asalaam alaykum wa rahmatullah wa barakatuh! Tafadhali anae jua dua aliyo funguliwa sheikh Othman anifahamishe. Ni dua nzuri maana nahisi kama anaomba nusra ya adhabu ya kaburi, umri🤔 tafadhali nifundisheni na Allah atawalipa kheri duniani na akhera In shaa Allah
@issaramadhani9714
5 жыл бұрын
Tafuta kitabu cha Husni'l Muslim ghalama yake ni ndogo tu miongoni mwa dua unazohitaji hiyo ni mojawapo utaipata ndani ya kitabu hicho.
@rashidvuaimwadin1914
5 жыл бұрын
Allah humma inny aundhubika min adhabilkabur waaunzubika min fitnatul mayahaya wa mamaty waaundhubika min fitnatul masihidajar
@habityabsa997
5 жыл бұрын
Issa Ramadhani Shukran akhy!
@habityabsa997
5 жыл бұрын
rashid vuai mwadin shukran kwa dua!
@issaramadhani9714
5 жыл бұрын
@@habityabsa997 nawe pia ALLAH akukunjulie mlango wa nuru ya ilmu na kupenda diyni yake.uwe miongoni mwa wanawake wema.
@hafsaali79763 жыл бұрын
Mashaallah
@rukiamanjicha11573 жыл бұрын
Lailaha illa anta... Allah atukinge na fitna za masihu dajjal
@mgenijuma39395 жыл бұрын
shukrani
@myoutubecom-gg7sb3 жыл бұрын
MashaAllah
@jasminyiddysulaiman98074 жыл бұрын
Maashallah tabalaqallah
@waynejohn2239 Жыл бұрын
Asante Allah ukizidishiye ilim
@abuuhafsah96305 жыл бұрын
Iyakallah .....
@salumkirumi55272 жыл бұрын
Sheikh nakupenda Sana napenda unavyozungumza Hadi nahsi kusisimka
@mudrickramadhan42925 жыл бұрын
ALLAH akujalie uhai mrefu
@al-quwiyyiislamicschool86854 жыл бұрын
Allah akulipe kheir.
@Keymolin5 жыл бұрын
Nilickiliza kisa cha tamimu darri ambae na wenzie walikutana na masihi addajar ktk kisiwa macho walijikuta baada ya Nashua kupotea na akawauliza kuhusu mtume asiejua kusoma na mitende ya Jordan na wakamwambia mtume je ina ukweli kwa upande wako?
@makenakendi2824 жыл бұрын
Amiin
@swalehmuhsinhassan94134 жыл бұрын
Fundisha kitabu at tawheed cha sheikh muhammad ibn abi wahab watu wataacha shirk
@Unknown-lp5xr3 жыл бұрын
Masha allah
@bebisheni43804 жыл бұрын
Asante
@farajabdul64823 жыл бұрын
Yaani Sheikh mzima anatoa no za pesa kwa watakaotaka dua!!!La haula.Dini italegea tukianza mambo ya wasiokuwa waislamu.Tuambieni ukweli bana
@swahibal-karama1455 жыл бұрын
Je kuna DALILI YOYOTE YA KUJA KWA NABIYYULLAHI ISSA ALAIHI SSALAAM...MAMBO YA KIIMANI HUTAKA DALILUN QATWIYYAH SIO KHABARI AHAD.
@Keymolin5 жыл бұрын
Sheikh nina swali
@Keymolin
5 жыл бұрын
Nilickiliza kisa cha tamimu darri ambae na wenzie walikutana na masihi addajar ktk kisiwa macho walijikuta baada ya Nashua kupotea na akawauliza kuhusu mtume asiejua kusoma na mitende ya Jordan na wakamwambia mtume je ina ukweli kwa upande wako?
@nathanwakitaa88752 жыл бұрын
Aundhubilka min fitinat massii dajjal
@subiramohd8854 жыл бұрын
kiabu punguza wengine hawajui kiarabu sasa wewe Unaboa kiukweli naicjo kiarabu Chako
@uthmanihimbawe5244
3 жыл бұрын
Kwani c anatafsir?au mpaka tafsir huelewi?
@FatimaFatima-wk1jk
3 жыл бұрын
Si anatafsiri jamani
@makondenimissionteam5 жыл бұрын
Unatuchanya na kiarabu kingi bana kama utaendelea kuongea kiarabu kingi basi uache kutuubiria maana unaboa bana wewe tufundishe mukiswahili ili tuelewe. Tambua unapotia video youtube tambua hata sisi wakristo tunafatilia
@fatmakuchanda530
5 жыл бұрын
mbona anatafsir
@faizasaid8262
5 жыл бұрын
Bojardo mbona analolisema atafsiri ila wwe nikiziwi husikii mpaka uwe muislam
@khadijaal6548
5 жыл бұрын
@Faiza Said Inshallah atakuwa Polepole tuende nae
@shabanimohamedimiraji309
5 жыл бұрын
hujalazimishwa kumfuatilia ukiona vp pita kushoto
@kambiabdallah8276
5 жыл бұрын
Bojardo we chiziiiii nini peke yako ndio huelewi humu umeitwa au
Пікірлер: 138
Hakika hii nisiku ngumu Sana Allah atunusulu shukrani shekhe othman Michael umeiyona Haki Kabla hujafa ukaifwata Allah akuongoze
@nassrakhalef3437
3 жыл бұрын
Iuīo0
Allahumma audhu bika min adhabil qabr wa min adhabinnar wa min fitnati mahyaa wa mamati wa min fitnati masihi dajal
Yaa Rabb tuepushe waja wako na shari na fitna ya masihi dajjal, Amiin
@samsacute8672
5 жыл бұрын
Amen
@issarachide1474
5 жыл бұрын
Masha Allah
@shameemameery2979
4 жыл бұрын
Amiin inshaallah
@saidasalim2179
3 жыл бұрын
@@samsacute8672 p
@saidasalim2179
3 жыл бұрын
@@samsacute8672 p
Wallahi shaikh uthman Allah amekupa nuru akujaze nuru kila mahali na nuru yako izid kungaa
Yaa ALLAH tuepushe na fitina za masihi Dajjal 🙏🙏🙏🙏
subhanaAllah Allah awahifadhi masheikh wote na kila anaependa jambo zuri na kututia moyo waislam napenda sana mtu mwenye hekma na maneno mazuru namuomba Allah nanapenda niwe karibu na watu ambao hata ninapokosea wananisemeshe kwa maneno mazuri sipendi mtu mkali ktk maisha yangu .
@muddyhuseni2300
4 жыл бұрын
Mungu atulinde
Maa shaa Allah nikimsikiliza sheikh huyu najisikia km namsikiliza sheikh Othman Maalim. Allah akuhifadhini Masheikh wote na akupeni umr wenye manufaa na khatima njema, Amiin
@shamsismail7115
5 жыл бұрын
Na Mimi nakubaliana na wewe
@najmoabdullahi3609
5 жыл бұрын
Swadaqta
@ibrahimmohamedmaalim5568
5 жыл бұрын
Nataraji ni mwanafunzi wake
@abdijuma4763
4 жыл бұрын
Ameen
@dhulkaadawakaada3971
4 жыл бұрын
N kwel kabsa
Kikubwa ni kuyafanyia Kazi haya mawaidha .....👋🏾👋🏾👋🏾👋🏾👋🏾
Maashaa Allah shekh Othman mayko nakukubali zaidi ninavyojikubali mwenyewe uko vizuri sana Allah akuzidishie elimu tuzidi kunufaika nawe Allah akukinge na mahasaidi.
sikujua yote haya lakini kwa kusikiliza khutbah hakika nimezinduka. Shukrani SHEIKH OTHMAN
Daah wapo kwel na mimi nawajuwa hapa hapa nchini hao masheikh waongo wanatumika vibaya wanatugawa sisi
Subuhanallah Shukurani shekhe Allah atunusuru wajawake tuwe na imani kamili.
Mashaa alha mungu azidi kukupa umri mrefu wenye faida
Kwa kufananisha saut hivi sidhan kama shekh Othman maalim Alisha wahi kumskia mrithi wake huyu na siku akimskia atasema yaa Rabbi jaalia wawe hata wengi kama HAWA maasha allah
@basharahamtzhalisi6871
Жыл бұрын
Habibu kumbe hata wewe umelijua hilo, BARAKALLAHU FIYKA AKHY FIY LLAH.
Masha Allah shukran shk.umetuelemisha nyingi na uzidi kutuelemisha zaidi Allah akujalie uzima wa afya na maisha marefu,ya Allah tuepushe na adabu ya kaburi,jahannam,fitina ya mahya wamamatii na shari yke masih dajjal.Ameen
Jazakha Allah kheer,,,Allah atuepushe na fitnatul Dunia,,Wa adhabal Kabur,,,Wa fitnatul Masih Dajaal,,,
@trustciousmakungu4646
4 жыл бұрын
wonders motivation sheikh othumni Tunashukuru sana Allah akupe umri mrefu Tunafaidika namawaidha imani zetu zinjengeka kikamilifu Alhamdulilahi.
Asalam aleykum warahmatullah wabarakatuh Ma shaa Allah mawaidha mazuri Saana Mie nimesikia yote na hakuna kilichonivutia zayd km story fupi ya SHEIKH ATHMAN ALLAH IHFADHKUM Naomba hicho kipengele cha story yake maana kuna watu wako giza hasa kijijin kwangu na ukoo Wangu wanaihama saana dini hasa mabinty tukitaka kuolewa Hivo naomba hiyo clip waweze kumsikia sheikh huenda ikawagusa kwa namna moja ama nyingne in shaa Allah Shoukran jazakallahu khayr
@rayisadesigns2646
4 жыл бұрын
samahir, kama upo dar es salaam wasiliana na masjid mtoro online tv watakupatia video yake au kama upo nje ya nchi download aidha ktk simu yako au pc, au kama ni ndefu ina mb nyingi hauwezi kuwatumia bonyeza hapo kulia upande wa chini ya video kwenye neno SHARE halafu watumie link yake kwenye namba zao za whatsapp wataziangalia moja kwa moja youtube ktk chanel hii kama unavyoangalia wewe.
Masha Allah Masha Allah sheikh Othman mawaidha safi sana na mada ya leo muhimu kuhusu daiili za kiyama..lnshallah mungu atupe neema dhabiti sote kwa ujumla Ameen yarab
Shukrani shekh mungu akuzidishie umri utujuze mengi
Mashaa Allah shukrani shekhe
Mashaaallah tabarakallah shukrani sana shekh othman Michael kwa ukumbusho Allah akujaalie Kila la kher 🌹🙏🙏🙏
Mashaallah,yarabbi tuhifadhi
Shekh Allah akulipe kila la kher
Subuhanallah mungu atuepushie na masahid dajjal
Allahumma swalli alaa muhammadin waali sayyidna muhammad ( saw ) rehma a amani ziwe juu yake inshallahu
Jazaka Llah khayrah. Allah akupe umri murefu uzidi kutu juza na kufikisha Elimu yake kwa waja wake
Mashaallah, Tabaraqah Allah,Mungu akupe umri mrefu Na uzidi kutuongoza inshaalla🤲🙏
Ewe Mwenyezi Mungu tuepushe na athar za masihdhajall kafr huyu akikuandama hna chko insha'Allah Mwenyezi Mungu atulinde Ameeen ameeen ameeen
Subhanallah. M/Mungu atuepushie mbali na hiki kiumbe ni mtihani sana
Allah atuepushe na masih dajal tusimfate
ALLAH AKUSTIRI na SHARI za Dunia na Ukujaalie PEPO BORA INSHAALLAH.
Mash Allah,,hasnal khatimah
Shukran yaasheikh othman mungu akuzidishie nuuru kifuani mwako amiin yaallah
@ibrahimwario3177
5 жыл бұрын
Ameen ya Rab
MaashaAllah napenda mawaidha ya huyu sheikh mungu akuzidishie kheir na km hayo ya vifo vya wengi mfano hiyo corona watu wapupitika yarab tustiri🙏
Laaa haaulaaaa walakuwwatah illa billah duh
Mungu akujalie
Ma shaa Allah Shoukran saana Mie naomba clip yotee
allahu akbar
Yesu Kristo alimaliza yote msalabani. Wakristo Wana bahati tuna Roho mtakatifu...
Maashallah. Khutba mzuri. Faida kubwa ilioje. Allah ampe umri mrefu tuzid kupata faida
Thank you so much sheik, I love your recitation, stay blessings
MashaAllah Allah atulindie waislam na mashehk zt
Mashallah shukuran
@khadijaal6548
5 жыл бұрын
Faiza Said Aamin
Yaaarab tuepushe na fitna kubwa za masihi dajjal
Mashallaha tabarak llah shekh unatujeng kiimani
Subhana llah
ALLAH ATUEPUSHE NA FITNA ZA MASIH DAJJAL
@abubakarsadiq8179
4 жыл бұрын
MashaALLAH
Masha Allah
sheikh Allah akubarik akujaze ilmu yenye manufaa kuhusu huyo shekh makame shekh nilikuwa nawasha redio kl cku wakat wa magharib nimfuatishe anapo adhin japo nilikuwa nakosea kufuatisha adhana baada kuitikia namuomba allah anisameh nilikuwa bd mtoto pia nilikuwa nataman nije kuadhin km hy shekh
Waalaikumu ssalam warahmatullahi wabarakatuh Namuomba allah atuepushe ns huyu mkufurishaji masihi dajjal allahumma amiin
@ibrahimwario3177
5 жыл бұрын
Ameen Suma ameen
@jasminali5921
4 жыл бұрын
Amiin yarab
@dhulkaadawakaada3971
4 жыл бұрын
Ameen
Shukran shekh
Shukrani jazirra ya sheikh
Allah akuhifadhi oustadh wangu
Masha Allah jazzakum rakhreil sheikh mim nakosa cakusema Allah mwingi warehma akupe umli mulefu uzidikutupa elim tofauti
Shukrn
Inshallah mungu atupe emaan dhabiti na utuepushe na adhabu za motoni Ameen yarab
Asalaam alaykum wa rahmatullah wa barakatuh! Tafadhali anae jua dua aliyo funguliwa sheikh Othman anifahamishe. Ni dua nzuri maana nahisi kama anaomba nusra ya adhabu ya kaburi, umri🤔 tafadhali nifundisheni na Allah atawalipa kheri duniani na akhera In shaa Allah
@issaramadhani9714
5 жыл бұрын
Tafuta kitabu cha Husni'l Muslim ghalama yake ni ndogo tu miongoni mwa dua unazohitaji hiyo ni mojawapo utaipata ndani ya kitabu hicho.
@rashidvuaimwadin1914
5 жыл бұрын
Allah humma inny aundhubika min adhabilkabur waaunzubika min fitnatul mayahaya wa mamaty waaundhubika min fitnatul masihidajar
@habityabsa997
5 жыл бұрын
Issa Ramadhani Shukran akhy!
@habityabsa997
5 жыл бұрын
rashid vuai mwadin shukran kwa dua!
@issaramadhani9714
5 жыл бұрын
@@habityabsa997 nawe pia ALLAH akukunjulie mlango wa nuru ya ilmu na kupenda diyni yake.uwe miongoni mwa wanawake wema.
Mashaallah
Lailaha illa anta... Allah atukinge na fitna za masihu dajjal
shukrani
MashaAllah
Maashallah tabalaqallah
Asante Allah ukizidishiye ilim
Iyakallah .....
Sheikh nakupenda Sana napenda unavyozungumza Hadi nahsi kusisimka
ALLAH akujalie uhai mrefu
Allah akulipe kheir.
Nilickiliza kisa cha tamimu darri ambae na wenzie walikutana na masihi addajar ktk kisiwa macho walijikuta baada ya Nashua kupotea na akawauliza kuhusu mtume asiejua kusoma na mitende ya Jordan na wakamwambia mtume je ina ukweli kwa upande wako?
Amiin
Fundisha kitabu at tawheed cha sheikh muhammad ibn abi wahab watu wataacha shirk
Masha allah
Asante
Yaani Sheikh mzima anatoa no za pesa kwa watakaotaka dua!!!La haula.Dini italegea tukianza mambo ya wasiokuwa waislamu.Tuambieni ukweli bana
Je kuna DALILI YOYOTE YA KUJA KWA NABIYYULLAHI ISSA ALAIHI SSALAAM...MAMBO YA KIIMANI HUTAKA DALILUN QATWIYYAH SIO KHABARI AHAD.
Sheikh nina swali
@Keymolin
5 жыл бұрын
Nilickiliza kisa cha tamimu darri ambae na wenzie walikutana na masihi addajar ktk kisiwa macho walijikuta baada ya Nashua kupotea na akawauliza kuhusu mtume asiejua kusoma na mitende ya Jordan na wakamwambia mtume je ina ukweli kwa upande wako?
Aundhubilka min fitinat massii dajjal
kiabu punguza wengine hawajui kiarabu sasa wewe Unaboa kiukweli naicjo kiarabu Chako
@uthmanihimbawe5244
3 жыл бұрын
Kwani c anatafsir?au mpaka tafsir huelewi?
@FatimaFatima-wk1jk
3 жыл бұрын
Si anatafsiri jamani
Unatuchanya na kiarabu kingi bana kama utaendelea kuongea kiarabu kingi basi uache kutuubiria maana unaboa bana wewe tufundishe mukiswahili ili tuelewe. Tambua unapotia video youtube tambua hata sisi wakristo tunafatilia
@fatmakuchanda530
5 жыл бұрын
mbona anatafsir
@faizasaid8262
5 жыл бұрын
Bojardo mbona analolisema atafsiri ila wwe nikiziwi husikii mpaka uwe muislam
@khadijaal6548
5 жыл бұрын
@Faiza Said Inshallah atakuwa Polepole tuende nae
@shabanimohamedimiraji309
5 жыл бұрын
hujalazimishwa kumfuatilia ukiona vp pita kushoto
@kambiabdallah8276
5 жыл бұрын
Bojardo we chiziiiii nini peke yako ndio huelewi humu umeitwa au
Mashaallah
Masha Allah