Kisa cha Prof J kutokuwepo kwenye video ya 'Mtazamo' ya Afande Sele. Ilikuwa hivi | DJ JD(Part 2)

Ойын-сауық

Facebook: / earadio
Twitter: / earadiofm
Subscribes: / @eastafricaradio

Пікірлер: 28

  • @steavmcper7322
    @steavmcper73223 жыл бұрын

    Dj Jd age imeenda kaka salute kwako

  • @steavmcper7322
    @steavmcper73223 жыл бұрын

    Daaah! Nilikuwa wapi siku zote sijaiona hii interview

  • @E9ter9
    @E9ter93 жыл бұрын

    Safi Sana kakamkuu

  • @hamzaadrin941
    @hamzaadrin9413 жыл бұрын

    John umekua baba sana kitambo sijakuona brother

  • @princemajinge2206
    @princemajinge22062 жыл бұрын

    Music ulikua zaman bhana,siyo sasa hivi et unaimba chomeka chomeka,sasa sijui ndio madudu gani

  • @Joseph-lu4yj
    @Joseph-lu4yj3 ай бұрын

    Dj unakosea kuwa PF.majani ndoo alitisha kwa ngoma wakati alikuwepo producer Mika mwamba

  • @user-yd6cv8ft1u
    @user-yd6cv8ft1u7 ай бұрын

    Natafuta wimbo wa afande unaoitwa Ndugu zangu...

  • @saidomary3370
    @saidomary3370 Жыл бұрын

    sasa majani leo anajifanya yeye mwema kuma majini amewanyanyasa sana wasanii anaongea

  • @Joseph-lu4yj

    @Joseph-lu4yj

    3 ай бұрын

    mzee angeweka mazoea hit song asingeweza kutengeneza alafu kumbuka namna ya ku record zamani na saizi ni tofauti jaribu kufwatilia interview jinsi ilivyo kuwa kazi ku record

  • @dottomsham9884
    @dottomsham98843 жыл бұрын

    afande unamchokoza atakulipua we enderea tu

  • @mamudidrisa385
    @mamudidrisa3853 жыл бұрын

    But Afande aliandika zaidi...nashangaa watu hawamuelewi

  • @jacksonsabana2150

    @jacksonsabana2150

    3 жыл бұрын

    Fact

  • @mamudidrisa385

    @mamudidrisa385

    3 жыл бұрын

    Sana mwanangu jamaa alikua mfalme wa. Rhymes si utani

  • @RuzoOwzy

    @RuzoOwzy

    3 жыл бұрын

    Bangi zilikuwa nyingi, ndo tatizo la Afande, ila alikuwa artist mzuri na mwandishi mzuri. Nmesikia interview yake hapa juzi kati, akaeleza hata lile tukio la Mkali Nani alilovua suruali akabaki na boxer. Aliongea vizuri sana hadi nkaona zamani tulikuwa tu tunapishana nae, ofcoz hata nae umri na experience haipo kama sasa hivi, so aliweza kujieleza vixur kwa hiyo interview.

  • @RuzoOwzy
    @RuzoOwzy3 жыл бұрын

    05:00 hiyo background instrument ni wimbo gani??

  • @stevenlugojeremia2323

    @stevenlugojeremia2323

    3 жыл бұрын

    Imekaa Vibaya

  • @RuzoOwzy

    @RuzoOwzy

    3 жыл бұрын

    @@stevenlugojeremia2323 😀😀. Nlijua litakuwa bonge la wimbo. Kumbe ni ndungurukusujo!!!

  • @johnpaulkirenga5824

    @johnpaulkirenga5824

    3 жыл бұрын

    @@RuzoOwzy hahahahahaha ninini?

  • @nassibabdul6510

    @nassibabdul6510

    3 жыл бұрын

    Alikufa kwa ngoma mwana fa

  • @RuzoOwzy

    @RuzoOwzy

    3 жыл бұрын

    @@nassibabdul6510 Ni kweli. Upo juu mkuu

  • @saidomary3370
    @saidomary3370 Жыл бұрын

    sasa majani leo anajifanya yeye mwema kuma majini amewanyanyasa sana wasanii anaongea

Келесі