Allah akupe njiA nzuri ya kueneza dini yetu ya kislamu naomba Tu dua Mimi nilikua kila Aina ya uraibu lakini namshukuru mungu nimeacha kila kitu na sai naswali nikikosa swala hua naumia sana
@johnmoses2345 Жыл бұрын
Masomo na wasio mzuri, naenda, mola akupe maisha mrefu, uendelee kunufaisha umma wake mtume.
@thumalove18863 ай бұрын
ALLAH AKUHIFADHI SHEKH OTHMAN NA MASHEKHE WOOTE WANAO TUILIMISHA IN SHA ALLAH
@zenaibrahim43729 күн бұрын
Jazaakallaah kheri shekh othman mashallah
@samiasalim8322 Жыл бұрын
Mashalla jaeak Alla million billion kheir
@mussakiligaliga43484 ай бұрын
Mashaallah mungu atuongoze
@user-fz5ff7rg1l6 ай бұрын
InshaAllah mungu nijalie nikutane na shekhe othman
@mishikatana-ws4wi3 ай бұрын
Allah akuhifadh pamoja na kizazi chako.
@amurimzungu-tn4jf Жыл бұрын
Mola akuhifadhi Maalim othman Maaalim
@josuzajsk398 Жыл бұрын
Mashaa Allah tabaraka arrahmaan sheikh Othman.... in shaa Allah Allah azidi kukujaalia ilmu na sisi tunufaike 😍
@zuberikijangwa6708 Жыл бұрын
Mashaallah 🥰🥰 jazakanllah kheri othmani maalimu
@luhembaabasi1158
Жыл бұрын
Mambo
@ayshaaysha21655 ай бұрын
Mashaallah mwenyezi mungu akujalie Kilalaher
@zenazena24514 ай бұрын
Allwa akupe heri kumbwa pamoja na kizazi chako kiwe na ilimu
She Unasema Wanawake wana Tabia ya kutokupenda Kushirikiana haswa kweye kushirikiana Mwanaume kwamba mwananamke anapenda Mume wake mwenyewe na sio mume kuoa wake wengine. Je, Wanaume nao Mbona hawapendi kushirikiana Mke mmoja wanaume wawiwili? Kwanini Kwa Wanawake iwe Raihisi kushirikiana Mume Lakini kwa Mwanaume hataki kushirikiana na Mwanaume mwingine? Hapo ndio penye kasoro kubwa ya Mwanamke kukandamizwa na kumfanya Mwanaume kama Mungu wa Duniani
@ms.zeyana7175
5 ай бұрын
Hio ni sheria na imeekwa kwa mazingatio makubwa na aliamrishalo Allah basi limetolewa kwa mazingatio makubwa sana.. Sheria ni wanaume ndio waneruhusiwa ila wanawake sisi kwa maumbile yetu Allah ameona tunatosheka na mmoja na tukiwa na wengi basi athari kubwa anaweza kuipata mwanamke
Пікірлер: 38
Allah akupe njiA nzuri ya kueneza dini yetu ya kislamu naomba Tu dua Mimi nilikua kila Aina ya uraibu lakini namshukuru mungu nimeacha kila kitu na sai naswali nikikosa swala hua naumia sana
Masomo na wasio mzuri, naenda, mola akupe maisha mrefu, uendelee kunufaisha umma wake mtume.
ALLAH AKUHIFADHI SHEKH OTHMAN NA MASHEKHE WOOTE WANAO TUILIMISHA IN SHA ALLAH
Jazaakallaah kheri shekh othman mashallah
Mashalla jaeak Alla million billion kheir
Mashaallah mungu atuongoze
InshaAllah mungu nijalie nikutane na shekhe othman
Allah akuhifadh pamoja na kizazi chako.
Mola akuhifadhi Maalim othman Maaalim
Mashaa Allah tabaraka arrahmaan sheikh Othman.... in shaa Allah Allah azidi kukujaalia ilmu na sisi tunufaike 😍
Mashaallah 🥰🥰 jazakanllah kheri othmani maalimu
@luhembaabasi1158
Жыл бұрын
Mambo
Mashaallah mwenyezi mungu akujalie Kilalaher
Allwa akupe heri kumbwa pamoja na kizazi chako kiwe na ilimu
Ma sha Allah Allah Othman Malim
SubhanaLLAH ALLAH ni Mwingi wa Rehma
Masha Allah... Allah tabaraq
Mashaallah tabaraka Allah 🎉🎉🎉
Mashallah
Jazaaka lahu haira sheikh wutu
Jazzakah llah sheikh🤲🤲🤲
Masha Allah kisa kizuri
Allah Akbar
Shukran sana sheikh wetu
Ma sha Allah
Masha Allah tabaraka llah
Isso está muito claro, allah te abençoe Osman
Mashallah jazaka llahu lkheir 🥰
Mashaaallah
Moyo wangu hufarijika sana nikiwa na skiza visa
Maashallah
Assalam Aleykum warahmatullah wabarakatu JazakAllahu kheri
She Unasema Wanawake wana Tabia ya kutokupenda Kushirikiana haswa kweye kushirikiana Mwanaume kwamba mwananamke anapenda Mume wake mwenyewe na sio mume kuoa wake wengine. Je, Wanaume nao Mbona hawapendi kushirikiana Mke mmoja wanaume wawiwili? Kwanini Kwa Wanawake iwe Raihisi kushirikiana Mume Lakini kwa Mwanaume hataki kushirikiana na Mwanaume mwingine? Hapo ndio penye kasoro kubwa ya Mwanamke kukandamizwa na kumfanya Mwanaume kama Mungu wa Duniani
@ms.zeyana7175
5 ай бұрын
Hio ni sheria na imeekwa kwa mazingatio makubwa na aliamrishalo Allah basi limetolewa kwa mazingatio makubwa sana.. Sheria ni wanaume ndio waneruhusiwa ila wanawake sisi kwa maumbile yetu Allah ameona tunatosheka na mmoja na tukiwa na wengi basi athari kubwa anaweza kuipata mwanamke
@user-by1hy9gu4b
5 ай бұрын
Ameamrisha allah,Allah ni mjuz
Mashallah jazakaallahu kheiran
Mashallah