KIMENUKA TENA: WABUNGE WAMVAA BASHE, SPIKA DKT. TULIA AMPA MAAGIZO MAZITO, "HAIFAI TENA"

#UhondoTV #Uhondo

Пікірлер: 68

  • @stephenndagalla8183
    @stephenndagalla81839 күн бұрын

    Mhe. Spika kila muda unavyo enda ndivyo anavyo shuka weledi wake wa kusimamia mwenendo wa Bunge. Yaelekea amekuwa mtetezi wa Serikali zaidi kuliko jukumu lake Kuu la kuishauri na kuisimamia Serikali (kwa niaba ya Wananchi). Hoja ya Mbunge kuhusu chai kama isinge rejelewa, Serikali ingeendelea kukaa kimya licha ya agizo walipewa mwanzoni mwa vikao vya Bunge hili linaloendelea. Hata hivyo, majibu ya Serikali ni mepesi sana na Spika kayaridhia!!

  • @HenryCastuli-jz3cx

    @HenryCastuli-jz3cx

    9 күн бұрын

    Tena spika akiendelea namnahiyo 2025 atakuwa mbunge wakuteuliwa

  • @user-rn9og1rk3l

    @user-rn9og1rk3l

    9 күн бұрын

    Speaker wa bunge lA hovyo

  • @user-rn9og1rk3l

    @user-rn9og1rk3l

    9 күн бұрын

    Huyu Tulia hana uwezo wa kiti alichokalia kabisa is beter apishe

  • @LusajoKabuka
    @LusajoKabuka9 күн бұрын

    Sukari ni bei sana mahindi bei mdogo alafu mnamwambia mpina mwonngo mungu anwaona saw

  • @MollelMollel-il4rg
    @MollelMollel-il4rg9 күн бұрын

    Hakuna spika hapa mwili kama muhogo

  • @rehemakanyere4188

    @rehemakanyere4188

    9 күн бұрын

    Hahahaha

  • @sabinahobe3478

    @sabinahobe3478

    9 күн бұрын

    Ila jmn khaa umenichekesha sana

  • @MACHOYATAI-jk6fu

    @MACHOYATAI-jk6fu

    9 күн бұрын

    Umeona eee vijinga sana hivi vimama vimeuza bandari zetu zoote

  • @Mima-cl2im
    @Mima-cl2im9 күн бұрын

    Bashe kashindwa kazi. Hajaleta majibu ya tuhuma za Mpina. Mpina ndiyo kawa mushitakiwa. Ushahidi wote wa duka la mobile kupewa tenda la ku import sukari ya mabilioni limezimwa. Hili bunge limekuwa ni la kutetea ufisadi na sio watanzania. Wabunge wanapiga makofi tu bila ya kujali. Hapa bungeni hakuna kitu cha kuwasaidia watanzania. Bashe kashindwa kazi

  • @awadhally1052

    @awadhally1052

    9 күн бұрын

    Kwel kabisaa yaan ni wizi mtupu

  • @allykwaya

    @allykwaya

    9 күн бұрын

    Ujanja ujanja mtupu.

  • @allykwaya

    @allykwaya

    9 күн бұрын

    Yanatokea kwa jirani zetu wakenya ipo siku watanzania wataamua.

  • @StephanoMoses

    @StephanoMoses

    9 күн бұрын

    Kweli

  • @mwalimumstaafu8529

    @mwalimumstaafu8529

    9 күн бұрын

    Kuna hoja ya Mh. Mpina wabunge wamepuuzia na ndio hasa hoja kuu. Mpina hakupinga uagizaji wa sukari, hoja yake kiwango kilichoagizwa kilizidi mahitaji ( gap sugar). Kiwango kilichoagizwa hakijawahi kutokea na haikuidhinishwa na technical team. Na utoaji wa vibali ulikuwa na harufu ya rushwa. Narejea kauli ya Lisu kila kilo ya sukari wajanja walijipatia shs 300. Kibali ya tani 30,000 kilitozwa bilioni 9. Bunge lilitakiwa niangalie kiasi cha sukari kiliendana na mahitaji kwa wakati ule na makampuni yaliyopewa vibali yangewekwa wazi. Hapa kuna harufu ya ufisadi, na wahusika ni wengi. Iko siku tutasikia ukweli.

  • @user-cz7bd9tc5k
    @user-cz7bd9tc5k9 күн бұрын

    Wacha chai ife Tuta Agiza Tuta toa Vibali Vya kuagiza Majani ya chai Braziri Hakuna ahida

  • @levidavid1156
    @levidavid11569 күн бұрын

    Bashe na sipika wote wezi wanalindana hawafai

  • @festokemibala5832

    @festokemibala5832

    9 күн бұрын

    Na kwamba spika huwa hana rekodi ya hoja ambazo hazijapata majibu ya serikali kwa kipindi husika? Nini maana ya mwenyekiti/spika/kiongozi wa kikao kama hajui yatokanayo na maazimio ya vikao vyake? Uchawa bungeni kwa manufaa ya nani? Sukari dsm sh.2,600 kagera na nadhani kigoma sh.3,200! Hili nalo spika walisemeaje, au unayo maslahi pale wananchi wanapokosa kunywa chai asb kwa sbb ya bei ya sukari kuelemea bajeti ya siku? Hapo hujataja maharagwe sh.3,600-4,000/-. Mungu anawaona, midomo ya watu haitawaacha salama😢

  • @user-xx8fb4ed5u
    @user-xx8fb4ed5u9 күн бұрын

    Unaposema impliment kwan unafkilia kila mtz anajuwa kingereza?,ongea kiswahili usichanganye kungereza

  • @festokemibala5832

    @festokemibala5832

    9 күн бұрын

    Ongea point, kiingereza waulize wanaokifahamu

  • @illomowerner7690

    @illomowerner7690

    9 күн бұрын

    Hivi Bashe Hussein hawezi KUONGEA KISWAHILI?

  • @merygodfrey3709

    @merygodfrey3709

    9 күн бұрын

    KISWANGLISH.

  • @MACHOYATAI-jk6fu

    @MACHOYATAI-jk6fu

    9 күн бұрын

    ​@@festokemibala5832nyoko mlete mamako atafasili ulitupeleka shule watumwa walugha we now english than you

  • @MACHOYATAI-jk6fu

    @MACHOYATAI-jk6fu

    9 күн бұрын

    ​@@festokemibala5832mlete mamako atafasili ulitupeleka shule watumwa walugha we now know english than you

  • @salummichael87
    @salummichael874 күн бұрын

    Kiswahili ndio sawa wabunge wetu kiingereza marekani siyo tanzania

  • @StephanoMoses
    @StephanoMoses9 күн бұрын

    Hili bunge iko cku wa tz watachoka kama wakenya.

  • @andrewmwita119

    @andrewmwita119

    9 күн бұрын

    Wewe watz huwezi walinganisha na Kenya broo wale ni educated sisi nivilaza tuu hatuwezi jilinganisha nao hata kidogo

  • @constntinemabina5067
    @constntinemabina50679 күн бұрын

    solute kwa mpina,wabunge wa ccm wote wapiga pesa za walala hoi, hamna mtetezi wa wanyonge. namshangaa sana huyu speaker anayejiita speaker wa mabunge ya wazungu anashindwaje kushugulikia hoja za mbunge ambaye anawakilisha kero za wananchi, pia nawashangaa wabunge kama msukuma na wengine.

  • @user-lt1bi5nr1x
    @user-lt1bi5nr1x9 күн бұрын

    Tatizo hawa viongozi ndo wamegawana biashara zote za nchi hii hawa matajiri ni bosheni tu.

  • @richardnott4403
    @richardnott44039 күн бұрын

    Tumepigwa sana mh

  • @georgemassebu2083
    @georgemassebu20839 күн бұрын

    Bashe nae ni kama Mwigulu tu,nimesha mstukia huyu nae,anatengeneza maongezi ya hekima ya kuigiza kama Mwigulu na kumbe nyuma ya pazia kuna mashaka makubwa ya utendaji na uwajibikaji dhidi ya hiki anacho kisimamia

  • @FredMwamgogwa-td6ni
    @FredMwamgogwa-td6ni9 күн бұрын

    Kazi ipo

  • @SteveShemsanga-il3ct
    @SteveShemsanga-il3ct9 күн бұрын

    Mbunge upo vizuri unawapigania wananchi wako sio makamba ameshawishi wakulima wafunge kiwanda nasasahivi amewakimbia nahaongelei kuhusu hilolakiwanda champonde

  • @dilludillu2747
    @dilludillu27479 күн бұрын

    Huyu waziri 😢

  • @nefertitibelinda1146
    @nefertitibelinda11469 күн бұрын

    Wezi watupu HAKUNA MUWEKEZAJI HAPO… mnalindana- mhindi na msomali UHUJUMU MTUPU 😂

  • @awadhally1052

    @awadhally1052

    9 күн бұрын

    Kwel kabisaa

  • @mohamedelmi7435

    @mohamedelmi7435

    9 күн бұрын

    Kumamalalamako msenge ww tafuta kazi wacha ukabila utaliwa wazi

  • @awadhally1052

    @awadhally1052

    9 күн бұрын

    @@mohamedelmi7435 unafirwaa na nguruwe ww kimala mamaako mtoto wa haram

  • @nefertitibelinda1146

    @nefertitibelinda1146

    9 күн бұрын

    @@mohamedelmi7435 Asante Sana nashukuru. Tusi hilo umemrudishia Mamako. Duuuhhh Wewe unaona wivu kwa usenge tu !!! Pooolleee sana sababu namuonea huruma mamako. Pole zake Mungu atampa mtoto mwema badala yako.

  • @nefertitibelinda1146

    @nefertitibelinda1146

    9 күн бұрын

    @@mohamedelmi7435 kisha Jina Mohammed Ddduuuhhh 🤣

  • @paulokateme7615
    @paulokateme76159 күн бұрын

    Serikali itawafidia vipi hao wakulima? Mhd ana umuhimu gani kuliko wananchi na familia zao?

  • @user13375
    @user133759 күн бұрын

    Wanajadili siku ngapi😮😮

  • @natafutamatatizo4382
    @natafutamatatizo43829 күн бұрын

    WABUNGE NA SPIKA WAO WOTE NI MATAAHIRA MPINA NDIE ANAEJITAMBUA!

  • @hamadsaburi3569
    @hamadsaburi35699 күн бұрын

    Ovyoooooo

  • @peterdaimon-ug6fd
    @peterdaimon-ug6fd8 күн бұрын

    Mtakutana

  • @MACHOYATAI-jk6fu
    @MACHOYATAI-jk6fu9 күн бұрын

    Tangu lini mwanamke akaongoza basi tuu watanzania nimataira.ingekuwa kenya walivyouza tuu bandari yeye na samia wake wangeondoka hata hivyo tanganyika uoga umezidi

  • @Mima-cl2im
    @Mima-cl2im9 күн бұрын

    Wizara hii ya kilimo angepewa mzalendo kama POLEPOLE. Bashe sio mżąlendo anadanganya watanzania. Mugeni hajifichi.

  • @user-gc1ez1yv4k
    @user-gc1ez1yv4k9 күн бұрын

    Mimi ,bashe simchukulii kama mwenzetu.Jamani au amesahau kuchana?

  • @nefertitibelinda1146

    @nefertitibelinda1146

    9 күн бұрын

    Ameshiba

  • @awadhally1052

    @awadhally1052

    9 күн бұрын

    Kwel kabisa

  • @olembetonga7341
    @olembetonga73419 күн бұрын

    Kwanza mwigulu na speker muliamua kutumaliza wa Tanzania hamna uzalendo hata kidogo na nchi hii😡, bashe nilikukubali sana ulianza vizuri lakini nikama umeshalambishwa asali umeanza kuturuka ki petero tunakuchekitu muhesh🤔

  • @olembetonga7341
    @olembetonga73419 күн бұрын

    Hapo hakuna kitu ni story tu na kutafuna kodi zetu mna panga mambo hewa manake hatuoni mabadiliko hukunje kilakitu bei juu tozo zimezid na bado mnazidi kuongeza ilituzidi kuwa masikin mtutawale mnavyotaka hamuna uzalendo na wananchi kabisa mmekaa hapo kutumaliza na hiyo katiba ya wazungu ikosiku tutakuja huko bungeni ndio mutajua nchi niyetu sote wa Tanzania tunawatizama tu 😠

  • @nefertitibelinda1146
    @nefertitibelinda11469 күн бұрын

    Spika kazi umeshidwa…

  • @user-hb8er6dq2q

    @user-hb8er6dq2q

    9 күн бұрын

    Watanzania tuna asira sanaaa ngojen

  • @yesayaissa3860
    @yesayaissa38609 күн бұрын

    kosa la bashe kwenye sukari ni lipi?

  • @mwalimumstaafu8529
    @mwalimumstaafu85299 күн бұрын

    Mohamed enterprise ni pasua kichwa. Alinunua mali nyingi toka serikalini lakini hakuna alichofanya kuendeleza. Hakuwa na nia ya kuendeleza isipokuwa ilimsaidia kupata mikopo kuendeleza biashara zingine. Amekuwa sio mtu sahihi kumkabidhi mali za umma. Na hapa natoa wito kwa reli trc msimpe uendeshaji wa reli atahujumu. Tunaona pia uwekezaji simba hauna uwazi ni maneno tu.

  • @festokemibala5832

    @festokemibala5832

    9 күн бұрын

    Ndo maana alipotezwa muda fulani. Siyo potential mwekezaji bali opportunist na in no time atakuja kivingine kusaidia uongozi kuingia madarakani!

  • @sylvestercameo6263
    @sylvestercameo62639 күн бұрын

    La kuvunda halina ubani! "hatutakubali sekta hii ife..."! Kwani ni sekta gani nyingine mmekubali ife, ni kahawa, katani, pamba au tmbaku?

  • @adelinelyaruu3036

    @adelinelyaruu3036

    9 күн бұрын

    Viwanda vya Baba wa Taifa

  • @sylvestercameo6263

    @sylvestercameo6263

    9 күн бұрын

    @@adelinelyaruu3036 Hakika!, Imebaki historia. Kulikuwa na mamlaka ya pamba, mamlaka ya kahawa, mamlaka ya tumbaku. Hizi ziliwasaidia wakulima kupata pembejeo na masoko, vyote vimeuawa. Masoko ya mazao haya ni wabunge na viongozi wakuu wa Chama. Halafu waziri anakuja na majibu mepesi!

  • @mayrfrimi4759
    @mayrfrimi47599 күн бұрын

    Ivi wabunge mbona kila atakaeruhusiwa kutoa hoja huwa anajikunjia sana kwenye kipaza sauti yaani (mike, ,) hamuoni kuwa baada ya miaka 10 mtakuwa na vibiongo wote hapo bungeni??

  • @elizabethmassi7327

    @elizabethmassi7327

    9 күн бұрын

    ni ili kukifikia aongee asikike maana kipo chini sana

  • @godfreyfrugence4176
    @godfreyfrugence41769 күн бұрын

    Nqtaman hatar Leon rais amtoe bashe maana hatumwelewi kabisaaa lakin mpina ndo tunamwelewa sababu anatuelewesha kwa ushaidi kwann bashe nayey asiweke ushaidi kwahy mpina ili tujue mkwel yupi

  • @oswaldtemba2770
    @oswaldtemba27709 күн бұрын

    Big brain Bashe.uishi maisha marefu Bashe.

  • @HaryPoter-zw7vr
    @HaryPoter-zw7vr9 күн бұрын

    SASA mlimfungia Mpina Kwa Nini???

  • @user-lt1bi5nr1x

    @user-lt1bi5nr1x

    9 күн бұрын

    Anatetea raia