KILIMO CHA MWANI NI MKOMBOZI KWA WANAWAKE ZANZIBAR

Kilimo cha Zao la Mwani visiwani Zanzibar nchini Tanzania ambacho kinaajiri idadi kubwa ya watu hasa wanawake visiwani humo bado uwekezaji wake haujawa katika hali inayoweza kutoa tija zaidi, huku wakulima wa zao hilo wakililia Serikali kukitazama kilimo cha Mwani kama miongoni mwa sekta inayoweza kubadilisha Maisha ya wengi visiwani Zanzibar.

Пікірлер