Kijana wa miaka 13 apigwa risasi na kuuawa Kiamaiko, Huruma
Jioni ya leo, maafisa wa polisi bado wanasalia kwenye darubini kufuatia mauaji ya kijana wa miaka 13 aliyepigwa risasi akiwa kwenye roshani ya nyumba yao katika eneo la Kiamaiko mtaani Huruma hapa Nairobi. Yassin Hussein alikuwa akifuatilia yaliyokuwa yakiendelea nje wakati wa oparesheni ya kuhakikisho agizo la kutotoka nje usiku linatimizwa. Huku uchunguzi ukiagizwa kufanywa, mwanahabari wetu Gatete Njoroge amehudhuria mazishi ya kijana huyo aliyetarajiwa kufanya mtihani wa KCPE mwaka huu
Пікірлер: 639
So painful seeing the dad breakdown in tears..
@mercyindire9019
4 жыл бұрын
Mungu amemwona huyo police....
@mamatalia6844
4 жыл бұрын
So painful young son,
@thevineyard7149
4 жыл бұрын
@@mercyindire9019 of course
😭😭😭😭😭😭😭😭😭Yaa Allah Mpokee Kijana Wetu Mpe Kauli Thabit lifanye Kaburi Lake kuwa kiwanja Miongoni mwa Viwanja Vya Peponi Allahumma Ameen
@omarmahendo9213
4 жыл бұрын
Amiin
@nasraabassnasraabass1888
4 жыл бұрын
Ameen ya Allah
@khamishussein7036
4 жыл бұрын
Allahuma ameen
@mummycute6977
4 жыл бұрын
Amiin
@ladymashaallahilikeuaadvis997
4 жыл бұрын
AMIYN YA ALLAH
😭😭😭OH no, but why? I can feel the pain jamani, innocent boy gone just like that? God why
@tulymlomo6403
4 жыл бұрын
Wajinga sana
I almost bursted in tears when I saw that papa shedding bitter tears 😭😭😭😭
@beatsbywesternshaa1023
4 жыл бұрын
Me too bro
@daphinemwangi8605
4 жыл бұрын
woi aki nmemhurumia aki mtoto wake ameenda ivo tu bila hatia ,Mungu anaona
Inalillah waina ileyhi raajicuun😭😭😭 poleni sana😭😭😭😭😭😭
This is too much ,we have idiots at the helm Imagine the pain of the parents
@esthernyaboke1764
4 жыл бұрын
Why ??why Lord help my country stop this Ni ujungu Uhuru ajana na his city Aja Corona ituue kuliko kuuliwa bila kids pliz mbona Kenya yetu polisi wanatumaliza bila uharibifu
@mahbubdawood2909
4 жыл бұрын
And was preparing for KCPE exams
@rubenprince8990
4 жыл бұрын
Kenya 🇰🇪 is a war zone since long time but the world is not aware of that I feel pity for my African brothers and sisters here in abroad we don’t hear such inhuman behaviour
This is not right! Many policemen in Kenya are very ignorant, arrogant and foolish! We need wise ones! Poleni sana familia.
“Nataka kuona haki ya huyu mtoto kama kuna haki hii Kenya” thats the mother’s words 😭😭😭
@habicigombaabdikarim6581
4 жыл бұрын
Bro Kenya hakuna haki kuna shwria
@thevineyard7149
4 жыл бұрын
Hakuna haki Kenya. Mungu tu. But the wrath of God is unstoppable
@haniyaswaleh9512
4 жыл бұрын
@@thevineyard7149 so sad bt mungu ampe subra wakti huu mgumu
ALHAMDULILAH uhuru umewaua waislamu 2 BURE tu, ALLAH ATAWALIPIA in sha ALLAH . Yassin umekufa shahid in sha ALLAH makazi ya peponi
@somaliskysports1673
4 жыл бұрын
Wacha kuleta mambo ya dini ndugu yangu
@tanumzalendo1567
4 жыл бұрын
Updy Jamal Yep! This has nothing on dini! More kenyans have dead through police brutality 😰
@supumoto6819
4 жыл бұрын
@@somaliskysports1673 wataka niseme walioliwa ni akina NANI? Ikiwa ww huoni uchungu Kwa waislamu kuuliwa kiholela bila SABABU ntakuita MNAFIKI Ama vipi, unaweza niambia sababu yakuuliwa ilikua nini ? Walifanya makosa gan ? Naomba unijibu
@salumsaid6572
4 жыл бұрын
INSHAALLAH AMEEN
This is so bad! I can imagine that father shedding the tear for his son. The government is failing us
@marthamwangi6349
4 жыл бұрын
Newton Atavachi its painful .
So sad.may his soul rest in eternal peace 😭😭😭
We want justice ya hiyo mtoto police wenye kulinda watu dio hao wamekuwa wakuua kheri waache kulinda
@flom4383
4 жыл бұрын
So sad RIP toto
Wait. They are using live bullets on citizens? Why?
@beverlykadenge2095
4 жыл бұрын
Nashangaa sana, this is sad
@matanobaya7660
4 жыл бұрын
Gavaa watasema haikuuwawa na Police, eti ni majambazi.
@beriahbarua2152
4 жыл бұрын
Imgn 😭😭😭c hery
@deepsavannah9723
4 жыл бұрын
I was born in kiamaiko I have lost 12 friends to police bullets
@feiabdi6085
4 жыл бұрын
Coz this is kenya wajinga sisi....
Poleni kwa yasin mungu awape subra yasin amekufa shahid inshalla
Tupoe sana kwa msiba. Mtoto wetu tayari amepokewa katika bustani ya M/Mungu na atakuwa kinga ya wazee wake kwenda motoni. Subiri Sister subiri brother wangu.
Inalilahi waina ileyhi rajicun......better Corona than shotting.....may Allah give us better life than this
Very sad indeed. Is just an innocent child. Our Condolences to the family and relatives. Pamoja❤️🙏.RIP.
It’s time regular police to be stripped off all weapons, let’s have a special armed unit.
@jamalmohamud8615
4 жыл бұрын
Spot on
Poleni sana kwa njaga hili pole sana babangu kumwanga machozi ni uchungu sanah
Wewe polisi may you never know peace..this is so inhuman.
Poleni sana kwa familia na marafiki wa huyu Kijana. Mungu awafariji na awape amani. Wale waliomuua huyu mtoto hataepuka hukumu ya Mungu.
Ya Allah let it be justice
A father lossing a son is very painful.That pain cannot measured to anything
And all of this after they let in the virus through the airport
@stephenimbo5830
4 жыл бұрын
Senseless use of force on innocent civilians . Yet when they are needed to patrol our neighborhoods to curb crime they are no where to be seen. Kenya police need to be retrained and to be reminded that they are members of society with just but a responsibility of enforcing the law. They are not the law , neither are they above the law.
@gideonmuchina9242
4 жыл бұрын
I think they even need to be arrested it feels like we are safer without the police
Inallilahi wainailahi rajiun😭😭😭😭😭 mrs🇰🇪
Poleni sana pia mimi ni mama naskia uchungu sana Allah akupee subra dear hata mimi sijue nigefanya nini coz mimi hata naweza kuuwa huyo police akuna vile utauwa mtoto wangu na haja fanya makosa na wewe utempe free 😪😪
@barkesaid7200
4 жыл бұрын
Na yeye Allah atampa la kumpa askie uchungu kama alivoukia mtoto huyu mdogo. Amin Yarraby
@nasraabassnasraabass1888
4 жыл бұрын
@@barkesaid7200 Ameen ya Allah
😭😭😭😭 Innalillah wainahillah rajiuon
@nicholasmakau4027
4 жыл бұрын
Kenya ni ya kikuma sana
We want to see the bottom of this!!
Inallilahi wa inna ilehi rajiun so painful wallahi... May Allah give the family the patience and sabr
This is so sad😭😭😭 RIP may God comfort the family. While people are stressed about corona Kenya police are causes much more stress and depression the incosent citizens.
Why why why police? Innocent boy. May God revenge for him
Polisi hawajui wanaua taifa la kenya 🇰🇪" sio kazi rahisi kufikisha mtoto Hadi huo umri" ni kazi ngumu" hao polisi wajue hivyo' badala waende kupambana na al-shaabab military
@nasraabassnasraabass1888
4 жыл бұрын
😂😂kweli
@mildredjael1338
4 жыл бұрын
@@nasraabassnasraabass1888 yes" al-shaabab military wanachoma Hadi tractors" Sasa mtoto hana hata silaha yeyote" kwani imekuwa mzaha kwao?
@salmanamianga9868
4 жыл бұрын
Inauma kweli 😭😭😭😭😭😭
@mildredjael1338
4 жыл бұрын
@@salmanamianga9868 wamezuia coronavirus
@mildredjael1338
4 жыл бұрын
@@salmanamianga9868 ilikuwa vigumu polisi wa kitambo kufyatua risasi" sijui siku hizi kunaendaje
Soo painful 💔😭😭😭 Rip Child
*From Allah we belong and to him is our return!* 😢
Very painful 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭 young and innocent kid,Mungu tukumbuke qwa Imani yako 🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽
😭😭😭😭Allah awajalie wazazi wake sabr,hakika ni uchungu
Allah atawapa subra familiya ya yasin na inshaallah malipo ya mtoto Allah hakeem
Innalillahi wainna ileyhi raajiun poleni Sana Wana Familia mungu awape subra
Very sad indeed my condolence to the family, RIP innocent soul
Misishangai polisi wa Kenya kufanya Jambo hili.HAWANA DISPLIN. Wametrain kuwa agresive kwa mwananchi wakenya. Ninauhakika vile atanitreat Mimi sio vile atamtreat mzungu.
This is so painful!I feel for His parents😢😢😢😢Kenya,Kenyaaaaa
So painful 😢and I can't hold my tears,
Inauma sana bora ufe na corona kuliko kuua mtoto kwa mikono yenu
Wah😭😭rest in peace,
Pole sana
Jamani police wa wakenya mnaelekea wapi mbona mtaletea nchi laana badala ya ugonjwa mnawamaliza wananchi kwa mikono yenu Nimelia sana leo kwani hata mimi niko na mtt 13 old kila mzazi lazima aumie zaidi haki mungu amlaani alie katisha maisha ya huyo mtoto kwa kisingio cha Corona na mungu amlipe maumivu zaidi walio pata family yake huu mto is so beautiful 😢😢😢😭
Mwenyezi mungu atalipa hili kwa aliye litenda hili pamoja na kikosi chote kilicho kuwa kwenye dolia hawa machizi tunao waona barabaran sio wote wamerogwa wengine dam za binadam za Watu naamini hili Allah atalipa Alhamdulilah
So sad may yasin rip
May Allah grant Yassin Entry into Jannah,may yo family find peace In Shaa Allah
Pesa na mtoto nikipi cha maana 😭😭😭😭imeniuma sana tena sana hadi machozi yananitoka ila tu Inna Lillahi wainna ilayhi Rajiun
This is so heartbreaking. We need justice.
May Almighty intervine through...
Gaaaaai soo painful may he rip
Innalilahy wainnaillay rajiuni 😭😭😭poleni ila mungu yuko nanyi
innalillahi wainnaileyhi rajaoun rahmaAllah
The pain of losing a child hurts so bad 😢. May GOD comfort the family.
So sad.. may they find Justice.. Prayers to the Family
Ooh poleni sana
Innalilahi waina ilehiy rajiun 😭 😭
Heartless officers na mko na watoto surely:? May God fight for Kenyans against this freemasons
Ina lilah waina ilahi rajiu Pole sana mungu ampe subra wakati huu inshaallah
Very sad indeed 😢😢 kiukweli police wengine niwabaya Sana
I can`t watch for more than one time.. i feel paaaiiin inside my heart...very sad,,but why??????????????????????????? 😭😭😭😭
So painful
Poleni sana aki so sad Mungu awafariji wakati huu.
Poleni sana ndg zetu wakenya,dah inauma sn
Innalilah rajiun this is too much jamani😭😭😭😭😭😭
😭😭😭😭😭 Wooiiiii, why now, why?? Such an innocent soul. May God give you peace.
Allah awape subra kubwa jamii yote waliopatwa na msiba huu mkubwa, tena mzito
Woiye pole kwa familia ,aki kenya ni lazima kukitokea jambo ,damu isiyo na hatia imwagike .
Poleni kwa familia
But why why... Did they have to shoot? Aki woi..
Kenya,kenya,kenya where will we hide our selfs?so sad,I feel the pain,,,
Inna lillahy wa inna illayhi Rajioun, Poleni Sana.
So sad 😥😢
Rest with the angels baby boy it's so painful 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
I went to give pole kwa family of this innocent soul.They own the house from ground to third floor huezi sema wezi waliingia hapo ama wenye walichelewa nje walijificha ati kwa hiyo nyumba.They are in their own balcony.why was he killed he was in his dad's residential home.soo sad
😭😭😭😢
So sad!
Peace condolences to the family.. .justice must be done .. Polisi bona?????
So sad
So painful....God forgive us all...Rip young boy
Very painful indeed.
So painful aki
OMG poleni sana wooiye
So sadi indeed and in Kenya always there is no justice.. the scene makes me to recall baby Pendo mbaya sana poleni familia Yasin
Juzi MTU wa NTV alipigwa na baadae ati ameomba msamaha kisiri kwanini hatujaonyeshwa hadarani. Na hii pia lazima tuonyeshwe ni huyu ndio amemuua mtoto ahukumiwe kifo!!
Jamani
😢😢😢😢😭😭😭😭😭😭😭. Innalillah waina illah rajiun,pole sana Allah awape subra katika kipindi hiki kigumu inshaallah, Kenya hakuna haki ila ALLAH NDIE HAKIMU WA HAKI 😭😭😭😭 .Ya Allah wahukumie waja wako wanaodhulumiwa bila hatia Amiin
So painful.may God judge that police.nnnkt
So sad. So sad...may God give u courage that you've lost your beloved ones...
How is murder and violence fighting the pandemic.
Which hearts do these guy's have honestly 😭😭😭 surely you shoot an innocent boy for no reason,,why why why????mi Sina uwezo .. condolence to the family 😒😒Almighty God will see you through . Mr President just see this and do something.. it's really hearting 😒
Woii 😥
Broken my heart 💔💔 why don't they dill with Corona virus waihitafute waipate na wahipige na gun kuliko kuhuwa mtoto innocent like that .
Polisi wakora💔
Poleni
Uuui poleni sana walikuwa manjirani wangu .too painful surely poleni tu saana
Poleni sana,so painful😩
So painful 😭😭😭