KIBURI KWA MWANAMKE HAKIFAI WALA HAKIPENDEZI NDOA NYINGI HUVUNJIKIA HAPO

Пікірлер: 7

  • @ashanassoro6492
    @ashanassoro6492 Жыл бұрын

    Masha Allah

  • @user-qb3yh9gq5l
    @user-qb3yh9gq5l Жыл бұрын

    MashaAllah mafunzo mazuri

  • @alhamdulillah5796
    @alhamdulillah5796 Жыл бұрын

    Maa shaa Allah nisubra. Na ndio mana kuna mlango maalumu wa wapepo wa watu ambao wanajisomea ruqya wenyewe.

  • @alhamdulillah5796
    @alhamdulillah5796 Жыл бұрын

    Mm mwanangu sitizami tabia ya m'me tu hata za wazee na ndugu zake in shaa Allah nitaziangalia. Mana hao ndio wavunjaji wa ndoa za watu nambari moja. Mume na mke wanaeza kua na mizozo yao na wakadumu kwenye ndoa zao wakafa na kuzikana lkn wakikuwemo mawifi na wakwe makhabithi mizozo inakuzwa. Na kuna wengine ndoa za wtto wao na ndugu zao km zimetulia hazina mizozo hua hawana furaha kabisa na hujaribu kuianza. Kwa hio sitoangalia mume tu hata ndugu na wazee wake. Aje mume sheikh lkn km mama/ndugu zake watapitapi labda mtto atake mwenyewe. Umasikini si shida, shida utapitapi....familia zikiwa na tabia hzi basi sahau kuishi kwa salama na mumeo.

  • @alhamdulillah5796
    @alhamdulillah5796 Жыл бұрын

    Kweli wakishaoa waachiwe tena kwa upande wa mume na wamke. Upande wa mume watizame yao na upande wa m'ke watizame yao. Sheikh tushashuhudia w'ke wanadini zao na mwisho wanateleza kwa vituko vya watu wa upande wa waume.