KAZI IMEANZA MCHUNGAJI USOKWA USO NA# Muhubiri Mwaipopo

#SHEIKHMWAIPOPO #MUHUBIRIMWAIPOPO #SHEIKHMWAIPOPOTV
Tafadhali Usiache KuSubscribe katika Channel hii ya KZread ya SHEIKH MWAIPOPO TV..Like pamoja na kusharekwa wengine hili wapatwe na Kheri kutoka kwa Sheikh wetu Mhadhiri Said Mwaipopo.MAWASILIANO ZAIDI TUPIGIE:+255 756 361 906..................من فضلك لا تتوقف عن الاشتراك في قناة الشيخ موايبوبو التلفزيونية على يوتيوب..مثل مع المشاركةللآخرين ليتم استدعاؤهم من قبل خيري من الشيخ المحاضر سعيد موايبوبو.

Пікірлер: 170

  • @musasaanane2758
    @musasaanane27582 жыл бұрын

    Nakukubali sanamwaipopo Allah akujalie naakuendeleze kufanya hivyo milele daima nitajitahidi kukuunga mikono

  • @saudahassan6667
    @saudahassan66673 жыл бұрын

    Mashaallah sheikh wetu mwaipopo

  • @amsodewiz4901
    @amsodewiz490111 ай бұрын

    Jazakaallah, sheikh mwaipopo❤❤❤

  • @emmy85sweetie99
    @emmy85sweetie993 жыл бұрын

    Allahu akbar, allahu albar, allahu akbar laailahailalah allahu akbar

  • @sarahmussa7043
    @sarahmussa70432 жыл бұрын

    Muislam awezi kubishana na watu wasio na elimu na wakapata ushindi uwongo uwo uisilam ndio dini ya kweli tu uko sawa shekh mwaipopo.

  • @shabamuhidin634
    @shabamuhidin6342 жыл бұрын

    ina maana kuna wakati miaka 2000 yrs ago mungu alikua akitembea jerusalem,tena sasa wakati huo watu walikua wanasema mungu amepita hapo nje sasa hivi ameenda kisimani kunywa maji...subhanaAllah..maneno mazito na yanatisha

  • @sawdaasawdaa7903
    @sawdaasawdaa79033 жыл бұрын

    Yesu si mungu si mwana wa mungu ata katika quoran kunamajibu yake atayajibu sikuyakiyama kwakukana ayo pasta iko na sema ambayo alifundishwa nawanadamu wewe aca uongo huna elimu elimuyako ya kiroho nindogo

  • @bennymochiwa4800
    @bennymochiwa48003 жыл бұрын

    Nilichogundua wote wanamwamin Mwenyezi Mungu tofauti ni njia tu lkn safar ni moja, Insha Allah Mwenyezi Mungu awatangulie

  • @saidsuleiman1753
    @saidsuleiman17533 жыл бұрын

    Mchungaji umepewa elimu ya uongo kichwani mwako omba Mungu akuzindue siku moja ujue ukweli kisha usome elimu ya kweli.

  • @rahmasoliman489

    @rahmasoliman489

    2 жыл бұрын

    Yani msiba kwakweli

  • @rahmasoliman489

    @rahmasoliman489

    2 жыл бұрын

    Yani mchungaji amemeza memory yanaporomoka kinchwani msiba kwakweli tena mtihani

  • @FammiFami

    @FammiFami

    Жыл бұрын

    Mchungaji mbona hutulii,kaa upate elimu ,jisalimishe kua muislam ndio dini ya kweli dini ya manabii wote ww ninnan ukatae

  • @salmaathuman9156
    @salmaathuman91563 жыл бұрын

    Mashaa allah shekhe mwaipopo waelimishe dini ni unyenyekevu na sio biashara na kelele za nyimbo makanisani hapo utabishana nao sababu wako kwenye biashara ndo maana anasema yesu ni mungu mtihani sana

  • @tututz100
    @tututz1003 жыл бұрын

    Mashalah shk Mwaipopo Allha akujaalie na akupe ujasiri

  • @duniawadunia4824
    @duniawadunia48243 жыл бұрын

    Masha"Allah

  • @sonyhusseinnzelevoko1221
    @sonyhusseinnzelevoko12213 жыл бұрын

    Nakushukuru Sana sheikh Mwaipopo

  • @user-un5or4ye4d
    @user-un5or4ye4d Жыл бұрын

    Inshaallah

  • @abdallahsaid1968
    @abdallahsaid1968 Жыл бұрын

    Maashallah shekh mwaipopo Allah atuhifadhi sote waislam unamchalenji mchungaji anataka kukimbia maana kachanganyikiwa anacheza cheza kama mkojo umembana vile😁😂🤣😁

  • @neemainabikorwa5570
    @neemainabikorwa55703 жыл бұрын

    Alhmdulillah ala neematil islam.

  • @hillaryarande745
    @hillaryarande7452 жыл бұрын

    Nashangaa na ndugu zetu waislamu wanakubali manabii,isaya anatabiri ,kuusu yesu ,naanapeana jina lake ni mungu mwenye nguvu

  • @abdalaauame3863
    @abdalaauame38632 жыл бұрын

    Mashalla allbdulilai ustaz maipopo wafundishe hawo wanyuwe mungo

  • @faroukamir5484
    @faroukamir54843 жыл бұрын

    Mimi nashangaa na wakristo ..wengine wasema yesu ni mungu..wengine wasema yesu ni mwana wa Mungu..ss tushike yupi.. wakristo kuweni na msimamo moja...

  • @prochesernest5439

    @prochesernest5439

    3 жыл бұрын

    Siumesikia Mungu mwenye nguvu usipoelewa utakaa ukaelewa mpaka unakufa

  • @jamilaalfarsi7712

    @jamilaalfarsi7712

    3 жыл бұрын

    @@prochesernest5439 eti ananguvu km ananguvu mbona alisulubiwa km mavodai wenyewe?? Nani anakubali kufa km sikukosa nguvu nakuzidiwa Hadi kuuliwa acheni kujazwa ujinga nyinyi

  • @rahmatahmed1871
    @rahmatahmed18712 жыл бұрын

    Assalam Aleykum warahmatullah wabarakatu to all Muslim brothers. Alhamdhulillah kwa Neema ya uislam...tutaipeperusha bendera ya lailaha Ila Allah muhamadan RasulAllah mpaka mwisho...Allah atujalie istikama katika dini na atujalie thabit kwa kauli zetu

  • @meisme7540

    @meisme7540

    2 жыл бұрын

    AAMIIN YAA RABBI

  • @mwawekomiuda9779
    @mwawekomiuda97795 ай бұрын

    Yaani ummati wa waislamu wote tumuamini M'mungu Mmoja na kumfuata Mtume Muhammad (s.a.w) mtume wa Mungu. wewe kashasha usipoamini hivyo yadhuru nini yaani wewe ndio kama nani?

  • @athmanmohammedngana8977
    @athmanmohammedngana89772 жыл бұрын

    Masha'Alla.... sheikh Mwaipopo unaeleza ukweli ulio wazi kabisa

  • @tajulius4607
    @tajulius46072 жыл бұрын

    Shekhe mwaipopo mashaalah unaakiri nyingi sana

  • @ahmadseif7241
    @ahmadseif72413 жыл бұрын

    Maasha Allah UST mwaipopo

  • @husseinibrahim5438
    @husseinibrahim54382 жыл бұрын

    MA SHA ALLAH

  • @jumanjenga7682
    @jumanjenga76822 жыл бұрын

    Masha Allah Sheikh

  • @innocentndikumana8928
    @innocentndikumana89282 жыл бұрын

    Asalam alykum mungu akusayidiye uyione haki na uyifate ishallah

  • @godmoontv4476
    @godmoontv44763 жыл бұрын

    Ilaa naomba musiogopane kwenhe dini ikiwa ni ukweli muambiane ukweli assante

  • @rahmasoliman489
    @rahmasoliman4892 жыл бұрын

    Mtihani

  • @AliAli-zg1kp
    @AliAli-zg1kp2 жыл бұрын

    MashaAllah

  • @saumusanjiama6991
    @saumusanjiama69912 жыл бұрын

    Shekhe mwaipopo Allah akulipekher

  • @husseindiaby5097
    @husseindiaby5097 Жыл бұрын

    Mwaipopo upo sahihi

  • @delefantasticali8377
    @delefantasticali83772 жыл бұрын

    Mashaaallah

  • @zwuenakhalfan2098

    @zwuenakhalfan2098

    8 ай бұрын

    Yesu sio Mungu fikirini sana Mungu gani kakaa tumboni kwa Maria na kuzaliwa na kutahiriwa kala chakula na kwenda choo yesu hana sifa ya uungu yesu ni mtume kama manabii wengi walikuja kabla ya yesu

  • @hillaryarande745
    @hillaryarande7452 жыл бұрын

    Na uyo yesu ataitwa mushauri wa ajabu, mungu mwenye nguvu

  • @benjaminmwilaria1145
    @benjaminmwilaria11452 жыл бұрын

    Yesu ni mungu na si kumpigania

  • @mwawekomiuda9779

    @mwawekomiuda9779

    5 ай бұрын

    Pole sana.

  • @moussashamba719
    @moussashamba7193 жыл бұрын

    NENO LA MWISHO LA MCHUNGAJI ANASEMA MOYO WAKE UMEJAA MAHABA..ASANTE ALLAH KWA MJADALA HUU WA AMANI NA UPENDO,,KWA LENGO LA KUTUPATIA ELIMU SISI WAJA WAKO AMEEEEN

  • @emmy85sweetie99
    @emmy85sweetie993 жыл бұрын

    Maashalah Yaalab niongoze katika dini ya kweli na haki bila kutetereka. Allahuma amiin

  • @user-wf3vy4jt3e
    @user-wf3vy4jt3e2 жыл бұрын

    Pastor yuababaika kweli hajiamini na dini yake Allah amuongoze katika haki 🙏

  • @francisjoseph1074

    @francisjoseph1074

    2 жыл бұрын

    Allah ndo kitu gani? Acheni kudanganyana waislam mlipigwa hapo , Qur'an ni Stori za kahawa alizokua akisimuliwa Muhammad Mambo yaliotokea zamani na nayy anaenda kuwasimulia warabu wenzie ambao waliokua awajaenda shule ndomana Bible inasema mshike Sana elim usimwache aende zake

  • @user-wf3vy4jt3e

    @user-wf3vy4jt3e

    2 жыл бұрын

    @@francisjoseph1074 kudanganywa na nanini wewe sibiri ufe uende Motoni🔥🔥uislamu kama haungekua dini haingenea kwa haraka ivo duniani na hakuna dini ya kweli mbele ya mwenyezi mungu ila uislamu tu

  • @francisjoseph1074

    @francisjoseph1074

    2 жыл бұрын

    @@user-wf3vy4jt3e tatizo lenu shule nawasikitikia Sana na hiyo dini yenu ya mchongo, ata ukifuatilia historia ya Qur'an ni ya ujanjaujanja kingine mnachojidanganya eti issa ndo YESU , jibril ndo GABRIEL, huu ni uongo mkubwa ambao ulivunja recodi Dunia nzima, issa na Gabriel hivi viumbe havijawahi kutokea duniani wala mbinguni hakuna kitu cha namna hiyo, Bali mlidanganywa

  • @princerammy1543

    @princerammy1543

    2 жыл бұрын

    @@francisjoseph1074 naham ningekua karibu nikuzabue kofi wallah ww kafiri ww

  • @francisjoseph1074

    @francisjoseph1074

    2 жыл бұрын

    @@princerammy1543 kafiri ni wewe na Allah wako

  • @pascalsamwel3038
    @pascalsamwel30383 жыл бұрын

    I mani inaanza ndiyo dini inayofuata dini maana yake ni njia ya kufika kwa mungu mbona vitu vinaeleweka shekhe wetu mwaipopo.

  • @ramadhanabdala8611
    @ramadhanabdala86112 жыл бұрын

    Kashasha karibu kwenye uislamu, achana na yaliyovurugwa.

  • @abdulbonomali6548
    @abdulbonomali65483 жыл бұрын

    Wenyewe kwa wenyewe Mkiristo mstaafu na mkiristo aliyokazini subhana nlaaaa

  • @mwawekomiuda9779

    @mwawekomiuda9779

    5 ай бұрын

    Hakuna cha wenyewe kwa wenyewe . Mwaipopo ni Muislam tu.

  • @ally_tz96
    @ally_tz96 Жыл бұрын

    Msomaji wangu taratibu utazoea tu

  • @alhaddajmohammed4768
    @alhaddajmohammed47683 жыл бұрын

    Kama Yesu kutokana na jina lakini niyuleyule Mungu bali amebadili jina mmmh...! Ukatowa mfano wa maji yana majina mengi mfano; Uhai, Afya nk. Pamoja na maji kuwa na majina mengi je maji yanaweza kuwa Samaki?! Mungu wa kweli hana sifa ya kubadilika kama Jini/Shetani/Malaika nawala (Allah) Mungu Mola Muumba hanasifa ya walizonazo Viumbe mfano kuzaliwa (mtoto), hana mama, hafi nk yafanywayo na Viumbe Mungu hana sifa hizo. Wakristo wacheni kukufuru..!

  • @ismailyusuph740
    @ismailyusuph7403 жыл бұрын

    Mchungaji anasema anaamini alipoambiwa amuamini ‘MUNGU KWA JINA LAKE YESU’...!...Sasa si tayari ameshamaliza kwamba kuna MUNGU na kuna Yesu..!...hii imani ya Yesu kuwa MUNGU ni Imani tu Lkn haipo kwenye MAANDIKO....!....Msiba mkubwa sana kwa Huyu Mchungaji..!

  • @yusuphalawi6803
    @yusuphalawi68032 жыл бұрын

    Shekh mwaipop hao watakuchosha to achana nao

  • @pirminmatumizi5464
    @pirminmatumizi54643 жыл бұрын

    Mtoto au mwana wa mtu, Je, si mtu? Je, kondoo aweza kuwa mwana wa ng'ombe, na Kadhalika. Je, ni ajabu Bwana Yesu Kristo kuitwa Mwana wa Aliye Juu, yaani Mungu; Na hivyo, kuwa ni Mungu pia? Very common logic and wisdom.

  • @shabanirukundo4272
    @shabanirukundo42723 жыл бұрын

    Asalam alaykum sheikh mwaipopo hapo hunamtu anarukarukatu huyo elim yake nindog san

  • @khdigahk4246
    @khdigahk42462 жыл бұрын

    Wapewe Iman kwa dini ipi? Yesu akitangaza Iman kwa dini ya kiislam

  • @sawdaasawdaa7903
    @sawdaasawdaa79033 жыл бұрын

    Waromi ndio wamekuja kukwanbiya yesu nimungu nimwanawamungu kafa kwazanbizetu musalabani uyo utabiri wakirom towa jasho apo huna elimu

  • @abdullahsaleh9248
    @abdullahsaleh92483 жыл бұрын

    Safi napenda hii

  • @joezeno8
    @joezeno83 жыл бұрын

    Ni kweli msiba mkubwa Duniani ni dini

  • @gshdhvdhf8283
    @gshdhvdhf82833 жыл бұрын

    Kama yesu alikua anisamehe dhambi kwanini auwawe kwajili ya dhambi ya watu....

  • @abelsteven3189

    @abelsteven3189

    3 жыл бұрын

    Hilo swali ni gumu kwa wapagani, lakini ni rahisi kwa waaminio, kwasababu wokovu unatoka kwa wayahudi, Historia ya ukombozi wa mwanadamu vimeainishwa vizuri kwenye biblia, Ni ngumu kuelewa kama wewe ni mpagani. Qurani ipo ili ikosoe ndio maana imewataja wakristo na wayahudi wazi wazi (kupigana, kuwa na udui nao) , kuonyesha kwamba haikutoka kwa mungu muumba wa mbingu na dunia, bado kuna makosa chungu mzima ya kihistoria ya kisayansi, na ya kiimani.

  • @gshdhvdhf8283

    @gshdhvdhf8283

    3 жыл бұрын

    steven samahani sana kama kuna mtu aliechanganyikiwa ni wewe yaani wewe na bibilia mumechanganyikiwa haya maneno yako umeandika hata hayaketi maana kabisaa a simple question unajibu utakavyo bila hata kufikiria unachosema....

  • @pungopungo411

    @pungopungo411

    Жыл бұрын

    Kazi za Mungu hazichunguziki sanasana mnajitafutia hukumu

  • @pungopungo411

    @pungopungo411

    Жыл бұрын

    Makosa jungu nzima mnayaona nyinyi mliokuja nyuma

  • @aishambega4118
    @aishambega41182 жыл бұрын

    Najivunia kuzaliwa muslamu yesu si mungu wala si mwana wa mungu noooooooo!!!!!!

  • @gshdhvdhf8283
    @gshdhvdhf82833 жыл бұрын

    Kumbe yesu alisilimisha watu

  • @rahmasoliman489
    @rahmasoliman4892 жыл бұрын

    Ujanja mwingi mchungaji

  • @pesangwasalim5258
    @pesangwasalim52582 жыл бұрын

    Mwalimu kashasha kapoooooooa

  • @engzuberir.akilenza1764
    @engzuberir.akilenza17643 жыл бұрын

    Mimi ninaamini Kuna watu wata pona baada ya majibu ya huyu mchungaji maana hayaeleweki na hayatoi majibu ya eti YESU ni MUNGU.

  • @sarahmussa7043
    @sarahmussa70432 жыл бұрын

    Muislam awezi kubishana na watu wasio na elimu na wakapata ushindi uwongo uwo uisilam ndio dini ya kweli

  • @godwinkileo7702
    @godwinkileo77023 жыл бұрын

    Mwaipopo rudi tu kwenye ukristo umepotea.

  • @hassanimouigni6648
    @hassanimouigni66483 жыл бұрын

    Lazma yafurahi

  • @saidswalehe2807
    @saidswalehe28073 жыл бұрын

    Waoo mwaipopo ingiza darasa huyo pasta

  • @michaelvicem6323
    @michaelvicem63232 жыл бұрын

    UKRISTO SIO DINI ILA NI IMANI NA SIO BORA KULIKO IMANI IMAN NDIO UKRISTO NA IBRAHIMU ALIPEWA IMANI NDO KITU BOLA NA SISI WA KRISTO NDO WATU WA IMANI,,ILA WAISLAM HAWANA IMAN AO WANA DINI DINI NDO SASA

  • @pungopungo411
    @pungopungo411 Жыл бұрын

    Dini haimuingizi mtu peponi mmestak hapo ndio akili zinaishia hapo .mnasahau ya kuwa Mungu hachunguzuki

  • @sawdaasawdaa7903
    @sawdaasawdaa79033 жыл бұрын

    Quran ishamaliza elimu zote haijaaca kitu yesu si Mungu si mwanawamungu namama yake si mama wa Mungu izo ni elimu zamakafiri yesu ni nabi wa Mungu tena alitumwa kwa wana wa israel nabi wawatu wote nimutume MUHAMMAD s.a.w ayo unayoyasema hapo wewe pasta huna hakibhujuwi unaloliongeya kunamaswali ata papa francis anajuwa nahana jobu mwi iyo bibilia kwasasababu wawo waroom ndiyo wamezulumu vitabo tatu nakuandika wanalolitaka nakugeuza hunanishu inabidi mwaipopo ndio akufunze aca kiburi fata elomu kweli ungali hayi

  • @abelsteven3189
    @abelsteven31893 жыл бұрын

    Waisilamu wana dini lakini hawana mungu wa kweli.

  • @alhaddajmohammed4768

    @alhaddajmohammed4768

    3 жыл бұрын

    Ssa hiyo dini tumeipata kutoka kwanani?! Maana Dini/njia/kanuni zote za jinsi ya kuabudu hutoka kwa (Allah) Mungu Mola Muumba. Ili ibada ipate/iwezekuwa ibada lazima iwe imeelekezwa na Mungu Mola Muumba. Hivyo Wakristo hawana/hafanyi inada za kweli/za haki sababu wamejibunia midumo ya kuabudu kutoka kwa Wapagani/Makafiri na ndomana Wakristo hawana dini !

  • @abelsteven3189

    @abelsteven3189

    3 жыл бұрын

    @@alhaddajmohammed4768 Historia ya dini yenu ilianza kwa kikundi cha watu fulani, wakiongozwa na mohamad ambaye, wakristo na wayahudi walimpotosha, kwa wakati huo, ndio maana mandishi ya qurani yamechanganya injili kidogo, torati kidogo na upagani mwingi kutoka kwa makureshi wa maka. kwahiyo dini mnayo ila si ya mungu wa kweli, bali mungu wa kubuni.

  • @saidsuleiman1753

    @saidsuleiman1753

    3 жыл бұрын

    @@abelsteven3189 Tatizo lenu mmepewa elimu ya uongo mkaiamini mbaya zaidi hao waliowaletea hiyo dini ya uongo wenyewe hawaifati. Jitafakari acha kufuata dini kwa mazoea fanya utafiti binafsi kama anavyofanya mchungaji wako hapo. Mpe muda mhungaji wako utakuja utaona atakavyowakimbia.

  • @jamilaalfarsi7712

    @jamilaalfarsi7712

    3 жыл бұрын

    @@abelsteven3189 hao walioleta dini nahawaifati nikinanani mbona hukuwataja?????

  • @AbdulAbdul-pr9qe

    @AbdulAbdul-pr9qe

    3 жыл бұрын

    @@abelsteven3189 kwanza ukristo wenyewe ukiuchambua utakuta kila dhehebu lake limeanzishwa Ulaya au America na hakuna mtume yoyote alietokea pande hizo, sasa dini mmeitoa wapi?

  • @delefantasticali8377
    @delefantasticali83772 жыл бұрын

    Sheikh wao n kondooo walio potea mngu awaongoze kwenye kheri yesu c mngu Bali n mjumbe w mngu tu...

  • @sawdaasawdaa7903
    @sawdaasawdaa79033 жыл бұрын

    Ukikuta na anyejuwa bibilia vizuri kama mazinge na sule na kinyogori njo watakunyoosha sawasawa samoja utakosa jibu kinywa kijae maji

  • @pascalsamwel3038
    @pascalsamwel30383 жыл бұрын

    Hapana dini bila kua na imani na unachokihamini mwaipopo hachakupotosha watu.

  • @omarchuo2178

    @omarchuo2178

    3 жыл бұрын

    Doooh anapotosha watu tena!! Ina maana huoni usikilizi huoni mchungaji hawezi kujibu maswali

  • @ismailyussuf1805
    @ismailyussuf18052 жыл бұрын

    Shk Saidi,huyo Msomaji,alisomea wapi?Anasoma kama mtoto wa darasa la kwanza!!!!

  • @sefunduwayo7388
    @sefunduwayo73883 жыл бұрын

    Pigania dini hiyi yau islam sheikh mwaipopo nasisi tuko nyuma yako. Napia number za i.pesa tumeziona

  • @zawia3154
    @zawia3154 Жыл бұрын

    Tofauti kubwa ya wakristo na waislam Waislam wanasoma na kuelewa biblia na Quran lakini wakristo wanasoma biblia tuu na Quran hawaisomi hawaijui Wala hawaielewi

  • @musasaanane2758
    @musasaanane27582 жыл бұрын

    Allah akijalia inshaallah

  • @amsodewiz4901
    @amsodewiz490111 ай бұрын

    Vp mchungaji kitii iko naaa mibaa mbon hutuliiiii

  • @hassanimouigni6648
    @hassanimouigni66483 жыл бұрын

    Andiko yalipate wapi? Mtukufa wa daraja hajatumwa na mungu katumwa na nani?

  • @benjaminmwilaria1145
    @benjaminmwilaria11452 жыл бұрын

    Huyo mwaipopo nimpinga kristo

  • @gshdhvdhf8283
    @gshdhvdhf82833 жыл бұрын

    Kashasha haki elimu yako ni chache sana maana unavyofafanua haingii akilini sote in waja wa mungu

  • @ally_tz96
    @ally_tz96 Жыл бұрын

    Mchungaji unakataadini bibria unasomaje sasa 😭 daaa msiba

  • @rashidmshindo1527

    @rashidmshindo1527

    Жыл бұрын

    kweri wamesoma Ila bado awajaelewa shee

  • @mohamedafdhal9392
    @mohamedafdhal93923 жыл бұрын

    Saf Xana mwaipopo

  • @aishambega4118
    @aishambega41182 жыл бұрын

    Mhh eti yesu ataleta kiama ?huu ni msiba 😏eee Allah wape utambuzi warejee inshaallaah

  • @sawdaasawdaa7903
    @sawdaasawdaa79033 жыл бұрын

    Manyongeza Allah ashatangaza nakumali katikabizo imani unazozitapatapa hapo kasema iyo gifti ya pili na asiyefata uisilamu huyo atakuwa mwenye hasara kubwa sana peponi sasa hasara manayake nini? Mungu ashatangaza nakumaliza asiyekuwa muisalam huyo hamuabudu( basi) hakukutafutatafuta twambiye wapi Mungu binafsi kasema mucristo atakwenda mbinguni wapiiiii???????? Hupati ata wende vatikani kwenye makao ya ukirisu hupati pasta pole

  • @abubakarhaji5343

    @abubakarhaji5343

    2 жыл бұрын

    Hawa jama Hawana jipya kabisa wanasuasua tu mungu amjalie ajue haki na aifate

  • @hillaryarande745
    @hillaryarande7452 жыл бұрын

    Bt naelewa watu wa mwilini aeawezi elewa mambo ya rohoni, ukisoma Quran inasema shetani alikua na kizazi,maanake ana uzao,waislamu Nina swali nani alikua mke washetani,kwa sababu tukisema yesu ni mwana wa mungu munauliza nani mke wake

  • @saphinalutaha9077

    @saphinalutaha9077

    11 ай бұрын

    Aya gan inasema shetani alikuwa na kzaz😂😂😂😂

  • @godwillmanyaki7816
    @godwillmanyaki78163 жыл бұрын

    Shehe huyu hakuwa mchungaji. Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa ndio huku. Yani kwa akili yake anadhani injili ni kitabu Kama quran, injili sio kitabu injili ni habari njema kuhusu ufalme wa mungu..

  • @hillaryarande745
    @hillaryarande7452 жыл бұрын

    Nani alisema ukiwa mwislami ni tiket ya kwenda mbinguni uwo nimusiba,ata kua mkristo sio tiketi ya kukupeleka mbinguni, watakatifu ndio wataingia mbinguni ,akuna dini ,Wala kabila ,lolote wanao ingia mbinguni niwatakatifu only

  • @zainabumartin9520
    @zainabumartin9520 Жыл бұрын

    Wabishi hawa watu

  • @saidalsalmi9313
    @saidalsalmi93132 жыл бұрын

    Mchungaji kapewa kibano cha nguvu

  • @hillaryarande745
    @hillaryarande7452 жыл бұрын

    Mwalimu wa kislamu ,mashaka yangu ,nashangaa nilisima mtume eti aliowa mtoto wa mwaka sita je niukweli?

  • @saphinalutaha9077

    @saphinalutaha9077

    11 ай бұрын

    Ndio aliowa wa miaka 9

  • @azamsaid5256
    @azamsaid52563 жыл бұрын

    mbona hutulii Bwana Kashasha Mara umeshika sharubu Mara Tai Mara suti tatzo nini mchungaji??

  • @rahmatahmed1871

    @rahmatahmed1871

    2 жыл бұрын

    Umeonaeee

  • @zainabumartin9520
    @zainabumartin9520 Жыл бұрын

    Achananae huyo hajuikitu utachokatu shekh yy anatafuta pesa kwenye ukirsto

  • @user-ox8pc5wu7u
    @user-ox8pc5wu7u Жыл бұрын

    Muulize Paulo ni mtume kapewa na nani

  • @shabanirukundo4272
    @shabanirukundo42723 жыл бұрын

    Sasa sheikh wetu huyo jamaa alishanongeya dakika 15

  • @khalidomar9866
    @khalidomar98664 ай бұрын

    Ww mchungaji jibu unachoulizwa acha ubabaishaji 😂unaiibika mtu mzima ovyoo ww

  • @pascalsamwel3038
    @pascalsamwel30383 жыл бұрын

    Nandyomana yesu alisema yeye ndiye njia ya kweli na uzima wamilele.

  • @jamilaalfarsi7712

    @jamilaalfarsi7712

    3 жыл бұрын

    Njia yawapi??

  • @masoudshaban6609

    @masoudshaban6609

    3 жыл бұрын

    Hata Yesu atawakana siku ya Qiyama

  • @sonyhusseinnzelevoko1221
    @sonyhusseinnzelevoko12213 жыл бұрын

    Amekuja kusoma umfudishe natufayidika

  • @sawdaasawdaa7903
    @sawdaasawdaa79033 жыл бұрын

    Mimi kama muisilam namupa gift ndogo tu Allah ashamaliza kilakiru kakiweka wazi hatuna haja yakuwasikiza waokuwa na ukweli ao elimu sahihi Allah kashamaliza kabisa kua Mucristo wakweli huamini quor an nakuifata basi yesu akisema imani yamutu imemuponya nikua uyo mutu yesu huwa amemulipa duniani uponyaji aca kudanganya watu

  • @abelsteven3189
    @abelsteven31893 жыл бұрын

    Mwaipopo hamna kitu.

  • @ramadhanjuma610

    @ramadhanjuma610

    3 жыл бұрын

    Uyo mchungaji Mbwa kwamu jibu wa biblia sasa Mbwa na binadamu nani amna kitu

  • @abelsteven3189

    @abelsteven3189

    3 жыл бұрын

    @@ramadhanjuma610 Mbwa ndo hamna kitu.

  • @ramadhanjuma610

    @ramadhanjuma610

    3 жыл бұрын

    @@abelsteven3189 kambwa amna kitu na Biblia ina twambia wachungaji Mambwa

  • @abelsteven3189

    @abelsteven3189

    3 жыл бұрын

    @@ramadhanjuma610 sawa

  • @lutfabdulrab5527
    @lutfabdulrab55272 жыл бұрын

    Wewe ni kafiri hata uwe na elimu gani, mungu hana mke wala mtoto wala hafanani na kitu chochote

  • @mossesjovenari9457
    @mossesjovenari94573 жыл бұрын

    waislam hawana elimu kuhusu uungu wa YESU wala hawajui ROHO MTAKATIFU ni nani na anafanya kazigani kwetu na wakati yote yameandikwa kwenye QURAN Yao.

  • @masoudshaban6609

    @masoudshaban6609

    3 жыл бұрын

    Qur'an haijaandika yesu ni Mungu, Qur'an haiwez mkufuru Mungu...endeleeni Mkufuru Allah...Qiyama yaja

  • @athumanikadaika5817

    @athumanikadaika5817

    3 жыл бұрын

    Wewe ambaye una elimu hiyo ndo utufundishe kwa maandiko tuelewe kama unavyoelewa wewe nadhani utakuwa umetenda haki kwa wasiofahafamu.

  • @gshdhvdhf8283

    @gshdhvdhf8283

    3 жыл бұрын

    Mungu kujivalisha mwili wa mwanadamu ili Haje akae na sisi kisha tumchape mijeladi tumutundike msalabani duh kitu gani hicho kikubwa hadi mungu na utukufu wake ajishusha hadi kufika hapo jamani mambo mengine yazigatiwe....God the almighty the superior alfa na omega mungu mwenyezi malaika wamemzunguka eti ajishushe ajifanye mwanadamu....who are we mpaka mungu ajipendekeze kufikia Adhi hiyo....na akitaka nyote aminini sote tungeamini bila hata kutumia nguvu....

  • @princerammy1543

    @princerammy1543

    2 жыл бұрын

    Hhhhhhhh hv ww soma lugha kwanza wazungu wenyewe walo wapa dini wanakataa there's no trinity in God . Kingine jiulize mungu anaweza tairiwa na binadam ?

  • @allymussa4646

    @allymussa4646

    Жыл бұрын

    Atasilimu ipo siku

  • @gshdhvdhf8283
    @gshdhvdhf82833 жыл бұрын

    Wewe pastor uko nashida kubwa wewe umesema Ismael na isaac na agano mbili tena hapo wamuvua Ismael sasa kaa ni agano mbili itakuaje Ismael asitmbulike lazima wote watambulike tujue maana ya agano hizi mbili manufa kwa wanadamu na kwanini mungu aliwafanya agano mbili.....pastor hapo umechemsha

  • @josephwilliam5813
    @josephwilliam58133 жыл бұрын

    Sheikh unataka elimu au bato maana wewe umejiandaa kuipinga unaeleweshwa lkn hutaki

  • @ramadhanilukambuzi9760

    @ramadhanilukambuzi9760

    3 жыл бұрын

    Mungu anajituma,mara anakuwa mtoto mara anazaliwa mara anakuwa mwana wa mungu,kwahiyo Maryam alimzaa mungu?inamaana kama Maryam angekufa na mimba ya Yesu tumboni mwake ina maana Dunia na mbingu na kila kitu sote tusingekuwa na Mungu?

  • @benjaminmwilaria1145
    @benjaminmwilaria11452 жыл бұрын

    Sioni kama huyo muislam atasaindika