Kauli ya CAG nchini Marekani yazua mjadala, wachambuzi waweka mambo wazi
Baadhi ya wachambuzi wa masuala ya kisiasa na viongozi wa kisiasa nchini wamekuwa na mitazamo tofauti kuhusu kauli aliyoitoa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Profesa Mussa Assad nchini Marekani juu ya kuimarisha mifumo ya kitaasisi ili kutekeleza kwa ufanisi malengo endelevu, SDG.
Пікірлер: 24
prof appriaciate u , kama taasisi zetu zkiwa strong hakika Tanzania mpya yaja. MUNGU Ibariki. TANZANIA
Prof Assad Upo vzur
@samsonmwaipwisi313
5 жыл бұрын
Said Bakari Usiogope kauli ya ndugai mzee
Upinzani waliwahi kuzungumzia umuhimu wa kuwa na taasisi imara lakini tuliwapuuza!
CAG ww upo vzur piga kazi achana na wagonga meza wanaotaka kusifiwa tu ukweli hawautaki badala wa kuwawajibisha wanaohusika leo wanawakingia kifua.
CAG YUPO SAHII BUNGE LIMEKOSA MENO HALINA UWEZO! CAG ANACHUKIWA KWA KUSEMA UKWELI?
CAG SIO WEWE MUNGU AMEKUTUMIA NANI ASEME WOTE KIMYA SEMA TANZANIA IPONE TULIPO PABAYA SANA
ssm wanatengeneza mazingila yakuiba zaidi
watu kama nyinyi tunawaitaji sana unamtazamo wambali sana
Mzee yupo vzur
CAG yupo sahihi,Km Trump angekuwa ana nguvu kuliko taasisi leo hi US kusingekalika,angeamua kila atakacho
Msema ukweli Tanzania ni msaliti tuwe na tabia ya kuelezana ukweli hata kama unauma ..No one perfect..Tusiwe na tabia ya kushangiria hata tukitukanwa , lazima tupime yanayosemwa na tuliowachagua ili tuwe na taasisi imara , tukubali kuwa sisi ni watu kwa hivyo hakuna asie kosea.
speaker alitaka CAG asifie bunge linafanya vizuri, uyo si mwanasiasa kama Jobo ndugai, mbunge uyo ni mtaalamu aliwaletea taarifa kama akutekelezwa Ni uzaifu Kweli wa muumuu, taasisi au wizara legwa, kajibu swali alilo ulizwa anakosa gani CAG? Speaker ajitasimini yeye anatosha
Naunga mkono hoja
okay
Kwa kkweli huo ni muono WA. Hali. Ya juu na wasomi Wetu wawe na ujasiri Ili kusaidia uelewa.
@mwesigepaulo4308
5 жыл бұрын
Tanzania kwaiyo atuna tasisi inayojisimamia auzipo kamakapu lamvuvi
C A G YUKO SAWA KABISA..
@khamiszuberi4177
5 жыл бұрын
C A G kaizalilisha nchi muache ubinafsi ukisema bunge nizaifu imaana yake nikwamba aliemteuwa spika wange nizaifu ambae ni mkuu wanchi pia wewe mwenyewe nizaifu Kwa sababu una Fanya kazi zabunge kupitu C AG Kakoea
What happens when magufuli gone ???