KARIBUNI NYOTE MPATE KUFAIDIKA《 Kongamano la kida’wah Afrika Mashariki 》"Amani ni Ustawi wa Jamii"
Kongamano Kubwa la Kidini la Afrika Mashariki lenye kauli mbiu "Amani ni Ustawi wa Jamii linakaribia kufanyika Jijini Tanga, Nchini Tanzania tarehe 28 - 30 Juni, 2024.
Jiunge nasi katika tukio hili la kusisimua ambapo tunaleta pamoja viongozi wa kidini, wanazuoni, na jamii kutoka sehemu mbalimbali kujadili jinsi Amani inavyochochea maendeleo ya jamii.
Kupitia majadiliano, mihadhara, na matukio mengine ya kusisimua, tutashirikiana katika kujenga mustakabali bora kwa kizazi kijacho.
Jiunge nasi kwenye tukio hili la kipekee la kiroho na kijamii!
#KongamanoLaKidini #AmaniNaUstawi #TangaTanzania
Пікірлер: 9
Sema ijitimai
,mashekh wengine wakija tanga alikuwa mfadhili wao mkubwa Allah atamlipia inshaallah
Masha Allah
Ishaalahu
Chuma hiki hapa😅Allah akuhifadhi sheikh Salim
,tufaidike kwa kudhulumu haki za watu hivi ukizungumza unadhani watu hawakunui Hakim WA haki NI Allah anakuona anakusikia hayo uliyoitendea familia marehemsaid janjira insha'Allah atawahumu
Shekhe dali ina sakina ipe haki yake
iyo so bidaa au
Ubwabwa utakuwepo?