KARIBUNI NYOTE MPATE KUFAIDIKA《 Kongamano la kida’wah Afrika Mashariki 》"Amani ni Ustawi wa Jamii"

Kongamano Kubwa la Kidini la Afrika Mashariki lenye kauli mbiu "Amani ni Ustawi wa Jamii linakaribia kufanyika Jijini Tanga, Nchini Tanzania tarehe 28 - 30 Juni, 2024.
Jiunge nasi katika tukio hili la kusisimua ambapo tunaleta pamoja viongozi wa kidini, wanazuoni, na jamii kutoka sehemu mbalimbali kujadili jinsi Amani inavyochochea maendeleo ya jamii.
Kupitia majadiliano, mihadhara, na matukio mengine ya kusisimua, tutashirikiana katika kujenga mustakabali bora kwa kizazi kijacho.
Jiunge nasi kwenye tukio hili la kipekee la kiroho na kijamii!
#KongamanoLaKidini #AmaniNaUstawi #TangaTanzania

Пікірлер: 9

  • @user-mf2ll7nz5g
    @user-mf2ll7nz5g2 ай бұрын

    Sema ijitimai

  • @aminaosman3315
    @aminaosman3315Ай бұрын

    ,mashekh wengine wakija tanga alikuwa mfadhili wao mkubwa Allah atamlipia inshaallah

  • @user-gg5ow9bg6y
    @user-gg5ow9bg6y2 ай бұрын

    Masha Allah

  • @HuseniSelemani-jv1yx
    @HuseniSelemani-jv1yx2 ай бұрын

    Ishaalahu

  • @msarama5406
    @msarama54062 ай бұрын

    Chuma hiki hapa😅Allah akuhifadhi sheikh Salim

  • @aminaosman3315
    @aminaosman3315Ай бұрын

    ,tufaidike kwa kudhulumu haki za watu hivi ukizungumza unadhani watu hawakunui Hakim WA haki NI Allah anakuona anakusikia hayo uliyoitendea familia marehemsaid janjira insha'Allah atawahumu

  • @SharifuKipoto
    @SharifuKipotoАй бұрын

    Shekhe dali ina sakina ipe haki yake

  • @darajanida
    @darajanida2 ай бұрын

    iyo so bidaa au

  • @khamisiiddi2470
    @khamisiiddi24702 ай бұрын

    Ubwabwa utakuwepo?

Келесі