KAA LA MOTO afunguka DEPRESSION inavyowaumiza RAPPERS wa KENYA, wanaokoka au kugeukia madawa (3)

Follow kurasa zetu za mitandao ya kijamii:
/ simulizinasauti
/ simulizinasauti
/ simulizinasauti
/ simulizinasauti

Пікірлер: 39

  • @hajisaidy3081
    @hajisaidy3081 Жыл бұрын

    Kaa LA moto noma sana.

  • @Bless-b.DL-babyofficial8769
    @Bless-b.DL-babyofficial8769 Жыл бұрын

    Wakwanza ku comment likes zangu please

  • @amoskalama7421
    @amoskalama7421 Жыл бұрын

    Kindly everyone understand what Bamboo meant he still Raps but in gospel there is nothing with someone changing direction paths in life ..aimanishi ameshndwa na maisha ..Fame shouldn't be the goal but using our talents to transform the generation

  • @niyakhalid5650
    @niyakhalid5650 Жыл бұрын

    Huyu jamaa anaongea ukweli kabisa Wasanii wa Rap wanapuuzwa hususan wasanii wa Pwani wanapuuzwa ukiongea kiswahili huku Kenya-Bara unadharauliwa

  • @nehemiahmguluka1996
    @nehemiahmguluka1996 Жыл бұрын

    One of the legends 🙌

  • @Burner_Acc
    @Burner_Acc Жыл бұрын

    Hands down Huyu jamaa anajua.

  • @rogerslwitiko3915
    @rogerslwitiko3915 Жыл бұрын

    Upo sahihi Kaa La Moto kuna usemi usemao "Bora Ujinga Salama Kuliko Elimu Isiyotumika"

  • @lucasmsogoti3435

    @lucasmsogoti3435

    Жыл бұрын

    Nimependa comment mwamba

  • @rogerslwitiko3915

    @rogerslwitiko3915

    Жыл бұрын

    @@lucasmsogoti3435 Shukrani sana Mtaalamu

  • @danielkenedy4357
    @danielkenedy4357 Жыл бұрын

    Nakuomb mtaft #Dizasta ufany naye interview #sky. He's smart

  • @Yusuph-px6ci

    @Yusuph-px6ci

    8 ай бұрын

    Yametimia uloyatabiri

  • @chiragahmbura9523
    @chiragahmbura9523 Жыл бұрын

    One of the best intview @ sns

  • @samirmswahili
    @samirmswahili Жыл бұрын

    Huyu jamaa anajua sana

  • @salimsiri1183
    @salimsiri1183 Жыл бұрын

    🔥🔥🔥

  • @feleezybonane8980
    @feleezybonane89808 ай бұрын

    😮mkenya wa kwanza anajua swahili vzuri

  • @eddiemohamed9003
    @eddiemohamed9003 Жыл бұрын

    KAA LA MOTO NI 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @gwantadibusta
    @gwantadibusta Жыл бұрын

    Deep

  • @rogerslwitiko3915
    @rogerslwitiko3915 Жыл бұрын

    Rakim ndiyo muanzilishi wa Scientific Rhyming afu LL Cool J ndiyo alifuse Rap na Pop

  • @mosesdavid-vm5hk
    @mosesdavid-vm5hk Жыл бұрын

    Uyu mjamaa mnona sana

  • @joycegacheri5177
    @joycegacheri5177 Жыл бұрын

    Kaa la moto

  • @kwisa4899
    @kwisa489910 ай бұрын

    sasa nimemuelewa O G alivyo waponda ma wa Bongo

  • @piuslaurian672
    @piuslaurian672 Жыл бұрын

    This is real

  • @aminmohammed4249
    @aminmohammed4249 Жыл бұрын

    Jini la RAP

  • @hassanfigo6175
    @hassanfigo6175 Жыл бұрын

    Kaa La Moto ndani ya big channel SnS, tuko Dubai UAE nawapata vizuri.

  • @bongomastory791

    @bongomastory791

    Жыл бұрын

    Waambie DP W hatuwataki😂

  • @hassanfigo6175

    @hassanfigo6175

    Жыл бұрын

    @@bongomastory791 Ushasema kaka ila lazma wawekezaji waingie nchini mwetu, kama ni kazi tangu hapo hakuna na hawa DPW watatoa nafasi nyingi za kazi sio wababaishaji kabisa.

  • @bongomastory791

    @bongomastory791

    Жыл бұрын

    @@hassanfigo6175 Wawekezaji tunawataka ila sio hao wanyonyaji

  • @bonifacemwadime3834
    @bonifacemwadime38348 ай бұрын

    Answer the question you are asked Klm. Unaexplain sana to validate what?

  • @user-vi1lf8go4y
    @user-vi1lf8go4y Жыл бұрын

    Huyu jamaa mnoma sana

  • @user-ls3sd9ts4m
    @user-ls3sd9ts4m2 ай бұрын

    Jomba kafanana na g nako.

  • @bushzerahamusic4762
    @bushzerahamusic4762 Жыл бұрын

    Uko juu kama paa kazan ufanye la maana maana ujana moshi we mbishi rap ubatishi yaani uko mankini

  • @alibilo6388
    @alibilo6388 Жыл бұрын

    Tupo n wwe kiongozi nrusha teke una makeke kichwa cha kiswahili visiwa vya uswailini Mombasa mpka malindi

  • @tatuelikana1165
    @tatuelikana1165 Жыл бұрын

    Huyu ni mkenya kweli mbona anazungumza vizuri 3:23

  • @jotonyae-04

    @jotonyae-04

    Жыл бұрын

    Hahaha, kwn Wakenya huwa wanazungumza vibaya dadangu?

  • @mugadimon3563

    @mugadimon3563

    Жыл бұрын

    Huyu ni mkenya upande wa mombasa ndio maana kiswahili kimenyooka

  • @Kbaya86

    @Kbaya86

    Жыл бұрын

    Mijikenda kutoka pwani ya kenya

  • @Kbaya86

    @Kbaya86

    Жыл бұрын

    Katik miji Kenda means nine sub tribes.1.Giriama 2.Chonyi 3.Duruma 4.Kauma 5.kambe 6.ribe 7.rabai 8.jibana 9.Digo

  • @jotonyae-04

    @jotonyae-04

    Жыл бұрын

    @@Kbaya86 Kaka kiukweli ww umekuja na topic yako tofauti kabisa, ila samahani kama ntakuwa nmkukwaza