JUA LA ELIMU - Historia ya Sheikh MUHAMMAD AYOUB wa Tamta - Tanga | Kuzaliwa | Kusoma hadi Kufariki
Ойын-сауық
Wengi katika wanazuoni wa leo hapa Tanzania na nje ya Tanzania ukizifuatia silsila za elimu zao basi mwisho utakutana na Kigogo huyu wa elimu aliyeishi Miaka ya nyuma kidogo na si mwingine bali ni Sheikh MUHAMMAD AYOUB
Huenda ukawa humfahamu lakini umeshawahi kumsikia. Alikuwa ndiye muanzilishi na mudiri wa chuo cha elimu ya Dini ya Kiislamu cha TAMTA - TANGA
Hii hapa ni historia yake kwa ufupi ambayo itakupa mwangaza na kumfahamu Mwanazuoni huyu wa Afrika Mashariki na kati.
Asante kwa kuamua kuwa nasi - BUNDUKI TV
#bundukimedia, #uislamu
Пікірлер: 48
Maashaa Allah sanad nzuri sana ,Allah amuhifadhi almarhum sheikh M Ayoub
Hiyo ndio sanad mzuri ya sheikh wetu MaashaAllah.
Mashaallah mzungumzaji ni fasaha sana.
Ahsante kwa taarifa nzuri ya uchambuzi wa kihistoria Akhiy nawe MWENYEZI MUNGU ASIKUACHE KATIKA KUNDI LA WAJA WAKE ANAOWAPENDA KWA BARAKA ZAO AAMIIN
Wanavyooni wengi wamepitia kwa sheikh Ayoub na ukiwaona aliowasomesha ni mashikh wakubwa
قد مات قوم وما ماتت مكارمهم وعاش قوم وهم بين الناس أموات رضي الله عنه .. 🌹
@bundukitv1322
Жыл бұрын
Maaashaallaaah... Swadakta
Allah alifanye kaburi lake ni bustani miongoni mwa mabustani ya peponi.
Allahumma ighifirahu warhamhu waskanahu filjannah
@bundukitv1322
2 жыл бұрын
Allaahumma aamin
@hassankassim6481
Жыл бұрын
Allahumma ighifirahu warhamhu waskanahu filjannah
@omeerrasheed7192
Жыл бұрын
Amyn
Shukran Sana nimefurahi kwa tarehe hii mola akubariki sana
@bundukitv1322
2 жыл бұрын
Shukran
Maashaallaah
Allaah amrehemu shekhe wangu. Alikua akinipenda sana. Niko Oman 🇴🇲 lakini simsahau
@bundukitv1322
3 жыл бұрын
Maashaallaah..
@habibakhalfan1065
2 жыл бұрын
MashaLlah
@hanifsamma4156
2 жыл бұрын
MashaAllah
Shukran Sana sheikh
INNALLILLAH WAINA ILLAIH RAJIUN Allah amfanyie wepesi katika safar yetu hii na ATUPE mwisho MWEMA YAARAB. Wanafunzi wa sheikh kuweni wenye kuipeleka mbele Dini WACHENI mizozo isiyokuwa na maana katika DINI. Bega kwa bega mpaka Firdaus
@bundukitv1322
2 жыл бұрын
Aaamiin yaa Rabbi
Mungu amrehemu amueke pema peponi jina zuri la kwetu mnyanjani Shekh kannena wele wa mnyanjani watajua hilo neno
Mashallah
@bundukitv1322
2 жыл бұрын
Shukran
Mashaallah alla amuondeshee kiza ktk kabri yake
allah akuhifadhi uzidi kutupa ilimu
بارك الله فيك
Asalam alykum ndugu zangu waislamu.kwa majina naitwa Mariam Zahran Dina.nimeipenda historia ya shekhe Muhammed ayoub.me nipo zanzibar.naomba Namba yako ya CMU Kwa mawasiliano na maongezi Zaidi
Mungu amrehem shekhe wetu na afanye kaburi yake kuwa viwanja vya peponi amin isnaallah
@bundukitv1322
2 жыл бұрын
Aamin yaa Rabbi
jazakallahu khayran
@bundukitv1322
2 жыл бұрын
Aaaamiiin
اللهم اغفرله وارحمه واسكنه في الجنة
@bundukitv1322
2 жыл бұрын
Aaamin
Wa kwanza
@bundukitv1322
3 жыл бұрын
😆😆😆 hongera mzeee💪
naomba historia ya muasisi wa mahawa na muasisi wa zahrau
Kasida yangu ipo hapo makao makuu. ان نجا مجتلاء × في ذالهدي
Tunaomba historia ya shekh Shaban Mohammed harir muasis wa maawal islam
@bundukitv1322
2 жыл бұрын
Inshaallaah. Tutaifuatilia sheikh
Kaswida za tamtaa deeii
@kassimamiri4131
Жыл бұрын
اللهم اغفرله وارحمه واسكنه في الجنة
Kaka mungu akujaarie Mana unaturisha Sana neno la mungu
@bundukitv1322
3 жыл бұрын
Aaamiin aaamin
ENZI HIZO HAPAKUWA NA MAWAHABI MAANA KWA SASA ANGEONEKANA MJINGA HAFAI WALA HANA ELIMU MAWAHABI AKILI ZAO SIJUI ZIKOJE YAANI WAMEANISHWA KUWA WAO NDO WANAJUA KILAKITU ILA WENGINE WOOOOTE HAWAJUI KITU
isisahaulike kuwa Tamta ni chuo cha Masufi.Haifai Kusoma hapo. Allah awaongoze.
Mbona kidevu umekikwangua sasa😂😂