JUA LA ELIMU - Historia ya Sheikh MUHAMMAD AYOUB wa Tamta - Tanga | Kuzaliwa | Kusoma hadi Kufariki

Ойын-сауық

Wengi katika wanazuoni wa leo hapa Tanzania na nje ya Tanzania ukizifuatia silsila za elimu zao basi mwisho utakutana na Kigogo huyu wa elimu aliyeishi Miaka ya nyuma kidogo na si mwingine bali ni Sheikh MUHAMMAD AYOUB
Huenda ukawa humfahamu lakini umeshawahi kumsikia. Alikuwa ndiye muanzilishi na mudiri wa chuo cha elimu ya Dini ya Kiislamu cha TAMTA - TANGA
Hii hapa ni historia yake kwa ufupi ambayo itakupa mwangaza na kumfahamu Mwanazuoni huyu wa Afrika Mashariki na kati.
Asante kwa kuamua kuwa nasi - BUNDUKI TV
#bundukimedia, #uislamu

Пікірлер: 48

  • @murtadhwangereza4208
    @murtadhwangereza42086 ай бұрын

    Maashaa Allah sanad nzuri sana ,Allah amuhifadhi almarhum sheikh M Ayoub

  • @saidiramadhan6263
    @saidiramadhan6263 Жыл бұрын

    Hiyo ndio sanad mzuri ya sheikh wetu MaashaAllah.

  • @abuyunusmohamed6961
    @abuyunusmohamed6961 Жыл бұрын

    Mashaallah mzungumzaji ni fasaha sana.

  • @mussaissa6796
    @mussaissa6796 Жыл бұрын

    Ahsante kwa taarifa nzuri ya uchambuzi wa kihistoria Akhiy nawe MWENYEZI MUNGU ASIKUACHE KATIKA KUNDI LA WAJA WAKE ANAOWAPENDA KWA BARAKA ZAO AAMIIN

  • @yusufsong7993
    @yusufsong79932 ай бұрын

    Wanavyooni wengi wamepitia kwa sheikh Ayoub na ukiwaona aliowasomesha ni mashikh wakubwa

  • @jamaldinabubakary9507
    @jamaldinabubakary9507 Жыл бұрын

    قد مات قوم وما ماتت مكارمهم وعاش قوم وهم بين الناس أموات رضي الله عنه .. 🌹

  • @bundukitv1322

    @bundukitv1322

    Жыл бұрын

    Maaashaallaaah... Swadakta

  • @saidiramadhan6263
    @saidiramadhan6263 Жыл бұрын

    Allah alifanye kaburi lake ni bustani miongoni mwa mabustani ya peponi.

  • @kassimfundi2326
    @kassimfundi23262 жыл бұрын

    Allahumma ighifirahu warhamhu waskanahu filjannah

  • @bundukitv1322

    @bundukitv1322

    2 жыл бұрын

    Allaahumma aamin

  • @hassankassim6481

    @hassankassim6481

    Жыл бұрын

    Allahumma ighifirahu warhamhu waskanahu filjannah

  • @omeerrasheed7192

    @omeerrasheed7192

    Жыл бұрын

    Amyn

  • @muftishaban.a.musamombasak6577
    @muftishaban.a.musamombasak65772 жыл бұрын

    Shukran Sana nimefurahi kwa tarehe hii mola akubariki sana

  • @bundukitv1322

    @bundukitv1322

    2 жыл бұрын

    Shukran

  • @user-eo9ij5je5i
    @user-eo9ij5je5i4 ай бұрын

    Maashaallaah

  • @mohamedhamedseifelsawafi8309
    @mohamedhamedseifelsawafi83093 жыл бұрын

    Allaah amrehemu shekhe wangu. Alikua akinipenda sana. Niko Oman 🇴🇲 lakini simsahau

  • @bundukitv1322

    @bundukitv1322

    3 жыл бұрын

    Maashaallaah..

  • @habibakhalfan1065

    @habibakhalfan1065

    2 жыл бұрын

    MashaLlah

  • @hanifsamma4156

    @hanifsamma4156

    2 жыл бұрын

    MashaAllah

  • @muftishaban.a.musamombasak6577
    @muftishaban.a.musamombasak65772 жыл бұрын

    Shukran Sana sheikh

  • @ibugharib389
    @ibugharib3892 жыл бұрын

    INNALLILLAH WAINA ILLAIH RAJIUN Allah amfanyie wepesi katika safar yetu hii na ATUPE mwisho MWEMA YAARAB. Wanafunzi wa sheikh kuweni wenye kuipeleka mbele Dini WACHENI mizozo isiyokuwa na maana katika DINI. Bega kwa bega mpaka Firdaus

  • @bundukitv1322

    @bundukitv1322

    2 жыл бұрын

    Aaamiin yaa Rabbi

  • @fatumabakariki8417
    @fatumabakariki8417 Жыл бұрын

    Mungu amrehemu amueke pema peponi jina zuri la kwetu mnyanjani Shekh kannena wele wa mnyanjani watajua hilo neno

  • @mohamedahmed-yj5rq
    @mohamedahmed-yj5rq2 жыл бұрын

    Mashallah

  • @bundukitv1322

    @bundukitv1322

    2 жыл бұрын

    Shukran

  • @salamapwepwe8857
    @salamapwepwe8857 Жыл бұрын

    Mashaallah alla amuondeshee kiza ktk kabri yake

  • @zahranabdi8124
    @zahranabdi81242 жыл бұрын

    allah akuhifadhi uzidi kutupa ilimu

  • @mohamedhamedseifelsawafi8309
    @mohamedhamedseifelsawafi83093 жыл бұрын

    بارك الله فيك

  • @user-hk7zx9zw9h
    @user-hk7zx9zw9h4 ай бұрын

    Asalam alykum ndugu zangu waislamu.kwa majina naitwa Mariam Zahran Dina.nimeipenda historia ya shekhe Muhammed ayoub.me nipo zanzibar.naomba Namba yako ya CMU Kwa mawasiliano na maongezi Zaidi

  • @abdulhida8291
    @abdulhida82912 жыл бұрын

    Mungu amrehem shekhe wetu na afanye kaburi yake kuwa viwanja vya peponi amin isnaallah

  • @bundukitv1322

    @bundukitv1322

    2 жыл бұрын

    Aamin yaa Rabbi

  • @harounabdallah9036
    @harounabdallah90362 жыл бұрын

    jazakallahu khayran

  • @bundukitv1322

    @bundukitv1322

    2 жыл бұрын

    Aaaamiiin

  • @rajabually8659
    @rajabually86592 жыл бұрын

    اللهم اغفرله وارحمه واسكنه في الجنة

  • @bundukitv1322

    @bundukitv1322

    2 жыл бұрын

    Aaamin

  • @GOLDENYERIKOTV
    @GOLDENYERIKOTV3 жыл бұрын

    Wa kwanza

  • @bundukitv1322

    @bundukitv1322

    3 жыл бұрын

    😆😆😆 hongera mzeee💪

  • @zahranabdi8124
    @zahranabdi81242 жыл бұрын

    naomba historia ya muasisi wa mahawa na muasisi wa zahrau

  • @mohamedhamedseifelsawafi8309
    @mohamedhamedseifelsawafi83093 жыл бұрын

    Kasida yangu ipo hapo makao makuu. ان نجا مجتلاء × في ذالهدي

  • @jumaaruwa8793
    @jumaaruwa87932 жыл бұрын

    Tunaomba historia ya shekh Shaban Mohammed harir muasis wa maawal islam

  • @bundukitv1322

    @bundukitv1322

    2 жыл бұрын

    Inshaallaah. Tutaifuatilia sheikh

  • @mwanyukmwanyuk7769
    @mwanyukmwanyuk7769 Жыл бұрын

    Kaswida za tamtaa deeii

  • @kassimamiri4131

    @kassimamiri4131

    Жыл бұрын

    اللهم اغفرله وارحمه واسكنه في الجنة

  • @MOMMEDIA1
    @MOMMEDIA13 жыл бұрын

    Kaka mungu akujaarie Mana unaturisha Sana neno la mungu

  • @bundukitv1322

    @bundukitv1322

    3 жыл бұрын

    Aaamiin aaamin

  • @user-oc8uo9rl3u
    @user-oc8uo9rl3u5 ай бұрын

    ENZI HIZO HAPAKUWA NA MAWAHABI MAANA KWA SASA ANGEONEKANA MJINGA HAFAI WALA HANA ELIMU MAWAHABI AKILI ZAO SIJUI ZIKOJE YAANI WAMEANISHWA KUWA WAO NDO WANAJUA KILAKITU ILA WENGINE WOOOOTE HAWAJUI KITU

  • @user-qe8xp6ii1u
    @user-qe8xp6ii1u8 ай бұрын

    isisahaulike kuwa Tamta ni chuo cha Masufi.Haifai Kusoma hapo. Allah awaongoze.

  • @user-ml9it6fm3x
    @user-ml9it6fm3x10 ай бұрын

    Mbona kidevu umekikwangua sasa😂😂

Келесі