Juakali kila Jumatano - jumapili kuanzia Saa 3:30 usiku #series ,#maishamagicbongo ,#dstv #juakaliseries #juakaliseries
Жүктеу.....
Пікірлер: 30
@fatmadevd807210 күн бұрын
Wa kwanza leo mtu asguse hii comment.🙄🙄
@hamisahamisa589610 күн бұрын
Hapa ndipo tutajua utunzi wa lamata ukoje idi angeenda taratibu ila ataondoka anamuita sofi 😂😂😂 watazuga alikua anamtafuta mume wake
@dorcasbutoyi4823
10 күн бұрын
Kl kabisa aache awafumanie aende taratibu kwahiyo maria Anaenda kwa Tony leo au nimesikia vibaya
@hamisahamisa5896
10 күн бұрын
@@dorcasbutoyi4823 hapo alipo ongea maria sijamuelewa
@queensiku
9 күн бұрын
Point 😂
@AraphaCheki
9 күн бұрын
😂😂 hii Atari unataka wafumaniwe hiishe mapema
@dorcasbutoyi4823
9 күн бұрын
@@AraphaCheki tumecoka hakuna fumanizi
@user-im9wf2tb2r9 күн бұрын
Eva kaanza kusuka sasa 🌹we Peter😂😂ngoja Idd akukute hapo na mkewe labda akupite kama lilivyo jina lako🤣
@kantategodwin66279 күн бұрын
Acheni matangazo yamezidi
@pendolema27439 күн бұрын
Ana angejua Zai ni mnafiki,aendelee tuu kumwambia mambo yake
@MwacheoHanzada
9 күн бұрын
Nimnafiki kweli lkn hajawahi toa siri za Anna
@elizabethgeorge21979 күн бұрын
Anna huna msimamo saiz umeanza kumpenda davis
@haryanyawu6409 күн бұрын
Hahahahhaa Peter litamkuta jambo
@kantategodwin66279 күн бұрын
Hii badoo
@kantategodwin66279 күн бұрын
Hivi vipandevipande vinatuchosha sana mnajiharibia😢
@neemamabena-xx5er10 күн бұрын
Heee
@kantategodwin66279 күн бұрын
Hivi mtafisri mpaka lini mnapoteza tu muda tumechoka na huyo mkalimani hatumwelewi anachokitafsri nini,ni moving ya kiingereza?achane hizo😂
@hanifahkhamiss848510 күн бұрын
Pita kitamramba mda si mrefu😂😂😂
@user-fm2ig9lu7v
10 күн бұрын
Lamata anawafeva wazinzi/wazinifu, kwenye hii tamthilia sijawahi ona mzinzi anaaibika, wanateseka kina mama sofia tu wanaomtegemea Mungu kwenye tamthilia, ila kina pita, maria, madam simba, madevu nk wanaenjoy😅
@user-qp6ge6rt6s
9 күн бұрын
@@user-fm2ig9lu7vWao jua Kali lao ni zito sanaa hivyo wacha tuone matukio
@khadijaqtr43019 күн бұрын
Fanizi la sofi je lipoo😂
@user-wu1yd5rs8l10 күн бұрын
Mm wa 3
@silvanusjohn98710 күн бұрын
❤❤❤❤
@floraflora57179 күн бұрын
Vipande vipande mpka lini mbona unamnaiaribu kazi yenu jamani
@antidiuskajuna14299 күн бұрын
naomba likes walau ata mbili
@nasraabed975810 күн бұрын
Sasa ya jana iko wapi
@mwanamisiomari8189
9 күн бұрын
Mi pia nlitafuta mpaka nkachoka
@joycenhonge4768
9 күн бұрын
@@mwanamisiomari8189 mbona ipo ya jana
@user-ks1vx7pp1o
9 күн бұрын
@@mwanamisiomari8189download app inaitwa Swahili max utapata vipindi vyote cya swahili❤
Пікірлер: 30
Wa kwanza leo mtu asguse hii comment.🙄🙄
Hapa ndipo tutajua utunzi wa lamata ukoje idi angeenda taratibu ila ataondoka anamuita sofi 😂😂😂 watazuga alikua anamtafuta mume wake
@dorcasbutoyi4823
10 күн бұрын
Kl kabisa aache awafumanie aende taratibu kwahiyo maria Anaenda kwa Tony leo au nimesikia vibaya
@hamisahamisa5896
10 күн бұрын
@@dorcasbutoyi4823 hapo alipo ongea maria sijamuelewa
@queensiku
9 күн бұрын
Point 😂
@AraphaCheki
9 күн бұрын
😂😂 hii Atari unataka wafumaniwe hiishe mapema
@dorcasbutoyi4823
9 күн бұрын
@@AraphaCheki tumecoka hakuna fumanizi
Eva kaanza kusuka sasa 🌹we Peter😂😂ngoja Idd akukute hapo na mkewe labda akupite kama lilivyo jina lako🤣
Acheni matangazo yamezidi
Ana angejua Zai ni mnafiki,aendelee tuu kumwambia mambo yake
@MwacheoHanzada
9 күн бұрын
Nimnafiki kweli lkn hajawahi toa siri za Anna
Anna huna msimamo saiz umeanza kumpenda davis
Hahahahhaa Peter litamkuta jambo
Hii badoo
Hivi vipandevipande vinatuchosha sana mnajiharibia😢
Heee
Hivi mtafisri mpaka lini mnapoteza tu muda tumechoka na huyo mkalimani hatumwelewi anachokitafsri nini,ni moving ya kiingereza?achane hizo😂
Pita kitamramba mda si mrefu😂😂😂
@user-fm2ig9lu7v
10 күн бұрын
Lamata anawafeva wazinzi/wazinifu, kwenye hii tamthilia sijawahi ona mzinzi anaaibika, wanateseka kina mama sofia tu wanaomtegemea Mungu kwenye tamthilia, ila kina pita, maria, madam simba, madevu nk wanaenjoy😅
@user-qp6ge6rt6s
9 күн бұрын
@@user-fm2ig9lu7vWao jua Kali lao ni zito sanaa hivyo wacha tuone matukio
Fanizi la sofi je lipoo😂
Mm wa 3
❤❤❤❤
Vipande vipande mpka lini mbona unamnaiaribu kazi yenu jamani
naomba likes walau ata mbili
Sasa ya jana iko wapi
@mwanamisiomari8189
9 күн бұрын
Mi pia nlitafuta mpaka nkachoka
@joycenhonge4768
9 күн бұрын
@@mwanamisiomari8189 mbona ipo ya jana
@user-ks1vx7pp1o
9 күн бұрын
@@mwanamisiomari8189download app inaitwa Swahili max utapata vipindi vyote cya swahili❤
Mi wa pili😅