Joseph Vedasto Ft Gwamaka Mwakalinga - Nakupenda (Official Live Video)
Жүктеу.....
Пікірлер: 53
@mercymethod33882 ай бұрын
Ni wimbo wenye nguvu za Mungu za kutosha,una maneno ya ibada ndani yake🔥Barikiwa sana kaka yangu Kuna mahali Mungu anakupeleka
@abigailipambe6999Ай бұрын
Nakupenda YESU Very powerful song hallelujah God bless you my teacher
@gadielgodfreyАй бұрын
Barikiwa sana bro Andrew nakukubali sana mpiga solo wangu, ,Mungu akuinue sana
@kisenadejoe37032 ай бұрын
Wanangu Dani Askofu, Elishama, MDWII Eliah mmeua sana humu
@shellamajebwe21322 ай бұрын
Ubarikiwe saaana mwalim shemeji
@allenmujwahuzi19182 ай бұрын
Kuna Wimbo allaf kuna ibada hii sio nyimbo tuu ya kujtukuza tu Mungu balli ni ibada kuu na kubwa mbele za Mungu BARIKIWA sanaa teacher Minister JOSE na mtumishi wa bwana Gwamaka Kwa huduma nzuri yenye baraka kubwa ndan Mungu azid kuwatumia kwa viwango vya juu zaidi
@vedastodeogratias2941
2 ай бұрын
Safi sana, Mungu azidi kukupandisha @ Joseph. Kazi yako ni nzuri sana.
@nepomsensylivester42982 ай бұрын
Yesu nakupenda.....mpake mafuta mabichi tena huyu mtumishi wako. 13:50
@mjtv92252 ай бұрын
Akawaambia, Enendeni ulimwenguni mwote, mkaihubiri Injili kwa kila kiumbe. Aaminiye na kubatizwa ataokoka;
@anethmyamba4886Ай бұрын
Ni mengi umenitendea sina tena mwingine ila wewe nakupenda...ubarikiwe mtumishi.
@AnnaMtangi-nk5gm2 ай бұрын
Aisee sio siri, Solo tangu nimfahamu hajawahi kutuangusha! Big up Brother Andrew. Mungu azidi kukupa viwango vya Juu. Tangu Hollycross Muheza mpaka Essence. Powerful God
@user-pc2fe5lv9v2 ай бұрын
Nikazi yenye utikufu wa mungu balikiwa sana tichel
@rachelnkyalu1424Ай бұрын
Awesome! Wimbo mzuri sana, Mungu Awabariki Sana Sana, mmeimba vizuri Sana
@iamissaanthon7242 ай бұрын
Wimbo mzuri ila mwanzoni huku inakua kama sauti zinakwaluza
@joycelukago1942 ай бұрын
Barikiwa sana mtumishi kwa ujumbe unaobariki sana.. May my ALMIGHTY GOD BLESS YOU
@ukb.u5592 ай бұрын
Hongera Sana Mtumishi wa Mungu kwa hatua hiyo kubwa Mungu akuzidishe zaidi.
@ibrahimmagesa87182 ай бұрын
Ikawe na kibari kwa jina la Yesu
@goodluckmollelminister2 ай бұрын
Glory to God Ibada hii ienee kote ulimwenguni
@HellenKaka2 ай бұрын
Amina it's powerful song God bless u
@user-mr3qg9iq5k2 ай бұрын
❤❤ kazi nzur sana Mbarkiwe Sana wapendwa
@stannygeorgesp14792 ай бұрын
MY LORD, MY KING, MY GOD, I LOVE YOU SO MUCH.
@alexanthony37502 ай бұрын
Ni mengi umenivusha, nakupenda Bwana. Kazi nzuri
@user-cq7xp2js5m2 ай бұрын
🙏🙏 ubarikiwe mtumish Kwa kaz nzur
@fredrickngwalolela38892 ай бұрын
Waaah!! hakika Mungu amekutumia kwa viwango saaana mtumishi wa Mungu,nimeupenda saaana wimbo huu,una nguvu ya Mungu saana 🔥🔥🔥🔥🔥🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽, Naurudia tu kila mara,God bless you man of God 🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽
@manenowilliam42302 ай бұрын
Mbarikiwe kwa kazi nzuri.
@sabinajuma10112 ай бұрын
Barikiwa sana mtumishi
@elishamathias78392 ай бұрын
Hakika Kazi hii ni njema sana na inamuinua yeye, Mungu awazidishie mibaraka yake🙏
@SuzanKanyata-bn7xr2 ай бұрын
Be blessed minister joseph vedasto
@fredrickchristian5075Ай бұрын
MUNGU hawabariki sana
@eliamwasote15582 ай бұрын
NAKUPENDAAAAA YESU AHSANTE KWA AJILI YA WATUMISHI WAKOO ❤❤
@sarahsalvatory39972 ай бұрын
Wimbo mzuri sana, Mungu azidi kukutumia kwa viwango vingine tena
@vedastodeogratias29412 ай бұрын
Sifa na kuabudu iliyo katika viwango vya juu sana. Mbarikiwe sana kwa kazi nzuri.
@lungwechajuma64322 ай бұрын
So splendid,God bless you brother.
@josephatdubi60382 ай бұрын
Hongerani Sana Watumishi wa Mungu,mko vizuri!
@NellyJohn-ub5js2 ай бұрын
Baba Mungu azidi kukuinuwa juu juu zaidi
@bryofficial_0042 ай бұрын
Kazi nzuri sana mwalimu, ubarikiwe sana 🙏🏽🙏🏽
@MaryhannahMembe-ok4gu2 ай бұрын
Ubarikiwe sanaaaa kazi nzuri.
@officialbeckatv27192 ай бұрын
Hongera sana teacher kazi kubwa sana
@user-rl6pu5hi3d2 ай бұрын
Hallelujah... mbarikiwe sana 🙏
@deusfrancis31382 ай бұрын
Miye nimefuata sare za wanakwaya hizo… Mrs. De Joe🙌🙌🙌
@kisenadejoe3703
2 ай бұрын
Hahaaa, Demba sikiliza na wimbo 😂😂
@ElishaAminimungu2 ай бұрын
Amina San teacher!!!❤
@ObedJames-lj2nh2 ай бұрын
Amen Mungu akubaliki sana
@Wilsonjohnoffical5432 ай бұрын
good job brother
@ombenisomi22102 ай бұрын
Huduma njema mtumishi wa Mungu. Hongera kwa kazi nzuri.
Пікірлер: 53
Ni wimbo wenye nguvu za Mungu za kutosha,una maneno ya ibada ndani yake🔥Barikiwa sana kaka yangu Kuna mahali Mungu anakupeleka
Nakupenda YESU Very powerful song hallelujah God bless you my teacher
Barikiwa sana bro Andrew nakukubali sana mpiga solo wangu, ,Mungu akuinue sana
Wanangu Dani Askofu, Elishama, MDWII Eliah mmeua sana humu
Ubarikiwe saaana mwalim shemeji
Kuna Wimbo allaf kuna ibada hii sio nyimbo tuu ya kujtukuza tu Mungu balli ni ibada kuu na kubwa mbele za Mungu BARIKIWA sanaa teacher Minister JOSE na mtumishi wa bwana Gwamaka Kwa huduma nzuri yenye baraka kubwa ndan Mungu azid kuwatumia kwa viwango vya juu zaidi
@vedastodeogratias2941
2 ай бұрын
Safi sana, Mungu azidi kukupandisha @ Joseph. Kazi yako ni nzuri sana.
Yesu nakupenda.....mpake mafuta mabichi tena huyu mtumishi wako. 13:50
Akawaambia, Enendeni ulimwenguni mwote, mkaihubiri Injili kwa kila kiumbe. Aaminiye na kubatizwa ataokoka;
Ni mengi umenitendea sina tena mwingine ila wewe nakupenda...ubarikiwe mtumishi.
Aisee sio siri, Solo tangu nimfahamu hajawahi kutuangusha! Big up Brother Andrew. Mungu azidi kukupa viwango vya Juu. Tangu Hollycross Muheza mpaka Essence. Powerful God
Nikazi yenye utikufu wa mungu balikiwa sana tichel
Awesome! Wimbo mzuri sana, Mungu Awabariki Sana Sana, mmeimba vizuri Sana
Wimbo mzuri ila mwanzoni huku inakua kama sauti zinakwaluza
Barikiwa sana mtumishi kwa ujumbe unaobariki sana.. May my ALMIGHTY GOD BLESS YOU
Hongera Sana Mtumishi wa Mungu kwa hatua hiyo kubwa Mungu akuzidishe zaidi.
Ikawe na kibari kwa jina la Yesu
Glory to God Ibada hii ienee kote ulimwenguni
Amina it's powerful song God bless u
❤❤ kazi nzur sana Mbarkiwe Sana wapendwa
MY LORD, MY KING, MY GOD, I LOVE YOU SO MUCH.
Ni mengi umenivusha, nakupenda Bwana. Kazi nzuri
🙏🙏 ubarikiwe mtumish Kwa kaz nzur
Waaah!! hakika Mungu amekutumia kwa viwango saaana mtumishi wa Mungu,nimeupenda saaana wimbo huu,una nguvu ya Mungu saana 🔥🔥🔥🔥🔥🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽, Naurudia tu kila mara,God bless you man of God 🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽
Mbarikiwe kwa kazi nzuri.
Barikiwa sana mtumishi
Hakika Kazi hii ni njema sana na inamuinua yeye, Mungu awazidishie mibaraka yake🙏
Be blessed minister joseph vedasto
MUNGU hawabariki sana
NAKUPENDAAAAA YESU AHSANTE KWA AJILI YA WATUMISHI WAKOO ❤❤
Wimbo mzuri sana, Mungu azidi kukutumia kwa viwango vingine tena
Sifa na kuabudu iliyo katika viwango vya juu sana. Mbarikiwe sana kwa kazi nzuri.
So splendid,God bless you brother.
Hongerani Sana Watumishi wa Mungu,mko vizuri!
Baba Mungu azidi kukuinuwa juu juu zaidi
Kazi nzuri sana mwalimu, ubarikiwe sana 🙏🏽🙏🏽
Ubarikiwe sanaaaa kazi nzuri.
Hongera sana teacher kazi kubwa sana
Hallelujah... mbarikiwe sana 🙏
Miye nimefuata sare za wanakwaya hizo… Mrs. De Joe🙌🙌🙌
@kisenadejoe3703
2 ай бұрын
Hahaaa, Demba sikiliza na wimbo 😂😂
Amina San teacher!!!❤
Amen Mungu akubaliki sana
good job brother
Huduma njema mtumishi wa Mungu. Hongera kwa kazi nzuri.
Huuuuuuh🎉
🔥🙏
❤❤❤❤
✊🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🧎
Ubarikiwe saaana mwalim shemeji
Ubarikiwe saaana mwalim shemeji
Ubarikiwe saaana mwalim shemeji
Ubarikiwe saaana mwalim shemeji