John Lisu - Jina la Yesu
Музыка
#JohnLisu #JinaLaYesu #NgommaTz
©2019 Administered by Ngomma VAS Limited.
Connect with John Lisu's Ministry +255713240397 TIGOPESA/Remit/Wave +255768154948 MPESA /Remit/NALA/Wave, Be blessed 🙌
#JohnLisu #JinaLaYesu #NgommaTz
©2019 Administered by Ngomma VAS Limited.
Connect with John Lisu's Ministry +255713240397 TIGOPESA/Remit/Wave +255768154948 MPESA /Remit/NALA/Wave, Be blessed 🙌
Пікірлер: 212
Nyimbo nzuru sana tena zaidi ya sana. Lkn awo wa dada cjapnda mim kiufupi hyo mavazi
Hongera sana Kaka Umekaa Vizuri sana na Una Nguvu ya Mungu
@movierecapsswahili1042
5 жыл бұрын
Kaka boaz. .. just tell him the truth .... He should stick on live music. .. hizi awaachie akina paul
@judahliz6371
5 жыл бұрын
Mtumishi Boaz Danken..unabariki moyo wa Mungu kwa ibada na Sifa. Mungu na akuhifadhi. Kenya twakupenda
@maryjulias6372
5 жыл бұрын
Kaka nyimbo zako zinanibarik San
@barakapaulmniko4804
5 жыл бұрын
Kaka Boaz naitwa baraka mniko Niko mwanza igoma na Mara ya kwanza kukuona nilikuona kwenye mkutano katika viwanja vya igoma ndama , kiukweli ulinibariki sana pia nakufatilia sanaaaa , naipataje CD yako kaka boaz
Inaeleweka wewe sio msanii wa nyimbo za injili,Bali ni mtumishi wa Mungu unayemuabudu Na kumsifu Mungu kwa njia ya kuimba, maigizo sio sehemu yako, nakupenda sana
Nawashangaa, wadada, mnafaa kama mko hnymoon, bible imeangiza, wana wake kujifunika, hivi mwamsifu aje, ukikosa kutii alioangiza,
Mtumishi Mungu amekubariki na hudumu ya sifa ,ubarikiwe sana sana..tunabarikiwa na nyimbo zako...ILA MAVAZI YA WAIMBAJI WAKO (MABINTI)HAYANA UTUKUFU,..LIONE HILO MUNGU ALIYEKUPA HUDUMA YA UIMBAJI ,AKUPE HEKIMA YA KUREKEBISHA HILO....
John Lisu wewe ni mtumishi wa Mungu na sio msanii wa Injili nyimbo ni nzuri ya kiibada ingependeza zaidi live performance. Kwa maana ya kuwaabudisha watu na kuwapeleka kunako uwepo wa Mungu. Ubarikiwe mpakwa mafuta wa Bwana
Nakubali shughul yako Baba
Mtumishi wa Mungu huu wimbo ungeutendea haki kama ule wa uweponi mwako
Lisu achana na hizi maigizo wewe hujaitwa kuimba mfumo huu mzee baba wewe ni tofauti nisawa na mwalimu kujifosi kuwa nabii
Mybrother, ni ukweli usio pingika live performance huitendea haki sana hushusha uwepo sana, huku unapwaya mno.
Mtumishi John Lissu. Hongera kwa kazi hii. Ila ushauri wetu ni kwamba kutokana na maadhi ya music unaofanya LIVE is the very best for your video live recording. Please invest much kwenye Live recording huku kwingine Tafadhali.
Hakuna Jina kama la Yesu
Wimbo ni mzuri mno, Mungu akubariki sana kaka. ILA HIZO NGUO NYEKUNDU ZA WADADA HAZIENDANI NA UTUKUFU WA IBADA, NA HUU WIMBO NI WA IBADA.
Mtumikie.Mungu bila kuchoka naye atakulupa usipozimia roho
Ukweli nilipofungua tuu so kama ndo wewe mtumishi wa Mungu John Lisu wimbo huu hujautendea haki na wadada vivazi haviendani na wimbo kabisaa
Mtumishi ubarikiwe kw Wimbo uloo jaa utukufu
Moyo mwema hutoa vilivyo vyema..nyimbo zako zimejaa uhalisi...
hii video haijashikana na uzuri wa wimbo kabsa,
Ukiweza fanya live performance production halafu hao wadada wavalishe majoho ikiwezekana, wanaondoa kitu kikubwa sana kwenye concentration ya "TRUE WORSHIPPING". Otherwise audio iko vizuri
Mungu akubariki sana mtumishi katika kazi hii ya uinjilishaji ...kweli hakuna wa kufanana na Mungu
Ubarikiwe zaidi na zaid john lisu😇💞
haleluyaaa kaka upo vizuri maombi yangu mungu azidi kukufunika na mafuta mengi yazidi kukufunika pia nikupongeze kwa ubunifu wa njia nyingne ya kufikisha ujumbe kwa mataifa yote pia lakini bado kwa live usiache
Wimbo mzuri sana kaka Lisu, nikiwa kama mdau wa video zako, kwa hii video hapana sihafiki, tunahitaji live perfomance mtumishi tafadhari. Kwa hili unapoteza points 3 mzee.
Amen.Mungu akubariki mtumishi wimbo mzuri sana...hakuna mwimgine kama YESU WA NAZARETH.
Nimebarikiwa sana na wimbo wa jina la Yesu
Mtumishi wa Bwana Yesu nakukubali sana
Naungana na waliozungumzia suala la live, inakuwa njema sana huku hapana.... Ila hongera kufanya kitu kilichokufanya ujitathmini!
Huku Hapana Kaka John Live Ndi yako haswaaaaa
My Bro Huku sii kwako God called you to minister to his people.Wimbo haujautendea haki Huku waachie wasanii wa nyimbo za injili
Barikiwa sana mtumishi wa mungu....
Mungu azidi kukuinua kaka John Lisu
Uinuliwe Kristo kwa chombo hiki
hongera bwana umeanza kufanya nini hapo sasa ndugu linganisha
Jina lenye uponyaji!!! #NikoHai
Na barikiwa sana huu wimbo
aiseeeeee KZ nzuriiiiii
Binafsi natamani lisu aimbe live hapo ndo mahali anapofanya vzr zaidi na watu tujae roho
Nami nakandamiza kama wengine walivyocoment. Wimbo una mahadhi ya live. Rudi kwenye live, nadhani ndio unapofit vizuri zaidi kuliko hapa japo sio mbaya. Barikiwa
Yes yes nasema yesss..hii ndo level tunayoitaka....bro umewezaa Hakika Yesu anajivunia wewe
mtumishi imekuwa kama kwaya aisee.hii kitu mimi sikubaliani nayo kabisa.waachie wengine yani mtumishi umejishusha sana kwenye viwango vyako.
live performance is your best ground .. Mungu akubariki
Live watu wengi huponywa..na nahisi it is the best way of performing..Ukiwa umshika gitaa kwa kweli kuna upakoo wa pekee huwa watu wanapokea
Unaweza
John please. Naomba uendelee na Live performance. Huku sio kwako kabisa
Amen Amen Amen
Hongera sana mtumishi wa Mungu
Halelluya, Mungu akubariki mtumishi, great work, glory to God.
Hongera Kaka yangu hakika hakuna wakufanana na wewe Yesu
Hii Style John lissu haifai kabisa imba live bhana, huu mfumo wa uimbaji si mzuri kabisa
Wadada mavazi yao apana sio sawa mbona laivu wanapendeza sana nguo zaeshima
Amen John lissu,,unaimba nyimbo nzuri sana huwa sichoki kuskiza..barikiwa sana kaka
live is the best ever
Nimebarikiwa kwa kweli mtumishi
Nafikiri Live Inafaa Zaidi
@salomewilliam9457
5 жыл бұрын
Edward Godfrey sure
@stepheneaugustine6764
5 жыл бұрын
Huyu bwana ashatuathir na live band that's why huku twahisi kama kapoa kabisa.
@FrankThomasTillya
5 жыл бұрын
Kwa kweli
@maryjulias6372
5 жыл бұрын
Yn mwenyew nimeshtuk kumuon huku rud kul bn
@kelvinjonathan4772
5 жыл бұрын
Hatakama Si ndo anajifunza nanyie....
nyimbo nzuri sana Mungu abariki uwezo wako uzidi kutangaza jina lake
Nice nice song. Wow I like it. Hii vida ingekuwa live jo
Wow... what a song. God bless u John Lisu, e song with music hayo mahadhiiii its just giving me goosebumps here.👐👐👐👐👐. God bless u
Live live live I mean live performance inakufaa sana Lisu. Be blessed though
Live performance is a home for true worshippers
Wimbo una nguvu kubwa mnoo na upako ...Barikiwa
Ubarikiwe sana kwa Kazi nzuri Mtumish Mungu akubariki kama hautojali toa video nyingine ya live kaka John sababu hii ni ibada tosha inatakiwa ikae kiibada ibada barikiwa
nabarikiwa sana kaka john na Hii nyimbo bora umeirusha hata tuipate maana niliisjia kuickiza kwa mazoezi tuu ya intellectual compass night,,,, God bless u more than u deserve my kaka
Kwanza barikiwa kwa kazi nzuri, wimbo mzuri, feeling the presence of God, lakini ukweli ni kwamba John Lisu wewe ni Mwimbaji wa live, live is your home ground, huku ni kwa wengine, Pamoja na kuwa na video nzuri yenye kupendeza but still we wish you to stick on live perfomance.asante
@isacklissu847
5 жыл бұрын
kwelii live bro yuko vzl
@belindagiliard8977
5 жыл бұрын
Hats Mimi kanishangaza. Haya ya kufanya live unaabudu vzr kuliko kuwa hotel Mara pembeni ya gari bovu no...... Akae kwenye asili yake
@kpenda7641
5 жыл бұрын
Kama si Roho wa Bwana anayekuelekeza njia hii, tafadhali kaka iache - nyimbo unazoimba ni vizuri ukizifanya live. Ila kama ni Bwana anayekuelekeza, endelea na Mungu azidi kukubariki.
@stanleymujunangoma8227
3 жыл бұрын
Nyimbo kwa kweli Ina utukufu ndani yake
Ubarikiwe kaka wimbo mzuri sana,,, ila hayo mavazi ya wadada hayajaendana na ujumbe wa wimbo
Mungu akubariki san mtumishi kazi yako ni njema ,we need live performance ,
Barikiwa sana kwa kazi nzurii, stay blessed
I wish ingekuwa live uwiii sipati picha worship hii
Nabarikiwa na nyimbo za mtumishi Lissu. Nimefurahi comments za wengi, ulikubali kuongozwa na roho na ukawa unafanya kwa vzuri sana live. Sasa yawezekana director kakwambia uendane na mahadhi ya kisasa. Kumbuka anaeabudu ktk roho na anaeigiza wanapokelewa tofauti. Ni maombi yangu nguvu ya roho Mt. iliyokuwa inakuongoza iendelee na wewe, uitii na kushauriana vzr na directors wako. Mungu azidi kukuinua
@alexmbilinyi9159
Жыл бұрын
Kweli kabisa!!!unajua huyu Mt.Roho Mt.anamtumia sana,na mm haipiti siku bila kusikiliza nyimbo zake,ila kwa hii shooting hapa Kuna ukakasi.
Wimbo mzuri sana Mtumishi, wa Mungu.
Powerful bro, God Bless You
Wimbo wa kuabudu huu,ndio maana kucheza imeonekana tofauti sanaaaaa,haijapendeza kabsa..imeonekana kama show offs za kina Paul Clement tu na mavazi hivi,better live kaka🤗
It has a wastahili by mercy masika feel..awesome nimeipenda kweli
Nice song mungu awabariki mtumike vyema kwa Kristo
Ubarikiwe sana nakuomba urudi Live recod maana naona hata uwepo wa Mungu unashuka sana hata unapokuwa unaangalia video
Manyimbo yako yote yanashushaga uwepo wa Mungu yani wewe ni mkali kitambo broh
Iam blessed with this song. Wajifya
Ahsante saana Mtumishi wa Mungu Umefanya vzur kwa stail yake. Watu wengi tumekariri kuwa wewe niwa Live tu.
Fani yako ukiwa live sio shoot za kawaida
live recording ingependeza kwasababu huu wimbo ni wa ibada, nimebarikiwa
@salomewilliam9457
5 жыл бұрын
Neema Nyabenda sure
@accusciusanderson5466
5 жыл бұрын
Real
@belindagiliard8977
5 жыл бұрын
Kabisa Lissu, usibadilike
Beautiful song! Indeed wa kufanana na Yesu hakuna!
Hakuna nidhamu ya mavazi hapo ni zero tu. Unavaaje nguo inayokuchonga umbo lako wewe mwanamke? Lengo ni nini? Haijalishi umeimba nini au kuhubiri nini ila ni shetani yupo kazini.
Amen barikiwa kaka,ila Live nd inakuwa na Nguvu kubwa ya uwepo Wa Mungu
daah ingekuwa live ingekuwa poaw sana,,,
Wanawake mmevaa vibaya nguo zimeshikaa na fupi yaani hazina ushuhuda na haziendani na wimbo
wimbo mzuri Ila kaka John mm napendekeza ufanyie live
The writing is on point,,I'm blessed
Wimbo mzuri barikiwaaaa ila huo uvaaji wa madancer cyo mzuri
I appreciate you alot man of GOD
be bless lisu you inspire me you are song is very blessing may soul
Live the best kaka,rudi kule kulee
Am blessed by this ministry..... More grace John Lisu
@tinanaiwemkeko4549
4 жыл бұрын
Nyimbo nzri inagusa hao wadada tu ndowameondoa uwepo wa kwa nguo walizovaa siyo zakumwabudia Mungu .barikiwa
Kaka John Walokole wamekuzooea ktk live performance na wewe ndiyo no 1 gospel au worshipper leader ktk hiyo hapa tz Parsi na Shaka Sasa hizi za akina dada waliobarikiwa mahips ya hatari walokole hawawezi kukuelewa maana macho yanaishia ktk hukumu tu
@eldadmotto6087
5 жыл бұрын
Safiiiiiiiiiii
Bila gitaaa sio JOHN LISSU, Unapendeza bila ukiwa na gitaa, that z your ID
wow!!wondreful song .Kweli hakuna wa kufanana na MUNGU
KWA KWELI WIMBO INA UTUKUFU ILA HAO MADADA VIMINI VYAO HAVINA UTUKUFU KWA "MUNGU"NA VINATAMANISHA
nice songs,
Wimbo mzuri sana bro,naona utoe tena na live performance ya huu wimbo utanoga zaidi
True kabisaa mtumishi rudi kwenye position yako viwango vyako ni live
Blessed annointed John lisu 👏
Good praising song brother keep it up.