JOHN LISU FT CHRISTINA SHUSHO - NITAONGOZWA NA BWANA (Official video)
Музыка
#JohnLisu #NgommaTz
©2018 Administered by Ngomma VAS Limited.
Connect with John Lisu's Ministry +255713240397 TIGOPESA/Remit/Wave +255768154948 MPESA /Remit/NALA/Wave, Be blessed 🙌
Пікірлер: 393
Wale wa 2024 usitoke bila ku sign apa still very powerful 🙌🙌🙌
Mungu ongoza Kenya 😢😢... 2024
Nitaongozwa na Bwana ,,,nyimbo inanibamba sanaa,,wangapi wanaenjoy hii ngoma this year 2020
@doricahtalu6555
3 жыл бұрын
Mimi hapa Yesu atatuongoza usiku na mchana hata kama kuna corona
@agnesskisanga6044
3 жыл бұрын
Ameen
@lydiahmucee3150
3 жыл бұрын
8
@lydiahmucee3150
3 жыл бұрын
6
@lydiahmucee3150
3 жыл бұрын
8
This year 2021 i trust God will lead me through with the help of the Holyspirit,what a song especially when you feel you have no one to turn to but you remember there is a living God who will never leave you instead He will always be there to lead you
Kenya yetu ikiongozwa na bwana nchi itapona🙏🙏🙏
@SuperIg42
3 жыл бұрын
Mungu awaponye kama Tanzania
All the way from Kenya, my two favourite Tanzanian worshippers can't get enough of this song. Yesu rafiki wa kweli ninakumbuka kalvari
Nitaongozwa na Bwana Usiku kucha na mchana Yesu rafiki wa kweli Ninakumbuka Calvari Waooh.
Nitaongozwa na Bwana 2021,let His presences go with us throughout this year
Niongoze BWANA,popote niendapo🇰🇪🇰🇪
Wow, this song is sung with such zeal and energy, such a blessing, Hallelujah 🙌, nitaongozwa na Bwana
Nimejikuta nacheka peke yangu kwa furaha eti napendaga hii live jmn ikiwa na vyombo vya kutosha hivi na wapigaji wazr like that😘😘😘😘😘😘
I can hear this song again and again,it really blesses me
Baba wa gospel live show East Africa! Hakika JL huwa unanibamba daima
Wonderful song!! We need to be lead by the lord always coz he a true friend indeed!🙏🙏🙏🙏💪💪💪💪🌷❤️❤️❤️❤️❤️🌷🌷🌷🌷💯🔥🔥🔥🔥
Wimbo mzuri sana huu!! Mungu awabariki sana kwa kazi nzuri hii
Love from Nairobi kenya❤❤,God bless you people
Fireee 🔥🔥🔥🔥. Been listening to this song throughout the week in the office, on my way to the office and on the way back home. The drummer though 😀😀 I love his vibe. 😊😊😊. Hongera sana John kazi nzuri, old is gold. 🙌🙌🙌
The combination was powerful 🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲
Yes yes yes huyu ndio John lisu tunayemtaka soft voice ,stamart parformance ,Liv performance be blessed my dear brother
Uuuui hii ni baraka kweli..huu wimbo umeguza kuta za moyo wangu❤️baraka watumishi Bwana wazidishe..
Aniongoza popote, Yesu wangu nakutumaini❤❤❤❤ We pekee ndiye rafiki
Never ever get tired of listening repetitively this song. May God Almighty bless Lisu and his company!
Samuel limbuuuuuuuu awwwwww... my fev upcoming sikujua ningekupata huku.. good job too dad lisu.. much love from Kenya
You are the best mtumishi. Ni maombi yangu Mungu akuzidishe na kukukuza zaidi na zaidi. Sijawahi kuzichoka nyimbo zako.
Mpaka nimeimbisha kwa mikono hapa chumbani kwangu. What a combination?
My family can't stop listening to this song.
@fridahnyaga7102
3 жыл бұрын
Awesome
This song is an inspiration to other christians. Kweli tutaongozwa na Yesu
GOD your the only one who know on how much this song touch me. Please he'll me me GOD
Vibe lakutosha, hakika Mungu ni mweza wa yote! May God bless us!
Ameen mbarikiwe sana mungu awatunze kwa utumishi mwema kwa ajiri yetu . nitaongozwa na bwana usiku kucha na milele yote
This rendition is very lively and energetic. Who would've thought the hymn would sound like this! Good job!
Nitaongozwa na yesu. Tunae mpenda yesu tujuane?
@sir_richard_dk
3 жыл бұрын
Ndugu, andika neno Yesu kwa kuanza na herufi kubwa
hallelujah 🙌 Ameen nimebarikiwa Sana nyimbo zako tokea miaka Ile na ijayo nioiwa hai sitoacha kukusikiliza Mungu azidi kukuinua viwango vya juu mpaka shetani ashangae
Moja ya nyimbo nzuri sana
Am still listening this , Eeeeeeh Mungu wangu nitaongozwa na Bwana usiku kucha mchana kutwa nikikumbuka Calvary
Best heavenly praise song ever sung in Tanzania
Siku moja naomba niwasalimu tu kwa mkono am really blessed from +254
Nice song😘😘 Glory to God🙌🙌🙌BI TINA nimefurahi kuona unaimba live😍😍
The best song I've listened to this year. Much love from 254🇰🇪
Ameeeen! Imana iguhezagire kuzirikana urukundo rwayo.
Hapa huyu kijana amefanya kitu ambacho kimemshinda Shusho, tafadhali naomba mwenye kumjua huyu kijana anitajie japo jina lake tu.... Lissu na Shusho ni wakongwe na wanafanya kazi nzuri sana ila hapa kwa kijana wamenyooshwa😊
@neemaezekiel4856
3 жыл бұрын
Anaitwa Samuel Limbu kijana yupo vizuri sana. Ni muimbaji wa Chang'ombe kwaya.
Kwa hakika wacha tuongozwe na bwana🙏
Yaan mziki wa live Bwana kakutunuku mtumike yeye kwa roho na kweli
Jitahidi LISSU ufike mbinguni hilo ndio LA muhimu zaidi
Lovely song kwa kweli mm nitaongozwa na Bwana muda wote
Hongera sana brother samweli limbu
Today am really blessed by this man of God in Nakuru Kenya during Enthronement God Worship Experience 2021. @ Kingdom Seekers Fellowship Church. To God be the glory.
Nitaongozwa na Bwana usiku kucha na mchana Yesu rafiki wa kweli 🙏🙏 hujawai kuniacha.
Nilisubri kwa hamu hili song barikiwa sanaa JL
Nitaongozwa na Bwana usiku kuja na nchana. Watching from Kenya 🇰🇪🇰🇪
Haja ya moyo Wangu Wangu niongozwe na wewe BWANA YESU
Ntaongozwa na Bwana usiku kucha na mchana....Jesus my true friend😘😘😘😘😘😍
I wish @haleluya tv wangeiga upigaji wa vyombo kwa Hawa watu.
What a worship experience !!! Glory to almighty.
God gave beautiful people GOOD voices to Praise Him...Amen
Yesu akiniongoza sitaogopa maana najua kwake kuna mema kila wakati.
Wonderful and amazing worship, am blessed by this. It's my prayer that Mungu ataniongoza mwaka huu haswa mwezi wa pili nifanye maamuzi ya busara🙏👏👏
Love love love LORD JESUS🔥🔥🔥🔥🔥Christina shusho my favorite gospel singer
Wimbo wa baraka kweli! Nitaongozwa na Bwana!!! The drummer is amazing 👏
I fail to stop listening this every day Nitaongozwa na Bwana hata katika kushindwa kwangu kuacha kuusikiliza wimbo huu, Nitanita.....
Amen hii ndio haja y ya moyo wangu niongozwe na bwana Yesu
Nitaongozwa na bwana usiku kucha na mchana YESU rafiki wa kheri ninakumbuka calvary..
Powerful powerful, its been long since i heard a live performance from this two powerful ministers, God bless u
Siwezichoka na huu wimbo
Am being blessed with this song as I listen everyday,be blessed
Nitaongozwa na Mungu uliye hai ooooh! Barikiwa sana mtumishi wa Mungu.
You are a blessing and a true minister of God. God bless you.
Samuel Limbu Mungu akuinue zaidi nabarikiwa sana na uimbaji wako Amina Amina
@hoseahmwakajinga8415
3 жыл бұрын
Kweri kabisa
Amina na Amina... It was among favorite songs of my Dad. Nitaongozwa na Bwana 🙏🙏🙏
perfect combination Lissu. #GreatWork
Christina Shusho anafeel hio song ako karibu kuanza maombi😃😋
Backup team 💪cool 🙏
Waooh!!jmn nimebarikiwa kwa Yesu kuzuri mnoo
Woow woow 👏👏 so powerful minister John and Christina dope😇😇😇🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Powerful bt maziwa ya christina shusho inje kwa madhabao... Wanaume wanaitazama..... Mungu atupe hekima tunapo mtumikia
Nitaongozwa na Bwana usiku kucha na mchana hakika ww ni rafiki wa kwel nimekuona kazin ,nimekuona nilipo nunua kiwaja hakika ww ni kiongozi mwema
Yesu rafiki wa kheri♥️ tina shusho amebarikiwa kwakweli
More grace much love from 🇰🇪🇰🇪
Bado namsihiii Bwana aniongoze katika maisha haya
kwa hakika nitaongozwa na Bwana usiku kucha na mchana na Yesu rafiki wa dhati wimbo mzuri wa kufunga mwaka nayo
Hii Colabo Nzuri sana Mbarikiwe sana
Moto moto John lisu blessed
Hakika Yesu ni rafiki wa kweli yeye hutuongoza katika njia zake waimbaji mbarikiwe
Yesu rafiki wa kweli huniongoza usiku na mchana
Blessings over blessings
I like the song, may God bless you brother and sister 🙏🙏
Mungu akubariki sana mtumishi amina
@johnlisu
7 ай бұрын
Amina
I'm being blessed, glory to God 🙌
Nitaongozua nabwa popote ningiapo nawapata vizuri nikiwa saudia
Bassist Ni hatar anatembea na drums Safi sana @ John Lissu na dada Shusho
Nitaongozwa na Bwana usiku kucha na mchana YESU rafiki wa heri🙏
Hakika yesu nirafiki wa karibu! Nitaongozwa na Bwana!
Amenii kuongozwa na Yesu rahaaa
Glory to God for Calvary.Thank you Jesus
Amen. Nitaongoza na Bwana milele.
Listened to this song 10times very well done
the combination Shusho and John please do another one was beautiful
@johnlisu
4 жыл бұрын
Wewe Kemmy unatakatena nyingine?garamaaaaa
@mrs.andersson2854
4 жыл бұрын
Naunga mkono hii hoja
@blandinamnyinga8318
3 жыл бұрын
@@johnlisu Mungu aliye wezesha hii atawezesha na nyingine nyingi
@miritidennis
3 жыл бұрын
John Lisu, this was a powerful combination and a deep worship. Please do another one.
Yaan umenigusa sana huu wimbo naupenda sana
Utukufu kwa Mungu.Mzidishiwe upako wa Kumwimbia zaidi.
Hakika nimeupenda huu wimbo nitaongozwa na Bwana barikiweni sana