Joh Makini - Swagg Ft Nandy (Official Video)
Музыка
#JohMakini #Swagg #Nandy #Slidedigital
(C) Slide Digital
Joh Makini Songs OUT WORLDWIDE ON MAJOR DIGITAL STORES:
Written & Performed by Joh Makini
Follow Joh Makini on:
/ johmakinitz
/ johmakini.tz.1
/ johmakini
/ johmakini
Joh Makini is a top Tanzania Bongo Hiphop artist.His witty ryhmes and wordplay have made him into a household name in Tanzania and Africa,He is a renowned rapper known for his skillful use of metaphors, wordplay, and freestyle abilities.
Born as John Simon Mseke in Arusha, Tanzania on August 27th, 1980, he began his career as part of the River Camp group and released his first hit, "Chochote Popote," in 2006. The following year, he released his debut album titled "Zamu Yangu."
He has collaborated with many international artists, including the late AKA, Davido from Nigeria, and Navio. His talent has earned him the Best Hip-Hop Artist award at the Tanzania Music Awards in 2012.
Get a taste of Joh Makini's unparalleled lyrical prowess now !
For bookings and inquiries johmakini@gmail.com
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: slidedigitaltz
Пікірлер: 1 500
Twende kwa Mungu Afu ndio kwa wazazi 💕💕♥️
Katika vitu navikubali niuimbaji wa johmakin na mistari yake na Aina ya wimbaji wake ikopoa Sana like kwake✌️
How she does the ," Hapana hapana chezea; 😍sounds so well thought.....yani wimbo mambo mbaya👌🏽
Nyimbo nzuri km hii inakuwa na viewers kidogo lakn ile midosho ndo unakuta kama woteee wa tz sijui tukojee🤔🙄
waoooooooh!!! wakasikazin hawajambo wamejua kujiachia humu🤸♂️..... kazi zuri
Katika ngoma za joh... Hii ya ft Nandy ni video bora kwa mwezi huu 🔥🔥🔥
Wale diehards FAN wa Good music tuna comment kwa chini hapa kuipa Mark's hili Banger la mwaka . let's go
Kwa mungu Kwanza alafu kwa wazazi. 🙌
Wenye hip hop yao nafikiri wamerudi ambia hao kenge wa blue wapishe💪😍🥰
Jooohh. Ninoumaaaa jamaa.nipate like kwa Kenyan man wootee😂😂😂
Daaah ila Joh ana mashairi fani anajua kucheza na maneno
Joh Makani uko next level # Mwamba wa Kazikazini +254 respect kwako sanaaa
I can imgn the Chemistry between Joh and Nandy ✌this song is a big tune#🇰🇪
Ngoma kali sana nakubali kwa asilimia 💯💯#Gistoff
Kama unaikubali gonga like twende sawa
My love this gal🥺❤️😍 nandytz
Jamaa flan harakat za mzik kitambo na anaujua vema sema wana tunafel kutoa support coz ngoma anatoa kali viewers 15k sio poa, mfano hii ngoma n kali saaaaana big up Mwamba pia Nandy katsha
Naona tu siku izi watu wanajiita eti GOAT..waje waskize vitu vya kikweli MWAMBA wa kaskazini
Tanzania tumebarikiwa kuwa nawewe
Hii Ngoma Cchoki Kurudia Rudia.....Bonge ya ngoma
Jamaa anajua hatar 👀
Makini amemakinika kwa mistari kwrlikweli... kazi nzuri mwanangu .. Love from Ke🇰🇪🇰🇪🇰🇪 Alafu huyo binti mkali sana... Aje Kenya tena..
Favourite Rapper wangu..Much respect from Zambia🇿🇲🇿🇲.#NakubaliMfalme..A'Town🇹🇿😍
Joh hakika hujawahi kuniangusha we ni shiiidah!
Tunaojilipa ndio tunaojidai💯💯
🔥🔥mwamba wa kaskazini. Tanzania 🇹🇿home
Joh kama Joh mwamba kama mwamba
"Najua uko na option nyingi ila uko na mimi kwasababu ya msingi" 😊🔥🔥 it's a gud song
Wanangu Wa A Town Tujuane Hapa🍾
@masaku254
2 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/ZoOau6yHXa68aLA.html
@chenalus-theafricanprince9000
2 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/dXpk27qomqe0j84.html n
Mwamba wa kaskazini 🔥🔥🔥
Penzi haliwezi likawa kauka nikuvae baby 🙌🏽 kwa kwelii🥰
Napenda Sana A town inakuwa ya moto vile aisee
Video✔️ Message ✔️ Audio✔️ Lyrics ✔️ Much love❤️💯
Mwambaa ni mwamba🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@masaku254
2 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/ZoOau6yHXa68aLA.html
"Najua Uko Na option nyingi, ila Uko nami Kwa sababu za msingi".. *Makini*
Swaggy imekoleaaa ,much love from Kenya
Yaaan Twende kwa Mungu Kisha Kisha kwa wazaz✌️✌️
Uwiiiiiiii nyimbo kaliiiii kinoumaaa
King 👑
Makini kama style uandishi na vocco zangu quality broo 👊🏽
And when you thought Nandy is at her best she comes through with another 🥵
This is big, lyrics za kikubwa zinazoendana na ukubwa wako
WEUSI nyinyi iyo hip hop yenu msingezaliwa bongo maana amna mpinzani i wish mngekua Kenya, akuna kundi linaweza kuji compare na nyinyi mko level hatari sanaaa
Nandy umetishaaa
My baby NANDY never disappoint me 🤗🇹🇿🔥🔥🔥
My dad is rocking the rap nation
Mwamba wa kaskazini, Tz, Afrika na Duniani,!
ngoma ni kalii uyu ndo joh tunaemtaka mda wote
Hapana chezea john yuko makini na nandy😊💋
@lexusnambasita1309
2 жыл бұрын
kzread.info/dron/Xvl7dhvRkkJek5ZEAqlShA.html
Nakubali jomakin mmetshaaaaa
Ngomaaa LA kwendaaaa
Hatar aiseee
John makini anafanana na mena aly
TEAM WEUSI🔥🔥🌏🌏
Wasaniiii mpeane saporr
joh na nandy mnaweza piga kitu kalii zaidi ya hii
makini kama makini
Mwamba wa kazi kazini
Nomaaaaaaaa
Gudaaaa sana
nina pistol...nina kristo..nailed it joh!!
Kichupa cha moto 🦁
Nomaaaaaa
Kali sana
Joh is back manzeee Swag
Kizazi sana 🔥
Wenye hiphop yao wameludi sasa
Nomaaaaa san
Joah umetishaaaa
Hii ni moto👊🔥🔥🇰🇪❤️🙏
@chief2177
2 жыл бұрын
Rudia tena wewe!!!💯
Ninapisto na nina kristo, km papa Benedicto",,firee
This is best joh Mwamba wa kaskazini
joho anafaa kuishi American
@gileskandege4950
2 жыл бұрын
Hakika
Bonge la chupa hili ndo la mwez hil #HIPHOP🔥✌🏾
Nomaaaaa sana
Yani tuache mziki hii ingekua couple ingenoga sana maana hapana chezea na #swagg zenu zinakaa vyemaa😂😂😂🙌🏽🙌🏽 jokes na ukwel ndani yake
Moto moto to wito
I literally come to KZread to check the notification"someone liked your comment"and you have a new subscriber... it always makes my day
@lexusnambasita1309
2 жыл бұрын
kzread.info/dron/Xvl7dhvRkkJek5ZEAqlShA.html
@miriambethuel8892
2 жыл бұрын
😅😅😅😅
Si lazima nikuonyeshe ma ex maa sitozima ukinionyesha matext zao nijue vile wanakutamani ka pilau nitie akili nisije kujisahau nitie mapenzi ya ndoa uzae utie mahaba ya Tanga nikae nitie matunzo ya ghali ung'ae kuanzia misingi mpaka vigae mezani menyu ni vyuku nivae na sio December ndo kwanza July tunaojilipa ndo tunaojidai Joh mi ni rapa wa suit na tie turn on the lights turn off the lights Shori I'm the star you can see me in the dark bayb sitoki njia kuu baki njia kuu nipandishe bei sitaki unafuu Najua uko na all shit nyingi ila uko nami kwa sababu za msingi na Joh yuko na mambo mengi ila Yu nawe kwa sababu za msingi ,,,,,,,,,,,,,@johmakini mwamba wa kaskanga
@k.moneytv9053
2 жыл бұрын
hapo ni option nyingiii sio all shit
@k.moneytv9053
2 жыл бұрын
mezani ni vyuku divai sio vyuku nivae
Ngomaaa ya motooo
Ngoma kali sanaaaa joh
Joh mnona flow kali sana simple alaf umepoa tu.
Nani ypo hapa kama mimi 2023
Goma LA kwendaaaa
Oyaaa mwanangu unajuaaa
Super mature rap. Legit music
The goal is to be rich not to look rich, here we go jah bless u who reads this 😍
@lexusnambasita1309
2 жыл бұрын
kzread.info/dron/Xvl7dhvRkkJek5ZEAqlShA.html
Nomaaaaaaaaaaaaa
Nomaaa sana
Hii ya 🔥🔥🔥 can back in Makin your'e welcome 💪💪💪
Sema Nandy kaua sana
Gomaaaa LA kwendaaa
good💯💯
Fire
Noma sana aisee
Nomaaaaa aiseee
Tumtanguliz Mungu ndio tuende kwa wazazi
s2kkizzy🔥🔥🔥🔥
King yupo area na hajawahi kosea.
Hatarrrrr sana