Jinsi ya kusuka YEBOYEBO HATUA KWA HATUA | Flat conrows tutorial step by step
Жүктеу.....
Пікірлер: 267
@sinzelamvande89063 ай бұрын
Farida mamy mm inanishinda kuaza apo mbele, nataman nijue vizuri kusuka yeboyebo mana ndo nywele inayotrend , nakupenda mafunzo yako barikiwa mno
@FaridaNoah-wy9ww11 ай бұрын
Waoonh appreciate 🥰 Akina Farida tumebarikiwa wajina na mim ndo najifunza I wish niwe Kama wew♥️💝
@user-se6bq6oo6w7 ай бұрын
Hongera sana dada Farida mie nahitaji kujua mwazo kwenye kuanza kuchonga na nimejalibu kusuka Kuna sehemu Rasta inatuna inakuwa ni nn msaada wako
@RuthAbigun11 ай бұрын
Thanks M.faridah
@alwaysvictorious1853 Жыл бұрын
Mimi sijui kusuka kabisa Ndio naanza kujifunza, Dada Farida kwa sisi ambao ndo tunaanza kabisa naomba utufundishe kusuka nywele za kawaida (njia tatu na mbinjuo)🙏
@naomysamuel67992 жыл бұрын
Ur the best 💞
@beatricemfundi-eb8bb9 ай бұрын
Dada Farida mi nakufatilia sana Niko najifunza huku napenda unavyosuka na Mimi natamani kujua kama wewe nakupenda sana kipenzi mungu azidi kukutunza akubariki mno na akuinue pia kwenye KAZI Yako barikiwa sana dada angu asante Kwa mafunzo Yako mazur mno nikutakie jioni njema by
@phillipandrew62602 жыл бұрын
Nilikuwa sijui kabisa kusuka ila kupitia channel yako sasa naendelea vizuri asante sana dada😍
@marrymsunga9879
Жыл бұрын
Yan me natamani kujua dada farida sas nashindwa kuunganisha vzr app dad nifanyeje etiiiiii
@marrymsunga9879
Жыл бұрын
Mungu atupiganie mama na azidi kukutumia tunakutegemea wewe mwalim wetu
Duh hongera sana Farida najua ntajifinza mengi kupitia wewe shida yangu ni kupangilia panasumbua sana apo
@AshaKipetelo6 күн бұрын
Upo vizuri dada kama mie nami nataka niungane na wew
@_cartijay_ Жыл бұрын
May God bless you 🙏
@happypetro16872 жыл бұрын
Asanteeee Sana dada mungu akubariki mno
@SalomeEzekiel-xh3isАй бұрын
Dada farida ahsante sana nashindwa hapokuhongeza rasta
@DoreenManga2 ай бұрын
Natamniii sana kujua yebo naamini kupitia wew da faridaaa nitajua ty
@user-ov5wz6in3z2 ай бұрын
All the best mamaaa
@mossyswedy2578 Жыл бұрын
Napenda sana jinsi unavyofundisha farida
@user-qw9pi1sx5v9 ай бұрын
Hongera sana mungu akubariki
@magrethchansa3732 жыл бұрын
Mungu akuzidishie kipaji kingine
@victoriajnkungwe27482 жыл бұрын
Asante Dada kwakukutuelekeza nimeelewa kwer mm huwa najaribu lakini nashindwa kuzishika vizur hizo raster ninazokuwa naongeza hivyo huwa haziniletei muonekano mzur nifanyaje?
@mwanahamisibakari34724 күн бұрын
❤❤safi da Nzuri
@user-hk8vg3xh2h6 ай бұрын
Asante da farida nimejifunza kitu
@terckatercka5548 Жыл бұрын
Unakipaj kukubwa saana Cha kuongea vizur maelezo Yana nyooka asante saana dada farida ❤️
@esthercharles6118
Жыл бұрын
Nataka mawivingi
@ScholasticaPaschal-nc8zi Жыл бұрын
Asante kwa mafunzo mazuri
@estermagesa82122 жыл бұрын
Samahan kipenz me nikisha suka upande wa kulia kusuka upande wa kushoto nashidwa unaweza nisaidia happy plz
@user-ko3io3fi7w10 ай бұрын
Kwakweli hii ni nzur imenisaidia, maana hua nna changamoto ya kuongeza rasta japo kusuka najua. Asantee❤
@faridaothman
10 ай бұрын
Barikiwa sanaaa
@ambakamwela1379 Жыл бұрын
Hongeraa sanaaaaa
@florafabian38292 жыл бұрын
Asante San dad🌹❤️
@fatumakingwai72742 жыл бұрын
Kukupenda tu mwalimu wang
@user-po8hz7xw9j
Жыл бұрын
Mimi nataka nijue alipo niende kujifunza
@KhadijaDimppoz2 күн бұрын
Ongera dada ❤
@ElizabethNgalimo-rn9ox Жыл бұрын
Nimeoenda kwa kweli
@HalimaKalinga-cv1ox Жыл бұрын
Sehem gan mnapatikana dada farida
@creidahenry39152 жыл бұрын
Asante kupitia wewe nimejua mitindo mingi
@LomMeory-wz3sh3 ай бұрын
Dada hongera nimejifunza Sasa nimeweza
@user-tw5ty9gg9w
2 ай бұрын
Asante sana farida umenisaidia sana kujuwa kusuka yeboyebo mungu azidi kukulinda nakukuimarisha zaidi
@celinecarlos5838 Жыл бұрын
Farida mpenz wangu,mim najua kusuka kidogo Ila ninachofeli kuanza mbele kipenz,Ila natamani sana kujua yeboyebo kiufasaha
@nailyne2552 жыл бұрын
Thanks da Farida. Ila pls, nashindwa jinsi ya kuongeza rasta jtk kusuka yebo yebo, tafadhali natamani kujua
@dorotheanyondo22612 жыл бұрын
Namshukuru nimejifunza yeboyebo kupitia Chanel hii
@DelightfulBambooForest-rq2exn3 күн бұрын
Asantee kipenzi
@fatumabakar70959 ай бұрын
Mm pia nimependa😊😊
@MasterrehemaАй бұрын
dada farida mm nataka msahada mimi leo nime suka yebo lakini nyele zina chomokea nje ya rasta najaribu kusuka lakini nashindwa😢
@zed-bwayatanas25 күн бұрын
Asante sana dada ila me nikisuka nywele zinatokea juu nashindwa kuelewa nakosea wapi dada angu❤
@juliennealimasi63788 ай бұрын
Mimi sijui kabisa
@NinaNgei13 күн бұрын
Nashukuru dafarida yeboyebo kwasasa nakula hela ila naomba kitu kimoja utufundishe aina ya nywele flani zinaitwa zipu ubarikiwe Kwa kazi ya mikono yako
@TimothyMwendwa-ps2es Жыл бұрын
Okay thankc for kwangu braids na mwongezo its somehow tricky to start how can I do pz
@beatusdaniel Жыл бұрын
Dada farida hongera sana ila mm ndo najifunza kusuka yeboyebo ko nilikuwa naomba unifundishe ninapokuwa naunganisha nywel moja na nyingne man huwa me nikisuka yanakuja mafundo ko nilikuw nakuomb unifundishe man me najua za mikono tu na mungu akutangulie katka kitengo cha usukaji
@user-my7mq7eo4u
11 ай бұрын
Jaman dada naomba unieleweshe tena kwenye kusuka yeboyebo bado sijaelewa
@user-vs5yz5zm8k
8 ай бұрын
Mibando nashidw hapo tunapo anziya
@sophyandrew6837
7 ай бұрын
Jmn apo kwene kuungnisha Rasta yani kuongeza
@ZainabuMsangi-ve2gh
28 күн бұрын
Jamn dada mm nashindwa kusuka yebo yebo nielekez vizur
@happyminja29002 жыл бұрын
asante sana mom hatimae najitaidi kupitia chanel yako
@mosesbeatrice92392 жыл бұрын
Thanks baby love you
@AminaHamisi-es6nx7 ай бұрын
Asant kwa mafunzo da Farida
@latifajastin9116 Жыл бұрын
Ila chaneli yako imenivusha sana ubarikiwe
@alfredngole82872 жыл бұрын
Nashukuru sana
@ANNAKYANDO-ro6sy4 ай бұрын
Dada nywele zote nasuka bado yeboyebo ❤❤❤
@isayaeliya5661 Жыл бұрын
Naelew San mwalimu wanguuuuuuu
@hassanrashidy3490Ай бұрын
Mimi cjaelewa dd napenda kujua vizuri yebo napiya najua ila cyovizuri kama hivyo
@TheresiaTemu-ye1lmАй бұрын
Dada asante mm naomba unielekeze jinsi ya kusuka upande wa kushoto inanitesa sana jmn
@jacquepaul2372 Жыл бұрын
Da farida me nakupenda bure
@JulianaJacob-cr2ve2 ай бұрын
Habari za kazi da Farida mi nashindwa kuweka penseli vizuri jamani nifanyeje mamy
@MtumwaBakari-q8y20 күн бұрын
Nimependa mafundisho naomba nielelekezwe jinsi ya kusuka twist passion
@user-jd5wd9jw1g10 ай бұрын
Asante dada unafundisha vizuri nakuelewa mi nakosea kuanza tu kusuka yebo Ila natamani nijue zaidi naomba msaada wako
@faridaothman
10 ай бұрын
Sante snaaa
@user-gl3rb1ht5r6 ай бұрын
Asant dada Farida unafundisha vizuli cana
@Paul-mm5bqАй бұрын
Uko vizur dada farda asante san naomb unifundish kusuk notres
@SevaMnkondya3 ай бұрын
Asante kwa darasa je mwanzo unaanza na nywele yake au na Rasta??
@user-xn3bk3ph9d11 ай бұрын
❤❤
@user-st3fi7ft4c5 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤
@magrethjohn7567 Жыл бұрын
Hi dada mm najua kusuka yebo lakin shida ninaposuka nywele natural huwa inatokeza sana sijui shida ninn
@sophiakyando89449 ай бұрын
❤
@user-ud1dg3ki1v9 ай бұрын
Hongera
@user-se6bq6oo6w7 ай бұрын
Nakupenda napambana nipate hata lak tatu nije Nina salon sijui kusuka napata tabu Sina wateja sababu sijui kusuka
@machozibachinge86263 ай бұрын
Mimi uwaga nahanzia mkono wa kushoto ndomana nashindwaga jinsi yakujuwa kusuka vizuri
@allyissa26273 ай бұрын
Jaman m nmeangalia siku moja nmejalibu kumsuka mtu nywer unakaa vzur kasol kweny kuunganisha madam mung akuzdishie
@rebeccajulius8911 Жыл бұрын
Nice
@user-lx9lc4cb8d9 ай бұрын
Hi, jinsi ya kusoka creative line.
@tatumahmud35762 жыл бұрын
Asante
@beatusdaniel Жыл бұрын
Nimefurah San kwa kipaji chako ulichonacho ningependa na mm unifundishe jins ya kuunganisha lasta wakati wa kusuka
@MarseliSamwel13 күн бұрын
Je kwakuanzia unazungusha mara ngapi ili uongeze rasta
@AzizaCosmacАй бұрын
Mi nashindwa vitunguu vywa kunyonga dada
@user-yn8ur9pd4i4 ай бұрын
Hi,mm ninapoanza kushuka kuanza naanza vizuri but nikifika kati zinaanza kwenda kombo naomba ukanirekebishe
@neemapaul2323 Жыл бұрын
Asante dada ila mm kila nikisuka inatoka na mafundo mafundo na sehem ya kuongeza rasta inaonekana ata sijui nakosea wapi
@user-my7mq7eo4u11 ай бұрын
Nam dada ndo naanza.kujifunza naomba kujifunza kwako.make.unafundisha vzl.mngu.akubaliki sana ameeee
@Kambonamnkondya4 күн бұрын
Dada Farid mm changamoto yangu Ni wakati kuongeza Rasta pease nisaidi
@user-mn8xw4fc8w11 ай бұрын
Ubarikiwe dada
@faridaothman
11 ай бұрын
Ameen
@GloryShirima-y9g8 күн бұрын
mim nashidwa kuanza alafu pia kwenye kuongeza nashidwa kubana najikuta naachia
@lornanabangala2023 Жыл бұрын
Naitwa lornah natokea Kenya je nataka kujua kusuka.nitajifunza na pesa ngapi za Kenya
Пікірлер: 267
Farida mamy mm inanishinda kuaza apo mbele, nataman nijue vizuri kusuka yeboyebo mana ndo nywele inayotrend , nakupenda mafunzo yako barikiwa mno
Waoonh appreciate 🥰 Akina Farida tumebarikiwa wajina na mim ndo najifunza I wish niwe Kama wew♥️💝
Hongera sana dada Farida mie nahitaji kujua mwazo kwenye kuanza kuchonga na nimejalibu kusuka Kuna sehemu Rasta inatuna inakuwa ni nn msaada wako
Thanks M.faridah
Mimi sijui kusuka kabisa Ndio naanza kujifunza, Dada Farida kwa sisi ambao ndo tunaanza kabisa naomba utufundishe kusuka nywele za kawaida (njia tatu na mbinjuo)🙏
Ur the best 💞
Dada Farida mi nakufatilia sana Niko najifunza huku napenda unavyosuka na Mimi natamani kujua kama wewe nakupenda sana kipenzi mungu azidi kukutunza akubariki mno na akuinue pia kwenye KAZI Yako barikiwa sana dada angu asante Kwa mafunzo Yako mazur mno nikutakie jioni njema by
Nilikuwa sijui kabisa kusuka ila kupitia channel yako sasa naendelea vizuri asante sana dada😍
@marrymsunga9879
Жыл бұрын
Yan me natamani kujua dada farida sas nashindwa kuunganisha vzr app dad nifanyeje etiiiiii
@marrymsunga9879
Жыл бұрын
Mungu atupiganie mama na azidi kukutumia tunakutegemea wewe mwalim wetu
Waoooooo 😘 nimeelewa mpnz ahsante
hongera sana farida kanzi nzuri
Nakupenda sana mwalimu Mungu akujalie
Nakupenda saana kipenzi farida asante 🙏🙏mngu akubalik saana
Duh hongera sana Farida najua ntajifinza mengi kupitia wewe shida yangu ni kupangilia panasumbua sana apo
Upo vizuri dada kama mie nami nataka niungane na wew
May God bless you 🙏
Asanteeee Sana dada mungu akubariki mno
Dada farida ahsante sana nashindwa hapokuhongeza rasta
Natamniii sana kujua yebo naamini kupitia wew da faridaaa nitajua ty
All the best mamaaa
Napenda sana jinsi unavyofundisha farida
Hongera sana mungu akubariki
Mungu akuzidishie kipaji kingine
Asante Dada kwakukutuelekeza nimeelewa kwer mm huwa najaribu lakini nashindwa kuzishika vizur hizo raster ninazokuwa naongeza hivyo huwa haziniletei muonekano mzur nifanyaje?
❤❤safi da Nzuri
Asante da farida nimejifunza kitu
Unakipaj kukubwa saana Cha kuongea vizur maelezo Yana nyooka asante saana dada farida ❤️
@esthercharles6118
Жыл бұрын
Nataka mawivingi
Asante kwa mafunzo mazuri
Samahan kipenz me nikisha suka upande wa kulia kusuka upande wa kushoto nashidwa unaweza nisaidia happy plz
Kwakweli hii ni nzur imenisaidia, maana hua nna changamoto ya kuongeza rasta japo kusuka najua. Asantee❤
@faridaothman
10 ай бұрын
Barikiwa sanaaa
Hongeraa sanaaaaa
Asante San dad🌹❤️
Kukupenda tu mwalimu wang
@user-po8hz7xw9j
Жыл бұрын
Mimi nataka nijue alipo niende kujifunza
Ongera dada ❤
Nimeoenda kwa kweli
Sehem gan mnapatikana dada farida
Asante kupitia wewe nimejua mitindo mingi
Dada hongera nimejifunza Sasa nimeweza
@user-tw5ty9gg9w
2 ай бұрын
Asante sana farida umenisaidia sana kujuwa kusuka yeboyebo mungu azidi kukulinda nakukuimarisha zaidi
Farida mpenz wangu,mim najua kusuka kidogo Ila ninachofeli kuanza mbele kipenz,Ila natamani sana kujua yeboyebo kiufasaha
Thanks da Farida. Ila pls, nashindwa jinsi ya kuongeza rasta jtk kusuka yebo yebo, tafadhali natamani kujua
Namshukuru nimejifunza yeboyebo kupitia Chanel hii
Asantee kipenzi
Mm pia nimependa😊😊
dada farida mm nataka msahada mimi leo nime suka yebo lakini nyele zina chomokea nje ya rasta najaribu kusuka lakini nashindwa😢
Asante sana dada ila me nikisuka nywele zinatokea juu nashindwa kuelewa nakosea wapi dada angu❤
Mimi sijui kabisa
Nashukuru dafarida yeboyebo kwasasa nakula hela ila naomba kitu kimoja utufundishe aina ya nywele flani zinaitwa zipu ubarikiwe Kwa kazi ya mikono yako
Okay thankc for kwangu braids na mwongezo its somehow tricky to start how can I do pz
Dada farida hongera sana ila mm ndo najifunza kusuka yeboyebo ko nilikuwa naomba unifundishe ninapokuwa naunganisha nywel moja na nyingne man huwa me nikisuka yanakuja mafundo ko nilikuw nakuomb unifundishe man me najua za mikono tu na mungu akutangulie katka kitengo cha usukaji
@user-my7mq7eo4u
11 ай бұрын
Jaman dada naomba unieleweshe tena kwenye kusuka yeboyebo bado sijaelewa
@user-vs5yz5zm8k
8 ай бұрын
Mibando nashidw hapo tunapo anziya
@sophyandrew6837
7 ай бұрын
Jmn apo kwene kuungnisha Rasta yani kuongeza
@ZainabuMsangi-ve2gh
28 күн бұрын
Jamn dada mm nashindwa kusuka yebo yebo nielekez vizur
asante sana mom hatimae najitaidi kupitia chanel yako
Thanks baby love you
Asant kwa mafunzo da Farida
Ila chaneli yako imenivusha sana ubarikiwe
Nashukuru sana
Dada nywele zote nasuka bado yeboyebo ❤❤❤
Naelew San mwalimu wanguuuuuuu
Mimi cjaelewa dd napenda kujua vizuri yebo napiya najua ila cyovizuri kama hivyo
Dada asante mm naomba unielekeze jinsi ya kusuka upande wa kushoto inanitesa sana jmn
Da farida me nakupenda bure
Habari za kazi da Farida mi nashindwa kuweka penseli vizuri jamani nifanyeje mamy
Nimependa mafundisho naomba nielelekezwe jinsi ya kusuka twist passion
Asante dada unafundisha vizuri nakuelewa mi nakosea kuanza tu kusuka yebo Ila natamani nijue zaidi naomba msaada wako
@faridaothman
10 ай бұрын
Sante snaaa
Asant dada Farida unafundisha vizuli cana
Uko vizur dada farda asante san naomb unifundish kusuk notres
Asante kwa darasa je mwanzo unaanza na nywele yake au na Rasta??
❤❤
❤❤❤❤❤❤
Hi dada mm najua kusuka yebo lakin shida ninaposuka nywele natural huwa inatokeza sana sijui shida ninn
❤
Hongera
Nakupenda napambana nipate hata lak tatu nije Nina salon sijui kusuka napata tabu Sina wateja sababu sijui kusuka
Mimi uwaga nahanzia mkono wa kushoto ndomana nashindwaga jinsi yakujuwa kusuka vizuri
Jaman m nmeangalia siku moja nmejalibu kumsuka mtu nywer unakaa vzur kasol kweny kuunganisha madam mung akuzdishie
Nice
Hi, jinsi ya kusoka creative line.
Asante
Nimefurah San kwa kipaji chako ulichonacho ningependa na mm unifundishe jins ya kuunganisha lasta wakati wa kusuka
Je kwakuanzia unazungusha mara ngapi ili uongeze rasta
Mi nashindwa vitunguu vywa kunyonga dada
Hi,mm ninapoanza kushuka kuanza naanza vizuri but nikifika kati zinaanza kwenda kombo naomba ukanirekebishe
Asante dada ila mm kila nikisuka inatoka na mafundo mafundo na sehem ya kuongeza rasta inaonekana ata sijui nakosea wapi
Nam dada ndo naanza.kujifunza naomba kujifunza kwako.make.unafundisha vzl.mngu.akubaliki sana ameeee
Dada Farid mm changamoto yangu Ni wakati kuongeza Rasta pease nisaidi
Ubarikiwe dada
@faridaothman
11 ай бұрын
Ameen
mim nashidwa kuanza alafu pia kwenye kuongeza nashidwa kubana najikuta naachia
Naitwa lornah natokea Kenya je nataka kujua kusuka.nitajifunza na pesa ngapi za Kenya
Dada farida nashingwa kuogeza lasit nikiogeza zinaonekan
Nataka kujua zile mwongezo za kucrosiana
Nafurah kusuka sana da farida na napenda kuisuka yeyoyebo ila tatizo kubwa kuonganisha rasta khaaa! Nashindwa je nifanyaje?
Asante sana kwa darasa lako la online limetusaidia sana
@faridaothman
10 ай бұрын
Shukran sanaa❤️❤️
Dada farida mimi naomba nifundishe kusuka yeboyebo nipo iring naitwa daines ngulo
Habar mamii.... Naomba kuuliza kuhus makazi kwa mwanafunz anayehitaj kujiunga, anajitegemea? Au Kuna mabweni
Abar mm ndio nataka kuanza kabisa jmn dada mnapatikana wapi
Hello farida mimi nikisuka yebo yangu haikazi vizurii sielwi shida nn.
samaani dada kunatofauti gani kati ya kuanza na rasta au kuanza na nywele yake wakati wa kusuka yeboyebo mzuri au ninjia gani zuri kuitumia
Mimi nashindwa kuaza mbele,jinsi yakushika nywele yambele ndio nashindwa
Madam mm nikiongeza rasta zinatokea afu haikaz naomba masada tatizo ni nin
Dada mm nikisuka yeboyebo haijibinjui inakaa kama nywele Ya kawaida naomba uwendelee kunifundasha
Dada falida samahan nataman kujifunza kusuka yebo naomba nisaidie Kwa hilo
Mim kwenye yebo cjui kabisa dada frida huwez chukua vdio ya talatib ukanifundsha tu kweny cm nanikaelewa jmn
mi niko Kenya nitafanya aje ndio nipate mafunzo online nani how much