Jinsi ya kupata Melodies nzuri za Beat kupitia Fl Studio

Фильм және анимация

Jinsi ya kupata Melodies nzuri za Beat kupitia Fl Studio
Nimejaribu kuuelezea Mbinu tofauti tofauti ninazozitumia mimi kupata melidies nzuri pindi nitengenezapo beat

Пікірлер: 48

  • @EREVUKATV
    @EREVUKATV4 жыл бұрын

    Naqubali sana Buddy Richboy unanisogeza sana

  • @aspaslove113
    @aspaslove1135 жыл бұрын

    Good guy Rich greetings from Kigali

  • @msabatozeson9023
    @msabatozeson90236 жыл бұрын

    yah napenda kaz hiz me pia niko vizuri Sana kwenye hii sectors!!

  • @safarinjemadav5558
    @safarinjemadav55583 жыл бұрын

    Nakukubali bro ang nimepata zaidi ya mafunzo

  • @safarinjemadav5558

    @safarinjemadav5558

    3 жыл бұрын

    Ila ninatak kujifunza zaidi hii so unaweza kunisaidiaje broo

  • @Richstartz

    @Richstartz

    3 жыл бұрын

    Asante sama

  • @mutaboy897
    @mutaboy8974 жыл бұрын

    Am beginner so napenda sana kazi zako bro hii video naiangalia kila siku

  • @twalibuamir5544
    @twalibuamir55446 жыл бұрын

    Una deserve tuzo ya heshima. Kila nikifuatilia tutorials zako matumaini yangu ya kuwa mtayarishaji wa muziki yanaamka na kuongezeka, Mungu akubariki na akusimamie.

  • @FredyMgaya-dh8fl
    @FredyMgaya-dh8fl Жыл бұрын

    Kaka habar

  • @Mellanke
    @Mellanke4 жыл бұрын

    GREAT CHECKING FROM KENYA

  • @amaninyambulapi3650
    @amaninyambulapi36506 жыл бұрын

    somo zuri saana!

  • @flaviankiwelo7185
    @flaviankiwelo71856 жыл бұрын

    gud gud rich star

  • @producerswedy1578
    @producerswedy15786 жыл бұрын

    Huwezi amini Rich now dayz nimekuwa natafutwa kucompose beat daah very respect sana

  • @lipambasalumu8550

    @lipambasalumu8550

    6 жыл бұрын

    Mzee naomba msaada wa plugin za vinanda mkuu

  • @amosyluhasi2413
    @amosyluhasi24136 жыл бұрын

    Nakukubali Mr

  • @iamrobby4620
    @iamrobby46206 жыл бұрын

    broo mungu akubariki sana umenitoa kwenye zero mpaka hero saivi namiliki hela kwa kupitia tutorials zako ipo siku ntakulipa juu ya hichi kaka angu ilove una naamini iposiku tutakutana stay waiting for meeting

  • @opinaisnyongo8081
    @opinaisnyongo80813 жыл бұрын

    🙏🙏

  • @binambinam9958
    @binambinam99586 жыл бұрын

    Ukovizur ila kumbuka hufundish wanao juatu make wengine Idear tunayo sasa pale tunatakuelewa unaenda less bab unatukosea...🙏

  • @martingodwin9580
    @martingodwin95804 жыл бұрын

    UKO VIZURI SANA BROO

  • @AfricanAlphaBeats
    @AfricanAlphaBeats6 жыл бұрын

    hakuna mtu anaeweza kukulipa wala kushukuru ikafanana na unachokifanya kwa niaba ya watu wengi saaaaana.....we nisababu ya mafanikio ya watu wengi sanaaaaa bro

  • @wilsonedward9508
    @wilsonedward95085 жыл бұрын

    msaada kwan kudownload hii fl ni lazima ulipie

  • @binebitznyotabitz1450
    @binebitznyotabitz14506 жыл бұрын

    Amini ndugu masomo yako ni mkomboz wa ndoto yngu naamini cku moja ntafika hapo ulipo

  • @jallymsemwa
    @jallymsemwa6 жыл бұрын

    fanya tutorial nyingi zaidi ukibase katika hii aspect ya melodies and chords

  • @kasukahabari327
    @kasukahabari3276 жыл бұрын

    oyooo ahsante sana rich leo umenifugua sana

  • @kasukahabari327

    @kasukahabari327

    6 жыл бұрын

    nimesha subscribe zaman sana vitu vyako ni kunyanyua wasiojiweza

  • @sadimasudi709

    @sadimasudi709

    6 жыл бұрын

    kaka rich naomba namba zako mana we MTU muhimu sana saaaana

  • @sadimasudi709

    @sadimasudi709

    6 жыл бұрын

    kaka rich naomba nipate namba yako tuongee zaidi napenda sana hii kitu nijue 0623976411 nibipu kwenye namba hii kaka plz

  • @MarashiOG

    @MarashiOG

    6 жыл бұрын

    Richstar nakutafuta broo

  • @farmdezo381

    @farmdezo381

    5 жыл бұрын

    uko wapi kk 0656969698 nicall

  • @fedinatimotheo6707
    @fedinatimotheo67076 жыл бұрын

    plz help your contact rich me nimuimbaj wa nyimbo za injir nahitaj kutimiza ndoto zangu

  • @EDWARDMPINA-ce8hg
    @EDWARDMPINA-ce8hg3 ай бұрын

    Sf

  • @user-gj3ev9mp5m
    @user-gj3ev9mp5m Жыл бұрын

    Mm nataka fl studio ya kwenye simu ila na shindwa jinsi ya kudanlood naomba nifunze

  • @Richstartz

    @Richstartz

    Жыл бұрын

    Hio app ni ya kulipia lazima uilipie kuipata

  • @FredyMgaya-dh8fl
    @FredyMgaya-dh8fl Жыл бұрын

    Nashida na namber yako ya cm ili tuwasiliane nahitaji kujua zaidi kutumia FL studio maana napenda kutengeneza mziki

  • @amosyluhasi2413
    @amosyluhasi24136 жыл бұрын

    Toa maelezo ya kutengeneza sebene

  • @chellakajipe7835
    @chellakajipe7835 Жыл бұрын

    Bro jinsi ya kupata hii app nisaidie bro nakuomb

  • @phillcolinsoscar8631
    @phillcolinsoscar86316 жыл бұрын

    Bro samahan mm nafuatilia sana hz tutorial zako ila nashindwa jinsi gani ya kudownload vifaa through internet.... So unaweza ukanielekeza au ukanitumia some of the instruments plz

  • @phillcolinsoscar8631

    @phillcolinsoscar8631

    6 жыл бұрын

    How then.... Nilijaribu ila nikashindwa naomba msaada au kwa mawasiliano zaidi naomba namba yako Bro.

  • @atanazmichael818
    @atanazmichael8186 жыл бұрын

    Nzuri mimi nataka kujua jinsi ya kupiga base hasa katika beat za afro pop

  • @paschaljayunga257
    @paschaljayunga2575 жыл бұрын

    Uko vizuri sana lakini ninaomba kama itawezekana nipate tutorial inayofundisha kupanga key Aina mbalimbali katika FL maana asilimia kubwa naona tu natumia key c tu kama itawezekana naomba unichek whatsap 0745262820

  • @venisiuslyombo6738
    @venisiuslyombo67386 жыл бұрын

    kaka naeza pata namba zako

  • @allykamila3445
    @allykamila34456 жыл бұрын

    Kaka nimedowload plugins zimekuja kama microsoft word file, naomba unisaidie kaka yangu

  • @totocite8945

    @totocite8945

    4 жыл бұрын

    tumia winrar

  • @jedysen4349
    @jedysen43494 жыл бұрын

    Hii ni fl ya ngapi 12?

  • @jedysen4349

    @jedysen4349

    4 жыл бұрын

    Richstar inaonekana fofauti na ya sasa

  • @chandadascout39
    @chandadascout395 жыл бұрын

    bro me nakukubar sana na nataman san kua mam wewe yan kma hutojali kaka 0767510262 ncheki watsapp

  • @praisekavy
    @praisekavy6 жыл бұрын

    we jamaa kama una studio niambie nije kurekodi fastaaaa au namba ya simu nidondoshee hapa serious

Келесі