JINSI YA KUOMBA WAKATI WA MCHANA.

HOW TO PRAY IN THE AFTERNOON
There are many things that God has closed in a certain time or season. In this lesson we learn how the day (noon/afternoon) has many good things if we understand how to use it. Also in this lesson Apostle Mtalemwa explains TWO KEY POINTS TO PRAY DURING THE DAY. Follow this lesson to learn more.
(Swahili)
JINSI YA KUOMBA WAKATI WA MCHANA
Kuna mambo mengi Mungu ameyafunga katika muda ama majira fulani.
Katika somo hili tunajifunza jinsi mchana ulivyo na mambo mengi mema endapo tutaelewa jinsi ya kuutumia.
Pia katika somo hili Apostle Mtalemwa anaeleza MAMBO MUHIMU MAWILI YA KUOMBA WAKATI WA MCHANA.
Fuatilia somo hili upate elimu zaidi.

Пікірлер: 347

  • @farajimohamednganilohi7001
    @farajimohamednganilohi70012 жыл бұрын

    Namshukuru sana Roho Mtakatifu ananisaidia kukuelewa hata ukizungumza mambo mazito yeye unisaidia kuyaelewa. Na hakika nayaona matunda yake. Nakupenda sana Baba yangu wa Kiroho.

  • @victoriadaizy5277
    @victoriadaizy52773 жыл бұрын

    Napenda unavyo fundisha kwa umakini mkubwa thank you so much Man of God.hata mm 2018 nilisha jibiwa mchana one day nilikua mgonjwa ajabu but Mwenyezi Mungu akaniletea doctor after spending the all day in church praying. I have a testimony.

  • @iranyibutsearnaud4278
    @iranyibutsearnaud42782 жыл бұрын

    U are a real man of God 🙏 .u build me up with this word I am sure I will come back to comments on the same post with testimonies .

  • @georgemallya4311
    @georgemallya43113 жыл бұрын

    Katika mtumishi anayejua kufundisha neno aisee you are the best.Mungu aendelee kukuinua son of major prophet.apostle mtalemwa number one in Tanzania.

  • @dottomkuchu5890
    @dottomkuchu58902 жыл бұрын

    Yaani Apostle umenitoa ktk Giza Nene kumbe mchan ni mzuri Kwa maombi Mungu akutunze milele

  • @mrsnzilomgisha2687
    @mrsnzilomgisha26872 жыл бұрын

    Chief wa watu. Hakuna somo unalofundisha nisikuelewe.... barikiwa sana Apostle wangu. Zaidi ya yote nakushukuru kwa utabiri wa mtoto wa kiume na nikampata kweli.

  • @veronicawangari6108
    @veronicawangari61083 жыл бұрын

    Mimi si mtanzania lakini mtumishi napenda jinsi unavyofafanua maandiko katika biblia nakutazama kupitia mtandao kutoka Kenya mungu awe nawe nyakati zote amina

  • @millcentsamali6793
    @millcentsamali6793Ай бұрын

    Hakika huu ni ufunguo wa magumu yetu!!!mchana ni Nuruu Barikiwa mtumishi wa Mungu Mwenyenzi

  • @anguraecalistus1509
    @anguraecalistus1509 Жыл бұрын

    Am blessed...pray for me. I need Jesus in my life. Mimi ni kafiri. Pray for me hili mungu aniokoe

  • @bejishful
    @bejishful3 жыл бұрын

    Amen amen amen. Matatizo yote sugu maishani mwangu yameondolewa leo mchana na jua la haki linaniangazia, maadui zangu wote wamepigwa upofu kwa Jina la Yesu! Amen!!

  • @gracekanyanza4816

    @gracekanyanza4816

    2 жыл бұрын

    Asante mtumishi

  • @neemamlanda5862
    @neemamlanda58622 жыл бұрын

    Asante sana mtumishi wa Mungu nimeomba na wewe mchana wa leo naomba kupitia hapa naninamini mungu atatimiza malengo yangu amina

  • @esthercharles2210
    @esthercharles22103 жыл бұрын

    Asante sana Chief Apostle Ufunuo mkubwa sana huu,hakika nimepata somo kubwa sana.

  • @happysumia8756
    @happysumia87563 жыл бұрын

    Amen Mtumishi ili Mtu akwelewe Lazima akusikilize hadi mwisho,,SOMO la Siri ya Asubuhi imebadili kabisa maisha yangu

  • @gracelymgimwa-jt6nw
    @gracelymgimwa-jt6nw Жыл бұрын

    Namshukuru Mungu an kumtukuza kwa uwepo wako Chief unafafanua neno kwa kiwangu cha juu sana,Mungu akubariki mtumishi wa Mungu

  • @ezrantare8978
    @ezrantare89782 жыл бұрын

    Asante Apostle kwa kunipa maharifa ya kuomba maombi katika wakati sahihi na Aina ya maombi. Thanks Lord for your word given by your Servant Mutalemwa I feel blessed.

  • @user-mj8sl5rc7g

    @user-mj8sl5rc7g

    5 ай бұрын

    Asante Apostle Kwa mafundisho yako nabarikiwa nikiwa Kenya. Naitwa ev.Renson

  • @edwinonsombi
    @edwinonsombi Жыл бұрын

    Some nzuri barikiwa Apostle

  • @joycejumaa7181
    @joycejumaa71813 жыл бұрын

    Asante mtumishi wa Mungu kwakunibariki na neno nashukuru kwakunifungua akili amfrom Kenya but now I am 🇸🇦nahitaji maombi Mungu tumbo yangu

  • @lydiamkungu347
    @lydiamkungu3472 жыл бұрын

    Mungu uwe pamoja nami

  • @joycegesare1571
    @joycegesare15713 жыл бұрын

    Amina nimebarikiwa na hili somo nimeshukuku juu umeniponya ata yule mwanamke msinifu alikutana na yesu mchana kisimani

  • @msokelesijali7909
    @msokelesijali79092 жыл бұрын

    Mungu aendelee kukutunza mtumishi

  • @magrethsimtenda926
    @magrethsimtenda9263 жыл бұрын

    Amen Man of God MUNGU AKUTUNZE NAKUKUBARIKI

  • @AgnessNyansambo
    @AgnessNyansambo3 ай бұрын

    Uliishanipandisha viwango Hadi nashindwa kueleza barikiwa zaidi ya sana❤❤❤😊😊😊

  • @jenifadaniel7752
    @jenifadaniel7752 Жыл бұрын

    Amina! Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu kwa mafundisho mazuri na maombi

  • @mamasharon7753
    @mamasharon77532 жыл бұрын

    Mungu napokea mchana WA Leo🤲🤲🤲🤲💥💥💥💥🤲🤲🤲🤲

  • @monicabh1668
    @monicabh16682 жыл бұрын

    Pia mimi niko na ushuhuda mtumishi 🙏🙏.Baada ya kusikiliza mafundisho ya misukule part 1&2 huo wakati nilikuwa naumwa na miguu na mikono takribani week mbili.Hali ile ilinisumbua sana juu sikuwa na fanya kazi nzito sasa shida sijui ilikuwa wapi.Wakati wa mchana baada ya maombi nililala na nikiwa usingizi nilihisi upepo unanivivia sehemu ya miguu na mikono kuamka maumivu niliyokuwa nahisi hayakuwepo 🙏🙏🙏 .Hapo nilipokea uponyaji wakati wa mchana 🙏 kwa hakika Mungu ni mwema.Mafundisho yako yananiinua sana na Mungu azidi kukuinua katika viwango vya juu zaidi tuweze kufahamu zaidi be blessed The Man of God🔥🔥🔥

  • @johnmsiage7580
    @johnmsiage75803 жыл бұрын

    Amina ww ndie baba wa kiroho ambae unawaongoza watoto vizuli

  • @hopelema3893
    @hopelema3893 Жыл бұрын

    I wish uje kanisani kwetu naguswa sana na mafundisho yako.Mungu akutumie zaidi na zaidi

  • @ruthkiptoo9886
    @ruthkiptoo98862 жыл бұрын

    Thanks mtalemwa for your teachings may God bless you abundantly.

  • @hebisibaondimu826

    @hebisibaondimu826

    5 ай бұрын

    À with

  • @wigomwenyeflevazake7913
    @wigomwenyeflevazake79132 жыл бұрын

    daaaaah nimekupenda breee apostle ubarikiwe sanaa una mafuzo mazuriii mnooo really touch my heart

  • @annajoseph425
    @annajoseph4252 жыл бұрын

    Asante Apostle kwani baada y kusikiliza mafundisho haya mchana wa leo kuna jambo Mungu amenitendea maishani mwangu

  • @ruthnyanza1887
    @ruthnyanza1887 Жыл бұрын

    Nabarikiwa Sana na mahubiri haya Mungu akuinue.mtumishi watu wajue kuishi maisha ya kumtegemea .Mungu Ame

  • @faridaeliud6360
    @faridaeliud6360 Жыл бұрын

    Amina mtumishi nami naami mda huu napokea kizazi kipya

  • @halimarashid3728
    @halimarashid37282 жыл бұрын

    Ubarikiwe mtumishi napona na mafundisho yako

  • @sesiliasamwel5024
    @sesiliasamwel50244 ай бұрын

    Apostle ubarikiwe nimeinuka tena

  • @episonfelician7670
    @episonfelician76703 жыл бұрын

    Mtumishi Apostle Nabarikiwa Sana na Mafundisho yako Maana umenitoa mbali Sana Nakufatilia Kwa kuushika ujumbe wako Mungu akupe kipawa zaidi Katika huduma yako Man of God

  • @IsakaShauri-qu4xo
    @IsakaShauri-qu4xo5 ай бұрын

    Ameen nimebarikiwa sana na mafundisho Mungu akubariki sana mtumishi

  • @jacklineikoki6653
    @jacklineikoki6653 Жыл бұрын

    Oooh yes barikiwa Sana chief unazidi nibariki mtumishi

  • @zainabukimaro5240
    @zainabukimaro52403 жыл бұрын

    Asante yesu kunikutanisha na mtumishi huyu

  • @rithalukas4263
    @rithalukas42633 жыл бұрын

    hakika huu ni Ujumbe wangu kutoka Kwa Roho Mt. Yesu Asante

  • @marywafula2858
    @marywafula28582 жыл бұрын

    Ooh yess nimekuelewa Mtumishi heee Barikiwa saana

  • @marymwatsuma8137
    @marymwatsuma81373 жыл бұрын

    Amen amen nmebarikiwa Sana asante mtumishi kwa muongozo

  • @mytomorrowmambo626
    @mytomorrowmambo6265 ай бұрын

    Unanibariki sana kwa mafundisho,Ubarikiwe sana mtumishi

  • @annekangaikathuni9523
    @annekangaikathuni95233 жыл бұрын

    ...hakika mtumishi...waaa hufahamu wa juu zaidi...Mungu apewe sifa milele...nime barikiwa hekima ilioje waaaa.!!!!📢📢📢📢💯

  • @meryezekieli8640
    @meryezekieli86404 ай бұрын

    Amen mafundosho yamenisaidia kujua kuomba Kwa wakati mungu akubariki sana mtumishi

  • @alicekalemela7435
    @alicekalemela74353 жыл бұрын

    Apostle kwa kweli mda hautoshi, nimekuelewa vizuri, Asante Sana kwa mafunuo

  • @neemashilangi3686
    @neemashilangi36862 жыл бұрын

    Huwa najifunza sana hapa...Mungu awatunze watumishi wake.

  • @angelkanoga2175
    @angelkanoga21753 жыл бұрын

    Asante Mtumishi neno nimelielewa yan nilikuwa sijui masaa ya kuomba nilikuwa najiombea tu lakin sasa Mungu ananifundisha kupitia Mtumishi.

  • @sarahwaswa5819
    @sarahwaswa58192 жыл бұрын

    Napokea kwa jina la yesu amen

  • @dominickrwehumbiza7950
    @dominickrwehumbiza79502 жыл бұрын

    Asante sana Apostle kwa mafundisho haya. hakika ili somo limenifundisha mengi na kunibariki. Mungu azidi kukuinua Apostle

  • @salomemahenge209
    @salomemahenge2093 жыл бұрын

    Asante Yesu niko nasikiliza somo hili mchana huu napokea majibu yangu

  • @dieterfenn6773
    @dieterfenn67733 жыл бұрын

    Amen napokea majibu kutoka kwa Mungu Asante mungu kwa uzima wangu na Baraka

  • @monicalaizer7596
    @monicalaizer759611 ай бұрын

    Amen ubarikiwe mtumishi wa Mungu

  • @lylyekalendi2524
    @lylyekalendi2524 Жыл бұрын

    Mimi ni congolaise , nakufataka sana , na nafurahisha na somo ginsi ya kuomba mchana , kumbe tunaomba mubaya njo maana hatujibiwe, nimefunjwa sasa Mungu akujaje tafsiri mtumishi wa Mungu amen

  • @joelsagide9607
    @joelsagide9607 Жыл бұрын

    Asante opostole mutalemwa, mimi nilikua nimechoka na maisha kabisa lakini vile umenifundisha neno nimeamini kweli naitaji nafasi nyingine.

  • @pastorabellukumay6592
    @pastorabellukumay65923 жыл бұрын

    Asante Yesu maana unaraise standard yangu ya Maombi

  • @user-io1tp6nz8m
    @user-io1tp6nz8m3 ай бұрын

    Ameeeeeen ameeeeeen ❤❤

  • @RoseUrio-bl3dm
    @RoseUrio-bl3dm8 ай бұрын

    Ameen, ubarikiwe sana...nabarikiwa na mafundisho,Mungu akubariki

  • @kavuthalinah514
    @kavuthalinah5143 жыл бұрын

    This has helped me to raise my standard of prayer. nagoja ni jue vile nafaa kuomba njioni na usiku.

  • @stellafety4332
    @stellafety43323 жыл бұрын

    Amennn mungu mubariki mchungaji Wako asante nashukuru kwa neno soit béni

  • @rachaelmkunda2742
    @rachaelmkunda27423 жыл бұрын

    Asante Yesu kwa kunikutanisha na huyu apostle amenifingua Amina

  • @DianaMwakibibi
    @DianaMwakibibi18 күн бұрын

    Nimebarikiwa sana

  • @faridaelias7137
    @faridaelias71373 жыл бұрын

    Ameeeeen mafundisho makali sana..Mungu akutunze mtumishi wake

  • @yudarenatus5316
    @yudarenatus53162 жыл бұрын

    Mungu akubariki Sana chief apostle mtalemwa

  • @monicajackisoni5865
    @monicajackisoni5865 Жыл бұрын

    Amen man of God

  • @bishopalinanusweabisai899
    @bishopalinanusweabisai8993 жыл бұрын

    God bless chief ni SoMo mhimu Sana ninaona mafanikio ya maombi ya muda nimekuelewa Sana

  • @basmartmapinda9321
    @basmartmapinda93212 жыл бұрын

    Umebibariki Sana kwa neno la Mungu

  • @andrewgithaiga9956
    @andrewgithaiga99562 жыл бұрын

    MUNGU AKUBARIKI MTUMISHI I `VE LEARNT ALOT

  • @rebeccamaunde4085
    @rebeccamaunde4085 Жыл бұрын

    Asante sana man of God,am akenyan listening from Arabs countries..mimi nimuombezi nimejifunza kitu kutoka kwako

  • @eustacelubazibwa3101
    @eustacelubazibwa310111 ай бұрын

    Hongera mtumishi..mungu awe nawe daima

  • @josephmutalemwa1461
    @josephmutalemwa14613 жыл бұрын

    Hallelujah hallelujah praise be to God

  • @nizselyluka2096
    @nizselyluka20962 жыл бұрын

    Ubarikiwe mtumishi

  • @user-fb9ki2cy2e
    @user-fb9ki2cy2e5 ай бұрын

    Amen mtumishi

  • @boymarb3283
    @boymarb32833 жыл бұрын

    Amina

  • @Msovelo9017
    @Msovelo90172 жыл бұрын

    Asante sana apostle

  • @clairemuchai623
    @clairemuchai6232 жыл бұрын

    Aimen mtumishi Mungu akubariki

  • @valentinandukuvalentinandu4779
    @valentinandukuvalentinandu47793 жыл бұрын

    haki huyu apostle anajua kusaka bibilia

  • @deogratiusdongwe6719
    @deogratiusdongwe671910 ай бұрын

    Wonderful nimeongeza kitu 🙏🙏🙏

  • @loismadundu837
    @loismadundu8372 жыл бұрын

    It's my time to recieve my blessings. ..thanks man of God for this teaching

  • @happynescostat7420
    @happynescostat7420 Жыл бұрын

    Ubarikiwe Sana mchg mutalemwa,nipo nakusikiiliza asubuh ya tareh24)5)23 mme wangu ametekwa na mwanamke aliepewa taraka na mmewe,niombee nipo bukoba ,

  • @jonasmpita2206
    @jonasmpita22062 жыл бұрын

    somo zuri sana la maarifa

  • @harriethkinjoli5459
    @harriethkinjoli54592 жыл бұрын

    Mungu akubariki Apostle kwa mafundisho mazuri

  • @felestinekwamboka2873
    @felestinekwamboka28732 жыл бұрын

    I have learnt alot from you may God bless you abundantly

  • @emanuelmsaky8074
    @emanuelmsaky80742 жыл бұрын

    Shetani alikuwa ananizuia kusikia hii kila siku nasema nitasikiliza niandike lakini Leo nimefanikiwa kusikia Kama mungu alivyonisaidia nguvu za gizaa wasubiri nikipata muda mchana ndo muda wakuwakomesha ufunuo wa Hali ya juu huu mungu akuinue apostle mtalemwa

  • @barikimatabishi3544
    @barikimatabishi35442 жыл бұрын

    Mafundisho matamu.Courage Baba....

  • @TunaelMhema

    @TunaelMhema

    2 ай бұрын

    Asante

  • @bettymwanuke1424
    @bettymwanuke14243 жыл бұрын

    Barikiwa sana appostle

  • @eunicemarugu3595
    @eunicemarugu35952 жыл бұрын

    Ndugu zangu ninashuhuda kwa somo hili jana trh 11 mwezi 11 mwaka huu nilikuwa nikifuata somo hili nikiwadukani kwangu afu hari haikuwa nzuri kwa upande wangu ghafra nikapitiwa na usingizi huku simu ikiwa hewani nikamwona apostle kaja dukani kwangu akamhudumia mteja baada ya dakika chache nikashituka kutoka usingizini mda haukupita akaja mteja akanunua bidhaa ileile nilio ona apostle akiuza hovyo namushukulu sana Mungu kupitia mtumishi wake Mungu akamtumie kwa viwango vya juu zaidi

  • @officialjemimahowiti
    @officialjemimahowiti Жыл бұрын

    God bless and increase more knowledge in you to save the children of God

  • @kapologweeve442
    @kapologweeve4423 жыл бұрын

    Amen. Nimebarikiwa sana. Mchana

  • @eveanangisye1999
    @eveanangisye19993 жыл бұрын

    Eeeh Yesu Kristo naomba neema hii niliyoipata isipite bure kwenye maisha yangu niliishi neno lako na kusikiliza mahusiya yako kutoka kwa wateule wako......Amen barikiwa Apostle Mtalemwa.

  • @ELIUSRASSI
    @ELIUSRASSI9 ай бұрын

    Be blessed man of God

  • @robertmwaipaya3738
    @robertmwaipaya37382 жыл бұрын

    Ubarikiwe sana ndgu

  • @raychlucky2050
    @raychlucky20503 жыл бұрын

    I trust this man of God kwa maana wakati alipo fundisha kuusu watu ambao wamebeba mapepo wengi ndio watu ambao wamebeba baraka za familia akasema wandikeni majina yao nilipoandika jini ndugu yangu aliyeishi mjini miaka 4 bila kuenda nyumbani nilipo andika jina lake 4sure alienda nyumbani kabisa watu wamungu jameni fuatilia aya mafundisho yanasaidia sana

  • @ziporahmwende69

    @ziporahmwende69

    3 жыл бұрын

    Thanks man of God you are a blessing to me.

  • @tullypeter1057

    @tullypeter1057

    3 жыл бұрын

    Kristo akutunzee

  • @miriamngaila9568

    @miriamngaila9568

    3 жыл бұрын

    Hilo somo kichwa cha habari kilisemaje dear??nataka nilisikilize…

  • @ziporahmwende69

    @ziporahmwende69

    3 жыл бұрын

    Jinsi ya kuomba wakati wa mchana

  • @ziporahmwende69

    @ziporahmwende69

    3 жыл бұрын

    @@miriamngaila9568 jinsi ya kuomba wakati wa mchana

  • @eunicemarugu3595
    @eunicemarugu35952 жыл бұрын

    Barikiwa sana apostle

  • @rosemarystephen8663
    @rosemarystephen86633 ай бұрын

    Ameen I received

  • @annmaina3142
    @annmaina31423 жыл бұрын

    I can't have enough of this, more grace my teacher

  • @madammesatalks6913
    @madammesatalks6913 Жыл бұрын

    Amen Mtumishi wa Mungu, nami napokea majibu yangu leo, ubarikiwe sana kwa kunipa kitu kipya ndani yangu Mungu azidi kukuinua zaidi na zaidi ufanyike kuwa msaada kwa watoto wa Mungu Amen.

  • @ruthnimanje7246
    @ruthnimanje72463 жыл бұрын

    Ameen ameen nimejifunza

  • @SirajiSoka-il7ec
    @SirajiSoka-il7ec11 ай бұрын

    Mchungaji hakika Mungu amekubariki

  • @mellenmsomi6974
    @mellenmsomi6974 Жыл бұрын

    from kenya;Amen

  • @judithabuko6006
    @judithabuko60062 жыл бұрын

    Mtumishi wa Mungu ubarikiwe sana kwa hekima na ufafanuzi mazuri kwa masomo yako naomba namba ya simu ju niko Saudi Arabia na naomba usaidizi wako kwa maisha yangu kumbe niko nyumba kabisa naitaji kufundishwa

Келесі