JINSI YA KUOMBA WAKATI WA MCHANA.
HOW TO PRAY IN THE AFTERNOON
There are many things that God has closed in a certain time or season. In this lesson we learn how the day (noon/afternoon) has many good things if we understand how to use it. Also in this lesson Apostle Mtalemwa explains TWO KEY POINTS TO PRAY DURING THE DAY. Follow this lesson to learn more.
(Swahili)
JINSI YA KUOMBA WAKATI WA MCHANA
Kuna mambo mengi Mungu ameyafunga katika muda ama majira fulani.
Katika somo hili tunajifunza jinsi mchana ulivyo na mambo mengi mema endapo tutaelewa jinsi ya kuutumia.
Pia katika somo hili Apostle Mtalemwa anaeleza MAMBO MUHIMU MAWILI YA KUOMBA WAKATI WA MCHANA.
Fuatilia somo hili upate elimu zaidi.
Пікірлер: 347
Namshukuru sana Roho Mtakatifu ananisaidia kukuelewa hata ukizungumza mambo mazito yeye unisaidia kuyaelewa. Na hakika nayaona matunda yake. Nakupenda sana Baba yangu wa Kiroho.
Napenda unavyo fundisha kwa umakini mkubwa thank you so much Man of God.hata mm 2018 nilisha jibiwa mchana one day nilikua mgonjwa ajabu but Mwenyezi Mungu akaniletea doctor after spending the all day in church praying. I have a testimony.
U are a real man of God 🙏 .u build me up with this word I am sure I will come back to comments on the same post with testimonies .
Katika mtumishi anayejua kufundisha neno aisee you are the best.Mungu aendelee kukuinua son of major prophet.apostle mtalemwa number one in Tanzania.
Yaani Apostle umenitoa ktk Giza Nene kumbe mchan ni mzuri Kwa maombi Mungu akutunze milele
Chief wa watu. Hakuna somo unalofundisha nisikuelewe.... barikiwa sana Apostle wangu. Zaidi ya yote nakushukuru kwa utabiri wa mtoto wa kiume na nikampata kweli.
Mimi si mtanzania lakini mtumishi napenda jinsi unavyofafanua maandiko katika biblia nakutazama kupitia mtandao kutoka Kenya mungu awe nawe nyakati zote amina
Hakika huu ni ufunguo wa magumu yetu!!!mchana ni Nuruu Barikiwa mtumishi wa Mungu Mwenyenzi
Am blessed...pray for me. I need Jesus in my life. Mimi ni kafiri. Pray for me hili mungu aniokoe
Amen amen amen. Matatizo yote sugu maishani mwangu yameondolewa leo mchana na jua la haki linaniangazia, maadui zangu wote wamepigwa upofu kwa Jina la Yesu! Amen!!
@gracekanyanza4816
2 жыл бұрын
Asante mtumishi
Asante sana mtumishi wa Mungu nimeomba na wewe mchana wa leo naomba kupitia hapa naninamini mungu atatimiza malengo yangu amina
Asante sana Chief Apostle Ufunuo mkubwa sana huu,hakika nimepata somo kubwa sana.
Amen Mtumishi ili Mtu akwelewe Lazima akusikilize hadi mwisho,,SOMO la Siri ya Asubuhi imebadili kabisa maisha yangu
Namshukuru Mungu an kumtukuza kwa uwepo wako Chief unafafanua neno kwa kiwangu cha juu sana,Mungu akubariki mtumishi wa Mungu
Asante Apostle kwa kunipa maharifa ya kuomba maombi katika wakati sahihi na Aina ya maombi. Thanks Lord for your word given by your Servant Mutalemwa I feel blessed.
@user-mj8sl5rc7g
5 ай бұрын
Asante Apostle Kwa mafundisho yako nabarikiwa nikiwa Kenya. Naitwa ev.Renson
Some nzuri barikiwa Apostle
Asante mtumishi wa Mungu kwakunibariki na neno nashukuru kwakunifungua akili amfrom Kenya but now I am 🇸🇦nahitaji maombi Mungu tumbo yangu
Mungu uwe pamoja nami
Amina nimebarikiwa na hili somo nimeshukuku juu umeniponya ata yule mwanamke msinifu alikutana na yesu mchana kisimani
Mungu aendelee kukutunza mtumishi
Amen Man of God MUNGU AKUTUNZE NAKUKUBARIKI
Uliishanipandisha viwango Hadi nashindwa kueleza barikiwa zaidi ya sana❤❤❤😊😊😊
Amina! Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu kwa mafundisho mazuri na maombi
Mungu napokea mchana WA Leo🤲🤲🤲🤲💥💥💥💥🤲🤲🤲🤲
Pia mimi niko na ushuhuda mtumishi 🙏🙏.Baada ya kusikiliza mafundisho ya misukule part 1&2 huo wakati nilikuwa naumwa na miguu na mikono takribani week mbili.Hali ile ilinisumbua sana juu sikuwa na fanya kazi nzito sasa shida sijui ilikuwa wapi.Wakati wa mchana baada ya maombi nililala na nikiwa usingizi nilihisi upepo unanivivia sehemu ya miguu na mikono kuamka maumivu niliyokuwa nahisi hayakuwepo 🙏🙏🙏 .Hapo nilipokea uponyaji wakati wa mchana 🙏 kwa hakika Mungu ni mwema.Mafundisho yako yananiinua sana na Mungu azidi kukuinua katika viwango vya juu zaidi tuweze kufahamu zaidi be blessed The Man of God🔥🔥🔥
Amina ww ndie baba wa kiroho ambae unawaongoza watoto vizuli
I wish uje kanisani kwetu naguswa sana na mafundisho yako.Mungu akutumie zaidi na zaidi
Thanks mtalemwa for your teachings may God bless you abundantly.
@hebisibaondimu826
5 ай бұрын
À with
daaaaah nimekupenda breee apostle ubarikiwe sanaa una mafuzo mazuriii mnooo really touch my heart
Asante Apostle kwani baada y kusikiliza mafundisho haya mchana wa leo kuna jambo Mungu amenitendea maishani mwangu
Nabarikiwa Sana na mahubiri haya Mungu akuinue.mtumishi watu wajue kuishi maisha ya kumtegemea .Mungu Ame
Amina mtumishi nami naami mda huu napokea kizazi kipya
Ubarikiwe mtumishi napona na mafundisho yako
Apostle ubarikiwe nimeinuka tena
Mtumishi Apostle Nabarikiwa Sana na Mafundisho yako Maana umenitoa mbali Sana Nakufatilia Kwa kuushika ujumbe wako Mungu akupe kipawa zaidi Katika huduma yako Man of God
Ameen nimebarikiwa sana na mafundisho Mungu akubariki sana mtumishi
Oooh yes barikiwa Sana chief unazidi nibariki mtumishi
Asante yesu kunikutanisha na mtumishi huyu
hakika huu ni Ujumbe wangu kutoka Kwa Roho Mt. Yesu Asante
Ooh yess nimekuelewa Mtumishi heee Barikiwa saana
Amen amen nmebarikiwa Sana asante mtumishi kwa muongozo
Unanibariki sana kwa mafundisho,Ubarikiwe sana mtumishi
...hakika mtumishi...waaa hufahamu wa juu zaidi...Mungu apewe sifa milele...nime barikiwa hekima ilioje waaaa.!!!!📢📢📢📢💯
Amen mafundosho yamenisaidia kujua kuomba Kwa wakati mungu akubariki sana mtumishi
Apostle kwa kweli mda hautoshi, nimekuelewa vizuri, Asante Sana kwa mafunuo
Huwa najifunza sana hapa...Mungu awatunze watumishi wake.
Asante Mtumishi neno nimelielewa yan nilikuwa sijui masaa ya kuomba nilikuwa najiombea tu lakin sasa Mungu ananifundisha kupitia Mtumishi.
Napokea kwa jina la yesu amen
Asante sana Apostle kwa mafundisho haya. hakika ili somo limenifundisha mengi na kunibariki. Mungu azidi kukuinua Apostle
Asante Yesu niko nasikiliza somo hili mchana huu napokea majibu yangu
Amen napokea majibu kutoka kwa Mungu Asante mungu kwa uzima wangu na Baraka
Amen ubarikiwe mtumishi wa Mungu
Mimi ni congolaise , nakufataka sana , na nafurahisha na somo ginsi ya kuomba mchana , kumbe tunaomba mubaya njo maana hatujibiwe, nimefunjwa sasa Mungu akujaje tafsiri mtumishi wa Mungu amen
Asante opostole mutalemwa, mimi nilikua nimechoka na maisha kabisa lakini vile umenifundisha neno nimeamini kweli naitaji nafasi nyingine.
Asante Yesu maana unaraise standard yangu ya Maombi
Ameeeeeen ameeeeeen ❤❤
Ameen, ubarikiwe sana...nabarikiwa na mafundisho,Mungu akubariki
This has helped me to raise my standard of prayer. nagoja ni jue vile nafaa kuomba njioni na usiku.
Amennn mungu mubariki mchungaji Wako asante nashukuru kwa neno soit béni
Asante Yesu kwa kunikutanisha na huyu apostle amenifingua Amina
Nimebarikiwa sana
Ameeeeen mafundisho makali sana..Mungu akutunze mtumishi wake
Mungu akubariki Sana chief apostle mtalemwa
Amen man of God
God bless chief ni SoMo mhimu Sana ninaona mafanikio ya maombi ya muda nimekuelewa Sana
Umebibariki Sana kwa neno la Mungu
MUNGU AKUBARIKI MTUMISHI I `VE LEARNT ALOT
Asante sana man of God,am akenyan listening from Arabs countries..mimi nimuombezi nimejifunza kitu kutoka kwako
Hongera mtumishi..mungu awe nawe daima
Hallelujah hallelujah praise be to God
Ubarikiwe mtumishi
Amen mtumishi
Amina
Asante sana apostle
Aimen mtumishi Mungu akubariki
haki huyu apostle anajua kusaka bibilia
Wonderful nimeongeza kitu 🙏🙏🙏
It's my time to recieve my blessings. ..thanks man of God for this teaching
Ubarikiwe Sana mchg mutalemwa,nipo nakusikiiliza asubuh ya tareh24)5)23 mme wangu ametekwa na mwanamke aliepewa taraka na mmewe,niombee nipo bukoba ,
somo zuri sana la maarifa
Mungu akubariki Apostle kwa mafundisho mazuri
I have learnt alot from you may God bless you abundantly
Shetani alikuwa ananizuia kusikia hii kila siku nasema nitasikiliza niandike lakini Leo nimefanikiwa kusikia Kama mungu alivyonisaidia nguvu za gizaa wasubiri nikipata muda mchana ndo muda wakuwakomesha ufunuo wa Hali ya juu huu mungu akuinue apostle mtalemwa
Mafundisho matamu.Courage Baba....
@TunaelMhema
2 ай бұрын
Asante
Barikiwa sana appostle
Ndugu zangu ninashuhuda kwa somo hili jana trh 11 mwezi 11 mwaka huu nilikuwa nikifuata somo hili nikiwadukani kwangu afu hari haikuwa nzuri kwa upande wangu ghafra nikapitiwa na usingizi huku simu ikiwa hewani nikamwona apostle kaja dukani kwangu akamhudumia mteja baada ya dakika chache nikashituka kutoka usingizini mda haukupita akaja mteja akanunua bidhaa ileile nilio ona apostle akiuza hovyo namushukulu sana Mungu kupitia mtumishi wake Mungu akamtumie kwa viwango vya juu zaidi
God bless and increase more knowledge in you to save the children of God
Amen. Nimebarikiwa sana. Mchana
Eeeh Yesu Kristo naomba neema hii niliyoipata isipite bure kwenye maisha yangu niliishi neno lako na kusikiliza mahusiya yako kutoka kwa wateule wako......Amen barikiwa Apostle Mtalemwa.
Be blessed man of God
Ubarikiwe sana ndgu
I trust this man of God kwa maana wakati alipo fundisha kuusu watu ambao wamebeba mapepo wengi ndio watu ambao wamebeba baraka za familia akasema wandikeni majina yao nilipoandika jini ndugu yangu aliyeishi mjini miaka 4 bila kuenda nyumbani nilipo andika jina lake 4sure alienda nyumbani kabisa watu wamungu jameni fuatilia aya mafundisho yanasaidia sana
@ziporahmwende69
3 жыл бұрын
Thanks man of God you are a blessing to me.
@tullypeter1057
3 жыл бұрын
Kristo akutunzee
@miriamngaila9568
3 жыл бұрын
Hilo somo kichwa cha habari kilisemaje dear??nataka nilisikilize…
@ziporahmwende69
3 жыл бұрын
Jinsi ya kuomba wakati wa mchana
@ziporahmwende69
3 жыл бұрын
@@miriamngaila9568 jinsi ya kuomba wakati wa mchana
Barikiwa sana apostle
Ameen I received
I can't have enough of this, more grace my teacher
Amen Mtumishi wa Mungu, nami napokea majibu yangu leo, ubarikiwe sana kwa kunipa kitu kipya ndani yangu Mungu azidi kukuinua zaidi na zaidi ufanyike kuwa msaada kwa watoto wa Mungu Amen.
Ameen ameen nimejifunza
Mchungaji hakika Mungu amekubariki
from kenya;Amen
Mtumishi wa Mungu ubarikiwe sana kwa hekima na ufafanuzi mazuri kwa masomo yako naomba namba ya simu ju niko Saudi Arabia na naomba usaidizi wako kwa maisha yangu kumbe niko nyumba kabisa naitaji kufundishwa